HIZI NDIO SIFA ZA KIPEKEE ZA DARAJA LA J.P MAGUFULI "UNAVUKA KWA DK 3 TU, NI PEKEE AFRIKA MASHARIKI"

  Рет қаралды 80,948

Millard Ayo

Millard Ayo

7 ай бұрын

Пікірлер: 125
@MadilishaSimon-sb9kk
@MadilishaSimon-sb9kk 7 ай бұрын
Tulio mbali na nyumbani tunafurahi kuona maendeleo haya❤❤❤
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 7 ай бұрын
Magu ndani ya miaka 5 kafanya makubwa sana Mungu angemueka tukampa miaka 20 Nnchi yetu ingefika mbali Viongozi wetu wa asa ivi kazi yao kuiba tu
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 7 ай бұрын
nikweli ndugu 😢
@timboxlee919
@timboxlee919 7 ай бұрын
Angekuwepo JPM daraja lingekuwa limekwisha, RIP JPM
@Officialvplat
@Officialvplat 7 ай бұрын
Achen kufany imagination
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 7 ай бұрын
Acha ujinga wewe unafili ilo dalaja balabala yavumbi unapitisha katapila namagali yanapita mda uo uo
@ibrahimally8073
@ibrahimally8073 7 ай бұрын
Wewe kichaa wewe.. hata yeye alivyokuwa hai aliambiwa mpaka 2024 mwishoni au 2025 mwanzoni ndio litakamilika.. wewe vp wewe
@letthedeadburythedead2148
@letthedeadburythedead2148 7 ай бұрын
Unaongelea mkunduni wewe
@user-cn9br7en7w
@user-cn9br7en7w 7 ай бұрын
​@@Officialvplatsio imagination ndio speed Hayati Magufuli alikuwa anakwenda nao na ndio ilikuwa mpango ukamilike haraka
@msafiriomary893
@msafiriomary893 7 ай бұрын
JPM angekuwepo pangekuwa pameisha rakin hapo mtajenga miaka kumi kazi kuiba vifaa vingrereza viingiii hakuna kitu
@user-ww5se6br3b
@user-ww5se6br3b 7 ай бұрын
kweli angekuwepo mwamba lingeshaanza kutumika hata treni za sgr zingeshaanza kazi, bahati mbayaa tumerudi awamu ya 4 jamanii
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 7 ай бұрын
We msenge nini JPM ndo kauanzisha tena kwa kasi na saa hizi angekuwa hai kama tayari limemalizika afu unaleta vijineno vyako kwamba ilikuwa asilia 25?? Daah bwege sana wewe
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 7 ай бұрын
kwanza alikuwa amelipa PESA nyingi mno JPM kwenye huo mradi
@didasseveline9013
@didasseveline9013 7 ай бұрын
Kipindi Cha awamu ya 5 mkataba ulikuwa miezi36 lakini!!
