Рет қаралды 8,068
Hospitali ya taifa Muhimbili Mloganzila imeanza rasmi kutoa matibabu ya kisasa ya kuvunja mawe kwenye figo na kwenye njia ya haja ndogo kwa kutumia mawimbi mshtuko tofauti na ilivyokuwa awali ambapo watu wanaosumbuliwa na maradhi hayo walipaswa kufanyiwa upasuaji mkubwa.
#AzamTVUpdates
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz