RAIS DKT MAGUFULI AZUNGUMZA NA WAFUNGWA NA MAHABUSU KATIKA GEREZA LA BUTIMBA JIJINI MWANZA

  Рет қаралды 1,337,457

Ikulu Tanzania

Ikulu Tanzania

5 жыл бұрын

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli akitekeleza majukumu ya kiserikali

Пікірлер: 473
@user-lw3pq5yh9d
@user-lw3pq5yh9d 5 ай бұрын
Yan huyu mzee hyu ni1kwa1 pepon kabisayan❤❤❤❤jonh
@stephanojames2935
@stephanojames2935 Жыл бұрын
Mungu ailaze roho ya marehem magufuli mahalipema pepon
@maramegamahega1991
@maramegamahega1991 9 ай бұрын
Mlio mkumbuk magufuri 😢😢😢 tujuane
@giftladis
@giftladis 4 ай бұрын
Tumtoe wapi raisi kama huyu kwetu Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 😭😭😭
@MarryLinors-hj7jb
@MarryLinors-hj7jb 9 ай бұрын
Ila huyu raisi alijitoa sana wala hakuogopa kua angeweza hata kudhuriwa na hawa watu,, Magufuli endelea kupumzika kwa aman😭😭😭ndo Nyerere wa pil
@MwanaharusiJumanne
@MwanaharusiJumanne 3 ай бұрын
Amina ♥️♥️♥️
@msafirinampya8986
@msafirinampya8986 Жыл бұрын
Leo nimemkumbuka Sana mheshimiwa mpaka machozi yamenilenga mungu amlazemahalipema peponi
@aloycesamba998
@aloycesamba998 4 ай бұрын
Amina
@MwanaharusiJumanne
@MwanaharusiJumanne 3 ай бұрын
Amina
@givenjackson5449
@givenjackson5449 Жыл бұрын
Yuko wap uyu rafiki yangu what a lovely president 😭
@japhetmalahuleokilangi9872
@japhetmalahuleokilangi9872 5 жыл бұрын
Afande Kaufyata Mkia Hahahaaaa Chezea Magu Wewe
@gilbertmwilu7429
@gilbertmwilu7429 Жыл бұрын
😅
@bensonmgaya5693
@bensonmgaya5693 6 күн бұрын
😂😂
@zuberigwakula8531
@zuberigwakula8531 5 жыл бұрын
Nimejikuta naliatu kiukweli
@julaimalidadi6394
@julaimalidadi6394 10 ай бұрын
Kukosa ajira ndoo kulifanya nione ww mbaya lakini ilikuwa ni maslahi ya kwangu na ya Kijinga ,,, hakika ulikuwa bora basiiii leo nmetoa machozi
@technicianmanyama6856
@technicianmanyama6856 6 ай бұрын
🤔🤔
@mourinhonyamkekwa3568
@mourinhonyamkekwa3568 11 ай бұрын
Raisi wangu umelala chato,kwa sasa tunaishi kama wakimbizi kwenye nchi yetu
@user-so2si9dt9u
@user-so2si9dt9u Ай бұрын
Pole baba makonda anakuja Tena huyu mwingine tangu aingie madarakan nikuzurura tu makonda anakuja baba kuwa na aman
@grease7635
@grease7635 Жыл бұрын
Hakika mungu hajawah kuwaacha walio wake mungu nimwaminifu anatenda Kwa wakat tusio udhan.
@mswanawamswana3129
@mswanawamswana3129 5 жыл бұрын
Umemuuliza swali la kiufundi huyu mfungwa wa Mwisho. Kama mguu wa tatu unafanya kazi.
@olivasumundi9227
@olivasumundi9227 Жыл бұрын
Tunapenda kizazi Chalo kikurithi na kifanye Kama unachokifanya RIP my 😂🤣😭❤️❣️💘💛💚 President
@kaburamechack4071
@kaburamechack4071 Жыл бұрын
Kweli tulimpoteza mutu muhimu katika taifa letu Mungu Amulaze mahali pema 🙏🙏🙏🙏
@susananyasani6526
@susananyasani6526 11 ай бұрын
Wasemaji wote mbele ya Rais Magufuli aliyetuondokea nimepatwa na Uchungu wa Machozi Rais wa Wanyonge pumzika kwa Amani Wananchi babo wanakukumbuka kwa wema wako
@JohnNjengaCOCO
@JohnNjengaCOCO 5 жыл бұрын
Magufuli mungu amulinde kweli. Gereza za hapa Kenya zaidi ya asilimia 50% ya wafungwa ni kusingiziwa au kutopata lawyers wa kuwatetea vilivyo.
