#Palestina#Israeli#Ibrahimu#Wayahudi • RAMANI SITA ZINAZOONYE...
Пікірлер: 234
@two_ti2ramlan9939 ай бұрын
Huwez kuiacha israel kwenye raman ya dunia amin ucamin itakupa tabu mana ni mungu ndio kaiinua...nayapenda sana haya maneno mungu zidi kuipigania israel na watu wake mkono wako ucwapungukie naomba haya kwa jina la yesu ameeen
@Joserine-kw7sg9 ай бұрын
Amin😊
@lydiakajuju34778 ай бұрын
Amen
@samsonoyugi73178 ай бұрын
Israel the choosen people of God
@abdallahmmary85913 ай бұрын
Ibrahimu sio myahudi
@patiencekalondji80912 ай бұрын
hallelujah hallelujah mtumishi tunashukuru ila nafikiri kwamba Abraham alitumie uongo ili farao apate ujumbe wa Mwenyezi Mungu na baada ya farao kupokea Neno la Mungu kupitia Abraham ndipo farao alikubali na kumpa Abraham hesma
@marymaria65449 ай бұрын
Amen asante n mebarikiwa sana Kwa hii simulizi YA baba Wa Imani kuu
@christineneema30082 жыл бұрын
Umesimulia vizuri mungu akubariki daima
@sirizabiblia52762 жыл бұрын
Amen
@peterupete8620 Жыл бұрын
Amen🙏🙏🙏🙏
@user-eq9ip5ng5o8 ай бұрын
Ahsante Sana kwa historia nzuri na ufafanuzi huu🙏🙏🙏🙏💜💜💜💜nimeipenda Sana hii God bless you and your family
@OmanOman-yn2zj9 ай бұрын
Ameeen ameeen ubarikiwe mnoo mtumishi wa MUNGU❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏
@peacemwesiga8 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ukweli itabakia kuwa ukweli daima milele asante Mungu Baba❤❤❤❤
@gracewilfred7276 Жыл бұрын
Mungu ahadi zake ni ndiyo na amina
@KissaShao8 ай бұрын
Jina. Mungu ni vema usianze na herufi ndogo mungu x tumia Mungu au MUNGU . ubarikiwe.
@schollastickamathanacki60623 жыл бұрын
Hongera kwa simulizi nzuri Mungu akubariki na azidi kukutumia kuwasaidia watu kujua ukweli
@BarakaPeter-yi2nh9 ай бұрын
Mchungaji umebarikiwa sana akili mungu alio kupa ni zaidi ya wanasayansi tutazidi kukuombea mchungaji mwema wetu❤
@ClementVenance9 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@Beatriceandeyo9 ай бұрын
Historia nzuri sana ,nimependa kuuisikia sana ,barikiwa sana mtumishi wa mungu
@johnlodaanАй бұрын
Amin Amin.
@kennedykimaro-ss1ll Жыл бұрын
unarikiwe mtumishi wa mungu
@kijanamdogodogo94393 жыл бұрын
Good story Hongera sana tena sana
@sirizabiblia52763 жыл бұрын
asante sana sana
@GnakoGnako-ee6jr8 ай бұрын
mtumishi mungu hakubaliki sana najua IPO sku watajua hukweli kama huu
@user-fi2tm6gy6m4 ай бұрын
Wakenya wafamu neno lamungu ili waaze kuwa mwanadamu zizi wote ni viumbe vya mungu ❤
@user-fk8ul9dd5p8 ай бұрын
wakristu kwa mungu hawajulikani ungeniambia wayahudi kidogo hawo mungu anawafaham kama unabixha niambie dini ya ibrahm
@derickmponzi65829 күн бұрын
Kama MUNGU alimtuma YESU kristu sasa iweje asi wafahamu wafuasi wake ambao niwa kristu
@njugunamichael40173 жыл бұрын
Yahweh ndiye aliyemuita abrahamu, sio mungu mungu ni muchawi ama shetani baba ya Malaya na wezi
@judymwende5712 жыл бұрын
Amen
@lulutambi85189 ай бұрын
Sasa Yahweh maana yake nin ??
