MJUE MSUKUMA NA TABIA ZAKE

  Рет қаралды 37,036

Mtembezionline

Mtembezionline

7 жыл бұрын

Msukuma ni nani na historia yake imetokea wapi? tazama upate kujua kwa kina #Mtembeziusukumani

Пікірлер: 31
@prosperkapeche898
@prosperkapeche898 5 жыл бұрын
Big up babu Kafipa👏🏾👏🏾💪🏿🇹🇿 ni vizuri kujua Usukuma ni ni👍🏿🇹🇿
@paulojohn9823
@paulojohn9823 4 жыл бұрын
Kgy
@jamesgerald7192
@jamesgerald7192 6 жыл бұрын
hadi raha kwa kweli,,wewe dada umefunzwa vzr sana hongera.
@jmiano5870
@jmiano5870 Жыл бұрын
part of wasukuma ni agikuyu wa kenya.
@jacquelinemabula2519
@jacquelinemabula2519 Жыл бұрын
Sure coz mimi my mom is from kikuyu na my dady ni sukuma naweza sikia kila kitu
@luckydubebello1131
@luckydubebello1131 2 жыл бұрын
Mm ni wakutoka kenya 🇰🇪 soon naolrka na msukuma
@luckydubebello1131
@luckydubebello1131 2 жыл бұрын
Naoleka
@DottontendelDottontendel-qb5lr
@DottontendelDottontendel-qb5lr 8 ай бұрын
Huwa wanaoroho mbaya huwa wanaubaguzi huwa wanajipenda waokwawao nikama watusi
@ommarymzee1161
@ommarymzee1161 7 жыл бұрын
wachamaee babaaaaa
@alexkadaso2913
@alexkadaso2913 5 жыл бұрын
Wakelewe
@majadotto9513
@majadotto9513 4 жыл бұрын
Mitazamo tu lkn sisi ni watu was suguma itimeans kazkazn
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 5 жыл бұрын
Zamaani sana walikua na tabia (nataraji wamebadilisha) utamkuata mtu ana Mali nyingi mashamba na mifugo. lakini anaishi kimasikini sana eti anaogopa kurogwa🙄😏🙄😒😒
@tanzanianchiyangutaifalang8376
@tanzanianchiyangutaifalang8376 4 жыл бұрын
Huo ni uongo. Wasukuma wenyewe wanajua dawa vizuri. Unaanzaje kumroga! Huwajui wasukuma, usipende kuchukua ya kuambiwa. Tuulize sisi wasukuma wenyewe.
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 4 жыл бұрын
@@tanzanianchiyangutaifalang8376 mimi nimeishi nao
@tanzanianchiyangutaifalang8376
@tanzanianchiyangutaifalang8376 4 жыл бұрын
@@shifaaal-baity4503 Sasa mbona unaongea uongo? Wakati msukuma utajiri wake ni mifugo na kilimo. Tajiri wa mifugo na kilimo ndio yupo fiti kwa dawa. Sasa anaanzaje kurogwa! Hapa umedanganya.
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 4 жыл бұрын
@@tanzanianchiyangutaifalang8376 yaani wasukuma wana dawa za kuroga??? Kitu kibaya sana
@tanzanianchiyangutaifalang8376
@tanzanianchiyangutaifalang8376 4 жыл бұрын
@@shifaaal-baity4503 Mimi ni msukuma, nimezaliwa usukumani na nimekulia usukumani. Tajiri wa mifugo na kilimo wako vizuri sana kwenye mambo dawa. Huwezi kuchezea mifugo wala mazao yake.
@mwandumazaoidrossa1702
@mwandumazaoidrossa1702 5 жыл бұрын
hamjuwi wasukuma kumbe walikotoka, wasukuma wametokea Congo rdc sehemu moja inaitwa Bandunduu
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 5 жыл бұрын
Kweli??? Tunajua wamanyema ndio wametoka congo
@mwandumazaoidrossa1702
@mwandumazaoidrossa1702 5 жыл бұрын
@@shifaaal-baity4503 nenda Congo bandundu hata luga Yao kama kisukuma tu
@mwandumazaoidrossa1702
@mwandumazaoidrossa1702 5 жыл бұрын
hata majina mengi yanafanana na kisukuma kama vile Matondo, Malongo, Magembe, Maduhu Magumba,Ngolo yote hayo majina ypo huko congo
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 5 жыл бұрын
@@mwandumazaoidrossa1702 kusema kweli mara ya kwanza kujua
@emmanueljohn8970
@emmanueljohn8970 5 жыл бұрын
Hata south Africa
HISTORIA YA NG'WANAMALUNDI / MATUKIO YA AJABU NA YA KUTISHA
33:08
Wahaya kwanini hawawezi kufanya kazi ngumu
10:08
Mtembezionline
Рет қаралды 8 М.
Дибала против вратаря Легенды
00:33
Mr. Oleynik
Рет қаралды 5 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 36 МЛН
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 13 МЛН
Kumbe Watu wa Kabila la wahaya wana asili ya Kirundi na waganda
13:45
Mtembezionline
Рет қаралды 17 М.
UWEKEZAJI KISIWA CHA BAWE
7:10
ZIPA TV
Рет қаралды 8 М.
KUPIGA MAGOTI WAKATI WA KUSALIMIA KWA WASUKUMA SIO KUJISHUSHA
11:15
CHIMBUKO LA WACHAGA KUMBE NI NDUGU NA WAYAHUDI KABILA LA YESU
6:19
TABIA ZA NDANI ZA MSUKUMA
9:54
Mtembezionline
Рет қаралды 16 М.
Asili ya wahaya kuwa wapenda sifa na watu wa kujivuna
9:54
Mtembezionline
Рет қаралды 110 М.
Дибала против вратаря Легенды
00:33
Mr. Oleynik
Рет қаралды 5 МЛН