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 7 ай бұрын
Magu ameweza kuanzisha mengi yangu madaraja Reli ya kisasa Makao makuu Dodoma Mradi wa umeme mkubwa nk l ❤❤your job RIP
@ubuntubantu2404
@ubuntubantu2404 7 ай бұрын
JPM asante
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 7 ай бұрын
Angekuwepo MAGUFULI lingeishaisha
@shelyboyshely2928
@shelyboyshely2928 7 ай бұрын
Mungu ampumzishe mahali pema rais wangu mpendwa wangu
@onestkasmir4297
@onestkasmir4297 7 ай бұрын
inanichoma kama mkuki nkiona kitu kama hichi alaf leo kuna vigugula wanasema hawakuona magu alichofanya
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 7 ай бұрын
Hawanaga shukurani hao waisilamu
@onestkasmir4297
@onestkasmir4297 7 ай бұрын
Oooh hata wasipo shukuru masta kuna vitu ukivitengeneza lazma watu wakukumbuke hata wasipo kuwa hawa waliopo maana nmeona hataha mh kusafiri hataki kutaja j anasema mtangulizi wang 😁 ukimtaja to watu wanaumia
@onestkasmir4297
@onestkasmir4297 7 ай бұрын
Oooh hata wasipo shukuru masta kuna vitu ukivitengeneza lazma watu wakukumbuke hata wasipo kuwa hawa waliopo maana nmeona hataha mh kusafiri hataki kutaja j anasema mtangulizi wang 😁 ukimtaja to watu wanaumia
@toymadebho7048
@toymadebho7048 Ай бұрын
kwel kbs
@elidiustudoy2640
@elidiustudoy2640 7 ай бұрын
R.I.P MAGUFULI SASA NAONA nitakuwa natoka Zzoo naenda bukoba. Kusalimia bi mkubwa KWA basketball 🙏🙏😅😅😅
@allyselemani785
@allyselemani785 7 ай бұрын
Yaani umejawa na furaha mbaka umekosea kuandika😁😁😁😁baada ya baiskeri umeandika basketball,RIP magu
@frankymagatory1338
@frankymagatory1338 7 ай бұрын
Daraj la sarenda bridges na kigambon hayafati kwa mrad huuu mwanza is going to shine🎉🎉
@mkemia_magege5816
@mkemia_magege5816 7 ай бұрын
Sio zitalipwa wewe, rekebisha kauli. Magufuli alishatoa mpunga mapema tena mpunga wote na akatamka adhalani na lengo la kutoa pesa hizo alizisema wazi kuwa anataka Mkandarasi hasiwe na sababu sababu na aliwataka wamalize mapema. Msilete mambo ya ubabaishaji hapa wa kumkandya mzee wetu Magufuli. Hapo Samia anakujaje sasa.
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 7 ай бұрын
nikweli hata kunasiku samia aliropoka kwenye hutuba yake akasema miradi yote magu aliacha kailipia sema wezi wanaiba sasahivi wanasingizia miradi napesa zimeibiwa sana wakat wa msiba hadi leo bado wanaiba tu alisharopoka samia kasema mtangulizi wake aliacha kalipia miradi yote hakuna mradi unao daiwa pesa ila sikuhiz utasikia billion mia 700 imelipwa fidia ya kuchelewesha kulipia mradi wakat ilishalipiwa wanaiba kweli hadi wanajisifu bungeni kua pesa nyingi zinaibiwa na kupelekwa inje
@joshuajofrey9832
@joshuajofrey9832 7 ай бұрын
Wizi ni mkubwa wa fedha za watanzania na miradi haikamiliki kwa wakati majizi nyie😮
@issabilali3539
@issabilali3539 7 ай бұрын
JPM haujafa mioyoni mwetu❤
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 7 ай бұрын
😢😢 JPM
@oscarkomba7258
@oscarkomba7258 7 ай бұрын
😢
@user-xx8jx6tb7d
@user-xx8jx6tb7d 7 ай бұрын
Jaman polen mimi hapa nasoma tu comment na kuchek Maana zpo za kuchekesha na zakuskitsha
@bongohackss
@bongohackss 4 күн бұрын
We miss JPMagufuli, tungekuwa mbali kupita kawaida
@omarysaid8725
@omarysaid8725 7 ай бұрын
Mchina noma aisee kitu kimesimama ndani ya maji
@josephvenus3259
@josephvenus3259 7 ай бұрын
JPM WE STILL REMEMBER 😭😭😭
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 7 ай бұрын
Magufuli alikuwa jembe sana.angelikuwa hai lingekuwa limeisha
@Aida-qh3jq
@Aida-qh3jq 7 ай бұрын
Hawana jipya mungu anawaona
