Jamani Hii movie mafunzo yake niya ukweli bila chenga Hawa vijana walioigiza hii picha nikama vile mungu kawaonyesha kuwa matatizo mengi ya jamii now days yako hivi walai nimeipenda Sana. Kama nawewe uko Pamoja nao gonga like hapa❤
@busatitv8 күн бұрын
Asante sana tunakupenda mno Mtu wa Mungu
@richardchristopher71417 күн бұрын
@@busatitv Msikate tamaa pambaneni kwani nimeona mnakitu ndani yenu Sr God awe pamoja nanyi msitengane🙏
@AminaKavuo-gj3oc7 күн бұрын
Himefikia maali Pake wao Asante mungu
@MaryPendo-gy4yr7 күн бұрын
Candy tena bado
@user-yu9qn4oi3g7 күн бұрын
❤❤❤ candy hapo Bado hujaona mauzauza 😂😂😂utajuta kwenda kwa mganga
@mohamedlopa84108 күн бұрын
Kama unahiman zuuh ata apatikana nakuzungushiwa kibuyu kichwan tujuane kwa like zakutosha❤❤❤❤😂😂😂😂😂❤❤❤
@busatitv8 күн бұрын
🥰🥰🥰🤣🤣
@mohamedlopa84108 күн бұрын
😂😂😂@@busatitv
@RutaRubedi8 күн бұрын
😂😂😂 ndio mambo yako nini
@mohamedlopa84108 күн бұрын
@@RutaRubedi😂😂😂😂
@mohamedlopa84107 күн бұрын
@@busatitv❤❤❤
@Rizikialiamechannel7638 күн бұрын
Hebu jaman leo Ndo fainal cndy kuumbuka kma unakubali weka like hpa team felus 😂 🇴🇲
@richardchristopher71417 күн бұрын
Hi
@AishaSudi-pu9xy7 күн бұрын
Leo niwai likes zenu bas😂
@Rizikialiamechannel7637 күн бұрын
@@AishaSudi-pu9xy😂😂😂😂
@ElizabettEmanuel7 күн бұрын
Leo Nini sijaelewa nieleweshe bas ndyo nikupe like 😂😂😂😂
@reginagikaro56546 күн бұрын
😅😅😅😅
@MaarufuAmani-bq6qc8 күн бұрын
Tunae fulahi uamuzi wa bibi zuuu gonga like
@JudyDee-dt2fe8 күн бұрын
team zuu naona tuko na kahopes sasa wapi like za zuuu tukiamini atakua poa soon❤❤❤❤❤
@HidayaMbodze7 күн бұрын
Tushafikiwa😂😂 raha ilioje🎉🎉🎉
@SamiaMwachumba-xf8wo7 күн бұрын
Tuko hapa mbna raha
@EsterAsajile7 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤@@SamiaMwachumba-xf8wo
@MwanashaAsha6 күн бұрын
Tuko apa tupo rada sana
@CheskoChali8 күн бұрын
Wapili naomba like 5
@jacklineshayo39628 күн бұрын
Jmn wa2 wako faster. Naomben like at 3 ty kwa ajl ya bib ake zuu🎉🎉
@user-ei2nr5wt1g8 күн бұрын
nimewahi jamani naombeni like zengu timu zuuuh
@JacklineMazonge8 күн бұрын
Wangapi wanatamani candy na yeye awe kama zuuuh like nyingi
@MaryamM-ht4ir7 күн бұрын
Mm nahitji candy awe km zuu nitafrh 🎉😂😂😂😂
@RechoMasele7 күн бұрын
Mimi natamani ata Leo jamn ananikela uyo dada
@maryamtanzania97437 күн бұрын
Mimi natamani zuu apone aolewe na kai afu kandi awe mzima ashuhudie ndoa
@AmirMuhammad-n1s7 күн бұрын
Mbonaaa wengiii whats comes around goes around malipooo n ha pa hapa
@user-fl6lc6wt2p7 күн бұрын
Me hapa
@MariahJuliuss7 күн бұрын