@genstaremetv79979 ай бұрын
Amen ubarikiwe
@omarmgeni87823 жыл бұрын
Lkn Nabii Ibrahim alikua muislam
@furahinimbise7969 Жыл бұрын
Uislam ulikua hauja zaliwa, uislam una miaka 1660 tuu. Tofauti na ukirsto
@andrewkundya7324 Жыл бұрын
Ndio mlivyodanganywa....someni mtoe ujinga
@andrewkundya7324 Жыл бұрын
Uislam ulianza baada ya kuzaliwa Muhamad
@irene3abi1239 ай бұрын
Uislam ulianza baada ya YESU kufufuka na kupaa mbinguni Uislam ni uzao wa maid
@user-nr2ud1dm3y3 ай бұрын
Uislam uliasisiwa na mtume wa mwisho, Mohamed.
@kombozimbwilo42893 жыл бұрын
Ameni apo tupo pamoja kabisa nb zangu zimetumika KWA faida
@user-zz8qr9gn1f8 ай бұрын
Anayejiita Dr Sule na wapotoshaji wenzake hawaelezei kisa hiki cha Mungu na nabii Ibrahim Sule huungana na waarabu wavamizi wa KANANI au Palestina kupotosha ulimwengu ndiyo maana kichapo kinaendelea maana wanapinha mpango wa mungu
@afidhidadi88478 ай бұрын
Simulizi hii na simulizi ya Dr sulle hazina tofauti yoyote. Asa nyie mnagawanyika vipi wana wa kizaz kipya. Maana pia suala la wake wengi kumbe limenza Kwa baba wa Iman abraham.
@mishymorgani58282 жыл бұрын
Jamani,!!! Yani nimeinjoy kwelj kuskiliza simulizi hii 😍😍😍
@sirizabiblia52762 жыл бұрын
barikiwa sana
@saliminyusuph61228 ай бұрын
Simulizi gani wakati NI ukafiri huo.
@user-ci7hd4ip6x9 ай бұрын
Amina mungu akubariki sana mtumishi
@rehemar36593 жыл бұрын
Ameen
@dismasmtui7298 ай бұрын
I am a proud christian and I will always be!.
@access48hottestnews563 жыл бұрын
I like your researched keep on
@chairokongo54303 жыл бұрын
Yes its good BT this are found in the Bible you can read it and you'll get real knowledge.
@genevievesunday9 ай бұрын
Asante Kwa fundisho barikiwa
@johnlodaanАй бұрын
Waah amin amin, duniani nzima watamini.
@user-ot2xk9kc9y9 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@gracenyangusi62303 жыл бұрын
🙏👍 A man of God
@jaybeesharon10672 жыл бұрын
Siri za bibilia Imekua baraka Kwangu
@wallenmaulisa-me4ik9 ай бұрын
Barikiwa sana kwa neno
@kiraithedouglas9 ай бұрын
Sijawahi ona ama kusikia kuja diini yetu utapata Mali ,,,ama tutakupea pesa uwe tajiri,,, dio mahana nko tu kwa mafunzo ya baba wetu aliye mbinguni Amen
@user-ch5wd9dp8h9 ай бұрын
Ubalikiwe sana
@user-bw2bg6ie4c9 ай бұрын
Bwana awabariki wapendwa abwana
@josephbendera39929 ай бұрын
Amina huu ndo ukweli Israel lile NI taifa walilopewa na Mungu mwenyewe
@user-oj1dv7ci1v9 ай бұрын
Mungu ongeza ngumvu Israeli
@MyebeChalres7 ай бұрын
ubarikiwa sana
@user-xk1vu6jd4l3 ай бұрын
Ameeen🙏
@murhabazibanywesizeeliya5246 Жыл бұрын
Asante sana bb
@SubiraJoseph-sr7kh9 ай бұрын
Ubarikiwe
@rukiagambere80503 жыл бұрын
Mashaallah
@pascasmathew4243 жыл бұрын
