ALLAH AKUHIFADHI SHEKH WETU HILAL SHAWEJI MAKARANI A.K.A KIPOZEO
@KhalidRashid-yr2hu15 күн бұрын
Wallah hamna shekhe nampenda dunian kama shekhe kipozeo yarrabi kwa rehm zako mjalie shekhe kipozeo pepo ya firdaus amiiiiiiiiiin
@mwaringakali483 Жыл бұрын
Kazi nzuri sana bwana kipozeo Allah akupe afya na nguvu
@rajabukimosa3377 Жыл бұрын
Mashaallah Allah akupe heri duniani na Akulipe wema Akhera
@hadjrahkhalfan3584 Жыл бұрын
Manshallah tabarakallah imam Abuu Hanifah kwa jibu zuri saana
@Moranotz16 күн бұрын
Mashallah isilamu ❤
@stevenkipara93105 ай бұрын
Mmmm! Mbona huyu Sheih yote anayo zungumza yapo kwenye bibilia Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
@abduladenya2435 Жыл бұрын
Sheikh Mola amjaze kheri ana ilmu kubwa na Bora zaidi,Kenya tuna m enzi
@asrymohd6690 Жыл бұрын
Muda mwengine mada zako zinanikosha Mashallaaah
@zayanaduduna1405 Жыл бұрын
Maa shaa ALLAH tabaraka ALLAH ALLAH akupe JANNAH FILDAUSI ALLAHUMMA AMIN YA RABBI 🤲🤲🤲🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@user-sy3qw2zk1b11 ай бұрын
Mwenyezi MUNGU akupe umri mrefu na akuongezee hekima ktk mafundisho yako ya kilimani. Mimi ni mkristo lkn napenda kusikiza hekima hii ulionayo.
@ibnukhatwib29695 ай бұрын
Karibu katika dini ya haki,ndugu mpendwa
@ibrahimally8073 Жыл бұрын
SubHanaAllah.. Allah atujaliye mwisho mwema
@saidmwakulika9945 Жыл бұрын
Kugongozwa roho Allah atupe wepesi
@othmanmasoud16727 ай бұрын
Maana vijana wa kileonataka kukifanya kila kitu mnajuwa kazi yenu kuwakosoa mashekhe tu hata kama hamjui
@mohamedali7544 Жыл бұрын
Ustad kipozeo MashaAllah. Maustadhi wengi tz huwa nimatabibu Inna Lilah wa Inna Lilah rajiun
@zitoncombo1317 Жыл бұрын
Mashallah Tabarakallah shekh.
@RadjabuNiragira-xr5zr Жыл бұрын
Mansha allah nakupenda sana maana mawaifha yako napata faida alafu na unanicekesha
@saidmwakulika9945 Жыл бұрын
Yani 😂😂😂😂 ustadhi wangu huwa nakutambua sanaaa
@safielimjema4593 Жыл бұрын
Nakuelew sana sheikh kipoozeo
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Mtihani kwa kweli
@AllyMwambashi9 ай бұрын
Kila la kheri shekhe
@user-du6bd3no2b5 ай бұрын
Mzee wa mizigo miss bantu
@issachitupa590 Жыл бұрын
Shekh irali kipozeo nakukubali sana
@abdallahbrek1698 Жыл бұрын
Hapo katika Sunna mjomba umechanganyikiwa. Allah katuamuru tufuate kitabu chake. Muhammad alikuwa ni mjumbe tu. Tufuate ujumbe aliopewa, Qur'an. Wala hakuna cha makhulafaa wala khilafa. Huo ni uzushi chungeni
@fahadmussa887911 ай бұрын
Sun bwana wana chunguza mada nzima ili wapate kwakukosoa sio kupata dawa wao niubishanitu
Nayapenda mawaidha ya sheikh kipozeo lakini kwanini hapendi kuja Kenya??
@musegedi31979 ай бұрын
Cre
@abdallagaza6864 Жыл бұрын
❤
@lulurubby2235 Жыл бұрын
Shekhe mwalimu alijua kuwa ankufa saabu alikua na stage 4 cancer alikufa muda alioambiwa atakufa na alikufa muda alioambiwa na madaktari na nyerere alimwambia ata mkapa ( ugonjwa huu mimi sitopona) na mkapa akawaambia wananchi
@SultanAkram-ou8nt4 ай бұрын
Uwezo wa kufikiri wa mwanadamu una kikomo ,hivyo na ww hapo ndo mwisho wako wa kufikiri
@SultanAkram-ou8nt4 ай бұрын
😊😊😊
@othmanmasoud16727 ай бұрын
Hiyo sio mada hayo ni mawaidha wee vip eti wakati mwingine mada zako zinanikosha alafu huyo shekhe kama hujui anavitu vingi kichwani achilia mbali huo uchale wake
@ManaseManase-in3bg Жыл бұрын
Naminywilu ndo wapi shekh
@saidimaliki8342 Жыл бұрын
Mkoa pwani
@aisharajimbo6784 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@soudhussein7396 Жыл бұрын
Ukitaka kumjuwa IBLIS kwanza ijuwe nafsi yako mwenyewe.
@edoedo4973 Жыл бұрын
MASHEIKH WETU MNAFULAI SANA KUPATA RAIS MWANAMKE MASHEIKH INABIDI TUPATE NA MAIMAMU WANAWAKE