Shukran kwa mada nzur@shekh shams elmi.....mada za maadili uwa unazitendea haki kabisa na mifano yake
@fatmaally7241 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi sheikh
@songoroalamin3376 Жыл бұрын
Assalamu alaikum maudhui muhimu sana Maashaa Allah Allah akuzidishie ilmu Sheikh Elmi cha kusikitisha watu walio pembeni yake hawana utulivu kabisaa je wanayajua unayoyaongea au ni kutokujali na kuheshimu yanayotendeka? Inasikitisha sana