Daaaah jamni jamni mpaka raha 😅😅😂😂😂😂😂🎉❤🎉❤ candy amehaha atli bibi kiboko😊
@nuriatyhamiss72017 күн бұрын
Candy 😂 Dunia inazunguka momy Leo yamekufika😅
@VeronicaIbrahim-wv4dg8 күн бұрын
Nimewahi jamani like zangu
@priscahmahenzo6427 күн бұрын
𝐖𝐚𝐚𝐚𝐚𝐚𝐡 𝐜𝐚𝐧𝐝𝐲 𝐤𝐢𝐬𝐡𝐚𝐦𝐫𝐚𝐦𝐛𝐚😂😂😂😂
@Zainabu-xn3vd7 күн бұрын
Hii movie ina mafunzo mengi aswa kwa wanawake jameni jifunze kufanyia mwenzio hata kama ni ajiwezi tupendane please,anyway nipe hata likes kumi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@busatitv7 күн бұрын
Asante sana🙏
@dominicgodwin98247 күн бұрын
Watu wangu wa nguvu naomben like zenu basi leo wa kwanza👌
@user-qv7dm4ok6g8 күн бұрын
Ebu munuachie likes mashabiki wenzangu tunao fatilia house girl nawapenda Sana
@ClariceMatulanga7 күн бұрын
Mmmmm
@NadraRajabu7 күн бұрын
Ila sania amenifurahisha sana jmn❤❤❤❤❤
@SuzannMukuna8 күн бұрын
candy na bado macho haijakutoka itakutoka timu zuu mwaga likes zako hapo🎉🎉🎉
@user-qq6mv6vh3e7 күн бұрын
😂😂😂
@mesamesa36987 күн бұрын
Mapema ndio best n kama unamkubali bibi gonga like nifurahi❤
@busatitv7 күн бұрын
🥰
@dansonmukhwana88448 күн бұрын
Wa kwanza toka kenya wapi likes zangu jaman❤
@CharleneNIYORUKUNDO8 күн бұрын
Wakwaza leo naomba like zang jmn from burundi😊😊😊
@user-to4er5bq3f7 күн бұрын
Jamni mko vizuli sana mnatuwaishia move zetu ongereni
@AkimanaVely-gq9cu8 күн бұрын
Nam leo nimewahi jomn Wana wa burundi tujuane kwa like bs
@Rahema1237 күн бұрын
Ila duh mpo vizuri sana mnajuwa kutuelimisha inshaallah M/mungu hawalind mzdi kutuelimisha 🎉
@kassimmwanjali42338 күн бұрын
Naombeni like leo
@anethJapheth7 күн бұрын
❤❤❤❤❤naipenda xnaaa jmn piah naifatilia xnaaa wako vizuri xnaaa hawa watu jah bless u guys . Kila ckuu naweka bando kwajili yenh
@user-pp3vo8rw5j7 күн бұрын
Much love from saudi ❤❤❤yn nafurahia sana katika hii move juu inanifunza katika maisha ya upendo wenu ❤❤❤cendy kitakuramba saii
@busatitv7 күн бұрын
🥰🥰
@Flazodesigner22157 күн бұрын
❤❤❤miye nakubali kama zuuu wangu atapona munipe like zangu apa kutoka congo
@busatitv7 күн бұрын
🙏🙏
@Flazodesigner22157 күн бұрын
@@busatitv asante
@user-pg8og1gp1u8 күн бұрын
Number four jamani naombeni likes zangu
@user-xh7xf2ki3r7 күн бұрын
Wallah Busati TV mmewezaaaaa tena mmewezaaa tenaaa🔥🔥🔥🔥💐🇹🇿 peperusha dunia nzima wajue kazi yakoo % haya yanafanyika katika jamii tunaziishi nazo
@GraceNataliya8 күн бұрын
Jamani like ata moja
@ggfwtgg16527 күн бұрын
Hii movie mumetusha sana bbi zuuuu yaani nakuamini huezi kuniangusha maana unaweza sana kazi nzuri ❤❤❤❤
@Weksa-dg8ev7 күн бұрын