@victoriamazula5592
@victoriamazula5592 3 ай бұрын
So sad alinyakuliwa malema mno
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 5 жыл бұрын
Muheshimiwa Raisi ameongea kwa hekima kubwa sana aiseeh. Mungu amuongoze vyema.
@lucaskanga6342
@lucaskanga6342 Жыл бұрын
T
@abdifatahbarkatle8696
@abdifatahbarkatle8696 3 ай бұрын
😊
@MwanaharusiJumanne
@MwanaharusiJumanne 3 ай бұрын
Amina 🙏🙏🙏
@neemagabrieli-ff4mq
@neemagabrieli-ff4mq 11 ай бұрын
Jaman namkumbuka babayetu wa taifa rais john pombe magufuli tunakukumbuka sana laiti ungekuepo leo
@abubakarmwita6974
@abubakarmwita6974 Жыл бұрын
Mungu akueke mahali pema na naomba kizazi chako kiwe na muongozo kama wako
@ramadhaniamri3465
@ramadhaniamri3465 Жыл бұрын
Rest in peace mkuu....Mungu Baba naomba utupe Raisi kama huyu wa Tanzania.....Aamiin
@WeInHere-nr8yz
@WeInHere-nr8yz 8 ай бұрын
haitakuja kutokea tena
@gastoenock3020
@gastoenock3020 7 ай бұрын
Mungu amlaze marehemu JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI mahali pema peponi amina
@MwanaharusiJumanne
@MwanaharusiJumanne 3 ай бұрын
Amina kubwa 🙏🙏🙏❤❤❤
@kidrajuma4092
@kidrajuma4092 Жыл бұрын
wema awana maisha cku zote
@auntmakochela4202
@auntmakochela4202 4 ай бұрын
Kweli 😢😢😢
@gaspeldaniel1140
@gaspeldaniel1140 Жыл бұрын
Huyu ndie Rais siyo sasa Raisi hajui hata watu wake wanaamka vip
@meshackgerald4032
@meshackgerald4032 Жыл бұрын
MUNGU tusaidie tupate kiongoz kama huy anaye sikiliz kero za watu masikin
@nimujocentre2173
@nimujocentre2173 5 жыл бұрын
Hii inatufundisha mengi lakini kikubwa tuamini kuwa kiongozi sio kazi ndogo...Respect to you my President
@user-es6rf4jq9w
@user-es6rf4jq9w 10 ай бұрын
Mungu akusamehe makosa yako kutoka ndani ya moyo wangu na akupe pepo unayo stahili kiongozi wa Africa
@MwanaharusiJumanne
@MwanaharusiJumanne 3 ай бұрын
Amina
@Theloopmenu
@Theloopmenu 16 күн бұрын
Km mmungu angetukubalia,amrehemu Rais wetu😢
@kellennehemiah2534
@kellennehemiah2534 5 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutia nguvu baba wa baba la Taifa na uzao wako ukabarikiwe
@fadhilikaphizi7772
@fadhilikaphizi7772 2 жыл бұрын
Pumzika Kwa amani Mzee wetu
@mkangyailutashaggy7207
@mkangyailutashaggy7207 Жыл бұрын
Moyo unaniuma mno, tupo huk tuna furahia maisha wezetu wanalia mno, Mungu wape wepesi wanao
@safari5774
@safari5774 Жыл бұрын
We will never forget you
@susananyasani6526
@susananyasani6526 11 ай бұрын
Natumaini kazi aliyoacha Rais Magufuli wakati wa Uhai wake inaendelea kufanyika kama aliyosema alipokuwa hai
@rashidkassim7836
@rashidkassim7836 Жыл бұрын
Nothing to say ila tamkumbuka sana mzee magu mungu ampunguzie makosa🙏🙏💯💯
@bettymapesa34
@bettymapesa34 Жыл бұрын
😭😭 ingekua inawezekana kurud we baba ningemuomba Mungu kwa bidii zote ili urudi tena Dunian
@user-oi8yj1wy7t
@user-oi8yj1wy7t 9 ай бұрын
So now Magufuli had tojust leave us with tears. I hate to question my God, but God are we so cursed not to deserve such blessings of people like these ones? Kuna kipi tunaweza kifanya ee Mungu ili sasa adhabu yetu ifike tamat nasi pia tufurahie uongozi kama huu. Asante sana Tanzania kwa kutupa huyu ambaye Kenya na Afrika nzima tunamenzi sana.
