No video

HISTORIA YA OPERATION ENTEBBE(Part 1)

  Рет қаралды 2,174,859

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

HISTORIA YA OPERATION ENTEBBE(Part 1)
Siku ya tarehe 27 June 1976, ilianza kama siku nyingine yeyote ndani ya uwanja wa ndege wa kimataifa katika mji mkuu wa nchi ya Israel, TEL AVIV, Uwanja ujulikanao kama Ben Gurion International Airport.
Moja ya ndege ambayo ilikuwa inafanya safari yake katika siku ya leo ilikuwa ni ndege ya kampuni ya Air France Flight 139 ambayo ni ndege aina ya Airbus A300B4-203 yenye namba za usajili mkiani F-BVGG.
#OPERATIONENTEBBE
www.youtube.co.... www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 673
@husseinomari5972
@husseinomari5972 5 жыл бұрын
Ahsante sana Global TV kwa makala za ki historia. ila kama mdau wenu nawaomba mtuchambulie pia historia za maisha ya Viongozi hawa wa Marekani na Iran. Hatujui Confidence zao zilianzia wapi ila Tunaona tuu vitisho na vikwazo vya kisiasa. Otherwise mi nawapongeza mana mko sahihi katika makala zenu
@joelnchimani4185
@joelnchimani4185 5 жыл бұрын
Ahsante sana global tv kwa kutuletea habari za ki histolia sasa tunaomba simulizi na histolia ya saddam hussein aliyekua rais wa iraq kuzaliwa mpaka kunyongwa ahsante
@siderank8650
@siderank8650 4 жыл бұрын
@@joelnchimani4185 ekis
@mackilndaud9414
@mackilndaud9414 4 жыл бұрын
Ekisa
@jekelaedgar636
@jekelaedgar636 4 жыл бұрын
2.
@ndayizeyeoradidanielle9205
@ndayizeyeoradidanielle9205 3 жыл бұрын
Ap
@augustinofredrick7127
@augustinofredrick7127 4 жыл бұрын
Unajua saaaana we jamaa.👍 kama unamkubali huyu msimuliaji gonga like hapa ilitwende sawa.
@karimabdallah4872
@karimabdallah4872 4 жыл бұрын
Ni mwamba huu
@deborabrownsentimea3901
@deborabrownsentimea3901 5 ай бұрын
Mnooo
@ansgar8620
@ansgar8620 5 жыл бұрын
Unasikiliza makala, unaielewa hadi unapitiliza kuielewa unatamani ukawaeleweshe watu.. kazi nzuri sana.
@amissislywachako1772
@amissislywachako1772 5 жыл бұрын
Umeona eeh!! Yan ww ndo kama mimi
@allyderossi9742
@allyderossi9742 5 жыл бұрын
Ansgar:Nipo ZNZ lkn jamaa anatisha,,kajaliwa mpk sound.
@lirastanley390
@lirastanley390 5 жыл бұрын
Kwel kbs
@emiliantemba8839
@emiliantemba8839 5 жыл бұрын
Ansgar part two iko wap jmn
@patricksaukiwa1954
@patricksaukiwa1954 5 жыл бұрын
Adi kuwaelewesha watu
@sknapoleonshoo3145
@sknapoleonshoo3145 2 жыл бұрын
Walio soma Uganda 🇺🇬 ndani ya topic ya Operation Entebbe kwenye soma la SST from P5 to P6 tugonge like 👍 kwa pamoja!
@nicekweba9920
@nicekweba9920 Жыл бұрын
😢
@RobertGulayi
@RobertGulayi 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@samwelwekesa
@samwelwekesa 15 күн бұрын
Leo hii 12/8/2024 nimerudi kusikia historia,zijawahi pewa like zenu jamani
@goustonefrancisisole2534
@goustonefrancisisole2534 6 күн бұрын
Hapa tunarud daily....
@ramadhanindaro6866
@ramadhanindaro6866 4 жыл бұрын
Nani ambaye anairudia tena hii kwa mwaka huu 2020 gonga like hapa
@jacoblaiser7634
@jacoblaiser7634 4 жыл бұрын
Like inasaidia nini? Mnaboa sana mnaosena gonga like. Nikishagonga ndio kuelewa kinachozungumzwa????
