Busati Tv Fans WhatsApp 👇👇 chat.whatsapp.com/EXedjPddrA9C1XIkEg36JP
@modestazaver18 күн бұрын
Oyooooo
@ElizabethBaraka-ml9yy18 күн бұрын
Hongereni.sana
@modestazaver18 күн бұрын
Twende ivi ivi nasio kutuwekea watu ambao hawana vibe afu hatupendi izo mambo
@modestazaver18 күн бұрын
Twende ivi ivi nasio kutuwekea watu ambao hawana vibe afu hatupendi izo mambo
@ChochoteTv19 күн бұрын
Dah kumbe ukibonyeza comment mara tatu inajicopy🤚🏼🔥
@mamume71018 күн бұрын
Unataka like tu nyau ww😂
@JudyDee-dt2fe18 күн бұрын
😂😂😂😂😂 walai
@user-wu7ho7sx8q18 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣
@Realme-xm3sh18 күн бұрын
Yan wew umejua kutuuza kweli 😅
@ElizabettEmanuel18 күн бұрын
Nimekustukia unataka like muombe bibike zuuuuu😅😅😅😅😅
@user-vz7qe8im6d18 күн бұрын
Duh Safari hii watu wamechachamaa kumtafuta zuu sio mchezo si bibi si sania si bamkwe we famchezo safari hii lazima apatikane dadek weka like apa kama unaamini watampata zuu
@DinahNish-bm9sr18 күн бұрын
Zuu apatikane tu mambo yaende poa
@user-pp2xh5cg1m18 күн бұрын
Atleast Leo kuna improvement 🎉🎉🎉🎉🎉 zuu apatikane haraka iwezekanavyo🎉🎉
@AdamZainab-mb7qj18 күн бұрын
Umeona enh
@user-pp2xh5cg1m18 күн бұрын
@@AdamZainab-mb7qj yea
@JumaAmani-uh4vq19 күн бұрын
Ata mutume saa ngap tuko macho watu wangu wa gulf tujuane😂😂😂tuna lala leo tuna amka leo
@BintTatu19 күн бұрын
😂😂😂😂hii kal wallah
@JumaAmani-uh4vq19 күн бұрын
@@BintTatu au sio mtu wangu 😅😅😅
@mwanarusmwakauzwa611819 күн бұрын
Umeongea kabx😂😂😂
@user-qj2xc8gd5w19 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-bz3kq3ph1s19 күн бұрын
@@user-qj2xc8gd5wno kulala hapa
@Marlenapilikitsao-gk9je19 күн бұрын
Mizimu ya nyanya inafanya kazi hapo chacha nyanya zuu apatikane❤❤❤❤❤
@user-jl8kp7gu7x19 күн бұрын
Wakwanza Leo Ni Mm nipeni like nzangu from USA ❤❤❤❤
@macrinafuraha-zg3mi18 күн бұрын
Cheza na mapenzi wewe sania fanya uwezalo zuu akue sawa umpeleke kwa kai roho safi hii ni kali buana natamani iishe 2030😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-hf7pk2lx4v19 күн бұрын
Team candy ona venye kimemramba dada yetu mungu asaidie zuu arudie hali yake ya kawaida watching from saudi
@user-uk4fd1rp3w18 күн бұрын
Nani ana upendo wa dhati Kwa zuu Kam alivo baba Kai naomba tujuwan Kwa like hapa!!
