mama yake aliondoka dunia bado angali mdongo sana alikuwa bando anja anza kuimba iyo historia ni ongo mutupu
@anyosisyemwangonji48713 жыл бұрын
Aya
@mystikenergie37093 жыл бұрын
Uongo tupu, Ali Mbonda hajawai kuwa msani wa KOFFI OLOMIDE...anadanganya sana
@lulanjamd38863 жыл бұрын
@@mystikenergie3709 Wewe ndo hujui kitu
@mussamgonola39833 жыл бұрын
Da mtu bila woga anasema anampenda Sana mtu fulan kwa kuwa ni maarufu watakusaidia nn kesho yako Akhera ,,mpende mtume Muhammad SAW, Issa bin Mariam ,Mussa aleh sallaam mwisho wa siku utakuwa nao kesho Akhera ,,umarufu wa binadam unaishia dunian
@florahLomwadi4 ай бұрын
bibilia inasema tupendan kwahiyo sio dhambi kumpend mtu
@violadominick19443 жыл бұрын
Nampenda sn fally anajua napenda wimbo wake wa mon amour booonge la rhumba big up kwake
@chrisshamala42923 жыл бұрын
@Viola Dominick naupenda sana pia ...wimbo mtamu san
@gabrielmoses68603 жыл бұрын
Ahsante sana! Nimekupata vizuri.
@lumierekalonji66133 жыл бұрын
Mon Star préfère fière d'être congolais, tu fait la fierté de notre pays toujours lokolo
@ezrabaker26172 жыл бұрын
i know Im kinda randomly asking but do anybody know a good site to stream new tv shows online?
@guymonya63233 жыл бұрын
Les warriors, manifestez-vous !
@danielbrazius34693 жыл бұрын
Asante namkubali sana
@mussamgonola39833 жыл бұрын
Inalilillah wa inalilillah rajuuhn ni wale wale ,,Unawajua mapapa ww,, Allah atunusuru tuwe na mwisho mwema ,,tuletee historia za waja wema mbona wako wengi tu ,,wanamziki watakusaidia nn kesho Akhera ?
@smithlegrande3 жыл бұрын
El Rey Mago,Le King Fally Ipupa aigle🦅
@sadasaid44083 жыл бұрын
Mungu akubariki sana kwa kuwasaidia yatima mungu akupe umri
@sengasule97593 жыл бұрын
Tunakubali kabisa
@kasealutajr64923 жыл бұрын
Yaani najua sisi wacongo tuna wongo lakini watanzania mtazidi. Mutu hauna full information lakini unatunga tu
@user-pi6od6rs9v2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂msamehe tu
@baloz8974Ай бұрын
Kweli hawafanyi utafiti wa kitu ,watu wanatumia pesa kusafiri mpaka kijijini kutafuta historia ya mtu sio kufuata kwa watu
El -pub la fierté congolaise 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@khadijakayuzi84713 жыл бұрын
Nimekupata vizuri mtangazaji
@BONGOLEO3 жыл бұрын
Tupo pamoja
@petitkisinini33412 жыл бұрын
DROIT CHEMIN FALLY hakusaidiwa na Koffi na aliitunga akiwa na group yake F'Victeam na alomsaidia kufankisha ni papa TCHATCHO MBALA KASHOGY hata Tabou fatou Top modele aliwek mkono wake piya kusaidiya hii album
@patrickbob19863 жыл бұрын
Kazi na Dawa
@geremiscrame25163 жыл бұрын
Acha zako wewe, Droite Chemine ilitolewa na Fally baada ya kuondoka QL. Ndio maana Koffi akatoa dis track ya Diabolos. Fanya utafiti kwanza, siku hizi kuna mtandao
@BONGOLEO3 жыл бұрын
Tunashkuru kwa ushauri, lakin sisi hatujatoa mtandaon ila tumeish na fally kwa miaka 7
@priscajustine21833 жыл бұрын
Huyu kaka namupenda ningemupa buree
@baloz8974Ай бұрын
Alooo sema kweli
@obertinatibamanya4153 жыл бұрын
Napenda anavyokata uno
@mosesnyirenda63593 жыл бұрын
Dola million hamsin haiwezi kuwa sawa na trillion kadhaa!! Hiyo Ni sawa billion 100+ kwa hela ya kitanzania.
