Historia ya Kusisimua ASKOFU MKUU Thaddaeus Ruwa’ichi OFM Cap Sehemu ya 1
Пікірлер: 85
@vicenttarimo87525 жыл бұрын
Toka Mbulu kwenda Dodoma Hatimae Mkoa wa Mwanza sasa Dar salamu mwenyezi mungu akulinde umalize safari yako vizuri baba askofu umesema vizuri haipendezi kujisifia Bali uyaseme ya kristo mwenyezi mungu akulinde
@leonardissaay5814 жыл бұрын
Hongera sanaa Baba Askofu, Namkumbuka sana ulipokuwa Jimbon kwetu Mbulu
@danstanpanga84904 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Baba Askofu Mkuu. Sis Jimbo Katoliki la Mbulu hatutakusahau tunakuombea katika Majukumu yako Mapya.
@romanaeugen30665 жыл бұрын
Tunatamani Sana'a Urudi Jimbo la Mbulu baba Askofu...bc kwa kua ni kazi ya Mungu unafanya si upendavyo weweee.....Bali apendavyo Mungu......Utume mwema baba Askofu.
@annamaokola8074 жыл бұрын
Hongera kwa wito hakika ni kuhani uliyempendeza Bwana
@agnesshayo93715 жыл бұрын
Asante Sana Izahack Mwacha kwa kutupa nafasi ya kuofahamu Historia ya Baba Askofu Mkuu Jude Thadeus Ruwa'ichi🙏🙏 Nimebarikiwa sana kwa historia yake. Majibu yake yanagusa mnoo. Tangu mwanzo mpaka mwisho neno kwa neno yanagusa. Zaidi jibu la kipaumbele ni la Maongozi ya Roho Mtakatifu kabisa sio rahisi kibinadamu. Baba Askofu Mkuu Mungu akubariki sana katika Utumishi wako🙏🙏🙏🤝🤝
@josephelias60665 жыл бұрын
Duuuu historia ya kuvutia sana hii Mungu akuongoze baba Askofu
@sofiamtenga7984 жыл бұрын
Hongera sana Baba Askofu Mkuu kwa historian ya kusisimua iliyojaa hekima ndani yake. Mungu akuongoze ili uendelee kumhubiri Kristo
@rosepeter4155 жыл бұрын
Natamani Mungu anipe mtoto wa kiume na Mimi awe mchungaji
@albertosimplisti14164 жыл бұрын
Rose Peter Mungu atakubariki utampata mtoto wa kiume sali saana
@255digitaltv75 жыл бұрын
mungu akulinde baba Askofu una upendo wa dhati kwa watu wote tuliobahatika kua na wewe jimbo moja tunakukumbuka
@newagecommunications72585 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akulinde Baba Askofu Mkuu
@emmanuelcharles14424 жыл бұрын
Tunakukumbka sana baba wana jimbo la mwanza
@augustinozachariapanga13145 жыл бұрын
Hongera Baba Askofu Mkuu Jude Thadeus.
@romanambelle63565 жыл бұрын
Yaani siyo kanisa la fulani ni kanisa la Kristu likiongozwa na Roho Mtakatifu. Majibu yenye hekima
@emmanuelcharles14424 жыл бұрын
Hakika
@raphaelmutinda5403 жыл бұрын
Naomba mahojiano ya mhashamu askofu mkuu Gervers Nyaisonga wa jimbo kuu la Mbeya
@hilarymbowe73364 жыл бұрын
Bwana Mungu akuongoze na akuimalishe zaidi ili uliongoze kondoo wake.Tumsifu Yesu Kristo
@romanaeugen30665 жыл бұрын
Asante sana kwa maneno mazuri yenye hekima Baba Askofu mkuu...Mungu Roho Mt.akuongoze katika kuliongoza vema kanisa lake..
@bestinathadey77675 жыл бұрын
Proud of you father. Mungu akutunze sana. Tunakupenda.
@annaantoni1334 жыл бұрын
Amen Mimi na familia yangu tunakupenda Sana Baba ruwaichii
@EdgarErasmus4 жыл бұрын
kwenye mahojiano ya mda mrefu ya moja kwa moja kama haya ingefaa zitumike zile microphone ndogo hata za kuninginiza kwenye nguo. Asanteni kwa kipindi cha historia pia. Atukuzwe Mungu pote daima.