Wakanaani walifikiri kuwa Mungu haoni matendo Yao . Mungu aliwayapika Hadi Leo wanatafuta nchi Yao hawioni , wanasema wanaonewa tuu
@wellahsuleiman78813 жыл бұрын
Asante, KWA MAFUNDISHO. TUNAOMBA UTOE MUSIC UNAPIGA KELELE. HAUNA FAIDA
@user-pq9be8re6i9 ай бұрын
Mungu haendelee kutufunulia
@user-mg6ss2rc8e5 ай бұрын
Ubarikiwe ewe Israel kama MUNGU alivyosem atakayeibarik Israel atabarikiw naye atakayeilaan atalaaniw
@lileoh38933 жыл бұрын
Sema iblhim mwoislam yule
@andrewkundya7324 Жыл бұрын
Soma ufute ujinga
@eliasfesto46043 жыл бұрын
Story nzuri
@JaneJoseph-op3js9 ай бұрын
MUNGU akubariki umeelezea vizuri sanaaa
@NaumiBaya-wr7ri10 ай бұрын
Amen amen
@pascalhoza62973 жыл бұрын
Nataka nikusahihishe hakuwa falao aliemtaka Bali alikuwa Abimeleki aliemtaka mke wa nabii wa mungu Ibrahim.
@abidandastanmaliyatabu13739 ай бұрын
Soma biblia vizuri wewe
@Ldm78469 ай бұрын
Ilifanyika mara mbili..Kwa Farao na Kwa Abimeleki...popote Ibrahim alipofika alimwambia Sarah aseme kuwa wao ni ndugu. .Kwa hiyo ilifanyika Kwa Farao na Kwa Abimeleki...soma biblia..barikiwa
@betramsambali9 ай бұрын
Saaaafi sana leesamusha 5213
@abidandastanmaliyatabu13739 ай бұрын
@@Ldm7846 ngoja nitafatilia kwa kina mtu wa Mungu
@jlaafc65622 жыл бұрын
Ameeeen 🙏🙏
@jlaafc65622 жыл бұрын
Barikiwa sana sana
@kadunawewe72483 жыл бұрын
Nice
@ramazanihakizimana92913 жыл бұрын
Asant sana kutujuza historian ningependa kuliza dumascus iko inchi gani nafkiri ni (Syria) kama aijasahau na inchi ya babel kwasasa inaitwa (iraq) kama skusahau
@sirizabiblia52763 жыл бұрын
uko sahihi kabisa
@rachelevarist703 жыл бұрын
@@sirizabiblia5276 mnachokosea wa kristo hua mnaficha ukweli yaani biblia inavyoongea nanamvyoisoma tofauti huyo sio Abraham anaitwa Ibrahim yani hata majina mnaogopa kuyataja cjui mnaogopa ñn
@mwassamwassa7264 Жыл бұрын
@@rachelevarist70 kabla hajawa Ibrahim aliitwa Abraham
@flova70229 ай бұрын
@@rachelevarist70 Rachel hatufichi..Ila biblia ndio imesema hayo
@shirrangimedia45709 ай бұрын
Huyojamaa hana elimu yoyote namkumbuke kua uislamu umekuja kupinga kila kitu chakimungu duniani hatakama utawaambia ukwer wanalazimisha uongo uwe ulwer biblia ndo kitabu cha kwanza kuwepo duniani nandicho kitabu kinaielezea dunia A..2..Z nandiomaana Qur'an haizui ibrahimu mwanzo hakuitwa Abraham na Israel aliitwa yakobo hapomwanzo nahawajui kua Israel nijinalamtu ambaye watotowake ndio wanashikilia ukoo wa Israel watoto kumi nambili wanakusanya maandiko kutoka ndani ya biblia nayakwao wanatudanganya kua Qur'an ilishushwa namungu daaaa dini bwana mungu awasaidie
@user-gq6vz6we3m9 ай бұрын
Kuna dini Fulani inapinga ukweli maana vitabu vyao si vya Mungu havina ukweli tena wanaumia wanaposikia somo hili. Thanks Jesus amen.