@MymunaMuna-qn5lo19 күн бұрын
Kuna gali like limedondoka hapo wahinii jamni mbona huba hamuombi jua kali hamuombi mnatowa maoni tu huku hakuna hoja ni like tui😢😢
@neemamnyazi18 күн бұрын
Candy mwana kuyasearch mwana kuyafound,,,ulikuwa na mbio ata ulikuwa hushikiki haya tulia ulee kitumbo sasa😂😂😂😂ila sania nawe ni moto kilà mtu kwako sawa huogopi zinaa wewe
@user-hb2nn6ud2d18 күн бұрын
Hao jua kali na huba wasenge wanazingua wacha tukomae na hii hii ni tamu tuu
@MymunaMuna-qn5lo18 күн бұрын
@@user-hb2nn6ud2d kama sukali wapi kendy
@DamarisDammie19 күн бұрын
Hayah Leo nimewahi ila mashoga ugomvi ndio huu umeanza Sasa Siri zitafichuka jameni 😂😂😂 enjoying from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@LINDAKARANI-jx3dr18 күн бұрын
Me too 🥰 from Kenya
@user-gu2yu2wp1z19 күн бұрын
Mida gn jaman hii😂😂😂😂lkn kibwagizo cha leo n zuuu,,,halafu leo bodaboda kachinja nn.........warereeeeee nawapenda snaa ❤
@user-jr1qx1sj8t19 күн бұрын
Kula chuma icho hakuna siri ya wa2 wawili ngoja muone best yenu candy atakavyozalilishwa na best yake
@Asmachima-dx5gb18 күн бұрын
Kazi nzur Lkn tujifunze kua mtoto hatowi mwanamke ila anaetowa ni mungu pekee
@PurityWaithira-ud2vj18 күн бұрын
Nimechelewa mie 😢😢kazi mingi huku gulf,naomba na like mie tafadhali
@user-uo4gu1kk2z19 күн бұрын
Eeeh number 10 Leo mungu asifiwe sana❤❤❤❤Nawapenda sana nyie wote
@MaryMbithi-nw5sr19 күн бұрын
Guys namiss zuu please naomba kesho kumuona aky maua yenu haya🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉kenya 🇰🇪 we love our neighbour ❤❤❤❤❤
@user-dp3fv2kh4l18 күн бұрын
Hii iko moto mpaka karibu watu wote wana mtafuta zuu kwakweli atapatikana na akipatikana kichaa kwisha❤❤❤
@user-ri5xw2rs4n18 күн бұрын
Tim sania mpoo naomben like zenu jaman
@user-sy9cu5ef5q18 күн бұрын
Pole sana dada ambaye huzai usikate tamaa kuzaa ni majaliwa ya mungu
@user-jp3dr9nt8t19 күн бұрын
Nimechelewa lakn nimefika naomba like zenu jmn❤❤❤❤
@IBUTUNDU19 күн бұрын
jaman namm leo sijachelewa sana naombeni japo like kidogo tu
@medinamathayo379818 күн бұрын
Kwani hizi like ni chakula jamani
@GetrudeChengula18 күн бұрын
Hahahaha saw kipenzi tunakupenda❤❤❤
@IBUTUNDU18 күн бұрын
@@GetrudeChengula 😂😂
@AliceBensoni18 күн бұрын
Baba Kai ni mbonge la HB maan nimemuona kweny series ya koneksheni NI mwendo wa suti tuu, yuk vzr
@aishaomar228719 күн бұрын
Ila candy bana,ati kwan nyie mmeamua kufanya kweli😂😂😂 🙌, aaaaweeeeh 😅...ushoga umekua uyogaaa😊 ama kweli udugu kazi ushoga heka heka # bodaa nawe umenikosha,tania auza mchele ataka mteja aende na mfuko,khaaa! Busati tv hatareeee🎉🎉🎉🎉
@happinessmalombo927519 күн бұрын
Mm nilikuwa naona nimerauka kumbe wenzangu mumelala hapa😂😂😂
@has103919 күн бұрын
Leo wakwanza nipewe like zangu
@Kibumpenda19 күн бұрын
Likes 🎉🎉
@user-cg8ti1re1t18 күн бұрын
waah kila mtu anamtafuta zuu .jaman mizimu y bibi inafanya kaz❤❤❤ munipee like bx
@janatmapenzi526418 күн бұрын
Daaah hii kali nawapenda sana gyz inakaribiea nlipotarajia❤
@esterester362818 күн бұрын
Nyanya kaendea mjukuu wake.kweli uchungu WA mwana aujuaye mzazi❤❤❤🎉🎉🎉
@MwanamisiSuleiman19 күн бұрын
Wakwanzaaaaa hiooooo❤❤❤❤
@Scolayusuph55819 күн бұрын
Wachawi wa imaya ya busati mnatupostia move usku usku 😅 kaz nzur maua yenu 🎉🎉
@YasintaMakweta18 күн бұрын
Hatari
@suleabtigigis693218 күн бұрын
Zuu 😢ako wapi tafadhalinii tupate zuu plss apone ❤ yule mama boss wakeko roho unyama ............sana mungu awalaniii...milele 😢😢😢😢
@DanielaSanka19 күн бұрын