@rosepeter4155 жыл бұрын
MUNGU akulinde siku zote mchungaji wetu
@maxinmwalimo95414 жыл бұрын
Mungu akupe afya njema ya kuliongoza taifa la Mungu
@sabaschembele57754 жыл бұрын
nakuombea maisha marefu askofu wetu
@elibarikimollely74745 жыл бұрын
MUNGU akujalie maisha maefu snaaa Father Ruachi huwa nafarijika xana kwa maneno yake
@agnesmwita59104 жыл бұрын
Hongera sana baba askofu kweli ni historia ya kusisimua
@happymsaki17205 жыл бұрын
Tunakuombea sana Baba yetu mpendwa Mheshimiwa Baba Ruwaichi MUNGU AKUTUNZE na Roho Mt akuongoze ktk kazi yako hiyo ya KITUME
@seraphinqorro50395 жыл бұрын
Baba hongera Sana. Tunakuombea afya njema ya roho na mwili ili uweze kufanya majukumu yako kwa ufanisi wakati wote
@slaabeabayo60595 жыл бұрын
Amina.
@mallyasokoine81005 жыл бұрын
Hongeta Baba Askofu
@mwaratychambuso42904 жыл бұрын
Nakupenda Baba yangu uliyenipa kominio hadi kipaimara Mungu akulinde
@christinamichaeel97135 жыл бұрын
Mungu akuongoze katika utume wako
@acquelinapissa29685 жыл бұрын
Mungu akutangulie kwa kila jambo fadher wetu wa kiroho
@rehemakabanga13054 жыл бұрын
Mungu akulinde baba askofu
@romanambelle63565 жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki uendelee kuihubiri injili. CV nzuri sana.
@roseeugen87284 жыл бұрын
Hongera sana Baba Askofu,Tunazidi kukuombea
@angelmaganga94825 жыл бұрын
mungu akulinde baba askofu
@simonzungu45354 жыл бұрын
Baba mungu akulide utume mwema
@andrewsemka71914 жыл бұрын
Mungu akupe nguvu baba yetu upone naurejee ktk majukumu yako
@florachogo55375 жыл бұрын
Asante sana. Mchungaji wetu.chunga kondoo wa bwana
@sikatendedominique63535 жыл бұрын
Mungu akubariki askofu mkuu wetu
@rosemaryorio93425 жыл бұрын
Mungu akubariki baba yetu tunakukumbuka sana dodoma
@bernardminja50894 жыл бұрын
Maana ya ruwa naichi maana yake Mungu anajua
@ThobiasMarandu4 жыл бұрын
Ameruka Alipokuwa Katika Kanisa la Parokia ya Mashati Rombo. Alinifundisha Mafunsdisho ya Kipaimara,
@asiasalimkapalato74635 жыл бұрын
Allah akujaalie afya njema uwatumikie vyema waumini wko
@mrpauljulias36285 жыл бұрын
asia salim kapalato ukovizuri Dada nimependa sana moyo wako waukarim
@mumyhendry31265 жыл бұрын
Asante sana mpndwa....you are so different my love😘😘😘
@mumyhendry31265 жыл бұрын
Mungu akujalie Amani,Furaha ,Upendo na akujalie kila hitaji la moyo wako@asia salimu
@kelvinmlay97504 жыл бұрын
Asia salim nimepnda sana coment.....ubarikie sana
@shukuruantipas87124 жыл бұрын
amina sana baba yangu wa kiroho
@mbowethaddeus88515 жыл бұрын
Dogo mwacha uko vizuri naona
@ladiucamani80984 жыл бұрын
Hongera,Sana
@sirilimichaelpamojasana20335 жыл бұрын
mungu akubariki askofu wetu yuda kaributena parokia ya ovada
@edwardituja19994 жыл бұрын
Deus creavit te sine te, non salvabit te sine te.
@vanillamziray23034 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@annaantoni1334 жыл бұрын
Inaeleweka sanaaaa
@ThobiasMarandu5 жыл бұрын
Amesahau Alipokuwa Parokia ya Mashati Rombo, alipokuwa akifundisha Mafundisho ya Kipaimara.
