Tumepiga Story na Masoud Kipanya ```````````````````````````````````````````````````` Facebook Page @chazymedia instagram @chazymedia Tiktok @chazymedia ``````````````````````````````````````````````````````````````
Пікірлер: 66
@ismailsoud3634Ай бұрын
Yes, wewe ni mtu makini, hata majibu yako makini sana. Majibu TATA. BIG UP.
@carlosleonard6050Ай бұрын
Sasa hiki ndo kimemfanya mwija areact😂😂😂....Mwija kweli hakujisoma
@alexsimon5576Ай бұрын
Umeongea vizuri sana,na umetoa ushauri, sasa jitu limekueupuka bro dili nae
@user-pj7ng8il4tАй бұрын
Good point kipanya I appreciate you
@kiatuАй бұрын
Kumbe majibu ya Kipanya ni safi sana
@KALUMUNAGERVASАй бұрын
Masudi ni mtu makini sn👏
@amonpilimoАй бұрын
Nahisi najini mahaba kwer kifua cha dada kimenikoshaaa au unzinzi unanisumbua
@ivonaevarista4654Ай бұрын
Mpe Yesu Kristo Moyo wako,zaburi 119:9,
@hisanmwakijungu10Ай бұрын
Fact kaka
@alexandermakanta9468Ай бұрын
Car Development is the one among the critical system i advice you to consider Safety
@hanspop6961Ай бұрын
👏🏾👏🏾👏🏾🫶🏾Hongera sana Allah Akufungulie zaidi na Zaidi
@josephmihayo6236Ай бұрын
Sasa Mwijaku analipwa mipesa mingi kwa lipi sasa?
@Naju645Ай бұрын
👏👏👏
@JovinAndrewАй бұрын
Hicho kitu mtuu anaenda kuitangaza biashara au brand ya mtu baada ya kuzungumzia au kumuuliza maswali yanahucu event hilo mnakocea ww unadhani huyo mchina anawonaje bado tupo nyuma kweliiiiii anatuonaa kama watu wa ajabu event inaucu mabati nyie mnaulza habari za mtu binafsi
@IddMussaАй бұрын
Mabati yashaongelewa hapo Hicho Ni kipind cha maswali na majibu
Yaan mwijaku akili halina kabisa halijatajwa jina,nimeamini ukiwa mwizi hata ukiona police lazima utoke nduki.Masood usimsamehe huyo mwijaku mpeleke mahakamani yaani ukimsamehe utakuwa umetuchanganya Sana unajua hiyo biashara aliyosema haramu tutaishi nayo na Kila mafanikio yako utakayokuwa unapiga tutasema ni zile biashara haramu alizosema mwijaku.Yaan usimsamehe kirahisi kihivyo
@rewardyesse7314Ай бұрын
Ukiwa na akili kubwa utelewa kuwa crown media ni ya kipanya,,," tunamkimbiza nwizi kimyakimya"
@jamesmassawe4888Ай бұрын
Amna kitu na ww
@WhoisthismantalkingАй бұрын
Huyu mwandishi pia anatakiwa kushtakiwa kwa kuandika kichwa cha habari cha uchonganishi na cha uongo
@ElishaSolomoni-kc4zk2 ай бұрын
Fact🙏🙏🙏
@eladiuspeter586Ай бұрын
Umeongea kwa hekima sana. Sema sababu Sisi kama jamiii tumelea Majinga mtu anajibu kwa kukurupuka, Mtie adab iwe funzo kwa Wengine
@King_Of_EverythingАй бұрын
👍✌️👊.
@SKimmy112Ай бұрын
Sikuona ubaya wa kauli ya Masudi mpaka yule bwege kupayuka
@AbdulGermany210Ай бұрын
Kwa wasio mjua masoud, kaka yake masoud na Boss Joe na ruge walianzisha pamoja kampuni ya promosheni na kuandaa matamasha kabla ya kuanzisha Fiesta, so Masoud alikuwepo nyuma ya kaka yake kitambo
@joycekalago532Ай бұрын
Hapo aliposema kuhamahama ndio palipomgusa mwijaku akajihis akajua anasemwa yeye 😂😂kimemramba atauza jumba lake auze alipe deni mdomo umemponza ana mdomo sana mwijaku kujihisi tu amekutana na chuma cha chuma😂😂😂tufundishie baba
@user-px3po9lt8gАй бұрын
Sasa mwijako mipov ya nn
@jumaalmasjuma1700Ай бұрын
Mijitu mizinzi dada ata haongei ila jitu limeona nyonyo
@abdulrahmanmwadini5925Ай бұрын
Mwijaku anastahili Adhabu,kwani anaehamahama ni yeye tu,mbona wenzie wapo kimya,Masoud hajamtaja mtu
@mustafamsati9599Ай бұрын
Kinacho sunbua hapo ji crown media hahahaha shughuri ipoo
@wazirally1791Ай бұрын
Jaman mim sijamkiliza masudi hahhahah namwangalia mchina tu Hivi Betri haijavimba kwel huyo??