@mwahijalukali2387
@mwahijalukali2387 4 жыл бұрын
Me
@ramadhanindaro6866
@ramadhanindaro6866 4 жыл бұрын
@@jacoblaiser7634 just kuinjoy but ailet maana
@maomacatta9770
@maomacatta9770 3 жыл бұрын
Nadhani like inamaana yake kwa mwenye story pamoja na KZfaq lazima kunafaida anapata
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 3 жыл бұрын
@@maomacatta9770 mawazo potofu
@jamilsalanga4193
@jamilsalanga4193 4 жыл бұрын
Yaaan nkisikia Ananias napata raha kama baraka mpenja tu, , , , , hata ukisimulia habar ya nyani ntapenda tu. Broh uko vzur sana.
@masekezenge4845
@masekezenge4845 13 күн бұрын
Huyu anania Eriger nampenda kwa .historia na sauti yenye mvuto hongera sana mwamba sauti yako haichoshi kusikiliza
@bish_daddiyao
@bish_daddiyao 5 жыл бұрын
Uchambuzi Murwa sana historia kama hii inakupa Mda kufwatilia Uchambuzi Wako Anannias heko💥💜🤞💥
@Manyeisheep
@Manyeisheep 4 жыл бұрын
From Kenya. Guys I watch every video that you post. Not only do u research well,but you also have a good way of.presenting...kiswahili kizuri sana. Update us more on African issues... Thumbs up guys you are the best. 9/10
@hamdanmrisho4606
@hamdanmrisho4606 4 жыл бұрын
Mambo
@johnmmbando5639
@johnmmbando5639 4 жыл бұрын
86
@mwasa.
@mwasa. 3 жыл бұрын
Yeap at least kiswahili simple sio ile ya mashairi
@simonwainaina9238
@simonwainaina9238 Жыл бұрын
😊0
@jokhasaid8666
@jokhasaid8666 Ай бұрын
Jamani kuna watu wana akili saana hapa duniani wengine tupo tu. Kupanga big operation kama hii in few days salute to them. Mkiona watu wanapata mishahara mikubwa mnalalamika anafanya kazi gani. Hii ilitakiwa ipelekwe Hollywood ni bonge la movies na akili nyingi zilizumika . Kudos.
@lucasroswe6544
@lucasroswe6544 5 жыл бұрын
Huyu jamaa asee anajua sana kusimulia! Keep it up bro
@denistarange5580
@denistarange5580 4 жыл бұрын
Dah sauti makini Sana mwandishi makini nakukubali Sana Annanias Edgar's mungu akuogoze utuletee Zaid
@hawaabubakar2619
@hawaabubakar2619 5 жыл бұрын
Wapi sehemu ya pili plz bro i salute u Bro Big up from saudi Arabia
@globaltv_online
@globaltv_online 5 жыл бұрын
kama hujaipata hii hapa: kzfaq.info/get/bejne/pdCqnKaItNe9ooU.html
@christianmarijani104
@christianmarijani104 5 жыл бұрын
Mambo kama haya tuliyamiss sana kwenye lugha ya kiswahili...salute kwenu global online
@abburakkaan5694
@abburakkaan5694 5 жыл бұрын
Big up
@abburakkaan5694
@abburakkaan5694 5 жыл бұрын
Do u have what's up account?
@hawaabubakar2619
@hawaabubakar2619 5 жыл бұрын
Hongera bro unacmuliya kwa makini na upole sauti tisho nzuri xana from saudi Arabia
@josephnjelu4400
@josephnjelu4400 5 жыл бұрын
Baba 0658515267 baba niunge
@paulinapaulina911
@paulinapaulina911 5 жыл бұрын
Kwema ndugu
@harmmatonburangi643
@harmmatonburangi643 4 жыл бұрын
@@paulinapaulina911 sawa
@lazaruskeraro8003
@lazaruskeraro8003 3 жыл бұрын
Mimi nimewapa 10/10 ni vigumu kupata habari zote za kihistoria. Pongezi
@barnabasdioniz8604
@barnabasdioniz8604 3 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii story, nimempenda pia msimuliaji, nimependa sauti yake. Hongera Sana kaka
@amosmahona433
@amosmahona433 4 жыл бұрын
Jamaa unakipaji Sana wahenga wanasema mnyonge mnyongeni haki yake mpeni hadharani
@marykibwana9413
@marykibwana9413 4 жыл бұрын
Ningeulizwa au ningepewa nafasi yakutoa tuzo kwa msomaji bora wa makala za kusisimua hakika nisingemuacha kijana Ananias Edger.Unajua nimesoma creative writing. Hivyo Pamoja na umri wangu kuzidi nusu karne lkn huwa nafuatilia sana makala hizi,
@witnessmoshi8667
@witnessmoshi8667 5 жыл бұрын
Napenda Sana hzi history
@marthamwapongo113
@marthamwapongo113 5 жыл бұрын
Good goody
@matthewwangi2859
@matthewwangi2859 2 жыл бұрын
This is what they should teach in schools to avoid mistakes of our former leaders but governments don't put it in curriculum. That's the accountability of the tax payers money we'll spent💯🤔by Idd Amin and Mwalimu Nyerere.