Kilicho wekwa gizani siku siku kitaonekana peupe rafikiye Cain safi sana honger❤❤❤❤😊
@sharifanyumayo63147 күн бұрын
Mojawapo mie Nimefurah mno acha likukute na mganga Kunywa soda barid naja lipa. Kimekulamba Candy oooh
@emanherman96587 күн бұрын
Hongereni sana muvi nzuri yakuelimisha 🎉🎉🎉🎉❤
@busatitv7 күн бұрын
Asante sana
@AminaPtg7 күн бұрын
Mungu akuweke director unatumia akil nyingi san 🥰💓🙏
@PurityWaithira-ud2vj7 күн бұрын
Jamani watatu ni pewa likes nimejificha chooni mdoss wangu asinione bwana nyie😊,more love from qatar ❤
@nurusaid46987 күн бұрын
Nex Bwana Iwe Ewani Saabili Usiku Au Tatu Tusilale Bila Kutazama❤❤❤❤❤😂😂😂😂
@fatumaselemani38077 күн бұрын
Mashallah Mashallah
@KalistusWiligis8 күн бұрын
Jamani nipeni like mm ndo wa kwanza leo
@rubniyi35518 күн бұрын
Bado hujasema 😂
@RizikiZiki7 күн бұрын
Uhuum mambo kwa bibi zuu yananoga kwa kay yanazidi kua magumu haya si twaomba zuu apatikane atibiwe na kay atibiwe Candy kimurambe tena asiwe kica awemuzima afe taratibu tu😂😂
@JanethEmmanuel-mr5le7 күн бұрын
bibi honger mkomesha uyo candy❤❤
@user-kd4iu5fy4r7 күн бұрын
Na me naombeni like timu zuuh❤🎉🎉
@muddyramadhan32557 күн бұрын
Hii movie ikiisha tafadhali naomba kwa dhati ya moyo wangu iwe na sehem ya pili maan naona km bado itakuwa namaan san toka nimeanza kuwafatlia hii kitu ni noma san
@tigejuma98657 күн бұрын
Wenye wanaimani kwmba cku yenye zuu atajaliwa kuonana na nyanyaah ndio mwisho wa uchizi wake....nakuuliza mbna mumenizunguka....!!? Niko wapi apa!!? Alafu mbn munalia😅
@hlimaa51827 күн бұрын
Movie nzuri mno Yenye mafunzo mengi sana ambayo ndani yake yana ukweli ntupu katika maisha tunayo ishi Mume wa mcho wa daa masozi acheni tamaa itawaponza😂😂😂😂😂niko pale 👉 nasubiri episode 35❤
@KennedyMusaina7 күн бұрын
Ahh fresh show iko poa ina bamba sana ❤
@GivenessJamal8 күн бұрын
Hongerani kwa Kaz nzuri hampoi 🎉🎉🎉
@GloriaVaati-ls9ql7 күн бұрын
Sasa imekuwa tamu zaidi....hongera kwenu kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@busatitv7 күн бұрын
🥰🥰
@MauaSaid-t4b7 күн бұрын
Nafurahi jamani kend kinamkuta kutoka kwa bibi AMA kweli ukimfanyia mtu ubaya malipo hapa hapa duniani movie hii ni darasa tosha
@busatitv7 күн бұрын
Kabisaaa
@peterphilipo51038 күн бұрын
Hatari sana hongereni team BUSATI TV
@neemapatrick64818 күн бұрын
Jamani house girls pambe❤❤❤❤
@SharonNabwire-ft7qp7 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤🎉
@jobmoffat78447 күн бұрын
Movie ni nzuri Marekebisho ni kupunguza kukaa kwenye sceen ya aina moja kwa muda mrefu.