@JumanneAbdallah-vp3vk
@JumanneAbdallah-vp3vk Жыл бұрын
MUNGU akubaliki
@brunomirambi8792
@brunomirambi8792 Жыл бұрын
MAGUFUL ULIKUWA MWANAUME WA SHOKA
@StewartUkason
@StewartUkason 3 ай бұрын
Sasa mtu amekamatwa Kwa ishu ya mafuta, halafu anapewa kesi ya mauaji...hii imekaaje ndugu zangu watanzania!? Tutampata wapi mtu kama huyu, ambaye Mungu alikaa ndani yake?
@IddiJumanne-po2pp
@IddiJumanne-po2pp Жыл бұрын
Mungu ailaze roho ya marehemu peponi amen
@bettymapesa34
@bettymapesa34 Жыл бұрын
Achen tu kwakweli huyu baba Mungu ampe pumziko la milele
@mswanawamswana3129
@mswanawamswana3129 5 жыл бұрын
Umenigusa sana Rais JPM. Umejibainisha kuwa wewe ni Rais wa wanyonge na mtetezi wao. Barikiwe sana Rais wetu
@giftkitua9712
@giftkitua9712 10 ай бұрын
No one like you baba😢😢
@c.e.omasasi5131
@c.e.omasasi5131 Жыл бұрын
2022 November 😭 Rip my father John
@emmanuelmwamlima1027
@emmanuelmwamlima1027 6 ай бұрын
DAAAH WE MUNGU KAMA ALIKOSEA MAHALI UNGEMPA HATA NAFASI YA MWISHO, KAMA ULIVYOMPA EZEKIEL, HATA HIVYO TUNAJUA WEWE NI MUNGU, NA KILA UNALOLIFANYA HALINA MAKOSE, TUNAKUSHUKURU HATA KWA MUDA ULIOMUWEKA KUWA RAIS WETU, HAKIKA MENGI TULIJIFUNZA
@marygregory7566
@marygregory7566 Ай бұрын
Mungu wetu mwema tupatie tena kiongozi mwenye hofu ya kukuogopa wewe Mungu
@JohnNjenga-em4fd
@JohnNjenga-em4fd 6 ай бұрын
True leader,chosen by God him self...
@salumumsike8175
@salumumsike8175 5 жыл бұрын
Jamaa anamuangalia vibaya sana mfungwa..
@jumakichamo1344
@jumakichamo1344 5 ай бұрын
Huyo jamaa alieomba ni hatari sijawaah sikia,nasema sijawahi sikia.❤
@meshaksaidimusukuruiet-gc2zb
@meshaksaidimusukuruiet-gc2zb 11 ай бұрын
😭😭😭mungu ailase mahali pema Peponi mbado nakupenda sana ❤❤
@vincentkadzomba3717
@vincentkadzomba3717 Жыл бұрын
Hatutapata Rais kama East Africa nzima tunakutambua uliko 🙏 RIP Kiongozi
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 Жыл бұрын
Najisikia vibaya moyoni mwangu kwajili ya kifo Cha hiyu binadamu Bora zaidi kuwahi kuishi ktk taifa langu mungu wewe ndio unajuwa pumzika kwa amani
@joelmusyimi2565
@joelmusyimi2565 7 ай бұрын
Huyu rais nilimpenda xan i wish angekuwa rais wa kenya was a man of God kabisa alichaguliwa na mungu
@willistonemdindi9898
@willistonemdindi9898 9 ай бұрын
I have no question to ask you God you had a reason to take Magufuli ,am kenyan but this was the best African president continue resting in peace 🎉
@issabella1455
@issabella1455 Жыл бұрын
Mweshimiwa rais makufuli mwenyezi mungu akulinde mahali pema peponi
@simontamba2189
@simontamba2189 Жыл бұрын
Ulikuwa na uzalendo Baba Rip no one can replace you
@user-jm1kg4lu7b
@user-jm1kg4lu7b 9 ай бұрын
Ilikuwa raha sana wakati upo rais wangu mpenwa❤❤❤❤❤
@JoshuaJackson-of5mi
@JoshuaJackson-of5mi 29 күн бұрын
Fundisho sana na kwa viongozi wengine alikuwa na hofu ya mungu huyu kiongozi
@salomeorango9041
@salomeorango9041 Жыл бұрын
Huyu ndiye Rais halisi
@DenisOkuzi-je8jb
@DenisOkuzi-je8jb 7 ай бұрын
Rest in power comrade rais John Pombe Magufuli. You were a blessing to us.