@abdulrazakyussef3177
@abdulrazakyussef3177 5 жыл бұрын
huyu jamaa anafaa sana kutangaza TBC TV na TBC radio, ana sauti nzuri sana. Laikini mambo mengine kama za kina Lumumba, ''mabeberu'' na maadui wa afrika miaka ya 1960s, naona hajafanya research ya kina kirefu sana na mapana sana. anapapasa macho juu juu tu. Haya mambo yanahitaji udadisi wa hali ya juu sana, siyo tu lawama za hapa na pale, hazisaidii kitu.
@kataninyido962
@kataninyido962 3 жыл бұрын
Ananias edgar una sauti nzuri kama mayayi kwakweli Mungu amekujalia sauti nzuri sana Hongera
@enockyohana6856
@enockyohana6856 5 жыл бұрын
Unavyo simulia kama naona vile bro salut kwako
@kataninyido962
@kataninyido962 3 жыл бұрын
Hongera sana global news TV kwa habari nzuri sana za kihistoria, Mungu awabariki sana maana ni historia inayo tukumbusha ya kale yalio pita na ya sasa yanayo tokea
@ignasamedeus1688
@ignasamedeus1688 3 жыл бұрын
Noma Sana mzee baba wauwe
@ignasamedeus1688
@ignasamedeus1688 3 жыл бұрын
Nakupa big up we no fundi unenifundisha Sana 👏👏👍
@katrinanie9989
@katrinanie9989 Жыл бұрын
I can't get enough of this already watching the 5th time in Sept2022
@clementkivegalo2604
@clementkivegalo2604 5 жыл бұрын
An incredible event the world has ever seen!
@goodluckminja9101
@goodluckminja9101 5 жыл бұрын
Duh! Kumbe East Africa kumewah kuwa na mambo makubwa namna hii
@peterjanuary7972
@peterjanuary7972 2 жыл бұрын
Mmh hii ya moto 🔥🔥🔥 sana
@lauriansimon6805
@lauriansimon6805 4 жыл бұрын
nasikiliza xtory kama vile nipo ktk operation yenyewe yaan daaah saut imetulia hatar ya msimuliaji! big up bro
@herigange5928
@herigange5928 4 жыл бұрын
Daa kaka mm nakumini sana napenda san stori zako nakupa bgp sana kaka
@jamesyohana4848
@jamesyohana4848 4 жыл бұрын
Safi
@nicksonmallya11
@nicksonmallya11 2 ай бұрын
Israel the blessed nation, be blessed more and more
@inocentmarandu3323
@inocentmarandu3323 5 жыл бұрын
Upo vzuri sana
@ndondiafrika249
@ndondiafrika249 4 жыл бұрын
Idd Amin Dada was the true hero of this story
@nahiyahamdan5281
@nahiyahamdan5281 3 жыл бұрын
Sure
@Theunapologeticwildlife
@Theunapologeticwildlife Жыл бұрын
​@@nahiyahamdan5281 hey dear mambo vipi?