@salumuluhanja20499 ай бұрын
Ibrahim anatokea nchii gan jiulize
@allymahiyo24649 ай бұрын
Kasome vizur?
@wamorire20439 ай бұрын
@@salumuluhanja2049Iraq
@aminamikidadi77549 ай бұрын
@@salumuluhanja2049 Ibrahim alitokea Iraq. ....
@Harrison-zh9sb9 ай бұрын
@@aminamikidadi7754 kutokea iraq haimaanishi kwwmba nimuiraq azamani watu walikua wakitembea maeneo mbali mbali wakifanya biashara pamoja na makazi kama vile yusufu alivyo pelekwa misri hadi kuwa mfalme wa misri
@loishiyelukumay69723 жыл бұрын
🤲🤲
@user-bf1pv4hz8h9 ай бұрын
❤❤ daima Israel
@EsterBernardoVumo9 ай бұрын
Amen Amen Amen
@JanethUrasa-qs5ot9 ай бұрын
Barikiwa
@EvaristLazaro2 ай бұрын
Wakati wa Ibrahim Uislam haupo,
@daffagunda-rm3hj9 ай бұрын
Kwakweli bibilia inakila UKWELI, hakuna kitabu Chenies.uhalisia.kama hiking,Mungu.nakushukuru sana kuitwa.mkristo.Amen
@NicksonChengula8 ай бұрын
Mngu ibaliki esraeli
@joycenose23569 ай бұрын
Amen
@emelykinsindi94399 ай бұрын
Nimekuelewa vyema mtumishi
@olivaerasto66699 ай бұрын
Mungu hatetewi na mwanadamu,wameligoroga watalinywa.Israel ni mbonyi Mungu aliye hai.hao warabu watajuta kwa walichokifanya
@huseinmwandwani19099 ай бұрын
Ibrahim hakuwa muislam wala hakuwa mkristo bali alikua mcha Mungu sana
@betramsambali9 ай бұрын
Hiyo ni hoja nyingine,we sikiliza story hii ya ukweli na imeandikwa ktk kitabu gani. THE BOOK OF BOOKS EVER BEFORE.
@user-mz3hh6pr9x9 ай бұрын
amani mungu baba ainuriwe
@deboramsangi36011 күн бұрын
Hiyo inaitwa ndoa iheshimiwe, farao alipogundua ukweli akasema mmh,,nenda na mkeo baba
@forcienelokoiluku5 ай бұрын
Kabla ujaanza kuongelea mambo ya mungu au yawakina abraham au musa ungefuatilia kwanza ukweli kuusu mungu kama yupo kweli au ayupo na ungefuatilia kwanza uwepo wa dini afrika ilikujaje na ungeenda kufatilia ukweli na uongo wa dini ya kikristo na kiislamu ndo utajua kuwa mungu ajawahi kuwepo na ayupo ajawahi kuzaliwa au kuwa kwenye dunia hiii
@forcienelokoiluku5 ай бұрын
Dini za waarabu na wazungu pale walipo ileta afrika ndo imefanya afrika mpaka leo atuna maendeleo nina mengi ya kusema ila kwasababu ni text au commment siwezi kusema yote
@forcienelokoiluku5 ай бұрын
Ila hakika mungu ayupo na ajawai kuwepo in this world
@user-ze8tm5zj5q9 ай бұрын
Amen ,,nimefurai sana mtumishi wa mungu
@saliminyusuph61228 ай бұрын
Anawadanganya huyo mtumishi wenu. Israel a.k.a Yacob alikuja mbele Sana ya Ibrahim. Sasa unadanganywa maana Israel Yacob yeye Mwenyewe alizisoma habari za Ibrahim karne nyingi zilishapita.
