I am Mbembe pure and my dad told me about Michel Mbavu Moya
@bilombelekilozodieudonne1233 жыл бұрын
*Ahsante sana mzee kwa Historia iyo mzee wangu ubarikiwe sana*
@pierremtoka93073 жыл бұрын
Uyu mzee ananifunza mengi asante sana kwa kazi ihi nzuri
@nafuwswedi24653 жыл бұрын
Big up wabembe👍🏿💪🏿 Mimi bibi yangu mzaa baba ni Mbembe,lakini familia ilihamia Tanzania sijui ni mwaka gani,hata hivyo najivunia kuwa Mbembe👍🏿
@didierilombe55728 күн бұрын
Tupo pamoja mzee wetu . Uzidi kutupa historia zaidi.
@oredinondo-ln9zuАй бұрын
Asante sana kwa historia nzuri💪
@dayoyo44633 жыл бұрын
Na merci sana kwa history nzuri big up
@stephenmukaabya84423 жыл бұрын
Could you consider an English version for those that aren't fluent in swahili? Thanks in advance.
@innocentshabani39433 ай бұрын
Very nice,i just like this.ni mwalimu wangu le roi,alinipa littéreture darasa la sita secondary,ningeomba tanganika tv muwe mnafanya tafiti kama hizi ili kusaidia watu ujuzi mwingi
@malkiawafizi23943 жыл бұрын
Tunaomba historia nzima yawa bembe.najinsi walivyo ingiya kigoma.
@abongyoJacques9 күн бұрын
Type abari nzuri ya shujaa wetu wa Dunia.
@kingdamochuhi22433 жыл бұрын
asante sana jerani wetu apo c3
@vumiliajuma5537 Жыл бұрын
Bilemba on top ❤❤
@magneticsurface52422 жыл бұрын
I love this my brother keep up the good work, Re-informant is coming
@msemasungura5651 Жыл бұрын
Historia yawabembe nipana sana sii congo tu hata tz wanahistoria yamda mrefu hilo sanam lililopo Posta huyo nikumbukumb ya mbavu moja .ambae nimbembe
@nafuwswedi24653 жыл бұрын
Mahenge iko Morogoro
@vnkjproduction78982 жыл бұрын
BABA mdogo huyo anaye toa historia hapo. Wabembe tuko juu
Kk huyo baba ange fanya nguvu tupate tupate kitabu cha historia hiyo jamani
@hamisilumona71633 жыл бұрын
Ni history nzuri kwa sisi hukoo wa babembe. Ila mimi kwangu huyu mzee hangesha kuongea mambo kama haya. Haindike vitabu vitamsaidia yeye pamoja na familia yake nzima. Pia wazungu hawata mpenda kuhusu mambo, kwanza kwa sasa bado ungali kambini so hasha mambo ndugu yangu.
@muhubirimugisho28132 жыл бұрын
Tunashukuru kwa kumukumbuka Héro Mbavundogo Michèle...ijapo DRC ina mtupiliya mbali.kweli ime baki kweli
@wizztz48153 жыл бұрын
Baba kire 😂😂😂
@peloofficial56103 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salumdjumabizmana01102 жыл бұрын
Kaka ubarikiwe kabisa kwa maana unajuwa historia ya Kongo na ususan ya inchi zetu za maziwa makuu.Ungesaïdiwa kuandika kitabu ili historia hiyo ispoteï
@emmanuelademba7919 Жыл бұрын
Wana Tanganyika TV nimewakubali kumbe neno Tanganyika asili yake ni BEMBE?!!asante mimi niwa 🇹🇿
@lucasanthony46192 жыл бұрын
Mahenge ni mkoa wa morogoro
@robertmgaya73862 жыл бұрын
MAHENGE NI MKOA WA MOROGORO
@SaleheMkololwa21 күн бұрын
Mimi nahitwa Bwise'elelo naishi goma, ila nilikuwa nahomba historia hiyo mungefanya kitabu ili Sisi wa bembe tuwe nayo svp.
@bakarikayugwa3295 Жыл бұрын
Mbavu moya ndo mnala wa posta
@peloofficial56103 жыл бұрын
baba kire🤣🤣🤣🤣C3 dah🤣🤣🤣🤣
@bakarikayugwa3295 Жыл бұрын
Yani hata huyu SI ndio sanamu la pale posta
@innocentshabani39433 ай бұрын
Yes ndo yeye
@benedictionkasereka173810 ай бұрын
😂🙏🙏🙏
@socratekimamura51723 жыл бұрын
Do the bafuliiru people History we want to know the the bafuliiru history bro
@TanganyikaTV3 жыл бұрын
Yes we have the bafuliru documentary currently in production right now ..
@socratekimamura51723 жыл бұрын
@@TanganyikaTV you are the best g keep putting more about sub kivu
@TanganyikaTV3 жыл бұрын
@@socratekimamura5172 thank you
@felicienkisasu4772 жыл бұрын
Il s'appelait Mbavu Ndogo et non Mbavu Moya.
@innocentshabani39433 ай бұрын
Ulielewa kulikotokea jina mbavu moya?,ni kwa sababu Alitalia mwenye kwenye familia yake