@BONGOLEO3 жыл бұрын
Sawa nimekupata
@deliahipupa71113 жыл бұрын
NSIMBA! Nsimbu aza nani?
@jeankotongolukozi3153 жыл бұрын
Waongo sana
@BONGOLEO3 жыл бұрын
Sawa
@fareastmovement96043 жыл бұрын
dzevopresheee
@adolphmwangoje28873 жыл бұрын
😂😂😂 ktisha jmaaa anaimba Sana
@azizayassin36233 жыл бұрын
Mtangazaji wewe mwehu sana mama yke alikufa akiwa bado ajanza kuimba
@severinnkanza83923 жыл бұрын
Faustin jina la marehemu baba yake na mama yake Elizabeth naye marehemu , #Ipupa #Nsimba #Fally
@laurentjozee87773 жыл бұрын
Hapo kwenye dola milion 50 kuwa tililion hapana ni bilion Kama 💯 hivi
@expert58983 жыл бұрын
Upo smart kijana
@uzuriwabure62043 жыл бұрын
Binaadam nishida kwakweli kwa kukuza mambo
@francinaeofficial43703 жыл бұрын
Yani ww Kaka nani kakudanganya na iyo historia ya uongo😂😂😂😂 wazazi wake wote wamshaga fariki zamani sana .
Rekebesha kuandika kwako kama aujui stori ya ukweli wacha kudanganya watu stupid
@BONGOLEO3 жыл бұрын
Sawa tumekuelewa
@mwanahawabakari7182 жыл бұрын
Labda ndio mashart ya fremasons.nilazima ue shoga
@mgawesaid51373 жыл бұрын
Suzuki hajawai kuwa Q academia,waliokuwa kule mi kina modogo
@MabrukiNgereza-gj7mz27 күн бұрын
Bonjour 👋. Donner des sacrifices humaines pour devenir célèbre, c’est triste
@josuebaremba32163 жыл бұрын
Fally Ipupa N'simba njo jina ile na wazazi wake walishaka kufa wote
@BONGOLEO3 жыл бұрын
Thanx
@DaisyKiprop253 жыл бұрын
His name is Fally N'simba Ipupa
@jeremiahmsemwa83233 жыл бұрын
Tilioni na bilioni ni tatizo, fanya tena calculation
@mdathirukajumulo91814 жыл бұрын
Story nzuri
@saidimbaira37404 жыл бұрын
mwenyezimungu amemtunuku zaid
@mumberebinstone36013 жыл бұрын
Ninge penda ni mukosoe commenter mwenzangu hapa jini hilo nikosa kabisa ,ikipenda kumukosowa mutangazaji tumia busara nahekima kwani huu nimtandao bwana tfl rekebisha asante sana
@BONGOLEO3 жыл бұрын
Uko sahihi kaka lakin ni vizuru kuwapa watu nafasi waweze kusema kile wanachojisikia
@joelmwasa7703 жыл бұрын
mubere mama yake alifariki bado angali mdongo sana alikuwa anja imba watu wana pendanga kusema tu
@mcsailas83283 жыл бұрын
🇳🇬🇳🇬🇳🇬
@adijaadija99233 жыл бұрын
Nimtihani
@selfmanagementtv51383 жыл бұрын
Ushamba tu naomba wa kongo wote na nynyi ambao mna uzunika ebu tuishitaki chanel iyi kutangaza uongo ili iondolewe kabisa
@fisjaykitamuliko11833 жыл бұрын
Jama muongo unadanganya wa tz hufahamu atachochote kuhusu ipupa
@Allan_O._Muthiga3 жыл бұрын
Completely misleading headline. I should report it.
@mcsailas83283 жыл бұрын
Duuu
@mjm1353 жыл бұрын
"attentat" yamaanisha "attack" si "jaribio" tafadhali
@motivational25563 жыл бұрын
Fally ipupa is the king and they call him Michael Jackson of Africa and I hope people who listen to this never compare him with diamond,David,they call him king 👑
@jermanminsori6635 ай бұрын
kwani shoga hazai?
@jeremiahmasunzu34373 жыл бұрын
N' Simba sio N'simbu
@guelordmuyenga83653 жыл бұрын
Kkkkkk wadanya watu ivio sipoa
@azizawadh59733 жыл бұрын
Hujaitwa humu
@mkosolamasterjr2303 жыл бұрын
Namkubali sana huyu jamaa hasa ngoma zake za bakandnja na original ,ila tatizo letu wabongo ni mtu akiwa na mafanikio hawachelewi kusema ni Freemason tuache unafiki.