@EvaristLazaro2 ай бұрын
Ndg zangu wakristo tembeen kifua mbele kwa kuwa ninyi mmechagua njian ilyo Bora,maana mmekuwa kundi moja lenye mchungaji mmoja,jamani,jaman ukristo ni hazina kubwa na yatupasa kuisoma vyema BIBLIA
@francismsagati75958 ай бұрын
❤❤
@ustadhfarouq772910 ай бұрын
Haki wakristo nimeamini sio wasomi Eti Ibrahim alikabidhiwa Israeli wakati Israel wakati wa Israeli ilikua hakuna, Israel ilianzishwa na mjukuu wa Ibrahim katika uzao wa Ishaq ndio akazaliwa Yacobo na ndiye aliitwa Israel.Wakati Ibrahim yu hai hakukuwa na kikazi cha Israel hebu someni bwana wacheni kutuletea aibu zenu hapa😢
@haruniaisha59059 ай бұрын
Ulie soma basi tupe abari. Umesoma madrasa au darasani poleni lakini 😂
@haruniaisha59059 ай бұрын
Yaaani mtu anakuekea na vifungu vya bibilia bado hawajasoma kasome wewe basi
@saitafrank49459 ай бұрын
Huyu hajielewi huenda nae ndo walewale waliopo gizani sisi hatishindani
@allymahiyo24649 ай бұрын
Mimi binafsi apa nashindwa kuelewa historia ya dini zote inatokea apa mashariki ya kati na apo mashariki ya kati ndio pana matatizo makubwa kupita kiasi natumai sisi watu weusi kuna kitu tumefichwa apa wanaenda kutugawa ktk dini.
@mwassamwassa72648 ай бұрын
Migogoro ya middle east ilianza baada ya dini ya kiislam kukua na kuanza kulazimisha maeneo mengine wafuate imani yao,na ndiyo maana karibu maeneo yote ya waarabu siyo rahisi kuona Watu wa dini zingine
@allymahiyo24648 ай бұрын
@@mwassamwassa7264 sio kweli ndio maana nasemaga kuna kitu kimefichwa sisi watu weusi tusikijue,mosri,irak, even parestina wamejaa kibao watu wasio waislam.
@eliapeter29503 жыл бұрын
Sure
@habibrwegoshora66249 ай бұрын
IBRAHIM ALIISHI KATIKA MJI WA MECCA NDIO ALIUJENGA HUO MSIKITI WA MECCA NA KAABA YAKE NA NDIO ALIKOISHI NA KUZAA WATOTO WAKE ISHIMAEL(ISMAIL) MTOTO WA MJAKAZI NA ISAKA(ISAAC) WA MKE MKUBWA... IBRAHIM ALIISHI HAPO... TOFAUTI NA UONGO UNAOELEZWA NA WATU WA MADHEHEBU MENGINE
@edymoney58952 жыл бұрын
Duuuu hakika dini peke yakweli nayamitume ni ukristo nikitabu cha kweli ni bibilia takatifu ivyo vingine mungu avitambui
@floraflora57179 ай бұрын
❤❤ kweli kabisa sindiyo maana anavuruga😅vibaka
@flova70229 ай бұрын
Hamna msiseme hivyo...mm mkristu..Ila mkianza kusema hivyo mtaonekana hamtoshi...Mungu kweli anaitambua bibliaa..Ila usiseme havijui vitabu vingine unakosea... kumbuka hata kwenye Qur'an Kuna torati.
