No video

HOUSE GIRL EP 46 || love story💞💕

  Рет қаралды 162,146

BUSATI TV

BUSATI TV

Күн бұрын

#bongomovie #housegirl

Пікірлер: 662
@AliceCharo-wz9oz
@AliceCharo-wz9oz Ай бұрын
Team kai na team Zuu jmni😢😢😢nipeni likes mna tangu nifatilie hkna likes napta😂
@sifamaureen2792
@sifamaureen2792 Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@mansoursilima6620
@mansoursilima6620 Ай бұрын
Dah pole sana zatiti😢😢kwa changamoto za kwenye ndoaa yako... Nani anasema km zatiti mwisho ata enjoy ktk maisha yake naomba like 20 tu❤
@MwanashaAsha
@MwanashaAsha Ай бұрын
Mim apa naona kipata bwana mwengn na kuzaa na huyo chiko akabak solemba
@MillyMjeni
@MillyMjeni Ай бұрын
Bibi ako Faithfull but mume anadhani anazaa ..😂😂😂haya ndo wanawake wanateseka kwa ndoa
@SHANIAlly-xr7ic
@SHANIAlly-xr7ic Ай бұрын
Maisha meme zuu na Kai muende e❤
@VgmukomboziOficiel
@VgmukomboziOficiel Ай бұрын
Apa Niko naweye gongwa liké jamani namuoneya uruma
@Teresia-bg9dt
@Teresia-bg9dt Ай бұрын
Kenya tunahitaji maombi 😢😢💔😭
@emmajr7170
@emmajr7170 Ай бұрын
Sema nini zuu anamaneno mazurii kama unamkubarii zuu gonga like
@amisjafar-pd4tg
@amisjafar-pd4tg Ай бұрын
namkubal san zuu
@Mr.franckayo
@Mr.franckayo Ай бұрын
Mh jamn hii muvi daah naipenda balaa🎉 eb kam upo na mimi bega kwa bega gonga like please
@MaryYusuphu
@MaryYusuphu Ай бұрын
Nimekuwa wa kwanza tunao furah kumuona zuu na kai tuweke like
@FrankLuhaha-dt5sh
@FrankLuhaha-dt5sh Ай бұрын
Wanaomkubaliii zuuu na tabia yakeee ngongaa like hapa ❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂 jmn wanaume wenzanguuu tuombeee mungu atupatieee mwanamkee Kam zuuu
@toacceptthetruthtoacceptth235
@toacceptthetruthtoacceptth235 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@DianaMuyoka
@DianaMuyoka Ай бұрын
😅😅😅😅😂 mtapata tu
@lilianonyango5417
@lilianonyango5417 Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-uo4gu1kk2z
@user-uo4gu1kk2z Ай бұрын
😂😂😂Nacheka 😂😂Niko hapa
@RazikeRara
@RazikeRara Ай бұрын
Nawapenda sana kai na zuu aky mmependezana kwel nasubiri harusi
@aishaomar2287
@aishaomar2287 Ай бұрын
Mashallah Zuu una huruma...busati tv shukran sana kwa mafunzo humu🎉🎉🎉 Mungu Awabariki nyote mloshiriki❤
@LighySteven-gd8wo
@LighySteven-gd8wo Ай бұрын
Jamn wanaosubr ndoa ya kay na zuu gonga like hapaaaa.....nmekuwa wa mwisho naombeniii like zangu❤much love from kenya
@glorykadzo
@glorykadzo Ай бұрын
Mawifi nyinyi mbinguni hamuendi😂😂😂 mungu niepushe mimi nisiwe wifi mbaya kwa wake wa kaka zangu
@user-ji6cp1ng8g
@user-ji6cp1ng8g 26 күн бұрын
Ishaallah
@RonnyKimathi-k6d
@RonnyKimathi-k6d Ай бұрын
Wanao fuatilia kutoka 🇰🇪 tujuane kwa like
@salehHassan-rl8bd
@salehHassan-rl8bd Ай бұрын
Kenya 🇰🇪 hoyeeee
@12omochildren
@12omochildren Ай бұрын
Uko wapi nikukujie😂😂😂
@user-no5oj4kf4j
