Wewe kichaa wewe.. hata yeye alivyokuwa hai aliambiwa mpaka 2024 mwishoni au 2025 mwanzoni ndio litakamilika.. wewe vp wewe
@letthedeadburythedead21487 ай бұрын
Unaongelea mkunduni wewe
@user-cn9br7en7w7 ай бұрын
@@Officialvplatsio imagination ndio speed Hayati Magufuli alikuwa anakwenda nao na ndio ilikuwa mpango ukamilike haraka
@msafiriomary8937 ай бұрын
JPM angekuwepo pangekuwa pameisha rakin hapo mtajenga miaka kumi kazi kuiba vifaa vingrereza viingiii hakuna kitu
@user-ww5se6br3b7 ай бұрын
kweli angekuwepo mwamba lingeshaanza kutumika hata treni za sgr zingeshaanza kazi, bahati mbayaa tumerudi awamu ya 4 jamanii
@MrTop-wj7no7 ай бұрын
We msenge nini JPM ndo kauanzisha tena kwa kasi na saa hizi angekuwa hai kama tayari limemalizika afu unaleta vijineno vyako kwamba ilikuwa asilia 25?? Daah bwege sana wewe
@shijandobehe49537 ай бұрын
kwanza alikuwa amelipa PESA nyingi mno JPM kwenye huo mradi
@didasseveline90137 ай бұрын
Kipindi Cha awamu ya 5 mkataba ulikuwa miezi36 lakini!!
@MatronaThomas-wz5si7 ай бұрын
Magu ameweza kuanzisha mengi yangu madaraja Reli ya kisasa Makao makuu Dodoma Mradi wa umeme mkubwa nk l ❤❤your job RIP
@ubuntubantu24047 ай бұрын
JPM asante
@MACHOYATAI-jk6fu7 ай бұрын
Angekuwepo MAGUFULI lingeishaisha
@shelyboyshely29287 ай бұрын
Mungu ampumzishe mahali pema rais wangu mpendwa wangu
@onestkasmir42977 ай бұрын
inanichoma kama mkuki nkiona kitu kama hichi alaf leo kuna vigugula wanasema hawakuona magu alichofanya
@MACHOYATAI-jk6fu7 ай бұрын
Hawanaga shukurani hao waisilamu
@onestkasmir42977 ай бұрын
Oooh hata wasipo shukuru masta kuna vitu ukivitengeneza lazma watu wakukumbuke hata wasipo kuwa hawa waliopo maana nmeona hataha mh kusafiri hataki kutaja j anasema mtangulizi wang 😁 ukimtaja to watu wanaumia
@onestkasmir42977 ай бұрын
Oooh hata wasipo shukuru masta kuna vitu ukivitengeneza lazma watu wakukumbuke hata wasipo kuwa hawa waliopo maana nmeona hataha mh kusafiri hataki kutaja j anasema mtangulizi wang 😁 ukimtaja to watu wanaumia
@toymadebho7048Ай бұрын
kwel kbs
@elidiustudoy26407 ай бұрын
R.I.P MAGUFULI SASA NAONA nitakuwa natoka Zzoo naenda bukoba. Kusalimia bi mkubwa KWA basketball 🙏🙏😅😅😅
@allyselemani7857 ай бұрын
Yaani umejawa na furaha mbaka umekosea kuandika😁😁😁😁baada ya baiskeri umeandika basketball,RIP magu
@frankymagatory13387 ай бұрын
Daraj la sarenda bridges na kigambon hayafati kwa mrad huuu mwanza is going to shine🎉🎉
@mkemia_magege58167 ай бұрын
Sio zitalipwa wewe, rekebisha kauli. Magufuli alishatoa mpunga mapema tena mpunga wote na akatamka adhalani na lengo la kutoa pesa hizo alizisema wazi kuwa anataka Mkandarasi hasiwe na sababu sababu na aliwataka wamalize mapema. Msilete mambo ya ubabaishaji hapa wa kumkandya mzee wetu Magufuli. Hapo Samia anakujaje sasa.