@annakisenga1674 жыл бұрын
munguakubarikimimi. isidorirombo
@gracevalentine42344 жыл бұрын
😀😀
@mrpauljulias36285 жыл бұрын
amani ya bwana iwenawe ikutangulie kila utakapo kwenda
@titusngapemba9705 жыл бұрын
Kipindi kizuri ila mambo ya kurekebisha (1) Picha ipo out of focus, Mwanzoni. (2) Hupaswi kushika mkononi macrophone muda mrefu hivyo wakati wa mahojiano. (3) Microphone ipo juu na hivyo kumfanya Askofu Mkuu aongee huku akiangalia microphone (4) Mpiga picha hakuwa well focused.(5) Poor background.(6) Mwandishi haikuwa lazima uonekane wakati anatole maelezo.(7) Uvaaji wako siyo sahihi kwa kipindi hicho. Hujamjua “Source” wako vizuri, ungepata angle nzuri sana.(8) Tumieni mwanga wa ziada kwa picha nzuri.Vinginevyo siyo haba
@emmanuelgeofrey55135 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana ,kwa mtumishi wake ambaye ni baba wa imani nazidi kukuombea sana dea r anko ,nashukuru umenilea vyema nakumbuka fadhila zako
@shimijuvenary67835 жыл бұрын
mi nashukuru umewashauli vema
@gracevalentine42344 жыл бұрын
😊
@estermartine20325 жыл бұрын
jaman askof wet bado tunakuhitaj Mwanza
@elishakasambo32424 жыл бұрын
Mtu anaposema padre aokoke amekuwa mzee sasa ,kwani mtu aweza kumkiri Yesu kuwa mwokozi wa maisha yake (kuokoka) ,au kuokoka ni kufanyeje kwa ulimwengu wa sasa huenda dhana yake imebadilika haijarishi mtu yupo dhehebu gani
@ragiranyamjari96444 жыл бұрын
wonderful job
@CasDigitaltv2 жыл бұрын
Kama wewe ni mkristo na hujui Dhambi Hizi za MTUME PAULO basi Bado hutoshi Kuwa mkristo kzfaq.info/get/bejne/gdianrWjlrmWlHU.html
@simbanzee39584 жыл бұрын
Hyu jamaa historia yake inajirudia mm sielew kabisa mskilize vizur
@akanishabani57894 жыл бұрын
Mpaka hapo mzee unatumikia dini tu! Okoka sasa umtumikie Yesu. Maana bila kuokoka utumishi wote ni bule! Mungu akupe macho ya rohoni uone njia.
@edwardituja19994 жыл бұрын
Kuokoka Ni kufanya Nini?,Imani yako si mahala pake hapa. Muacheni askofu wetu ruwaichi afanye Yale mungu aliomtuma.
@charlesmgomba81244 жыл бұрын
Ahsante sana BABA Askofu, Mungu akusaidie
@charlesmgomba81244 жыл бұрын
Hongera sana, ubarikiwe Baba
@josephlango55914 жыл бұрын
Ole wako unayejikweza na kujihesabia haki kwa majivuno mengi kwa jina la ulokole huku ukiwa umeliasi Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume na Ekaristi Takatifu, na kuzipotosha njia zenu kwa mafundisho potofu ya kupunga mapepo, mkiuziana karama za Mungu kwa fedha.
@annaantoni1334 жыл бұрын
Alishaiona ameacha yote
@cupcakesanddounuts65555 жыл бұрын
Unaongea Christ mchana usiku unafanya ibada nyingine! Know that Jesus is coming back soon for justice.
@macmillanmakawia15425 жыл бұрын
Cupcakes and dounuts salam
@macmillanmakawia15425 жыл бұрын
Salam mtumishi wa Mungu
@cupcakesanddounuts65555 жыл бұрын
Macmillan Makawia shalom ndugu.
@julianasamweli72255 жыл бұрын
Hongera baba yetu wa kiroho tunakukumbuka sana jimboni
@theresiamathew36895 жыл бұрын
Baba Mungu akutangulie ktk kila jambo unalo fanya
@Fm-MornStar20145 жыл бұрын
Hongera sana baba Askofu mkuu. Mungu akubariki na akutie nguvu ya utumishi.