@dinocastico84953 жыл бұрын
Umehadithia vyema.. lakin album ya droit chemen hakupewa pesa na koffi aitowe . Na ikumbukwe tu ni album ambayo koffi ilimuuma saana .
@BONGOLEO3 жыл бұрын
Nashkuru kwa kuniongezea hlo
@thetriplesofbethlehem60953 жыл бұрын
Fally Ipupa wamezaliwa watoto 14 kwenye familia yao mzee kwani research zenu mnazitowawapi?
@benjoe38683 жыл бұрын
Eti nimeskia olivia alikua bibi ya nani?
@BONGOLEO3 жыл бұрын
50 cent
@Lanihsarumu5 күн бұрын
Uongo mbiguni mtakusikia wivu tu
@tresorviwe56553 жыл бұрын
la fierté congolais
@ndevundavo77983 жыл бұрын
Stop ndombolo don't let Rwanda take Congo because u guys are stupidddd
@abufauzan94173 жыл бұрын
@@ndevundavo7798 wote baadhi yamaelezo wamepatia nabaadhi yamaelezo wamekosea nimiaka 25 nikiwanao mtaa mmoja witwao monflorie(monflori) Kinshasa ndipo anapoishi koffi na ndipo alipokuwa akiishi Fally kipindi akiwa ktk kundi lakoffi litwalo quartier latin (kartie laten)
@emanuelndembeka69593 жыл бұрын
Muongo wewe,Suzuki hakuwahi kuwa Quartin Latin Academia
@mjm1353 жыл бұрын
wajielewa kweli wewe? Suzuki Luzubu alikuwepo ndo waanzilishi wa Quartier Latin! hujuwi historia ya mziki wa Rhumba
@ihanomadili3 жыл бұрын
Alikuwepo
@magisterialdj75513 жыл бұрын
Danganya wasiojuwa STORY ya fally ipupa, Akuna ulichosema cha KWELI hapo
@rumibarton23593 жыл бұрын
Story yenyewe ipoje ?
@williammbasila25733 жыл бұрын
Wala si story nzuri, au tuseme story nzuri ila haina mghani yaani msimuliaji.Kwani story huanza na kuzaliwa lini wapi wazazi ni wa kinanani baadaye mengine yanaendelea.
@BONGOLEO3 жыл бұрын
Sawa tunashkuru kwa ushaur tutajirekebisha
@255kwetu83 жыл бұрын
Wekeni na picha mapimbi nyinyi
@BONGOLEO3 жыл бұрын
Sawa
@christianmwashala2763 жыл бұрын
Yaaaaaaan watanzania ujuaji bhana ndo tumezid, w mtu unakosoa tu Tena kwa maneno mabaya duh, msiwavunje mioyo watu wanao jua vitu na kuona nivizur washeee nasis ambao atujui, sas nyie mwenzenu katoa nyie mnatoa povu sa mlitaka akae nayo Kama nyie, Kwa taarifa yenu mim kanisimlia nimesikiliza na nimemuelewa ko nyie Kama mnayenu mtakoma, brooo tuandalie na nyingine tena
@BONGOLEO3 жыл бұрын
Nashkuru sana🙏🙏
@glorymushi39543 жыл бұрын
Acheni kuelezea uongo Fally anajitahidi sana
@hadijashabani8903 жыл бұрын
Mkipewa nyie hizi kazi mnaweza kufanya naon mnamkosowa mtangazaji muwache aeleze anachokijuwa
@BONGOLEO3 жыл бұрын
Nimekuelewa sana hadija
@kaisarimbisso75793 жыл бұрын
Hawezi kuachwa kupotosha umma. Kweli journalism ni profession inayochezewa kabisa
@freddiemwanyika38043 жыл бұрын
kama muongo aachwe?
@freddiemwanyika38043 жыл бұрын
hizi kazi wawaachie wenyew nafikiri basata isimamie hili na kuwapitisha kwa vigezo maalum.
@freddiemwanyika38043 жыл бұрын
hizi kazi wawaachie wenyew nafikiri basata isimamie hili na kuwapitisha kwa vigezo maalum.