@user-no5oj4kf4j Ай бұрын
hoyeee
@user-tx6ir9oe6u
@user-tx6ir9oe6u Ай бұрын
Present 😂😂
@MoureenIminza-m6j
@MoureenIminza-m6j Ай бұрын
Napenda sana❤❤
@tawhidatawhida7344
@tawhidatawhida7344 Ай бұрын
Yte tisa nauliza tu umbo la zuu mmelion ukiacha shep umbo zima❤❤❤
@Mathi653
@Mathi653 23 күн бұрын
Zuu anaumbo flan hiv
@RehemaMwakisyala-k9u
@RehemaMwakisyala-k9u Ай бұрын
Zuu kaongea bonge la maarifa maana likend linatamaa sana mpaka linanikela mdada mzur roho mbaya
@pilicharo4123
@pilicharo4123 Ай бұрын
😂😂😂😂
@OlyUpowerfuljesus
@OlyUpowerfuljesus Ай бұрын
Msisahau nyumba kashaipiga Bei Atakuwa kama nyani mchanga anachekea pori linaungua hajui atalala wapi
@sharifabahar9905
@sharifabahar9905 Ай бұрын
Yani ugombane na mume wako uwende kwa wifi toka lini wifi anakuwa upande wa mke wa kaka yake
@FaridaFocus
@FaridaFocus Ай бұрын
😂Kwanza Kwa kicheko kile tu duuh
@B.M-ix4rz
@B.M-ix4rz Ай бұрын
Heri mke mwenza baadhi mnaweza mkaelewana kuliko mawifi .Mawifi ndio no 1 kuharibu ndoa za kaka zao
@Roby-nw8sz
@Roby-nw8sz Ай бұрын
Ni kwel maaan ni wachonganishi hatariiiiiiii
@jessalmas2122
@jessalmas2122 Ай бұрын
kwa taratibu za kiafrika ziko ukigombana mme kimbilia upande wa mme
@sharifabahar9905
@sharifabahar9905 Ай бұрын
@@jessalmas2122 ila sio wifi ajawai kumpenda mke wakaka yake atasiku mmoja bora kwa wazazi wake sio mawifi
@Mwana85Mwana85-wz1ol
@Mwana85Mwana85-wz1ol Ай бұрын
Aya ten wale mawifi zake zuuu ❤❤ kutoka 🇴🇲🇴🇲 tumejipagaje na harusi
@user-ki9le1jy8e
@user-ki9le1jy8e Ай бұрын
Naomben namm like naon zinafaida coz wat wamekua wakiomba San nipen namm bc😊
@AbusheheSalehe
@AbusheheSalehe Ай бұрын
Zuuh kunapointy kaiongea hapo nimemkubali kama tukopa1 gonga like apooo!!!
@ggfwtgg1652
@ggfwtgg1652 Ай бұрын
Zuuuu umecheza vizuri umeongea point kwa sasa unaweza kuwa mke bola wakai mushauli wake muzuri jmn nimependa 😅😅❤❤❤❤❤
@RizikiZiki
@RizikiZiki Ай бұрын
Pole sana mke wa ciku zuu maamuzi mazuri lakini hati zimeondoka na Candy zuu yuko sahihi kabisa nawapenda zuu na kay mufunge ndowa❤bibi aace mufunge ndoa
@QueenChill
@QueenChill Ай бұрын
Tem zuu jmn tujuane naomben like zangu chap ❤️❤️
@buru1235
@buru1235 Ай бұрын
Wow am proud of you Zuu and Kai together Mashallah by Kwa candy n lzm kai ataweka Sahihi Ndio nyumba itoke Wallai
@DechaQueen
@DechaQueen Ай бұрын
waaaaa apna isikuwe ivyo bn
@Ismaelmeja
@Ismaelmeja Ай бұрын
Kazi nzuri kaka pull up your socks Kai hata Dada Zuuu Ako poa🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ from Kenya 🇰🇪 wanakupenda sana 🙏🙏🙏
@user-ii3rb6uj7g
@user-ii3rb6uj7g 16 күн бұрын
Wakenya hatiombe like ila twapata acha nkupe yangu mana umesuggest❤
@manirambonajeanne3876
@manirambonajeanne3876 Ай бұрын
Nani ameona kama huyu bibi wazuu niyule bibi wa wahile movi yajia kama umeona hilo gonga like