@aishaalbalushaishabalush82917 ай бұрын
nikweli hata kunasiku samia aliropoka kwenye hutuba yake akasema miradi yote magu aliacha kailipia sema wezi wanaiba sasahivi wanasingizia miradi napesa zimeibiwa sana wakat wa msiba hadi leo bado wanaiba tu alisharopoka samia kasema mtangulizi wake aliacha kalipia miradi yote hakuna mradi unao daiwa pesa ila sikuhiz utasikia billion mia 700 imelipwa fidia ya kuchelewesha kulipia mradi wakat ilishalipiwa wanaiba kweli hadi wanajisifu bungeni kua pesa nyingi zinaibiwa na kupelekwa inje
@joshuajofrey98327 ай бұрын
Wizi ni mkubwa wa fedha za watanzania na miradi haikamiliki kwa wakati majizi nyie😮
@issabilali35397 ай бұрын
JPM haujafa mioyoni mwetu❤
@salimalaquimane30777 ай бұрын
😢😢 JPM
@oscarkomba72587 ай бұрын
😢
@user-xx8jx6tb7d7 ай бұрын
Jaman polen mimi hapa nasoma tu comment na kuchek Maana zpo za kuchekesha na zakuskitsha
@bongohackss4 күн бұрын
We miss JPMagufuli, tungekuwa mbali kupita kawaida
@omarysaid87257 ай бұрын
Mchina noma aisee kitu kimesimama ndani ya maji
@josephvenus32597 ай бұрын
JPM WE STILL REMEMBER 😭😭😭
@emmanuelmlowe-ew7gx7 ай бұрын
Magufuli alikuwa jembe sana.angelikuwa hai lingekuwa limeisha
@Aida-qh3jq7 ай бұрын
Hawana jipya mungu anawaona
@MACHOYATAI-jk6fu7 ай бұрын
KAZI ya MAGUFULI mseme sasa nyie ndo mmejenga
@mimiraia25317 ай бұрын
VITUKO tu; eti ameupa nguvu, aliukuta uko 25%. Hivi bwana msemaji, angekuwepo YEYE MWENYEWE ALIYEANZISHA UJENZI HUU, angeshidwa kuutekeleza?? KILA KITU MNALETA MISIASA MISIASA
@bakariamour10247 ай бұрын
Kwa iyo wewe ulitaka wasemaje ikiwa ukweli ulikuwa 25% acheni kubeza nyinyi ,
@bongo397 ай бұрын
Hizo taa wala msioate gharama kuziweka kwakuwa tushaona huko nyuma daraja la kigamboni taa zipo ila haziwashwi hali kadhalika daraja la tanzanite pia ni hivyhivyo bora gharsma za hidontaa mtoe ili mpeleke ktk madarasa au afya hatuoni faida yake na wahusika wanaliona hilo ila wamefunga midomo basi kama ni gharama kuwasha taa kwa umeme wa tanesco tumieni solar umeme wa mungu wa bure kabisa tunaomba lifanyiwe kazi hili jambo
@user-cn9br7en7w7 ай бұрын
Ww ni mmoja wa wasio penda maendeleo unatoa sababu za kijinga ety msiweke taa hizo gharama mpeleke kwenye madarasa kwani huoni pesa kiasi gani zimepelekwa na kwa ukubwa wa barabara na ukisasa unataka pawe giza??
