NAPE ATINGA IKULU/AMUOMBA MSAMAHA RAIS MAGUFULI.

  Рет қаралды 68,574

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

4 жыл бұрын

Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amekutana na kumuomba radhi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kufuatia kuhusika kwake katika mazungumzo yasiyofaa dhidi ya Mhe. Rais Magufuli.

Пікірлер: 53
@user-xn3gs9qc8u
@user-xn3gs9qc8u 7 күн бұрын
Mungu ni mwema mh Nape kutenguliwa maana ki ukweli moyo wangu ulikuwa unaniuma kuona alivyomtukana Rais Magufuli akatenguliwa akaomba msamaha na akakubaliwa msamaha then baada ya Magufuli kufariki akaanza kumkebei kisa katangulia mbele ya haki 😢 hata uislaam unakataza kumsema vibaya maiti ila kwa mwamba huyu haikuwa ivyo Asante sana mh Rais Samia .
@simonmtuka8473
@simonmtuka8473 4 жыл бұрын
Mungu ni mwema tunashukuru kuona viongozi wetu wakisameheana kwa ajili ya taifa letu
@florakankutebe3987
@florakankutebe3987 4 жыл бұрын
Safi sana, endelea kusamehe tu. Mungu akuzidishie moyo wa iman!
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 4 ай бұрын
Mzee magu mcha Mungu kweli Kuna kitu kitakuja tokea Tz hii
@borahmlamba5030
@borahmlamba5030 4 жыл бұрын
Dah Kweli we ni Rais wa mfano, mungu akubariki na mungu akulinde, nawewe Nape uache kufuata mkumbo fanya kazi acha kufuata mkumbo.
@robertmwamboneke8295
@robertmwamboneke8295 4 жыл бұрын
Asante sana baba wa taifa letu unanipa jeuri sana mimi, yakuona fahari kuwa mtanzani na kuongozwa na rais mzalendo kama wewe big up my president 👏👏🙏
@joycejoseph8632
@joycejoseph8632 4 жыл бұрын
Amejua 2020 mambo yanawez kuwa tofauti akose ubunge
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Baada ya kumtukana MHE magufuli na sauti zao zilisikilizwa sasa amekwenda kumuomba msamaha mhuu ndiyo hivyo mtoto akinyea mkono huukati ahsante sana MHE Rais magufuli
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 8 күн бұрын
Mungu akulaze mahali pema peponi laanq imeshamtafuna hata kama alikuomba msamaha kukuita mshamba mama kamrudisha naye alikuwa anamsaliti inshallah mungu katoa jibu
@husnmjuba4978
@husnmjuba4978 8 күн бұрын
“Eti unless yeye labda badae akengeuke!” Nitajitahidi sana kuheshimu kauli za wazazi.
@celestinshayo7295
@celestinshayo7295 Жыл бұрын
Huyu mnafiki hakuomba msamaha kutoka moyoni sasa hivi ameshakengeuka anakutukana sababu anajua huwezi kumfanya kitu tena. Ila wewe kama ulimsamehe kwa dhati kutoka moyoni basi hata Mungu ameshakusamehe ana amekupokea kwake upumzike kwa amani.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 жыл бұрын
Kenyatta wa Kenya pia ana moyo mzuri mno..Mungu Alimjalia sana roho ya msamaha na upendo
@erickmush7157
@erickmush7157 4 жыл бұрын
dah kwakwel rais wetu ni mtu wa watu hongera baba
@solomonmpuluma282
@solomonmpuluma282 4 жыл бұрын
