"Kuna Mapadre Wametoka Njia Kuu lakini Bado ni Mapadre" Homilia ya Askofu Mkuu Ruwa'ichi, Kipunguni

  Рет қаралды 28,462

Jugo Media

Jugo Media

Жыл бұрын

𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/GDS87FVmKB5...
Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+255757560764?text=NIUN...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+255757560764?text=Taar...)
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

Пікірлер: 42
@consolatamushi266
@consolatamushi266 9 ай бұрын
Unanibariki sana na Homilia zako baba, zimejaa uwepo wa MUNGU, hakika MUNGU anakutumia ipasavyo, tusiposikia usemayo, sijui tusikie kwa nani tena. Tukiyaishi haya MUNGU atapendezwa nasi hakika. Tunakuombea baba, MUNGU azidi kukupa hekima, maariafa, afya njema na maisha marefu. Akutumie kwa kadri apendavyo, wewe ni chombo chake kiteule. Barikiwa mnoooo!!
@ntezilibajacob
@ntezilibajacob Жыл бұрын
Homilia zako cyo za nchi hii. Nakukubali sana Baba askofu.Mungu akulinde daima.
@deomkatoriki3371
@deomkatoriki3371 Жыл бұрын
Asante kwa neno zuri Baba, Mungu azidi kukupa Kibali cha Kuchunga Kondoo wake kwa uaminifu.
@primitivagratian3436
@primitivagratian3436 Жыл бұрын
Homilia nzuri sana, tunabarikiwa!
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 Жыл бұрын
Mungu akusaidie kuijua kweli yake siyo Dini yoyote kwani Dini zipo nyingi sana duniani na haziwezi kukufikisha mbinguni,tuache kuabudu masanamu ,Mungu ni Roho wamuabuduo imetupasa kumuabudu katika Roho na kweli,
@amedeuskimario8895
@amedeuskimario8895 Жыл бұрын
@@patsonkyando1732 cjui kinachokuumiza hapo n nn mkuu mbona Kila mtu yupo huru kufanya anachotaka we unaamin hicho unachokiamin kitakupeleka huko unakofkir acha watu waenjoy na iman zao acha machukizo bana
@emmanuelshayo4703
@emmanuelshayo4703 Жыл бұрын
@@amedeuskimario8895 wanatafuta wafuasi kwa nguvu, wamehubiri majukwaani bila kupata wafuasi sasa wameamua kujenga chuki na kanisa katoliki
@emmanuelshayo4703
@emmanuelshayo4703 Жыл бұрын
@@patsonkyando1732 proud to be Catholic.... Catholic forever.
@geoffreyjeff5135
@geoffreyjeff5135 Жыл бұрын
Asante baba Askofu Kwa neno lako nzito Mungu akubariki
@deokrasisjosephat5857
@deokrasisjosephat5857 Жыл бұрын
Asante sana baba Askofu mkuu
@margaretmkazawadi1290
@margaretmkazawadi1290 Жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki
@paulmlasi2101
@paulmlasi2101 10 ай бұрын
Aminaa
@paulomalema6384
@paulomalema6384 Жыл бұрын
Ami na amiina
@samwelmotika3803
@samwelmotika3803 Жыл бұрын
hongera sana baba kwa homilia yako nzuri nimebarikiwa sana
@michaelmagembe5069
@michaelmagembe5069 Жыл бұрын
Amina
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 Жыл бұрын
Amina Baba tunamshukuru MUNGU Kwa uwepo wako baba
@samsongechamet5374
@samsongechamet5374 Жыл бұрын
Nakukumbuka Sana Askofu ulinipa kipaimara 1988 Gallapo Parish.Mungu akubbarikj sana kwani unamtendea.
@user-sh8xp5dn3w
@user-sh8xp5dn3w Ай бұрын
Itakuwa 98
@paulomalema6384
@paulomalema6384 Жыл бұрын
Asante kwa neno ubalikiwe baba
@theresiakaruhanga364
@theresiakaruhanga364 Жыл бұрын
Mungu akubariki
@innocentsilvanus1328
@innocentsilvanus1328 Жыл бұрын
Tena wapo wengi sana
@albertokindole4454
@albertokindole4454 Жыл бұрын
Senior Bishop. Thanks Bishop for your blessings
@fidelenzambimana6980
@fidelenzambimana6980 Жыл бұрын