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 7 ай бұрын
KAZI ya MAGUFULI mseme sasa nyie ndo mmejenga
@mimiraia2531
@mimiraia2531 7 ай бұрын
VITUKO tu; eti ameupa nguvu, aliukuta uko 25%. Hivi bwana msemaji, angekuwepo YEYE MWENYEWE ALIYEANZISHA UJENZI HUU, angeshidwa kuutekeleza?? KILA KITU MNALETA MISIASA MISIASA
@bakariamour1024
@bakariamour1024 7 ай бұрын
Kwa iyo wewe ulitaka wasemaje ikiwa ukweli ulikuwa 25% acheni kubeza nyinyi ,
@bongo39
@bongo39 7 ай бұрын
Hizo taa wala msioate gharama kuziweka kwakuwa tushaona huko nyuma daraja la kigamboni taa zipo ila haziwashwi hali kadhalika daraja la tanzanite pia ni hivyhivyo bora gharsma za hidontaa mtoe ili mpeleke ktk madarasa au afya hatuoni faida yake na wahusika wanaliona hilo ila wamefunga midomo basi kama ni gharama kuwasha taa kwa umeme wa tanesco tumieni solar umeme wa mungu wa bure kabisa tunaomba lifanyiwe kazi hili jambo
@user-cn9br7en7w
@user-cn9br7en7w 7 ай бұрын
Ww ni mmoja wa wasio penda maendeleo unatoa sababu za kijinga ety msiweke taa hizo gharama mpeleke kwenye madarasa kwani huoni pesa kiasi gani zimepelekwa na kwa ukubwa wa barabara na ukisasa unataka pawe giza??
@user-cn9br7en7w
@user-cn9br7en7w 7 ай бұрын
Ukiendelea na fikra zako hizo nchi haifatafanya maendeleo maana huwezi kujenga madarsa ya kutosheleza kabisa nchi nzima lazima pesa ziende kwe maendeleo mengine ili zirudi na faida kufanya maendeleo mengine tumia akili usiropoke tuu
@sagulesalehe6203
@sagulesalehe6203 7 ай бұрын
Kweli kabisa
@AmanduceFesto-nb6kh
@AmanduceFesto-nb6kh 7 ай бұрын
Mwamba jpm shm alpo MUNGU amrehem
@elibaricksadock9562
@elibaricksadock9562 7 ай бұрын
Hio Yote ni juhudi za hayati Magufuli bila anko magu lisingekuepo Wala wasinge Jenga 😂
@user-ct4jp1ux1z
@user-ct4jp1ux1z 7 ай бұрын
Ni kweli kabisa yeye ndiye muasisi wa jambo hili aliona wananchi wanapata taabu akaamua pesa ziende zikafanye kazi hiyo siyo sasa hivi pesa inaliwa tu na watu hawachukuliwi hatua
@elibaricksadock9562
@elibaricksadock9562 7 ай бұрын
Nkweli kbisa wee unazani angikua bado yupo ilo daraja lingekua halijakwisha mpka sasa hakuna kama yule mwamba
@timboxlee919
@timboxlee919 7 ай бұрын
Hili daraja wamelifanya la kisiasa,limechelewa kumalizika, RIP JPM
@barikimollel7890
@barikimollel7890 7 ай бұрын
RIP Magufuli😢😢😢
@msafiriomary893
@msafiriomary893 7 ай бұрын
Hawaja uza nondo kwer tusje tumbukia maana saizi kra mtu anajipigia arpo
@rashidmakame7068
@rashidmakame7068 7 ай бұрын
Kuhusu daraja sawa Ila kuhusu barabara za kuingia mkoa wa mwanza kwa pande zote mwanza haina barabara na meneja wa TANROAD yupo?hii ni aibu
@servantofalmightygoddranth2511
@servantofalmightygoddranth2511 7 ай бұрын
JPM alikuwa ni mtu na robo tatu
@damianmakala2913
@damianmakala2913 7 ай бұрын
Tunaomba pia serikali ijenge barabara ya kutoka mjini kupitia mkolani , buhongwa usagara mpaka darajani iwe njia nne hii itasaidia kuondoa foleni katika njia hiyo
@toymadebho7048
@toymadebho7048 Ай бұрын
halijaisha tu kwn mpk sasa😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go 7 ай бұрын
Hongera mama Samia kazi iendelee ❤
@edwardomodest9297
@edwardomodest9297 7 ай бұрын
Khaaaaa
@elizalutiga6287
@elizalutiga6287 7 ай бұрын
Magu alale tu kwa Amani alifanya mengi
@edwingideon3606
@edwingideon3606 7 ай бұрын
R.I.P Magufuli
@drgeofreykupaza7707
@drgeofreykupaza7707 6 ай бұрын
ANGEKUWEPO INGEKUWA IMEISHA
@kambamazig02024
@kambamazig02024 2 ай бұрын
Meli inapita kwenda wapi tena huko Mwanza Gulf, watu hawaangalii geografia nini?
