Рет қаралды 13,142
Raisi wa Baraza la Maaskofu katoliki Tanzania Mhasham Askofu Gervas Nyaisonga alivyohutubia mbele ya Maaskofu wa Tanzania pamoja na Watanzania waishio Italia kwa idadi kubwa wakiwa ni Mapadre,Masister na wenye muelekeo wa kanisa baada ya ibada ya Misa takatifu iliyofanyika katika kanisa la Mtakatifu Paolo Dominika ya kupaa Bwana.
#breezonlinetv #daressalaam #popefrancis