@athumanimrope3611
@athumanimrope3611 5 жыл бұрын
Mwenye kuelewa simulizi hizi agonge likes apa, mwenye kumuelewa pia msimuliaji apa twende wote sawah apa likes
@denistarange5580
@denistarange5580 5 жыл бұрын
Aseeee jamaaa uko.vizr mno Tena Sana Sana
@weckajana1310
@weckajana1310 5 жыл бұрын
Naoma part two
@edgarfelix536
@edgarfelix536 5 жыл бұрын
Wajina umesimulia vizuri sana hongera
@patrickwafula3432
@patrickwafula3432 4 жыл бұрын
Sawa sana waisreal Mungu anawapenda
@arunamwaholi1351
@arunamwaholi1351 5 жыл бұрын
History nzur mtangazaji nae yuko vzr sana had naelewa
@mohammedamad6568
@mohammedamad6568 5 жыл бұрын
Wewe ni mtangazaji mzuli sana Na auna papala unapotupasha habari nakukubali sana mzee
@nkwabitz233
@nkwabitz233 5 жыл бұрын
Nakubaliiiiiii sanaaaaa
@kenyaneye4292
@kenyaneye4292 4 жыл бұрын
Kazi nzuri mpangilio mzuri
@zakariafrancis4570
@zakariafrancis4570 5 жыл бұрын
Habari bro edigah kiukweli mungu kakubariki kwa kuimudu kaziii hiii ,sauti nzuri na simulizi yenye moangilio mzuri hongera ,pia naomba nikuulize hivi majuzi umepost simulizi ya kagame chaajabu baada ya dk 30 skuiona tena Hadi leo vp umeifuta kaka
@nashonobura2742
@nashonobura2742 4 жыл бұрын
Anania my best history presenter
@robertmusyimimutuku7040
@robertmusyimimutuku7040 2 жыл бұрын
annanias edger kazi nzuri endelea hivo hivo
@user-jd4xm2cz5s
@user-jd4xm2cz5s 10 ай бұрын
We love you anania unachambua vizuri sana
@issacmmasy1447
@issacmmasy1447 2 жыл бұрын
Dunia imepita watu aisee duh 🙌🙌
@frankbonifas535
@frankbonifas535 4 жыл бұрын
Daah kaka unajua nakukubaligi sana hongera unajua unachokifanya
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 5 жыл бұрын
asante kaz nzur
@nassorabdallahomar1595
@nassorabdallahomar1595 5 жыл бұрын
Mungu amsaidie EDI amino Dada na hakua mkatili EDI amino dàdà
@lacroquetalacroqueta6813
@lacroquetalacroqueta6813 5 жыл бұрын
huyu jamaa anasimulia sawa kama wazungu walivyodanganya ukweli hajasema huyu ni "BIAS" kama wazungu towards people their hate.
@lacroquetalacroqueta6813
@lacroquetalacroqueta6813 5 жыл бұрын
dada never agreed with white people to be a coconut so their had to framing him dont tell us lies, same as 9/11 please stop feeding us white man lies sad telling lies written by white man...shame on you
@linusmagezi8398
@linusmagezi8398 4 жыл бұрын
Kila binadamu ni sawa na mwingine na Mungu anaukumu kila mtu bila kujali rangi,kabila,dini, umri,
@zenamshana6852
@zenamshana6852 3 жыл бұрын
Huyu jamaa anavyoeleza sauti yake inafanania na sauti ya millad Ayo mungu awalinde watangazaji wetu
@user-iu4du7ws6s
@user-iu4du7ws6s 10 ай бұрын
Hii naipenda sana heko Taifa la Mungu
@suzysoraelw2062
@suzysoraelw2062 3 жыл бұрын
Kazi iendelee
@kidbwaytheviper7748
@kidbwaytheviper7748 5 жыл бұрын
Mwana unajua kusimlia tafta season moja tu uwone utpga hela we noma
@carolinecubwa3163
@carolinecubwa3163 5 жыл бұрын
Ananiasi Edgar wewe tunakuaminia Sana we need more from you
@mtayaink8020
@mtayaink8020 4 жыл бұрын
baba uko vizur sichoki kusikiliza ongeza njonjo na vineno vya ucheshi penda sana stor zenu....
@samwelnyambo2647
@samwelnyambo2647 5 жыл бұрын
Uko vizuri kaka
@awadhlema5859
@awadhlema5859 5 жыл бұрын
Fantastic
@mocomoco1836
@mocomoco1836 5 жыл бұрын
Historia ya kwel kabisa hii
@InnocentSteven-om5ok
@InnocentSteven-om5ok 6 ай бұрын
Napenda kujua historia kama hizi
@venstonvedasto
@venstonvedasto 5 жыл бұрын
Mungu banah fundi sana hakupi kila kitu huyu jamaa anajuaaaaa sana kuhadithia youtube excellent bro!! ila sasa muulize kama anajua mbembeleza dem wake 😂😂😂😂😂😂 utashangaa sana
@AnaniasEdgarTV
@AnaniasEdgarTV 5 жыл бұрын
😒😒😁😁
@salmaalimusa547
@salmaalimusa547 4 жыл бұрын
Hahahaha
@tiopherysanga2934
@tiopherysanga2934 4 жыл бұрын
Global tv mpo vizuri
@Maxwel-z9e
@Maxwel-z9e 24 күн бұрын
Asante sana
@athumanomary1438
@athumanomary1438 5 жыл бұрын
Asante sana ndugu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
@manyandatimoth7
@manyandatimoth7 5 жыл бұрын
Jamaa unazisimulia hizi makala vzr sana
@rahabujohn2691
@rahabujohn2691 4 жыл бұрын
Historia nzuri sana party two please
@johnbm1
@johnbm1 5 жыл бұрын
Ananias, part 2 lini kaka maana mqkqla zako nzuli sana aisee..