Jamani house girl ni nzuri ila jitahidini kutoa kwa wakati naombeni ikiwezekana hata vipande viwili kwa siku
Jak@@silviaamakweliukweliutajul8395jajunya cha nyambutavyuvya biragucha😂😂😂
@hlimaa518218 күн бұрын
Chiko chiko chiko nime kwita mara 3 😢😢😢kuwa na hofu ya Allah basi unatoa maneno makali kiasia hicho kwa mkeo kweli😢😢😢😢😢😢masha Allah navile uko na mke mrembo 🥰🥰🥰
@HidayaMbodze19 күн бұрын
Kuna scene zengine wanaongea sana director please angalia hili juu target ya mda inaisha haraka na inaisha tayari
@Nashoni199619 күн бұрын
Ni keeping visivyo vya msingi wanavipa mda mrefu
@HidayaMbodze18 күн бұрын
@@Nashoni1996 kabisa yani
@irinemmasy838718 күн бұрын
Hili tumeliongea Sana lakini hata hawarekebishi
@juliethrobart943018 күн бұрын
Kabisaa wanaongea mpaka wanaboa
@12omochildren19 күн бұрын
Hata mkituma sakumi ya asubuhi tupo tayari kibisa,shoga mwenzi kishamramba😂😂
@MymunaMuna-qn5lo19 күн бұрын
Hahaha kazi anayoooo
@MariahJuliuss18 күн бұрын
Daaaah nimeisubili Sana jamni Ahsantee kwailo ❤❤🎉❤🎉❤🎉
@AishaRashed-m5o18 күн бұрын
Mpo vzr san Alf Kendy anajichekesha chelesh litamukut jambo
@Khadija-bu9ou19 күн бұрын
Likes zangu na mimi jamani Leo mPema nimewai
@GermaineZabibh19 күн бұрын
Ni lazma Leo mnikome nimekuwa wa kwanza ku comment
@MamayaoRiziki19 күн бұрын
Nc movie ❤❤
@aminah57419 күн бұрын
Jamani munipee like na mm leo basi 🙏🙏hata tano
@user-fo6zw6ru9e19 күн бұрын
Nani anae tamani kai jinsi anavo mnyemelea zuuu chumbani kwake
@Phoebenafula19 күн бұрын
Hongereni sana busati tv🎉🎉🎉❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪
@ChaguVeeNovida19 күн бұрын
Hapa Zuuh sisi Tunamleta, We mzee utazunguka saana, 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Zuuh yupo zake kule amemeza Panadol Za Kenya😂😂😂 👽👽
@zainabzain343418 күн бұрын
Chiko hata kama tumia busara basi maneno makali kwa mkeo ye sio muumbaji tambua
@fhgj26118 күн бұрын
Namu ❤❤nimependa sana kabisa🎉🎉aduwi wa rafiki yako ni rafiki yako❤❤ongera san🎉🎉🎉
@AdestiraNgede18 күн бұрын
Sisi timu zuu tuko kimy wameanza kugeukana wenyewe tunasubiri mabomu yao yalipuke
@Mwana85Mwana85-wz1ol18 күн бұрын
Tu pmoja my
@user-oy5fn8du4u18 күн бұрын
Huyu chiku nae anavyo mjibu mkewe 😢ajui km kuzaa nimajaliwa ya allah 😢😢mungu awafanyie wepesi wanawake nyote ambao amjapata watoto Kuna wengine wanapitia changa moto Sana
@user-rp3hf9oi7v18 күн бұрын
Nampenda kendy sababu amevaa uhusika wake vilivyo alafu ananhaya😂😂😂 kiukweli wanifurahisha dada❤
@AnicethaLaurent19 күн бұрын
Huu sasa ndo utamu wa move, move imefika patamu sana tunaomba msitucheleweshee sehemu inayofuata jamani tunaisubli kwa hamu
@ElizabethDennis-qv9nx19 күн бұрын
Nipeni like zangu hatakama nimechelewa
@zeynab761719 күн бұрын
Leo nimewahi like zangu jamani ❤❤❤
@user-ki9le1jy8e18 күн бұрын
Kaz nzuriiii ila wanachelewa bhn unawek kibando chako ukija mzigo bado 😅😅ila ndo Ivo na enjoy tyuu
@gmichano11319 күн бұрын
😂😂😂😂Mnaomba sana like, si muangalie kwanza
@Phoebenafula18 күн бұрын
Waambie
@gmichano11318 күн бұрын
@@Phoebenafula yaani ni changamoto
@kadzo559419 күн бұрын
😂😂yani sema mnajua kurauka Sana🙌
@maryamtanzania974319 күн бұрын
Pole mwanamke mwenzagu kwa kusakwama kwa sababu ya kuzaa
@CarolyneNyanchama-yk1gf18 күн бұрын
😂😂😂kimenuka huku marafiki wamegeukana Kila mtu anatoboa Siri Shania wewe 😅😅ebu tuletee zuu wetu jamani alf Kai manze amechange😢 anyway wanapenda waigizaji wangu ❤❤❤
@JosianeHabarugira19 күн бұрын
Nilikuwa nasubiri kabisa !
