Рет қаралды 4,071
Tazama hotuba ya Mwisho ya Dkt Yahaya Nawanda siku moja kabla ya uteuzi wake kutenguliwa, aliyoitoa kwa viongozi wa dini ambao ni wajumbe wa kamati ya amani wa mkoa wa simiyu.
Alipokuwa akifungua semina ya kubadilisha na uzoefu na kujadili namna ya kuendesha kamati hizo baina ya wajumbe wa kamati ya amani ya mkoa wa Simiyu na mkoa wa Mwanza iliyofanyika Bariadi mjini jana June 10,2024.