@ZuenaStanley-fx6ce7 күн бұрын
Mi nko na zuu apa jaman nipen like zangu nimlete apooo❤❤
@pilicharo41237 күн бұрын
mukiambiwa usiende kwawaganga hamuelewi😅😅😅
@zainaalmahlruqy58297 күн бұрын
Wanawake wenzangu jistirini hakuna dini inatoruhusu mavazi kama hayo mnatutukanisha filam nzuri sana
@busatitv7 күн бұрын
🙏
@user-gs3hx3kd3r7 күн бұрын
Good job 👏
@StelaStela-bd8lf7 күн бұрын
Candy umeyatimba mateso kwako ss movie nzuri sana hongereni sana mungu awatangulie
@user-vw3mr7jd1i7 күн бұрын
Zuu na Kai wapone haraka,mana wakipona utamu wa movie ndo unakolea sasa👌...candy ateseke na yeye😎
@busatitv7 күн бұрын
🙌
@user-vw3mr7jd1i7 күн бұрын
@@busatitv Ndy team Kai na zuu zamu yetu sasa😂
@user-dp3fv2kh4l7 күн бұрын
Hii movie yafundisha jamani ukifanyia mwenzako ubaya usitarajie kulipwa mema ❤❤
@user-bm1oe9lh1m8 күн бұрын
Jamn kwan mwalala humu😂😂😂
@user-ri5xw2rs4n7 күн бұрын
Dah uyu kay niuchawi tu au kapewa na vingine😢😢 like zenu jaman
@janatmapenzi52647 күн бұрын
😂😂😂😂😂 candy lakusema cna ata nawapenda bure😂😂❤like flani amba hapa hata km nmechelewa namuuliza candy vp plan ya kufungua supermarket bado ipo ama
@nasrachimamy3 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Zainab-vo2uz7 күн бұрын
Hii ndio nzuri sana dawa ya ubaya ni aibu
@user-ks9ui8td7y7 күн бұрын
Malipo ni hapa duniani tenda mema mungu atakulipa
@user-fs2zz7ou6u7 күн бұрын
Hongera sana kwa movies nzuri
@AsebaleylaDavid8 күн бұрын
Ahsante kwa episode nyingine chukua 🎉🎉🎉 nawapenda sana
@richardchristopher71418 күн бұрын
Tupate wapi Tena waigizaji kama Hawa walai sioni kwahapa TZ🇹🇿🇹🇿 wengine wataiga hapa2😅 like her
@maryamtanzania97437 күн бұрын
Acheni unafiki watu wote wanaweza tu
@estherezzy1367 күн бұрын
😂😂😂usisahau AZ PRO ban
@kennethedward69927 күн бұрын
Wengi sana sana ujasili na usubutu ndio unatakiwa kwenye maisha
@user-zu5ub3hx2p6 күн бұрын
Alakey umemuacha wapi
@user-zw9jg7ne8k7 күн бұрын
Yaani nmefurahia sana
@Phoebenafula7 күн бұрын
Hongera sana bibi❤❤❤ Wa kwanza kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪Naomba like basi
@busatitv7 күн бұрын
🥰🥰
@Sayd-pi5lq7 күн бұрын
Ni motoo lkn episode inayo fata bb ake zuu lazima afanye K2 ili Kai akili yake irudi kabla nyumba haijauzwa😢
@user-uy1fr1lj4b8 күн бұрын
Jamannn leooo nimewahiii
@LinahAssey-i5m7 күн бұрын
Hii movie inafundisha sana i like it
@busatitv7 күн бұрын
🙏🙏
@SharonNabwire-ft7qp7 күн бұрын
I like the video ❤❤❤❤🎉
@saumodzumbo96717 күн бұрын
Nashukuru sana kai Mungu awazidishieni 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@LydiaCostantine7 күн бұрын
Muda umekua mwingi tangu nmuone amenunuliwa sambusa amegawiwa na jacket sijamuona tena😥 u're missed Zuu ❤
@faithpaul14828 күн бұрын
Likes zangu pia watu wa house girl jameni
@Saum-so9gr7 күн бұрын
Kazi nzur ❤️❤️👏👏