@FaridaAlita-jx6lt
@FaridaAlita-jx6lt 6 ай бұрын
Safi sana
@juniorwiseprophet1240
@juniorwiseprophet1240 7 ай бұрын
Asanteni
@SuleAmber-lw2tx
@SuleAmber-lw2tx 7 ай бұрын
Inabd mwez wa12 nikatembee Mwanza jmn❤
@MadilishaSimon-sb9kk
@MadilishaSimon-sb9kk 7 ай бұрын
Mie mwenyewe nimeanza kutamani kurudi mwanza
@SuleAmber-lw2tx
@SuleAmber-lw2tx 7 ай бұрын
@@MadilishaSimon-sb9kk Me nmewah kufka mara 1 tu 2020 mwez wa 12 lazma niende kutembea tena mm naish Dom
@maskatiglobaltv
@maskatiglobaltv 7 ай бұрын
KAZI iendeleee
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 7 ай бұрын
Angekuwepo yy ungekuwa lilitosha sku mingi sana
@onekisstv8412
@onekisstv8412 7 ай бұрын
Darja alijakamilika mpka leo Duuuuhh
@masudymanju6062
@masudymanju6062 7 ай бұрын
Magufuli Alikuwa ni Raisi bora ukipinga shauli yako
@user-oe8ee5tw7l
@user-oe8ee5tw7l 7 ай бұрын
20, 18 ndio nini Nyooka mjomba
@Ibrah287
@Ibrah287 4 ай бұрын
Acheni siasa fanyeni kazi daraja likamilike.. regardless nani kaanzisha mradi au nani anasimamia kwa sasa, wajibikeni siasa mziweke pembeni!
@MasungaMasaka
@MasungaMasaka 7 ай бұрын
Mungu amsaidie tu hii yaan hakuna rais atakae kuwa Kama jpm dunian ha
@user-yy9jp3ll8p
@user-yy9jp3ll8p 7 ай бұрын
Shida mnapenda kuongeza chumvi et kuvuka apo ni masaa mawili jaman as if hatupajui apo au hatujawah kuvuka apo wakat kuvuka apo ni dk 30 mpka 45 mwisho😂😂😂ila siasa jaman 😢
@tato8979
@tato8979 7 ай бұрын
Kazi nzuri 🎉
@MuemedeManinga
@MuemedeManinga 7 ай бұрын
Daraja Hilo ni bala
@candidoderosa
@candidoderosa 7 ай бұрын
Watu ni wakatili sana. 😢
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 7 ай бұрын
Ila pia mama samia wewe nijembe kuendeleza kazi ambayo hukuianza ni ngumu sanaaaa ngumu mnooo yani ni ngumu sana mama nakuunga mkono sana ila japo kuna watendaji wako wanaenda tofauti na matakwa yako lakini naamin wataumbuka siku moja tu
@allysalum-nd5fd
@allysalum-nd5fd 7 ай бұрын
Hili pia lilikua liitwe daraja la nyerere muasisi
@msafiriomary893
@msafiriomary893 7 ай бұрын
Hvi mpaka reo wanajenga duuuuuuuuuuu mpaka reo hariiishi tuuuu
@mirajimwango5763
@mirajimwango5763 7 ай бұрын
HAO JAMAA WANAITWA CCECC NDO WALIJENGA UBUNGO, NI WACHINA WA MOTO
@aloycesteven5998
@aloycesteven5998 7 ай бұрын
Daraja bado halijaisha hilo
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 6 ай бұрын
Asiyemkumbuka magufuli atakua na kichaa chake japo mwamba alikua hataki ujinga ujinga
@omarysaid8725
@omarysaid8725 7 ай бұрын
Hapo kwenye njia ya waenda kwa miguu haitakuwa na maana maana kama nawaona ndugu zangu bodaboda kwenye hizo njia za waenda kwa miguu
@Africanempire-hi2zx
@Africanempire-hi2zx 7 ай бұрын
😂😂😂
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 7 ай бұрын
Nachukia kwa ucheleweshaji
@r14kgroup68
@r14kgroup68 7 ай бұрын
Ameishi mda.mfupi lakini ameweka.kumbukumbu ya daima
@edwardomodest9297
@edwardomodest9297 7 ай бұрын
Rudiiiiii JPM. Rudi tu.
