MASOUD KIPANYA; HUWEZI KUPEWA MILIONI 20 UKAHAMA MEDIA/KIGEUGEU SANA/MATAJIRI WATAMCHOKA/KANIKERA

  Рет қаралды 68,293

CHAZY MEDIA

CHAZY MEDIA

2 ай бұрын

Tumepiga Story na Masoud Kipanya
````````````````````````````````````````````````````
Facebook Page @chazymedia
instagram @chazymedia
Tiktok @chazymedia
``````````````````````````````````````````````````````````````

Пікірлер: 66
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 Ай бұрын
Yes, wewe ni mtu makini, hata majibu yako makini sana. Majibu TATA. BIG UP.
@carlosleonard6050
@carlosleonard6050 Ай бұрын
Sasa hiki ndo kimemfanya mwija areact😂😂😂....Mwija kweli hakujisoma
@alexsimon5576
@alexsimon5576 Ай бұрын
Umeongea vizuri sana,na umetoa ushauri, sasa jitu limekueupuka bro dili nae
@user-pj7ng8il4t
@user-pj7ng8il4t Ай бұрын
Good point kipanya I appreciate you
@kiatu
@kiatu Ай бұрын
Kumbe majibu ya Kipanya ni safi sana
@KALUMUNAGERVAS
@KALUMUNAGERVAS Ай бұрын
Masudi ni mtu makini sn👏
@amonpilimo
@amonpilimo Ай бұрын
Nahisi najini mahaba kwer kifua cha dada kimenikoshaaa au unzinzi unanisumbua
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 Ай бұрын
Mpe Yesu Kristo Moyo wako,zaburi 119:9,
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 Ай бұрын
Fact kaka
@alexandermakanta9468
@alexandermakanta9468 Ай бұрын
Car Development is the one among the critical system i advice you to consider Safety
@hanspop6961
@hanspop6961 Ай бұрын
👏🏾👏🏾👏🏾🫶🏾Hongera sana Allah Akufungulie zaidi na Zaidi
@josephmihayo6236
@josephmihayo6236 Ай бұрын
Sasa Mwijaku analipwa mipesa mingi kwa lipi sasa?
@Naju645
@Naju645 Ай бұрын
👏👏👏
@JovinAndrew
@JovinAndrew Ай бұрын
Hicho kitu mtuu anaenda kuitangaza biashara au brand ya mtu baada ya kuzungumzia au kumuuliza maswali yanahucu event hilo mnakocea ww unadhani huyo mchina anawonaje bado tupo nyuma kweliiiiii anatuonaa kama watu wa ajabu event inaucu mabati nyie mnaulza habari za mtu binafsi
@IddMussa
@IddMussa Ай бұрын
Mabati yashaongelewa hapo Hicho Ni kipind cha maswali na majibu
@annievibes8794
@annievibes8794 Ай бұрын
Mchina ansonekana hailewi kitu😂
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA Ай бұрын
Masoud una akili sana.....unajibu vyema mno
@SiSi_The_Mc_From_LD
@SiSi_The_Mc_From_LD Ай бұрын
Mbona hajataja mtu... Amejibu alichoulizwa.... 😂😂😂 Mwijaku hajitambui
@marcynhumbi3534
@marcynhumbi3534 Ай бұрын
Yaan mwijaku akili halina kabisa halijatajwa jina,nimeamini ukiwa mwizi hata ukiona police lazima utoke nduki.Masood usimsamehe huyo mwijaku mpeleke mahakamani yaani ukimsamehe utakuwa umetuchanganya Sana unajua hiyo biashara aliyosema haramu tutaishi nayo na Kila mafanikio yako utakayokuwa unapiga tutasema ni zile biashara haramu alizosema mwijaku.Yaan usimsamehe kirahisi kihivyo
@rewardyesse7314
@rewardyesse7314 Ай бұрын
Ukiwa na akili kubwa utelewa kuwa crown media ni ya kipanya,,," tunamkimbiza nwizi kimyakimya"
@jamesmassawe4888
@jamesmassawe4888 Ай бұрын
Amna kitu na ww
@Whoisthismantalking
@Whoisthismantalking Ай бұрын