@user-kp4yg7sh7j
@user-kp4yg7sh7j Ай бұрын
Team strong pitieni huku Kwa Kai na zuu 😂😂😂❤❤❤❤
@Iteritekamimi-yk8nx
@Iteritekamimi-yk8nx Ай бұрын
Kai ule mupuzi muaciye muanze maisha mapya vyenye zuuuuu alikwambia wallah siosiri nawapenda❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🔥🔥💯💯💯
@zainabuomary9085
@zainabuomary9085 Ай бұрын
Dada ake chiko mwache atambe wakati chiko ndio hawezi kumpa mwanamke mimba😢mimba ya candy ni ya papaa
@SabrinaSabrina-ji1cb
@SabrinaSabrina-ji1cb Ай бұрын
Jmn tim zuuu tujuane na tuliokuwa tukisubir kwa ham
@SamiraseifAlfan-ph4ke
@SamiraseifAlfan-ph4ke Ай бұрын
Hii kesi ya ngedere kapelekewa nyani . Wif mwenyewe kita mkuta kitu sijapenda kbxa
@user-lz8kb9ds8k
@user-lz8kb9ds8k Ай бұрын
Wao kumekucha jamani na dada zuuu waaah kai umepata mke bora sasa wapi harusi ya kai na zuuu❤❤❤❤❤❤❤❤
@MymunaMuna-qn5lo
@MymunaMuna-qn5lo Ай бұрын
vijora vipo hapa
@user-lz8kb9ds8k
@user-lz8kb9ds8k Ай бұрын
@@MymunaMuna-qn5lo itabid tushone sure maana waaah raha is iyo kifani jamani
@Saumu-vr4bc
@Saumu-vr4bc Ай бұрын
Da Masozi,, Candy ungemvisha dhera😅😅
@FailaQueen-qm4dt
@FailaQueen-qm4dt Ай бұрын
❤❤❤🎉🎉 munipe like na mimi from usa 🇺🇸
@hlimaa5182
@hlimaa5182 Ай бұрын
😢😢😢😢pole sana my dear 😘 Zatiti kwa nachungu juu ya machungu ushauri wangu kwako dear endelea kusimama kwenye ndoa yako zidisha subra uta yaona matunda yake love 💕 you 😘 my dear 😘 za titi Dua 🤲🏼 zangu kwako dear
@AishaAlmas-cm5bf
@AishaAlmas-cm5bf Ай бұрын
Kila mtu anaomba like, Jamani namie naombaaaaa
@JaneroseWarren
@JaneroseWarren Ай бұрын
❤ bibi zuh 😂😂😂 she always play her part 😅😅
@Protais-Tv
@Protais-Tv Ай бұрын
Abantu biburundi🇧🇮🇧🇮 ko ntababona like ngaha basha😅😅
@HawaSadock
@HawaSadock Ай бұрын
Ulakomeye iwee
@RizikiZiki
@RizikiZiki Ай бұрын
Nihoturi❤
@user-gz8no9du9y
@user-gz8no9du9y Ай бұрын
Turiii hanoo
@blandinedusabe
@blandinedusabe Ай бұрын
Uhisemwo gu coment mukirundi😂😂😂❤❤❤
@LatiffahHassan
@LatiffahHassan Ай бұрын
Turingah😂😂
@macrinafuraha-zg3mi
@macrinafuraha-zg3mi Ай бұрын
Woooow nimekua wa kwanza kama unaamini kua mama candy atamsamee mwanawe gonga like apa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@IddyMohamedi-w7i
@IddyMohamedi-w7i Ай бұрын
Bongo movie inafika kimataifa kwa mara ya kwanz season nzuriii sanaaa heb tujipongeze jamn
@Swamyhassan_sy
@Swamyhassan_sy Ай бұрын
Mawifi hata harufu ya pepo itakuwa mbali na nyie 😢😢msikilize mwenzio mfarji hata kidg daah hongeren sana kwa move nzur ina mafunzo mazur❤❤❤🎉🎉tunajifunz ving
@user-fw9vd3yo3v
@user-fw9vd3yo3v Ай бұрын
move inamafunzo san hongereni
@user-nl1vy8sh1j
@user-nl1vy8sh1j Ай бұрын
𝐊𝐚𝐳𝐢 𝐧𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐒𝐚𝐧𝐚 🎉🎉
@shillahnafula4207
@shillahnafula4207 Ай бұрын
Musijiombee likes tu muniombee na mimi pia