Rais wangu mpendwa, hata waseme nini mimi nakuomba uzidi kusamehe. Nakumbuka ukiwa na wahandisi ulisema "tunanwomba MUNGU atusamehe kama sisi nasi tunavyosamehe wengine". Naamini tusiposamehe nasi hatutasamehewa baba!! Mungu akubariki.
@ebennbenn8638
@ebennbenn8638 4 жыл бұрын
Safi sana Nape na Rais kwa msamaha ulioutoa.
@MohamedBlanker-jw9qy
@MohamedBlanker-jw9qy 14 күн бұрын
JPM apumzike kwa Armani
@tuwenasitv9695
@tuwenasitv9695 4 жыл бұрын
RAIS WANGU MWENYEZMUNGU AKUZIDISHIE BUSARA NA UPENDO AMIYN
@zenj1986
@zenj1986 2 жыл бұрын
Baba bora ulivyochukuliwa na Mungu maana ungeona walivyokukengeuka ungeumia sannna.
@evaristmandilindi6147
@evaristmandilindi6147 4 жыл бұрын
Angekua Mzee wa kasi MPYA muulize B seya
@jacobmsule5191
@jacobmsule5191 4 жыл бұрын
Ameen
@johnkapesula122
@johnkapesula122 4 күн бұрын
Dunia ngumu sana hii. Mungu ni mwema.
@husseinkakanga4082
@husseinkakanga4082 3 жыл бұрын
Hivi kweli Nape haoni upendo huu wa muheshimiwa magufuli? Halafu bado unakuta anamzungumzia vibaya mzee wa watu lakini kikubwa ninacho kiona ni ubinafsi wakiuondoa umimi Mambo yatakuwa mazuri Ila watu wajifunze
@yusufrajabu8425
@yusufrajabu8425 4 жыл бұрын
Uwo ndio uwanaume mbaba, nimekukubali nauye.
@fetymau5386
@fetymau5386 2 жыл бұрын
Mungu akupe kauli thabiti
@diamondplatnumz139
@diamondplatnumz139 4 жыл бұрын
sawaa bhANAAAAAA
@petersynto8634
@petersynto8634 4 жыл бұрын
Ama kweli unahofu ya Mungu binafsi nisingeweza ila nakutahadhalisha rais kuwa makini na watu kama hao adui ukiishamfahamu hupati shida na wataendelea kuumbuka wanaokuwazia mabaya
@sululungasa3849
@sululungasa3849 2 жыл бұрын
safiiii tujinze kusamehe R.I.P .JPM
@patrickgeorgebinon3283
@patrickgeorgebinon3283 7 күн бұрын
Nakuaminia Sana MAGU R I P
@gmchats5335
@gmchats5335 4 жыл бұрын
Very very smartly dressed president ! Well done
@Al.habeebAl.habaaib
@Al.habeebAl.habaaib 4 күн бұрын
Mahufuli ndio alikua kiboko wao😢
@LukeUrioNEWS
@LukeUrioNEWS 4 жыл бұрын
Be blessed my President.
@jumamwengwa4682
@jumamwengwa4682 2 жыл бұрын
#Kauli zako zilikuwaga tata sanaa#😭😭
@radaonlinetv1922
@radaonlinetv1922 2 жыл бұрын
Magu ww nimtu ambae nakukubali xna.
@solomonmpuluma282
@solomonmpuluma282 4 жыл бұрын
Wewe mjukuu wangu Nape, muungeni mkono na kumsaidia Rais. Msiwafuate hao wenye uchu wa madaraka watawapoteza. Ninyi ni vijana tunawategemea. Acheni ujinga. Nayasema haya kwa uchungu mkubwa.😱😢 Wasalaam, wako -babu yako wa lramba.
@ManfaceFildoline-h1i
@ManfaceFildoline-h1i 2 күн бұрын
👍
@ustadhabdul-raufalmunaawiy6629
@ustadhabdul-raufalmunaawiy6629 4 жыл бұрын
Safi sana Rafiki
@Freedom_fighters898
@Freedom_fighters898 11 ай бұрын
Mzee tunaangalia video zako za zamani pumnzika kwa amani ila umetuamchia shida kubwa hukuwashungulikia vizuri hawa wahaini wanaiuza nchi kabisa 😢
@peterjohnson167
@peterjohnson167 2 жыл бұрын
NAPE Nenyau ni mnafki tena muuaji.
@mbwanarajab4756