Huyu mwandishi pia anatakiwa kushtakiwa kwa kuandika kichwa cha habari cha uchonganishi na cha uongo
@ElishaSolomoni-kc4zk
@ElishaSolomoni-kc4zk 2 ай бұрын
Fact🙏🙏🙏
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 Ай бұрын
Umeongea kwa hekima sana. Sema sababu Sisi kama jamiii tumelea Majinga mtu anajibu kwa kukurupuka, Mtie adab iwe funzo kwa Wengine
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Ай бұрын
👍✌️👊.
@SKimmy112
@SKimmy112 Ай бұрын
Sikuona ubaya wa kauli ya Masudi mpaka yule bwege kupayuka
@AbdulGermany210
@AbdulGermany210 Ай бұрын
Kwa wasio mjua masoud, kaka yake masoud na Boss Joe na ruge walianzisha pamoja kampuni ya promosheni na kuandaa matamasha kabla ya kuanzisha Fiesta, so Masoud alikuwepo nyuma ya kaka yake kitambo
@joycekalago532
@joycekalago532 Ай бұрын
Hapo aliposema kuhamahama ndio palipomgusa mwijaku akajihis akajua anasemwa yeye 😂😂kimemramba atauza jumba lake auze alipe deni mdomo umemponza ana mdomo sana mwijaku kujihisi tu amekutana na chuma cha chuma😂😂😂tufundishie baba
@user-px3po9lt8g
@user-px3po9lt8g Ай бұрын
Sasa mwijako mipov ya nn
@jumaalmasjuma1700
@jumaalmasjuma1700 Ай бұрын
Mijitu mizinzi dada ata haongei ila jitu limeona nyonyo
@abdulrahmanmwadini5925
@abdulrahmanmwadini5925 Ай бұрын
Mwijaku anastahili Adhabu,kwani anaehamahama ni yeye tu,mbona wenzie wapo kimya,Masoud hajamtaja mtu
@mustafamsati9599
@mustafamsati9599 Ай бұрын
Kinacho sunbua hapo ji crown media hahahaha shughuri ipoo
@wazirally1791
@wazirally1791 Ай бұрын
Jaman mim sijamkiliza masudi hahhahah namwangalia mchina tu Hivi Betri haijavimba kwel huyo??
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 Ай бұрын
😅😅😅😅
@user-iw5hu3mc7l
@user-iw5hu3mc7l Ай бұрын
Halafu jamaa huyi masud namjua jamaa anakunywa sna pombe
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
Weeeeee jileviiiiii 😂😂😂😊
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 Ай бұрын
Kaabisaa kuhama hama nako kuna shida zake maana hipo siku watu hawatokuamini tena na utapoteza mvuto
@user-fn1iv1hk6h
@user-fn1iv1hk6h Ай бұрын
Si kama kitenge kapoteza mvuto
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 Ай бұрын
@@user-fn1iv1hk6h kaabisaa kawa kama wadada wa Bar
@marrypius576
@marrypius576 Ай бұрын
Sasa mwijaku yeye kuhamahama hata miaka 10 huna kaa mahali tengeneza cv yako vizur ndo uhame
@shamimageta6651
@shamimageta6651 Ай бұрын
uyo dada anaziwa zuri aisee😊
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Ай бұрын
Hata Mimi nimelipenda ukilinyonya du❤
@leonardtiato1219
@leonardtiato1219 Ай бұрын
😅😅😅😂😂😂acheni unzinzi bhanaaa
@pangolinsnews6216
@pangolinsnews6216 Ай бұрын
😂
@zakayomgaya2758
@zakayomgaya2758 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂wazinzi niwengi
@Joe-tr2vk
@Joe-tr2vk Ай бұрын
Acha tamaa kijana😂
@givembwilo141
@givembwilo141 Ай бұрын
yule dada amebarikiwa kifua😂
@teachingtruthmission2140
@teachingtruthmission2140 Ай бұрын
Kimeharibikaje
@solomonsamuel3584
@solomonsamuel3584 Ай бұрын
😂😂😂😂😂 we jamaa unamawazo ya hovyo kwelikweli
@ramadhantiba4592
@ramadhantiba4592 Ай бұрын