@user-gc7xt5sf7q
@user-gc7xt5sf7q Ай бұрын
Weee kazi nzuli Sana Kai unaweza kwel
@fey-ge9pm
@fey-ge9pm Ай бұрын
wa kwanza leo naitaji like zote ata mnichambe poa kwani kuna shido
@FelisterMchala
@FelisterMchala Ай бұрын
Shidoo🎉
@Aishamzamilu
@Aishamzamilu Ай бұрын
Bibi ndo ananifurahisha 😂
@user-mv6vi1gv6f
@user-mv6vi1gv6f Ай бұрын
Leo 75 naomba mwenye atakuja nyuma anipe like 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@aminajuma-rw2rt
@aminajuma-rw2rt Ай бұрын
Hivi jaman kwa sasa Kuna mwanamke anae weza mwambia mwanaume hivyo kama zuh ety tuache Mali ili tianze upya duh mie mwenzie na zuh❤❤
@Shinyg3l
@Shinyg3l Ай бұрын
Yeah mm hapa😅👌
@rosemarenga832
@rosemarenga832 Ай бұрын
Ongeren sana Kwa Kaz nzur❤❤❤🎉🎉🎉
@NganziAthumani
@NganziAthumani Ай бұрын
Jaman me nikama zuu nipen laik zangu
@evarkhanaya7891
@evarkhanaya7891 Ай бұрын
My favorite actors ❤❤❤❤🙏🙏
@besuramahenge6032
@besuramahenge6032 Ай бұрын
Maajabu nimekuwa wa 115 nimewah leo like moja kwangu jaman
@MozaRished
@MozaRished Ай бұрын
Kwani ukiwa wa 115 unakuwa umewahi😂
@DjFg-ue3pg
@DjFg-ue3pg Ай бұрын
Nawacheki nikiwa saudi congratulations kwa kaz nzuri
@Alexismadimo
@Alexismadimo Ай бұрын
Saudi ya kigoma
@neybadada3044
@neybadada3044 Ай бұрын
Nmefurah jmn kai na zuu ❤❤❤❤
@zainabzain3434
@zainabzain3434 Ай бұрын
Mawifi hao hawajawahi muacha mtu salama ila daima linawakuta jambo mwisho wa ubaya aibu
@SarahEnock-kq6ys
@SarahEnock-kq6ys Ай бұрын
Duuuuu hii movie nihatali sana naona mnashelewesha epsod 47 yaani nimeipenda sana Kai penda sana ww
@Aishybeb
@Aishybeb Ай бұрын
Km unamkubali zuu kwa mawazo aliyompa Kai kuwa amkabidhi candy mali zake zote gonga like hapa ❤❤
@user-sr7pk7vb8o
@user-sr7pk7vb8o Ай бұрын
Na yule aliempa hatii ndio atakae mdhurum😅😅
@Aishybeb
@Aishybeb Ай бұрын
@@user-sr7pk7vb8o kweli dunia hii ina mambo yake
@user-zu2ki2uh9m
@user-zu2ki2uh9m Ай бұрын
Wanayo furaha kuona zuu tena na kai tujuane jameni
@Phoebenafula
@Phoebenafula Ай бұрын
Hongera sana busati tv,🇰🇪🇰🇪Tunawapenda sana❤❤❤❤
@DelphinaJeremiah-ii1rv
@DelphinaJeremiah-ii1rv Ай бұрын
Kai kai kai nimekuita mara tatu Zuu ashasema utumie busara sasa wew katumie hasira😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
@DechaQueen
@DechaQueen Ай бұрын
pamoja kai kai kai zuu
@RobinaRob-ln3ij
@RobinaRob-ln3ij Ай бұрын
Mh wa kwanza kutoka gulf naomba likes plz
@user-sk7un6ls2t
@user-sk7un6ls2t Ай бұрын
Penzi la kai na zuu pambe yatima wa mapenzi tupo 😂😂😂😂😂😂😂
@glorykadzo
@glorykadzo Ай бұрын
😂😂😂😂tupoo sanaaa
@user-sk7un6ls2t
@user-sk7un6ls2t Ай бұрын
@@glorykadzo🤣😔😔🤣
@ShamiAl-ww6gp
@ShamiAl-ww6gp Ай бұрын
Jaman msinisahau nipo hapa
@user-sk7un6ls2t
@user-sk7un6ls2t Ай бұрын
@@ShamiAl-ww6gp 🤣🤣🤣
@user-yi9is9ng8w
@user-yi9is9ng8w Ай бұрын
Jamani nipeeni Leo hata like moja. Team khai na zuu❤ nawapenda kutoka kenya