There is no need of seeking reviews by spreading lies. Haitakusaidia mwanangu. Cheap journalism is for idiots. So wacha Fally atuimbie. Kama hauridhishwi na maisha yake enda ukamwambie pekee yako.
@lulurubby22353 жыл бұрын
Mapenzi ya jinsia moja ni uchawi kikongo huwa ni kama kafara yao
@hadija8463 жыл бұрын
kumbe🙏🏼
@baloz8974Ай бұрын
Kwa hiyo wanafirana huko congo?
@juliusjaliwa98873 жыл бұрын
Wewe bwege kabisa unaongea upuhuzi, stop nonsense nani alikwambia Faly alitowa album yake yakwanza akiwa bado yuko QL? Hata kufanya utafiti unashindwa, danganya wajinga wenzako. Wasani gani: Koffi, Werrason, JB, Act.... kwa mziki wa congo alie kubali Artist wake atowe Album wakati bado yupo under management yako? Unajuwa kilicho tokea wakina: Feregola, Bil cliton, and Mlopwe. Kwa Werrason? Wewe bwege tuu unaongea vitu huyui and una post in social media, rubbish tumia akili achakutumia makamasi our generation uwezi leta upuhuzi kama huu
@BONGOLEO3 жыл бұрын
Asante
@ruthugerard76793 жыл бұрын
😂😂😂 kaka sikwa povu hilo
@juliusjaliwa98873 жыл бұрын
@@ruthugerard7679 🤣🤣🤣 Kaka kunawatu wanashobokea social media hawajui zumun au maana ya media, ila mtu akishiba ugali dagaa basi hata kufikiria au kufanya utafiti wajambo mtu anapost na kuzungumuza ujinga tuu
@christianmwashala2763 жыл бұрын
Ningependa naww utuandalie stor hi af uirushe tupime wap ni wap
@christianmwashala2763 жыл бұрын
Ungerusha nawww yako tu ingependez Zaid, ila hi nimeielewa kasimlia vizr
@seifmohamedseif94673 жыл бұрын
Ana miliki watoto ? Mjifunze hii kazi jinsi ya kuongea
@BONGOLEO3 жыл бұрын
Sawa mkuu tutajirekebisha
@ismailkatala47923 жыл бұрын
Duh! Mbona mnakosoa Sana kwa vitu ambavyo hata haviathiri substance ya story, hebu tujikite kwenye mambo ya muhimu
@gegemocke82133 жыл бұрын
nyinyi wote amu fahamu hakika habari za huyu mwana muziki!!!! Baba na mama yake Fally wame kufa katika sacrifice ya ki Free Macon!!
@ezapesambili21303 жыл бұрын
Hivi vitu vinawatu wake rudii shule naona bado mchanga hufai kusikilizwa
@dannyelias3823 жыл бұрын
Ukikosea ni rahisi kujifunza kuliko kuacha kabisa so nakushauri MPE ushauri ili azidi kufanya vizur
@abdallahmwinyi21063 жыл бұрын
@@dannyelias382 kumshambulia sio sawa Jambo jema ni kusahihisha na kuongeza taarifa. Nakuunga mkono kiongozi
@kaisarimbisso75793 жыл бұрын
We jamaa muongo sana. Olivia mke wa 50¢? $50mil ni trillions za kitanzania? Droit chemin imetoka 2006? Fally's networth ni $50mil? Wazazi wake wako hai na wanaishi Kinshasa? Charles ni mojawapo ya majina ya Koffi Olomide? Na mengine mengi umedanganya. Aisee, unapoteza credibility kabisa
@BONGOLEO3 жыл бұрын
🙏
@justinebitariho11293 жыл бұрын
FAKE STORY 😡
@shukridjibril68483 жыл бұрын
Duh toka weeee. It's not true. U don't fkn know anything about this guy. Stop roho mbaya wewe.
@Jesus_is_KING563 Жыл бұрын
Wewe umbwa kabisa ,shoga ni wewe,tafuta pesa acha wivu,I love rhumba for free,Frontline ikiwa na Fally na Ferre ,the list is endless,have respect for people you don't know,stupid!
@petitkisinini33412 жыл бұрын
DROIT CHEMIN FALLY hakusaidiwa na Koffi na aliitunga akiwa na group yake F'Victeam na alomsaidia kufankisha ni papa TCHATCHO MBALA KASHOGY hata Tabou fatou Top modele aliwek mkono wake piya kusaidiya hii album