Aah upuuzi tu, zingatia hela mwengine yatakuja yenyewe
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Ай бұрын
Umechemka sema sijui Elimu yako. Umri na Elimu yako ndivyo vinakuongoza. Huyu Masoud ni kichwa sana. Amekaa sehemu moja kutengeneza barand yake iwe na thamani kubwa ili baadae ale kuku kwa mrija na aweze kuajiri watu.Ukihama unaanza upya ndugu. Angalia hata mchezaji, mchezajii akihama anaanzia 0 kupata mashabiki.
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
Upuuzi wake nini mbona amejibu vzr tu! Uelewa wako mdogo.
@DrFit-di1rb
@DrFit-di1rb Ай бұрын
Sema punguzeni Clickbait aisee ..... Zinawasaidia nn ..... Yan mnapata views AMBAO ni unique tu, ukinidanganya nikiClick nkakuta kitu tofauti na tittle Yako ntakua nnaAvoid video zako .. acheni kuClickbait, hazina faida ya long-term kwny channel
@poptzmedia
@poptzmedia Ай бұрын
Media inaitwa Chazy unategemea nn😂😂😂
@miso-bg2xl
@miso-bg2xl Ай бұрын
Mwanangu ukiona wanafanya ushenzi huu unawaripot tu kwa kwatoa sababu ya misleading content, minshamripot uyo
@Nigamtupori
@Nigamtupori Ай бұрын
Wewe muongo satifiketi yako nikama mchezaji timu hii ikipanda dau mchezaji ana chomoka pia utangazaji pia wamiliki wa rodio wakipanda bei kwa mtangazaji anachomoka acha kuwapotosha watangazaji anapo hama hama ndo atazidi kulipwa ghali zaidi atakea mchukua lazima amlipe ngali zaidi ili asichukuliwe na mwingine wana habari wana nguvu kubwa katika jamii kwanini mnaji shusha 😮😮😮
@Marwawilliam
@Marwawilliam Ай бұрын
Kajifunze kuandika kwanza
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Ай бұрын
Hujui lolote. Huyo jamaa anatengeneza Brand yake ili huko mbele apate thamani kubwa. Na ndivyo jamaa kwa sasa anatengeneza mkwanja mrefu sana.
@Joe-tr2vk
@Joe-tr2vk Ай бұрын
Wewe inaonekana hata miaka 20 huna,bado ni mtoto hujui kitu. Kwa sisi wazoefu kazini tunafahamu Kipanya anaongea nini.
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 Ай бұрын
Ni muongo sana umesomea Shule gani huo uongo sikia hakuna mwandishi Habari anayelipwa mamilioni hakuna kinachombeba mwanahabari kuhama hama media ni yeye kutafta matangazo mengi ya biashara kwenye makampuni makubwa hakuna mshahara mkubwa ni muongo sana
@meshack3266
@meshack3266 Ай бұрын
Ujui unachokiandika
@user-px3po9lt8g
@user-px3po9lt8g Ай бұрын
Sasa mwijako mipov ya nn
Can A Seed Grow In Your Nose? 🤔
00:33
Zack D. Films
Рет қаралды 29 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 60 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 208 МЛН
Shilole alivyokuwa Muhudumu wa Hoteli na kumtongoza Ray
19:43
Millard Ayo
Рет қаралды 356 М.
Mkasi - S01E03 Masoud Kipanya
25:38
MkasiTV
Рет қаралды 112 М.
Когда ты младший в семье
1:00
Ерболат Жанабылов
Рет қаралды 2,6 МЛН
MAGIC FINGER TRICK TUTORIAL 😱😳
0:11
Milaad K
Рет қаралды 10 МЛН
Самый Лучший Дедушка ❤️
0:15
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 3,5 МЛН
#automobile #rek #cover #love #kesfet #ambulance #keşfet
0:47
Смотреть до конца!
0:19
Привет, Я Ника!
Рет қаралды 1,4 МЛН
Папа гений
0:23
Вельзевул
Рет қаралды 2,6 МЛН