Msukuma ni nani na historia yake imetokea wapi? tazama upate kujua kwa kina #Mtembeziusukumani
Пікірлер: 31
@prosperkapeche8985 жыл бұрын
Big up babu Kafipa👏🏾👏🏾💪🏿🇹🇿 ni vizuri kujua Usukuma ni ni👍🏿🇹🇿
@paulojohn98234 жыл бұрын
Kgy
@jamesgerald71926 жыл бұрын
hadi raha kwa kweli,,wewe dada umefunzwa vzr sana hongera.
@jmiano5870 Жыл бұрын
part of wasukuma ni agikuyu wa kenya.
@jacquelinemabula2519 Жыл бұрын
Sure coz mimi my mom is from kikuyu na my dady ni sukuma naweza sikia kila kitu
@luckydubebello11312 жыл бұрын
Mm ni wakutoka kenya 🇰🇪 soon naolrka na msukuma
@luckydubebello11312 жыл бұрын
Naoleka
@DottontendelDottontendel-qb5lr8 ай бұрын
Huwa wanaoroho mbaya huwa wanaubaguzi huwa wanajipenda waokwawao nikama watusi
@ommarymzee11617 жыл бұрын
wachamaee babaaaaa
@alexkadaso29135 жыл бұрын
Wakelewe
@majadotto95134 жыл бұрын
Mitazamo tu lkn sisi ni watu was suguma itimeans kazkazn
@shifaaal-baity45035 жыл бұрын
Zamaani sana walikua na tabia (nataraji wamebadilisha) utamkuata mtu ana Mali nyingi mashamba na mifugo. lakini anaishi kimasikini sana eti anaogopa kurogwa🙄😏🙄😒😒
@tanzanianchiyangutaifalang83764 жыл бұрын
Huo ni uongo. Wasukuma wenyewe wanajua dawa vizuri. Unaanzaje kumroga! Huwajui wasukuma, usipende kuchukua ya kuambiwa. Tuulize sisi wasukuma wenyewe.
@@shifaaal-baity4503 Sasa mbona unaongea uongo? Wakati msukuma utajiri wake ni mifugo na kilimo. Tajiri wa mifugo na kilimo ndio yupo fiti kwa dawa. Sasa anaanzaje kurogwa! Hapa umedanganya.
@shifaaal-baity45034 жыл бұрын
@@tanzanianchiyangutaifalang8376 yaani wasukuma wana dawa za kuroga??? Kitu kibaya sana
@tanzanianchiyangutaifalang83764 жыл бұрын
@@shifaaal-baity4503 Mimi ni msukuma, nimezaliwa usukumani na nimekulia usukumani. Tajiri wa mifugo na kilimo wako vizuri sana kwenye mambo dawa. Huwezi kuchezea mifugo wala mazao yake.
@mwandumazaoidrossa17025 жыл бұрын
hamjuwi wasukuma kumbe walikotoka, wasukuma wametokea Congo rdc sehemu moja inaitwa Bandunduu
@shifaaal-baity45035 жыл бұрын
Kweli??? Tunajua wamanyema ndio wametoka congo
@mwandumazaoidrossa17025 жыл бұрын
@@shifaaal-baity4503 nenda Congo bandundu hata luga Yao kama kisukuma tu
@mwandumazaoidrossa17025 жыл бұрын
hata majina mengi yanafanana na kisukuma kama vile Matondo, Malongo, Magembe, Maduhu Magumba,Ngolo yote hayo majina ypo huko congo
@shifaaal-baity45035 жыл бұрын
@@mwandumazaoidrossa1702 kusema kweli mara ya kwanza kujua