@globaltv_online
@globaltv_online 5 жыл бұрын
kama bado, tumeshakuwekea hapa: kzfaq.info/get/bejne/pdCqnKaItNe9ooU.html
@athumanjuma2772
@athumanjuma2772 5 жыл бұрын
Bonge la story aisee, kazi nzuri kwa msimulizi
@swagatdebracy2582
@swagatdebracy2582 5 жыл бұрын
Unakosea sana ukisema idd amin field martial sababu cheo hicho hawez pata sifa ya kwanza ya cheo hicho ni uongoze vita na ushinde sasa yeye kapigwa na mwl nyerere kwahiyo hawezi kuwa field martial ,hongera kwa kutupa historia makini bro🙌
@ananiamkasu8847
@ananiamkasu8847 4 жыл бұрын
Sio kushinda tu bali ushinde mara tatu
@hajikihemba5349
@hajikihemba5349 2 жыл бұрын
Amin alijiita Field Martial co kwamba alishinda vita tatu hapana alijiita hivo kwa sifa zake tu ili aonekane yeye ni mwamba maana cheo cha field Martial kule Uingereza anapewa yule mwanajeshi aliyeshinda vita tatu mfululizo
@raharaha1631
@raharaha1631 Жыл бұрын
Nawapongeza kwa stori nzuri
@hammerQ954
@hammerQ954 5 жыл бұрын
Kazi nzuri
@frankleonard5449
@frankleonard5449 5 жыл бұрын
Kaz nzur kk uko vizur unasimulia vizur sn
@rashidchengwi2206
@rashidchengwi2206 2 жыл бұрын
Kazi swafi kutuharisha..
@tallmunyama5250
@tallmunyama5250 3 жыл бұрын
Kama unamkubali gonga like twendee kaxz
@godlistenlucas8213
@godlistenlucas8213 5 жыл бұрын
Hongera sana, leo hujaweka chumvi na yale maneno yako mengi nje ya story yenyewe.
@zablonmlazi4415
@zablonmlazi4415 3 жыл бұрын
Naipenda hii
@klischcafe394
@klischcafe394 5 жыл бұрын
simulizi nzuri sana,nagisikia kama naangali movie. lkn part 2 haipatikani kwenye youtub
@ineffableworldz1837
@ineffableworldz1837 5 жыл бұрын
upo vizur mzee baba
@christmaskasomo1231
@christmaskasomo1231 5 жыл бұрын
Jaman watu wa global, tumesubiri sana muendelezo wa hii makala mpaka tumechoka, mtuwekee tunaham nayoo tutasubiri mpaka lini, au mmesahau kuwa mnaziweka kwaajili yetu,
@combocondo2060
@combocondo2060 5 жыл бұрын
Ni kweli hii story!! Kwa nn abiria ndege ilipotua kutia mafuta hawakugoma kuendelea na safari!!
@calvinminja2923
@calvinminja2923 4 жыл бұрын
@@combocondo2060 Unajua maana ya ndege kutekwa?
@angelinasimchimba705
@angelinasimchimba705 5 жыл бұрын
Swali,walituaje entebe bila kukamatwa au kuonekana na jeshi la IDD amin
@agreytelesphory
@agreytelesphory 5 жыл бұрын
Angelina Simchimba swali nzuri hata Iddi Amin mwenyewe aliwai ulinzwa swali Kama Hilo BBC jibu alilotoa kuwa Lile nitaifa la mungu wakianza pingana Vita vyao aviishi kwahyo aliona nibora asitumie Jeshi kuwazuia Maana awachok kupinga
@jamespatrick33
@jamespatrick33 5 жыл бұрын
jamaa waliweza kutua entebe kwasababu rada za uwanja wande za entebe hazikuweza kutambua kuwa kunandege zimeshuka kwa mdaule na taa za uwanja mzima zilikua zimezimwa
@denistarange5580
@denistarange5580 5 жыл бұрын
Dah
@geraldtarimo7379
@geraldtarimo7379 5 жыл бұрын
We nasimchimba lehaga welele@Israel noma
@moseskiarie9264
@moseskiarie9264 5 жыл бұрын
Miss informed lads...check the entire documented vid for clear information
@romanusdominicus5184
@romanusdominicus5184 5 жыл бұрын
Excellent narration.