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 3 ай бұрын
Magufuli aliacha amelipa pesa yote tunawadai kazi
@rasheedabby2871
@rasheedabby2871 7 ай бұрын
B700 hela itarud?!
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 7 ай бұрын
Ni kweli Watanzania wengi mnasema ni Kazi ya Magufuli ila ukweli ni Kazi nzuri iliyofanya na Chama cha Mapinduzi kupitia Ilani ya Uchaguzi katika kuleta Maendeleo Nchini. Kidumu Chama cha Mapinduzi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@emmanuelmkama3000
@emmanuelmkama3000 7 ай бұрын
Hili Daraja, Reli ya SGR na mengi tu hayakuwa kwenye ilani ya awamu yeyote ile kutokana na gharama ambazo watangulizi wake waliukwepa kabisa. Hata kina Nape walikiri hivyo. Kongole JPM.
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 7 ай бұрын
Usituambukize ujinga
@abrahamkibona7038
@abrahamkibona7038 7 ай бұрын
Chama kipi kwani tangu mwanzo hakikuwepo? Magu woyee?
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 7 ай бұрын
Ulisema chama.chama kilikuwepo tangu uhuru kwanini ifanyike ktk utawala wake. Chama kilikuwe tangu uhuru marais wangapi walipita bila kugundua hilo? Lazima asifiwe magufuli cy chama.chqma mbona kipo halafu hakifanyi mambo mapya hata yazamani hayakamiliki?
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 7 ай бұрын
Kama unabisha siyo magufuli mbona hayupo hayafanyiki tena? Magufuli ameondoka na chama? Au ameondoka na ilani ya chama chamapinduzi?
@judithkirenga9977
@judithkirenga9977 7 ай бұрын
Mama anafanya kazi ila ufuatiliaji ndio unao tuangusha kipindi cha JPM ilikua ni ngumu ufike site uskute watu wanafanya kazi these days watu wanafanya kazi kwa mazoea
@mugishamajeba9628
@mugishamajeba9628 7 ай бұрын
Maputo mambo
@Tanganyikatv965
@Tanganyikatv965 7 ай бұрын
Salamanga katembe
@tomsijohni
@tomsijohni 7 ай бұрын
hilo daraja kuja kuisha lote nguzo za mwanzoni zita kua zimeoza 😂😂😂
EXCLUSIVE: UKWELI KUHUSU DARAJA LA MITI LA MILIONI 31 MOROGORO
17:49
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 34 МЛН
Haha😂 Power💪 #trending #funny #viral #shorts
00:18
Reaction Station TV
Рет қаралды 15 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 7 МЛН
Must-have gadget for every toilet! 🤩 #gadget
00:27
GiGaZoom
Рет қаралды 11 МЛН
Most Useless Megaprojects in the World
16:31
MegaBuilds
Рет қаралды 48 МЛН
Visa Conspiracy: Visa fraud at the US Embassy in Nairobi
34:15
KTN News Kenya
Рет қаралды 301 М.
How to win a argument
9:28
ajaxkmr
Рет қаралды 247 М.
Ship Building in Kenya: The Kenya Shipyard Limited's Journey
6:24
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 34 МЛН