Nice, hata akiteuliwa kuwa waziri au mkuu wa wilaya, sina shida
@user-uo1zx4yu1z20 күн бұрын
Nilimsikia Steve anasema waende kujifunza wapate Elimu kwangu naona ni ujinga ni bora waje walimu huku huku Tanzania watoe Elimu kwa wengi na sio kuchukua watu wawili watatu kwa gharama
@Hussein-gx4qu18 күн бұрын
Mama Samia anachezea pesa za walipa kodi
@aminamaulid737120 күн бұрын
Aliisemea hiyo perfume jamaniiii😂😂😂
@sophiakimaro517420 күн бұрын
Kwani huko big brother alipata sh.ngapi? Japo hela hizo hazikaagi ni za mauza uza tu.
@josephk9020 күн бұрын
Alipata 600 milioni ila ziliisha zote.
@sophiakimaro517420 күн бұрын
Mil.600 zilikuwa za Uganda au tz?pesa kama hizo ukizipata unafanya matukio faster hazidumugi ni kam za migodini
@ErnestJosephat19 күн бұрын
@@sophiakimaro5174HELA INATEGEMEANA NA MTU!!KAMA AKILI YAKO IKO FASTER PESA INAENDA HVYO HVYO !!KUNA WATU WANAPATA B3 ila Hiezi jua kama anahela anaishi vile vile
@user-pu6pr5jt4n20 күн бұрын
Shemeji wake kwa chibaba😂😂😂
@josephk9020 күн бұрын
Ila Vido punguzaga maswali ya kimbeya bhana, mbona maswali ya kujenga yapo mengi tu😢
@alkhudhertarek97620 күн бұрын
Bora umeongea
@salmamaulidy645920 күн бұрын
😂😂😂😂
@faiza407220 күн бұрын
😂😂😂
@user-pu6pr5jt4n20 күн бұрын
❤❤❤idriss muoe dada wema
@Kabwela77620 күн бұрын
Huyu dogo Pumba kabisa sijui ni mzaramo au mndengereko yaani unapata hela nyingi za big Brother halafu unaendelea kuwa Mavi na ushunzi
@SharifaOmary-ui8vs20 күн бұрын
Ww ndio pumba
@user-xc1vv5ut3l20 күн бұрын
Kweli iina limeendana na akili zako k😂😂😂😂😂😂
@emmanuelmchomvu267620 күн бұрын
Ww hela zko umefnyia nn au mdomo tu kma demu
@Kabwela77619 күн бұрын
@@SharifaOmary-ui8vs zezeta huyo hamna kitu
@Kabwela77619 күн бұрын
@@emmanuelmchomvu2676 Niko vizuri sio huyo Mavi yaani mahela kibao na Leo ni lofa tu