@Weksa-dg8ev7 күн бұрын
Bibike zuu ni vip mchawi ama na iyo kibuyu ni Cha nin uchawi sielewi Ako amesimama wapi❤
@MaggySemkande5 күн бұрын
Kwakweli na mm nimejiuliza hivohivo😢
@SimoniFeresian7 күн бұрын
Inakuja zamu candy kuwa chiz mda so mrefu
@user-sr3gx4nj8i7 күн бұрын
Iyi movie nikali nayipendasana kinoma
@LilijohariLilijohari7 күн бұрын
Wasipo fanya haraka ku watibia kay na zuuu basi mali ime liwa 😅😅😅
@AishaAlly-ob7vd7 күн бұрын
Kai kendi anakupoteza kwenye direction ya maisha yaan Mungu aksimamie
@SalmaKadama8 күн бұрын
Waooooo
@user-rz7kv9pn8m7 күн бұрын
Kai changamka ww 😂😂😂watakutia dole hao
@busatitv7 күн бұрын
🤣🤣🤣
@user-hf7pk2lx4v7 күн бұрын
Leo sema furaha ya kendy kimekuramba sana pole dada mchawi mzuri ni mungu wachana na mzimu kitakuramba
@busatitv7 күн бұрын
🙏🙏🙏
@Asha-xc1nc7 күн бұрын
Number two jaman
@lionjoseph9238 күн бұрын
Sijachelewasana namimi laik zang
@ferouzmasoud31047 күн бұрын
Watu mpo fastaaaa 😅
@SilivesterkalaniJr7 күн бұрын
Bibi ameamua sasa patamu hapo😂😂😂😂😅
@merinazyd05327 күн бұрын
Hivi kai akijua mauzauza yote hayo aliyo ya fanya cendy siatamfukuza kama mbwaa 😂😂😂😂
@busatitv7 күн бұрын
🤣🤣
@MwactyPatrick-dk4ls7 күн бұрын
@@busatitvhili ni bonge la movie kwann msipeleke dstv au azam jmn uwiiiii much love❤❤❤
@HalimaBakari-hg5py7 күн бұрын
Bi zuuh kayayuka Leo chezea mjukuu ww, wapi team bibi tujuane😅
@busatitv7 күн бұрын
🤣🤣
@abdallahassan63787 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉Kaz nzuri sana
@user-jl2er1nb2p7 күн бұрын
Canndy wachezea bibi ya boss mchawi wewe......ngoja ujikubali kuwa ulironga watu😂😂😂😂😂😂
@ZaithuniNassir7 күн бұрын
😅😅😅😅huyu nikiboko huyu bibi....kwa boss mchawiiii sana😊
@user-jl2er1nb2p7 күн бұрын
@@ZaithuniNassir hatari huyo bibi........ila canndy ashaumbuka....halafu rafiki yake mnafki kama nn...walielewana saa hii ashatombowa siri.....marafiki jamani
@ZaithuniNassir7 күн бұрын
@@user-jl2er1nb2p 🤣🤣🤣yy canndy ndio aloanza kumuharibia🤣🤣nayy hakutqka kabisa akaharibuuu kabisa saii atajua hajui
@user-jl2er1nb2p7 күн бұрын
@@ZaithuniNassir mm nilisha juwa bibi ya boss mchawi akiingia atapata aibu
@estherezzy1367 күн бұрын
Waaa mkofasta aje ❤❤❤❤🎉❤🎉❤🎉
@SikuJuma7 күн бұрын
Hongereni sana kwa kazi nzuri
@Aziza..Shaban7 күн бұрын
Daa!! Kali hii. Tuone Kai yuwapeana talaka au yuwauza nyumba❤❤❤
@Sofiashabani7808 күн бұрын
Weeee
@RazikeRara7 күн бұрын
Congratulations bibi zuu nmependa sana
@busatitv7 күн бұрын
🙏🙏🙏
@floramacheva58557 күн бұрын
😂😂😂😂 wuuueeeeh... Candy kapatikana, kimemramba tena vizuri sana 😍. Ukitenda mema unajitendea, na ukitenda maovu unajitendea.... Candy kula chuma hicho 😂😂😂😂
@barakamshefa64267 күн бұрын
Hii movie inahistoria ya kweli na wenye tunatizana hii filamu bs tutapanuka ki akili na kuwa wabunifu sana katika maamuzi