@user-cn9br7en7w7 ай бұрын
Ukiendelea na fikra zako hizo nchi haifatafanya maendeleo maana huwezi kujenga madarsa ya kutosheleza kabisa nchi nzima lazima pesa ziende kwe maendeleo mengine ili zirudi na faida kufanya maendeleo mengine tumia akili usiropoke tuu
@sagulesalehe62037 ай бұрын
Kweli kabisa
@AmanduceFesto-nb6kh7 ай бұрын
Mwamba jpm shm alpo MUNGU amrehem
@elibaricksadock95627 ай бұрын
Hio Yote ni juhudi za hayati Magufuli bila anko magu lisingekuepo Wala wasinge Jenga 😂
@user-ct4jp1ux1z7 ай бұрын
Ni kweli kabisa yeye ndiye muasisi wa jambo hili aliona wananchi wanapata taabu akaamua pesa ziende zikafanye kazi hiyo siyo sasa hivi pesa inaliwa tu na watu hawachukuliwi hatua
@elibaricksadock95627 ай бұрын
Nkweli kbisa wee unazani angikua bado yupo ilo daraja lingekua halijakwisha mpka sasa hakuna kama yule mwamba
@timboxlee9197 ай бұрын
Hili daraja wamelifanya la kisiasa,limechelewa kumalizika, RIP JPM
@barikimollel78907 ай бұрын
RIP Magufuli😢😢😢
@msafiriomary8937 ай бұрын
Hawaja uza nondo kwer tusje tumbukia maana saizi kra mtu anajipigia arpo
@rashidmakame70687 ай бұрын
Kuhusu daraja sawa Ila kuhusu barabara za kuingia mkoa wa mwanza kwa pande zote mwanza haina barabara na meneja wa TANROAD yupo?hii ni aibu
@servantofalmightygoddranth25117 ай бұрын
JPM alikuwa ni mtu na robo tatu
@damianmakala29137 ай бұрын
Tunaomba pia serikali ijenge barabara ya kutoka mjini kupitia mkolani , buhongwa usagara mpaka darajani iwe njia nne hii itasaidia kuondoa foleni katika njia hiyo
@toymadebho7048Ай бұрын
halijaisha tu kwn mpk sasa😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@OmerSuley-gl7go7 ай бұрын
Hongera mama Samia kazi iendelee ❤
@edwardomodest92977 ай бұрын
Khaaaaa
@elizalutiga62877 ай бұрын
Magu alale tu kwa Amani alifanya mengi
@edwingideon36067 ай бұрын
R.I.P Magufuli
@drgeofreykupaza77076 ай бұрын
ANGEKUWEPO INGEKUWA IMEISHA
@kambamazig020242 ай бұрын
Meli inapita kwenda wapi tena huko Mwanza Gulf, watu hawaangalii geografia nini?
@FaridaAlita-jx6lt6 ай бұрын
Safi sana
@juniorwiseprophet12407 ай бұрын
Asanteni
@SuleAmber-lw2tx7 ай бұрын
Inabd mwez wa12 nikatembee Mwanza jmn❤
@MadilishaSimon-sb9kk7 ай бұрын
Mie mwenyewe nimeanza kutamani kurudi mwanza
@SuleAmber-lw2tx7 ай бұрын
@@MadilishaSimon-sb9kk Me nmewah kufka mara 1 tu 2020 mwez wa 12 lazma niende kutembea tena mm naish Dom
@maskatiglobaltv7 ай бұрын
KAZI iendeleee
@emmanuelmlowe-ew7gx7 ай бұрын
Angekuwepo yy ungekuwa lilitosha sku mingi sana
@onekisstv84127 ай бұрын
Darja alijakamilika mpka leo Duuuuhh
@masudymanju60627 ай бұрын
Magufuli Alikuwa ni Raisi bora ukipinga shauli yako
@user-oe8ee5tw7l7 ай бұрын
20, 18 ndio nini Nyooka mjomba
@Ibrah2874 ай бұрын
Acheni siasa fanyeni kazi daraja likamilike.. regardless nani kaanzisha mradi au nani anasimamia kwa sasa, wajibikeni siasa mziweke pembeni!