@user-xr8qv9mw9v
@user-xr8qv9mw9v Ай бұрын
Waooo kai na zuu mmependeza sana
@HalimaJafari-yv2th
@HalimaJafari-yv2th Ай бұрын
Jamani mawifi mnanini jamani hamuogopi kuporomosha maneno du 😢😢😢😢
@paschaliapesambili
@paschaliapesambili Ай бұрын
Tuliofurahi zuu na kai kuwa pamoja tena tumwage makopa ya kutosha
@user-nf7kt6wp6s
@user-nf7kt6wp6s Ай бұрын
❤❤❤❤
@MemoryKamutandi
@MemoryKamutandi Ай бұрын
Wakwaza jamani lak kwa zuuu🎉🎉
@tabithanzisa9755
@tabithanzisa9755 Ай бұрын
Najifunza mengi kwa hii movie❤❤❤nawapenda sana mnaoigiza 😊😊harusi ya kai na zuu ndo naisubiria kwa hamu🎉🎉🎉
@ZayAwazi
@ZayAwazi Ай бұрын
Uwoyoooooooooo sinkawai leo nimekuwa wa 26
@EmanuelNgahatilwa-ew8qz
@EmanuelNgahatilwa-ew8qz Ай бұрын
Wakwanza leo nipeni like basi
@JoyceMali-qn3mb
@JoyceMali-qn3mb Ай бұрын
Wakwanza kutoka Kenya naombeni lake
@marymusyoki-j9y
@marymusyoki-j9y Ай бұрын
naona mambo yanaenda sawa kabisa movie inazindi kuwa tamu kila kukicha
@DidaAlly-iz1it
@DidaAlly-iz1it Ай бұрын
Mawifi shikamonii😂😂
@hellolloheloo9743
@hellolloheloo9743 Ай бұрын
ila kay ati usinambie kama mwaweka vitu chini ya godoro no kabadi😂😂😂
@user-mx9pe8go2x
@user-mx9pe8go2x Ай бұрын
Desighn nafuatilia hichi kipindi Dah ,ata nishasahau Na mpenzi Wangu 😂😂😂😂furaha yangu IPO hapa kai Na zuu
@mwajumsleman9070
@mwajumsleman9070 Ай бұрын
EEeeh wifi si shoga weee zatit unaenda kumwambia wifi yko matatizo yko wooiiiiiiii kwa apo umefel shoga daaah😅😅😅wif km wifiiiii
@sawaAsd-cp3dr
@sawaAsd-cp3dr Ай бұрын
Daaa zuuuu🎉🎉🎉🎉 unajuua Sana kushauri kweli baba weeee🎉🎉🎉🎉🎉sanaaa Ila kai weee kazi ipo kwa candy hapo sasa nicheke mm😂😂😂😂😂😂😂
@fatmahaji7639
@fatmahaji7639 Ай бұрын
Zuu pambe ❤❤❤❤
@IujaNjile
@IujaNjile Ай бұрын
Nimekuwa wa kwanza naombeni like zenu
@SalumVullu
@SalumVullu Ай бұрын
Mm naomba cand asi fanikiwe kuuza nyumba
@Happyness-nl1vm
@Happyness-nl1vm Ай бұрын
Wa kwanz leo naomben like
@user-zv5ny8np8d
@user-zv5ny8np8d Ай бұрын
Wakwanza leo jaman😅😅😅😅 naomben like zangu
@lulumhapa
@lulumhapa Ай бұрын
Kazi nzuri sana jamani busati TV 🎉❤.. zu na kai nawapenda sana
@user-qx2qj1li4q
@user-qx2qj1li4q Ай бұрын
Ñawapenda sana team zuu na team Kai hongerani sawa ❤❤❤❤❤❤🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@SusanJulius-cu8xp4vx4m
@SusanJulius-cu8xp4vx4m Ай бұрын
Nafikiria nimewahi kumbe kuna wenye wamerauka
@sharifanyumayo6314
@sharifanyumayo6314 Ай бұрын
Nawapongeza mno ila naomba mturushie EP.3 Kwa siku mana Huwa inaishia pazur aaah! ❤❤❤❤🎉
@user-gg9ww7hs9t
@user-gg9ww7hs9t Ай бұрын
Hongera sana zuu mwanamke uliyefundwa kafundika nawapenda sana team nzima ❤❤❤ from 🇰🇪
@Nailah736
@Nailah736 Ай бұрын
Wangapi wanakubaliana na hayo mafunzo ❤❤🎉🎉🎉 asanteni sana wahusika kwa jumla🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@RehemaMwakisyala-k9u