@rodneyford88
@rodneyford88 5 жыл бұрын
kazi nzuri sana..hongera saana muandaaji
@marionntomola1686
@marionntomola1686 2 жыл бұрын
I was looking for this history.... thank you.
@immamwangasi2934
@immamwangasi2934 5 жыл бұрын
Kaka umetisha nakubali
@jasirimkombozi4926
@jasirimkombozi4926 5 жыл бұрын
Simulizi kali sana Tafadhali ilete sehemu ya pili.
@EdwardSindayigaya
@EdwardSindayigaya Жыл бұрын
You are really doing a very good job, I love the voice and the language as well
@shaninaftary1693
@shaninaftary1693 4 жыл бұрын
Sauti yako na usimuliaji wako unafanana na Abdallah mtiga wa wasafi tv.
@asterialucas4680
@asterialucas4680 Жыл бұрын
Nimesikiliza simulizi kadhaa kuhusu kisa hiki lakini narudi hapa 2022 kukiri kwamba simulizi hii ndiyo bora kabisa kwangu maana imejitahidi kutoa kila taarifa muhimu.
@abelkabili8474
@abelkabili8474 5 жыл бұрын
Ebanaaa bonge la movie
@khadijamulwale1002
@khadijamulwale1002 5 жыл бұрын
uk vzr bro mm naomb uzungumzie vta ya sku sta ya israel na waarabu
@pastorvincent9851
@pastorvincent9851 5 жыл бұрын
Maitafuta sehemu ya pili siioni tafadhali!! Makala nzuri sana
@marywachira6649
@marywachira6649 10 ай бұрын
Ooh God the version i read was different but now i have heard thanks for the update
@pattykaranja
@pattykaranja 5 жыл бұрын
I must say you have done your research very well
@winfridmligo9802
@winfridmligo9802 5 жыл бұрын
Mwamba umetisha sn
@mr.erickmwacha8575
@mr.erickmwacha8575 5 жыл бұрын
Ananias Edger umetisha. Fanya mpango ulete story ya martin luther king
@alhajkisaka2645
@alhajkisaka2645 4 жыл бұрын
Saf Sana Kaka historia nzur sanaa
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 4 жыл бұрын
Mashaallah..Huchoki kusikiliza.. sauti yako ni nzuri sana. Kwa ukweli.
@benjaminzephaniah4583
@benjaminzephaniah4583 4 жыл бұрын
hongera kwa kujiajili kupitia MB make hidtoria zako hazifiki mwisho ko ni namna Fulani ya kupika pesa
@peterchristopher5216
@peterchristopher5216 5 жыл бұрын
Kazi nzuri, tuharakishie sehemu ya pili, na je sehemu zipo ngapi ? pia kitabu kitatoka lini na ni bei gani ?
@wolframchikomo8873
@wolframchikomo8873 4 жыл бұрын
Mimi NAHISI kama ni hivi kuna UWEZEKANO mkubwa wa kuwa na uhusiano kati ya tukio hili na vita vya Kagera na kunaweza kuwa na SIRI fulani kwenye kapeti ya Ushindi wa Tanzania kwenye vita vile. Kwa hali hii nahisi hakukuwa na busara ya kumuacha Amini aendelee kuwa mtawala wa nchi fulani kwa matendo yake haya. Otherwise, Tutakujaelewa siku ya KIYAMA ikifika
HISTORIA YA OPERATION ENTEBBE(Part 2)
16:38
Global TV Online
Рет қаралды 733 М.
🩷🩵VS👿
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 26 МЛН
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 76 МЛН
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00
JESUS (Swahili: Kenya) 🎬
2:01:45
Jesus Film
Рет қаралды 2,9 МЛН
HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu
26:09
HISTORIA YA CHIFU MKWAWA / WAZUNGU WANAYOIFICHA!
25:56
Global TV Online
Рет қаралды 938 М.
HISTORIA: RAIS Aliyekatwa Masikio Akiwa Hai, Na Yeye Aliwakata Wengine
18:44
TAZAMA MELI YA TAITANIC ILIVYOZAMA NA KUUA MAELFU YA WATU
19:08
Wasafi Media
Рет қаралды 9 МЛН
SHERIA ZA KOREA KASKAZINI ZITAKUACHA MDOMO WAZI
17:01
Global TV Online
Рет қаралды 824 М.
🩷🩵VS👿
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 26 МЛН