MOLTE GRAZIE ECCELLENZA.DIO LA BENEDICA.
@serapiusmwalongo2482
@serapiusmwalongo2482 Жыл бұрын
Amen
@othmarluwawilo8308
@othmarluwawilo8308 Жыл бұрын
Waja wako tunamshukuru Mungu kwa kutuletea Kuhani mkuu km wewe, nimekufuatilia tangia ukiwa Dodoma, Mwanza na Sasa Dar. hakika uinjilishaji wako u juu ya kiwango. Tutabalikiwa km unavyobarikiwa. Barikiwa baba.
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 Жыл бұрын
Hiyo Ni kuhani wa Dini ya Roman Catholic siyo Mungu wa mbinguni ,Mungu Hana Dini
@jonathanntare4787
@jonathanntare4787 Жыл бұрын
Bwana paston kyando shida yako nini ?? Au umekosea channel ukajikuta upo huku kwetu.
@justinemathiasngwandu7715
@justinemathiasngwandu7715 Жыл бұрын
@@patsonkyando1732 NAONA KAMA UNAHAHA SAANA KUSIKIA NENO KUHANI WA MUNGU, POLE HIYO NDIYO FAIDA YA UASI WENU, LAITI MSINGEASI LEO NAWE UNGEFURAHUA KUITA KUHANI, MAANA NAJUA UKIKO UNAABUDU KWENYE KANISA LA.... ILA SISI TUPO HUKU TUNAMTUMIKIA MUNGU KWA AMANI TUKIWA NA MAKUHANI NA MAHALIFA WA KRISTO, HUJACHELEWA NJOO TU WALA USIHOFU.
@emmanuelshayo4703
@emmanuelshayo4703 Жыл бұрын
@@patsonkyando1732 kumbe ndio mnakuja kutafuta mahubiri na mafundisho kwenye channel za kikatoliki
@emmanuelshayo4703
@emmanuelshayo4703 Жыл бұрын
@@jonathanntare4787 hajakosea, yuko kazini wameshahubiri kwenye majukwaa wamechoka bila mafanikio sasa wameamua kuingia kwenye channel za kikatoliki, hawa ndio wale wanaozunguka dunia kupoteza roho za watu
@josevictor59
@josevictor59 Жыл бұрын
Huwa nakunali nipitwe na mengine lakini si mahubili ya Askofu mkuu hakika unatumika vyema
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 Жыл бұрын
Anatumiwa na Nani?
@josevictor59
@josevictor59 Жыл бұрын
Tumsifu Yesu Kristo, nilimanisha anatumika vyema kwenye utume wake.
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 Жыл бұрын
@@josevictor59 watu wengi wanaishi kwa kuzipendeza Dini zao na viongozi wa Dini zao na kufuata Sheria za Dini zao ,wakifikiri wanampendeza Mungu ,kweli Bible inasema hawajui Wala hawafahamu wanatembea gizani Zaburi 82:5
@silvanusmagwira6162
@silvanusmagwira6162 2 ай бұрын
​@@patsonkyando1732hiyo Biblia unayojifanya kuirejea umeitoa wapi? Biblia ni mali ya Kanisa moja Takatifu na la kitume.
@paulomalema6384
@paulomalema6384 Жыл бұрын
Am
@reginaldhhayuma6907
@reginaldhhayuma6907 Жыл бұрын
Asante sana mhashamu baba askofu Ruwaichi
@paulomalema6384
@paulomalema6384 Жыл бұрын
Ami na amiina
@stevennyilawila7830
@stevennyilawila7830 Жыл бұрын
steffen Ana karama ya pekee kt kuhubiri.
@gabrielshani3476
@gabrielshani3476 Жыл бұрын
Baba mungu akupe nguvu daima katika utumishi uliotukuka mungu akupe maisha marefu
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 94 МЛН
Always be more smart #shorts
00:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 45 МЛН
OMG😳 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:58
Potapova_blog
Рет қаралды 4,3 МЛН
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 43 МЛН
"MAVUNO NI MENGI ILA WAFANYAKAZI NI WACHACHE"-ASKOFU RUWA'ICHI
12:31
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 13 М.
PADRE ALIYEMLEA FR.CHESCO AELEZA MAZITO,ALIKIMBIZA MWENGE KITAIFA,VIPAJI LUKUKI
24:46
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 13 М.
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 94 МЛН