@georgemtewele5829 ай бұрын
Ame
@user-kq5si5pv9n8 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤good news
@Diana-lf3nr8 ай бұрын
🔥🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌
@derickmponzi65829 күн бұрын
Mama MUNGU ndie alie mtuma YESU kristu sasa ni vipi asiwa fahamu wafuasi wake ambao ni kristu
@festokivuyo71218 ай бұрын
Mm nime shindwa kuelewa je Abraham alimuacha farao tena mjukuu weke musa aka mpata apa kuna uongo maali tumechezwa
@user-rt7jh8no8p Жыл бұрын
Endelea Kuwadanganya Watu
@saitafrank49459 ай бұрын
Ongea wewe ukweri tukusiki
@irene3abi1239 ай бұрын
Share your link tujue ukweli wako,,,sanamu mtu wewe
@augustabisetsa50078 ай бұрын
Neno litasimama tu
@danieldavid47338 ай бұрын
Kuna ukweli kuwa Farao kila akitaka kufanya mapenzI na Sara alikuwa anaishiwa nguvu za kiume kwa sababu Sara alikuwa mke wa nabiii
@alimaulid95435 ай бұрын
Umetuambia Ibrahim alimuowa kijakazi wake akapata mimba akawa anamzarau sara lkn cha ajabu umesema mtoto wa kwanza wa ibrahim ni isaqa huu ni uongo isaqa ni mtoto wa sara aliyezaliwa baada ya ismail?
@alimaulid95435 ай бұрын
Eti umesema ibrahim alitembelewa na malaika 3 kwa muonekano wa binaadam wakaandaliwa chakula wakala huu ni uwongo malaika hawali!
@MyebeChalres7 ай бұрын
nikweli
@martinmkoba3619 ай бұрын
Waislamu wanatoa adithi za uongo kuuhusu Ibrahim na kupotosha watu
@guledomary28127 ай бұрын
Hivi Ibrahim alikuwa dini gani
@JosephNgangaKenyathanksjesus9 ай бұрын
Ee kweli Ni ameleki 🥱
@valentinernestkavishe72978 ай бұрын
Acha uwongo mbona Israel hakun wakristo? Na mungu gani m, binafsi teuwe taifa moja na kutenga wengine? Ata wewe kama unaamini Mungu yupo wew ni Israel! Soma Wagalatia 3:6,7 kwenye hii dunia hakun taifa la Israel wala bustani ya Edeni hizo ni mifano za biblia! Mfano Tanzania tunaweza kutengeneza story kuwa bustani ya eden ipo Iringa Tanzania hili tupate watalii! Kama wazungu walivyoanzisha taifa la Israel ili waeshimiwe, ninachojua mm Israel ni imani yako! Mungu sio mbaya kiasi cha kuteuwa taifa moja na kubagua wengine... Mungu wetu ni Mungu wa haki❤❤❤❤ nampenda san mungu
@KazunguKadenge9 ай бұрын
Simulizi ni Kama kweli lakini umurongo soma mwanzo 13:1.... Siyo kule uarabuni mambo yote yalifanyika africa
@user-iu4du7ws6s9 ай бұрын
Hakuna muoslamu Wala dini ya ki islamu Bado nadhani dini ya baali ndo uislamu ulizaliwa humo
@augustabisetsa50078 ай бұрын
I'm proud to be christian
@salamabakari83848 ай бұрын
Nendeni uko msitudanganye
@guledomary28127 ай бұрын
Wakristo wanashangaza sana jinsi wanavyowashabikia mayahudi wakati Wayahudi wenyewe hawamkubali Yesu Wala ukristo. Na Wana muita Yesu ni mwanaharamu.. na ni marufuku kuhubir ukristo Israel na hukumu yake ni miaka miwili.
@user-pp9wd1pk4hАй бұрын
Ww fuata dini kenge ww
@user-pp9wd1pk4hАй бұрын
Yako
@zuberisalum20049 ай бұрын
Changamoto ibrahimu nimuitaliano duuu matango poli yabiblia kaz. Kweli kweli
@rodneylamai28478 ай бұрын
Umeipata wapi hiyo?
@hellen90569 ай бұрын
Lakini ni kweli alikuwa dadaake ukiangalia ibrahim na sara walikuwa mtu na dadaake lakini walioana
@Daudshatta-zu4kq9 ай бұрын
Wasiangalie ndev wakathan ukristo umeanza wakati wa aganojipya
@mirajishentembo49629 ай бұрын
Msenge wwe kafiri unaesema kuna dini nyingie sio cha mungu laanaikushike