@MasungaMasaka7 ай бұрын
Mungu amsaidie tu hii yaan hakuna rais atakae kuwa Kama jpm dunian ha
@user-yy9jp3ll8p7 ай бұрын
Shida mnapenda kuongeza chumvi et kuvuka apo ni masaa mawili jaman as if hatupajui apo au hatujawah kuvuka apo wakat kuvuka apo ni dk 30 mpka 45 mwisho😂😂😂ila siasa jaman 😢
@tato89797 ай бұрын
Kazi nzuri 🎉
@MuemedeManinga7 ай бұрын
Daraja Hilo ni bala
@candidoderosa7 ай бұрын
Watu ni wakatili sana. 😢
@lovenessvisent94087 ай бұрын
Ila pia mama samia wewe nijembe kuendeleza kazi ambayo hukuianza ni ngumu sanaaaa ngumu mnooo yani ni ngumu sana mama nakuunga mkono sana ila japo kuna watendaji wako wanaenda tofauti na matakwa yako lakini naamin wataumbuka siku moja tu
@allysalum-nd5fd7 ай бұрын
Hili pia lilikua liitwe daraja la nyerere muasisi
@msafiriomary8937 ай бұрын
Hvi mpaka reo wanajenga duuuuuuuuuuu mpaka reo hariiishi tuuuu
@mirajimwango57637 ай бұрын
HAO JAMAA WANAITWA CCECC NDO WALIJENGA UBUNGO, NI WACHINA WA MOTO
@aloycesteven59987 ай бұрын
Daraja bado halijaisha hilo
@mussakimaro55886 ай бұрын
Asiyemkumbuka magufuli atakua na kichaa chake japo mwamba alikua hataki ujinga ujinga
@omarysaid87257 ай бұрын
Hapo kwenye njia ya waenda kwa miguu haitakuwa na maana maana kama nawaona ndugu zangu bodaboda kwenye hizo njia za waenda kwa miguu
@Africanempire-hi2zx7 ай бұрын
😂😂😂
@lovenessvisent94087 ай бұрын
Nachukia kwa ucheleweshaji
@r14kgroup687 ай бұрын
Ameishi mda.mfupi lakini ameweka.kumbukumbu ya daima
@edwardomodest92977 ай бұрын
Rudiiiiii JPM. Rudi tu.
@lameckbalekere19623 ай бұрын
Magufuli aliacha amelipa pesa yote tunawadai kazi
@rasheedabby28717 ай бұрын
B700 hela itarud?!
@Hillary_Daudi_Mrema7 ай бұрын
Ni kweli Watanzania wengi mnasema ni Kazi ya Magufuli ila ukweli ni Kazi nzuri iliyofanya na Chama cha Mapinduzi kupitia Ilani ya Uchaguzi katika kuleta Maendeleo Nchini. Kidumu Chama cha Mapinduzi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@emmanuelmkama30007 ай бұрын
Hili Daraja, Reli ya SGR na mengi tu hayakuwa kwenye ilani ya awamu yeyote ile kutokana na gharama ambazo watangulizi wake waliukwepa kabisa. Hata kina Nape walikiri hivyo. Kongole JPM.
@MACHOYATAI-jk6fu7 ай бұрын
Usituambukize ujinga
@abrahamkibona70387 ай бұрын
Chama kipi kwani tangu mwanzo hakikuwepo? Magu woyee?
@emmanuelmlowe-ew7gx7 ай бұрын
Ulisema chama.chama kilikuwepo tangu uhuru kwanini ifanyike ktk utawala wake. Chama kilikuwe tangu uhuru marais wangapi walipita bila kugundua hilo? Lazima asifiwe magufuli cy chama.chqma mbona kipo halafu hakifanyi mambo mapya hata yazamani hayakamiliki?
@emmanuelmlowe-ew7gx7 ай бұрын
Kama unabisha siyo magufuli mbona hayupo hayafanyiki tena? Magufuli ameondoka na chama? Au ameondoka na ilani ya chama chamapinduzi?
@judithkirenga99777 ай бұрын
Mama anafanya kazi ila ufuatiliaji ndio unao tuangusha kipindi cha JPM ilikua ni ngumu ufike site uskute watu wanafanya kazi these days watu wanafanya kazi kwa mazoea
@mugishamajeba96287 ай бұрын
Maputo mambo
@Tanganyikatv9657 ай бұрын
Salamanga katembe
@tomsijohni7 ай бұрын
hilo daraja kuja kuisha lote nguzo za mwanzoni zita kua zimeoza 😂😂😂