@RehemaMwakisyala-k9u Ай бұрын
Jamani mke wa chiko ananiliza mm et 😢😢😢
@TeddyPaul-j3g
@TeddyPaul-j3g Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-rz7kv9pn8m
@user-rz7kv9pn8m Ай бұрын
Tayari jamani njooni tutizame pamoja
@RehemaMwakisyala-k9u
@RehemaMwakisyala-k9u Ай бұрын
Yan kend nyumba unaachiwa lakin lazima ulipie uliyoyafanya na malipo ni kutapeliwa
@Saada-g4j
@Saada-g4j Ай бұрын
Sana
@aishaseif-zq6zx
@aishaseif-zq6zx Ай бұрын
Jman nimekuwa wa kwanza leo naomben like ata 5
@PendoBanka
@PendoBanka Ай бұрын
Kila m2 like anahitaj,ielewe kwanz then udai like❤❤ 🎉🎉🎉🎉
@user-or6eo6qj8b
@user-or6eo6qj8b Ай бұрын
Leo ni nimerauka jamani si muleniona Lakin sitki like😂😂😂😂
@ErastoNgerangera
@ErastoNgerangera Ай бұрын
Wakwanza uyu ap
@user-wh9wd7jf2z
@user-wh9wd7jf2z Ай бұрын
Kendi badilisha nguo Sina tatu nguo hiyo hiyo🤣🤣🤣
@LaizerChionda-de6ul
@LaizerChionda-de6ul Ай бұрын
Huo muda anao Sasa 😂😂😂 wakati kavurugwaaaaaa
@janemarymilemberutahoile7210
@janemarymilemberutahoile7210 Ай бұрын
Nakupenda bure Unavyompenda Kai kwamba upo tayari kuanza maisha mapya❤❤❤
@rahemh1234
@rahemh1234 Ай бұрын
Wewee ❤❤🎉😂🎉zuu atamtoa roho kai kwamahaba jaman ❤❤❤❤❤
@user-ii3rb6uj7g
@user-ii3rb6uj7g 16 күн бұрын
Jaman bibi na mshono wake wa kitenge 🎉🎉🎉🎉njoon muone bibi karud msichana😂😂😂
@AliHaruni-q7n
@AliHaruni-q7n Ай бұрын
Natokea Kenya hii movie imeweza mashaallah ✌️✌️👍👍
@NuruenezaJosephEnock
@NuruenezaJosephEnock Ай бұрын
Daaahh kweliii Zuuuhh anafaa kuwa mkee wa Khai maana Kila anachokiwaza na kumweleza Khai ni kwelii kipo sahihi
@LaizerChionda-de6ul
@LaizerChionda-de6ul Ай бұрын
❤❤❤team Kai na zuu mjee apa mara moja 😂😂😂
HOUSE GIRL EP 47 || love story💞💕
20:02
BUSATI TV
Рет қаралды 155 М.
Harley Quinn's revenge plan!!!#Harley Quinn #joker
00:59
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 25 МЛН
Magic? 😨
00:14
Andrey Grechka
Рет қаралды 12 МЛН
How I Did The SELF BENDING Spoon 😱🥄 #shorts
00:19
Wian
Рет қаралды 36 МЛН
الذرة أنقذت حياتي🌽😱
00:27
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 18 МЛН
MTOTO WA SHEIKHE (Ep 16)
15:23
Comedy Plus
Рет қаралды 28 М.
KISS MY PAIN 1:IRENE UWOYA /HEMED PHD
53:23
Halisi tv
Рет қаралды 906 М.
SNAKE BOY | ep 32 | SEASON TWO
41:00
CLAM VEVO
Рет қаралды 694 М.
JUA KALI LEO IJUMAA TAREHE 23/08/2024 FULL MOVIE HD
27:34
Kelly tv
Рет қаралды 9 М.
HOUSE GIRL EP 30 | S2 | love story💞💕
21:05
BUSATI TV
Рет қаралды 98 М.
HOUSE GIRL EP 45 || love story💞💕
21:18
BUSATI TV
Рет қаралды 157 М.
MISSION IMPOSSIBLE [25]
17:49
CHADO MASTA FILM
Рет қаралды 112 М.
Jua Kali leo Ijumaa Usiku 23-8-2024 High Quality Definition
24:54
Kasai Boy Tv
Рет қаралды 22 М.
Harley Quinn's revenge plan!!!#Harley Quinn #joker
00:59
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 25 МЛН