@hisanmwakijungu10Ай бұрын
😅😅😅😅
@user-iw5hu3mc7lАй бұрын
Halafu jamaa huyi masud namjua jamaa anakunywa sna pombe
@MsAggie5Ай бұрын
Weeeeee jileviiiiii 😂😂😂😊
@mfalmekaitaba2425Ай бұрын
Kaabisaa kuhama hama nako kuna shida zake maana hipo siku watu hawatokuamini tena na utapoteza mvuto
@user-fn1iv1hk6hАй бұрын
Si kama kitenge kapoteza mvuto
@mfalmekaitaba2425Ай бұрын
@@user-fn1iv1hk6h kaabisaa kawa kama wadada wa Bar
@marrypius576Ай бұрын
Sasa mwijaku yeye kuhamahama hata miaka 10 huna kaa mahali tengeneza cv yako vizur ndo uhame
@shamimageta6651Ай бұрын
uyo dada anaziwa zuri aisee😊
@GibsonNtamamiloАй бұрын
Hata Mimi nimelipenda ukilinyonya du❤
@leonardtiato1219Ай бұрын
😅😅😅😂😂😂acheni unzinzi bhanaaa
@pangolinsnews6216Ай бұрын
😂
@zakayomgaya2758Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂wazinzi niwengi
@Joe-tr2vkАй бұрын
Acha tamaa kijana😂
@givembwilo141Ай бұрын
yule dada amebarikiwa kifua😂
@teachingtruthmission2140Ай бұрын
Kimeharibikaje
@solomonsamuel3584Ай бұрын
😂😂😂😂😂 we jamaa unamawazo ya hovyo kwelikweli
@ramadhantiba4592Ай бұрын
Aah upuuzi tu, zingatia hela mwengine yatakuja yenyewe
@GibsonNtamamiloАй бұрын
Umechemka sema sijui Elimu yako. Umri na Elimu yako ndivyo vinakuongoza. Huyu Masoud ni kichwa sana. Amekaa sehemu moja kutengeneza barand yake iwe na thamani kubwa ili baadae ale kuku kwa mrija na aweze kuajiri watu.Ukihama unaanza upya ndugu. Angalia hata mchezaji, mchezajii akihama anaanzia 0 kupata mashabiki.
@MsAggie5Ай бұрын
Upuuzi wake nini mbona amejibu vzr tu! Uelewa wako mdogo.
@DrFit-di1rbАй бұрын
Sema punguzeni Clickbait aisee ..... Zinawasaidia nn ..... Yan mnapata views AMBAO ni unique tu, ukinidanganya nikiClick nkakuta kitu tofauti na tittle Yako ntakua nnaAvoid video zako .. acheni kuClickbait, hazina faida ya long-term kwny channel
@poptzmediaАй бұрын
Media inaitwa Chazy unategemea nn😂😂😂
@miso-bg2xlАй бұрын
Mwanangu ukiona wanafanya ushenzi huu unawaripot tu kwa kwatoa sababu ya misleading content, minshamripot uyo
@NigamtuporiАй бұрын
Wewe muongo satifiketi yako nikama mchezaji timu hii ikipanda dau mchezaji ana chomoka pia utangazaji pia wamiliki wa rodio wakipanda bei kwa mtangazaji anachomoka acha kuwapotosha watangazaji anapo hama hama ndo atazidi kulipwa ghali zaidi atakea mchukua lazima amlipe ngali zaidi ili asichukuliwe na mwingine wana habari wana nguvu kubwa katika jamii kwanini mnaji shusha 😮😮😮
@MarwawilliamАй бұрын
Kajifunze kuandika kwanza
@GibsonNtamamiloАй бұрын
Hujui lolote. Huyo jamaa anatengeneza Brand yake ili huko mbele apate thamani kubwa. Na ndivyo jamaa kwa sasa anatengeneza mkwanja mrefu sana.
@Joe-tr2vkАй бұрын
Wewe inaonekana hata miaka 20 huna,bado ni mtoto hujui kitu. Kwa sisi wazoefu kazini tunafahamu Kipanya anaongea nini.
@joshuasamson9618Ай бұрын
Ni muongo sana umesomea Shule gani huo uongo sikia hakuna mwandishi Habari anayelipwa mamilioni hakuna kinachombeba mwanahabari kuhama hama media ni yeye kutafta matangazo mengi ya biashara kwenye makampuni makubwa hakuna mshahara mkubwa ni muongo sana