@OneniMahenge-wm8ji18 күн бұрын
Omba omba wa like mumesha Anza kuomba angalien move
@jedenecosta18 күн бұрын
Kazi Njema Nimependa Kazi Yenu
@busatitv18 күн бұрын
Asante sana 🙏🙏🙏
@buru123518 күн бұрын
Baba sikia vile unaambiwa mm naona Sania atakulea zuu kuwa mpole team bangi uku wangapi jmn😊😊
@NanaaHaji-qr1rk18 күн бұрын
Kwahio hii michezo ya makabila yenu ama😢maana hatuelew😂
@Mrplatforms1118 күн бұрын
Jaman zuuu wangu ni the best woman nakubali kichizi love this girl
@MaryTsuma-j3q18 күн бұрын
Movie yenye Iko simati sana n nimeipenda sana
@user-sk7un6ls2t18 күн бұрын
Tangu muombe like mumenunua magari mangapi 😂😂😂😂😂
@user-ln3nu4tt5y18 күн бұрын
Hahahaha wapo kwenye folen wanafata magari yao
@user-sk7un6ls2t18 күн бұрын
@@user-ln3nu4tt5y ahahaha jaman 🤣🤣🤣
@alinedushimirimana-ei7jh19 күн бұрын
Na mm leo nimejitahid kuw wakarib san nawapend saan mno 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@RizikiZiki19 күн бұрын
Haya sasa mutu n'a shoga yake mambo yanataka kunoga apa ndo patamu sasa ❤❤❤
@Kibumpenda19 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉Leo ni leo
@user-gv6zd5el9c19 күн бұрын
Jamani cand ameyakanyaga
@GraceMbulu-rp8ko18 күн бұрын
Nimekupenda bure sania❤❤❤❤
@Zainabu-xn3vd18 күн бұрын
Candy kitakurambaaa ss anyway lipe like hata kumi please🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@mwanaidindaro-ze6ow19 күн бұрын
I love you kai
@MariamAlly-xw6ms18 күн бұрын
Sania bwana et moto umewashwa sherry
@DidaAlly-iz1it18 күн бұрын
Mboana sikuiz amtoi km mwanzo hii move😢
@MawazoJustin-fw2ws18 күн бұрын
Candy siku dawaitafeli utajiona wabure sana wewe nakuchukiya candy 😏😏😏😏😏
@user-ge3tn7zs8r18 күн бұрын
Chiko nakupa usia mkeo yuwakupenda sana na ujue kuzaha majaliwa kuna kupa na kukosa chiko mkeo ni mtu mwaminifu sana .ila candy kitakuramba baba .langu dicho
@busatitv18 күн бұрын
🙏🙏🙏
@zainabzain343418 күн бұрын
Pole sana nilishaipitia hii hali Allah akupe subra nilishaipitia kukosa kuzaa
@user-yk3ew1bw1q19 күн бұрын
Asant san Ira munawek usik saan kwer mubadir kwer vipnz ❤
@Phely03919 күн бұрын
Kumekuchaa😁😁😁like vipi wadau
@user-pp3vo8rw5j18 күн бұрын
Nice job ❤❤❤❤❤
@FurahaMathias-hw9yg18 күн бұрын
Busat mnanikosha kilasiku lazima muweke kitu juu yakitu❤
@Estra-gi7xp19 күн бұрын
Mbona ss ivi mnacherewesha moves
@DianaMuyoka18 күн бұрын
Naona kuna Moto kunaenda kiwaka episode 33
@AllyBabu-kr6lg19 күн бұрын
Konde boy coming number one yau yau🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-kr4xr7ix1u19 күн бұрын
Nimefika mapema 🎉😊
@nurusofia-od4kj19 күн бұрын
Yani watu hawalali wanasubiri Hadi Saa nane😂
@FatmaAmour-w6u19 күн бұрын
Wa kwanza leo
@HidayaMbodze19 күн бұрын
Sawa
@NeemaMwotela18 күн бұрын
Nawapenda wote wa shabiki wa busati TV❤
@jackilinekaini874419 күн бұрын
Ya leo tamu Sana jaman nyie noma❤❤
@user-wn3nj5np5n18 күн бұрын
Yani hii house girl ni tamu sn plz iende mpaka mpaka zuu afunge ndoa na kai
@fatuma601118 күн бұрын
Jamani next episode zuu apatikane 😢😢😢
@AminaChile-bx8hv19 күн бұрын
Watu hamlali😂😂😂
@ginafaruque533518 күн бұрын
Cendy mchezi kabisa EP 33
@user-yu9qn4oi3g18 күн бұрын
❤❤❤natamani candy awe kichaa zuu apone
@AgnesDavdi-rz9hg18 күн бұрын
Jaman nipeni hata like 10 zinatosha
@ReseMahenge-td9xe19 күн бұрын
Jaman jamn kila movie inaenda kuwa pambeeeeeeeeeeee♥️