@mbwanarajab4756 2 жыл бұрын
KUJIKWEZA NI KUBAYA MNO , KWANI WEWE UMEMDHALILISHA NAPE , AU WEWE UNAYOYAFANYA YOTE UKO SAWA? KWA MUNGU KUNA KAZI KUBWA MNO...
@raphaelmoses252
@raphaelmoses252 Жыл бұрын
Umesamehewa lakini pia ukamzunguruka
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Baba pumzika kwa amani kwa kumsamehe
@magesagambajr3546
@magesagambajr3546 7 күн бұрын
Jpm alikuja km nabii nakaondoka kinabii na unabii wake umetimia -nimemsamehe akija kukenguka ni yeye mwenyewe -mtanikumbuka -Atakuja Rais wakuwabembeleza -mikataba ya hovyo itasaniwa na kichaa
@nijosenso2691
@nijosenso2691 4 жыл бұрын
game starting man😂😂😂
@ambelemwakalobo3327
@ambelemwakalobo3327 2 жыл бұрын
Kwani alikosa Nini mbona mmasehe
@zuzadomikano3765
@zuzadomikano3765 4 күн бұрын
NYANGARAKATA WEWE MAGU UCHOMEKE HUKO ULIKO BADO ULOKUA UNAWATUMA KUUA NAKUDHULUMU KAMA (WAZIRI WA ULINZI WAKATI WAKIKWETE HATA WEWE {DR .MWINYI ,LAGULOO, MCJEMBE } MYAPATE MNAYO STAHIKI POPOTE WENZIO WALIOPO .....
@abeidramadhani6523
@abeidramadhani6523 Жыл бұрын
Hakika maguguli alikua na maadui wengi mno
@hamzachipisya5235
@hamzachipisya5235 2 жыл бұрын
Alijiona km #MUNGU MTU
@pendohumphrey7588
@pendohumphrey7588 4 жыл бұрын
Wamesoma nyakati wameona wameona wanaweza kukosa ubunge, wakaona njia sahihi ni kujipendekeza ili wasipitwe na uchaguzi, lazima serikali iwe makini na hawa watu
@maqilqureshi4312
@maqilqureshi4312 4 жыл бұрын
Poka
@barnababoy1868
@barnababoy1868 4 жыл бұрын
Ila hata kama wamesamehewa yale maneno walisema yalitoka moyoni kabisaa 😂😂.. kuomba msamaa ni nidham ya uwonga tu
@albertsengo8334
@albertsengo8334 4 жыл бұрын
siasa ni mchezo mchafu
@TheBestPhone7918
@TheBestPhone7918 4 жыл бұрын
Uchaguzi umekalibia
RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU
8:03
Millard Ayo
Рет қаралды 1,9 МЛН
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 9 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 84 МЛН
FULL VIDEO: Nape alivyozuiwa na Polisi "alietoa Bastola aje hapa'
23:39
makabidhiano ya ofisi kati ya Rais Magufuli na JK Novemba 12,2015
6:39
LIVE :XXL LARGE ROOM YA CLOUDS FM
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 36
LIVE SCENE, NAPE akitolewa Bastora Hadharani. KITENGE AAMULIA
2:27
Junior Syaary
Рет қаралды 649 М.
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 586 М.
KAULI ZA NAPE NA KASHKASH ZILIZOWAHI KUMKUTA
6:48
JAMBO TV
Рет қаралды 133 М.
HD VIDEO: JPM alivyotangaza kuwasamehe Babu Seya na Papi Kocha
3:49
My wife said she wants to show me her true skills
0:27
昕昕一家人
Рет қаралды 62 МЛН
My wife said she wants to show me her true skills
0:27
昕昕一家人
Рет қаралды 62 МЛН
There’s A Starman #superman #shorts #memes
0:26
Walking Streets 워킹스트리트
Рет қаралды 40 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
0:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 7 МЛН