@MwanasitiSalim-yb3dm
@MwanasitiSalim-yb3dm 5 ай бұрын
Lllllllllllllllll
@DorcasManase-sp3ld
@DorcasManase-sp3ld 11 ай бұрын
Laiti wangekuwa wanarudi ningeomba huyu arudi jaman, ila yote sawa mungu ampe maisha ya raha
@user-ct4jp1ux1z
@user-ct4jp1ux1z 11 ай бұрын
Hakika Magufuli umetuachia majonzi makubwa. We really miss you. Tutakukumbuka daima. Haya mazuri hayazungumzwi ila wanatoa kasoro tu wamesahau kwamba hakuna mkamilifu isipokuwa Mungu tu. RIP Magu.
@KelvinNassary-ld5yg
@KelvinNassary-ld5yg Жыл бұрын
A long night!!! 😭😭😭 knowing that this can never be replaced!!! Its gone and its gone Glory to God!!!😭😭😭
@akilimalilisholukazige
@akilimalilisholukazige 2 ай бұрын
mimi ni mkongomani ila tuta kukumbuka daima.
@user-dz1us2xw2s
@user-dz1us2xw2s 5 ай бұрын
Ivikweri baba ameenda kuskojurikana rest in peace babanimekukumbuka duuuh 😭😭😭
@JoselineHokororo-ny3ke
@JoselineHokororo-ny3ke Жыл бұрын
Tunakukumbuka sana,chema hakidumu
@givenjackson5449
@givenjackson5449 Жыл бұрын
Kuja kwangu hapa Ili wewe UINULIWE hahahahaha ila magufuli jaman😭😭
@wigoxfashionkiller8675
@wigoxfashionkiller8675 4 ай бұрын
Rest in peace kiongozi wetyu
@mashmashmkeyenge9210
@mashmashmkeyenge9210 5 жыл бұрын
MHESHIWA MM NINA OMBI ..WAFUNGWA WAFANYE KAZI NA PIA WALIPWE MISHAHARA KAMA WANAOFANYA KAZI URAIANI, WASAIDIE FAMILIA ZAO NJE ..MAANA KUFUNGWA NI KUNYWIMA UHURU TU ,LKN TUKIENDELEA NA MATESO JERA TUNAPOTEZA NGUVU KAZI.
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 Жыл бұрын
Tatizo wakilipwa mishahara wafungwa wataongezeka
@poaswahilimovies99k
@poaswahilimovies99k 9 ай бұрын
Point
@josephandrew8744
@josephandrew8744 5 жыл бұрын
Magufuli Oyeeee
@peterpaul591
@peterpaul591 5 жыл бұрын
Asante Rais wetu
@user-wh5gr3yw9s
@user-wh5gr3yw9s 10 ай бұрын
This was a gospel God nionyeshe Mungu
@user-wh5gr3yw9s
@user-wh5gr3yw9s 10 ай бұрын
This was a man of God
@AziziMsumba
@AziziMsumba 10 ай бұрын
Mungu wajalie wote
@japharykassim6371
@japharykassim6371 5 жыл бұрын
Kwani hawa wanaojiita watetezi wa wananchi wanapotoka magereza mbona haya huwa hawayasemi?
@stevenbupamba4161
@stevenbupamba4161 6 ай бұрын
Jamani hakuna Rais ambaye atavunja record ya huyu mwamba.Mungu ampumzishe kwa amani.Amepigana vita mwendo kaumaliza.Apumzike kwa amani.Amen
@eastleighphoto2833
@eastleighphoto2833 7 ай бұрын
HE WAS A GOOD 👍 PRESIDENT
@jdwuodMuhuru
@jdwuodMuhuru 5 ай бұрын
''Hata sisi tuliopo hapa, ni wafungwa au mahabusu wa baadaye''. Ni ombi langu kila siku, siku moja ikiwezekana niwe Magufuli wa pili hapa duniani!!
@rivinusradslaus6988
@rivinusradslaus6988 3 ай бұрын
Una mawazo kama yangu kaka angu
@MichaelPaulTZ
@MichaelPaulTZ 5 жыл бұрын
Wakuu kazi nzuri, hizi title za video ingependea kama zingekuwa zinaakisi tukio husika ile iwe rahisi kuzitatuta kwenye mtandao, kuliko kuziita "Ikulu Tanzania Mubashara"
@amanihans5367
@amanihans5367 Жыл бұрын
Dah ila.Magu asee Mungu amsamehe makosa roho ailaze mahali pema
@user-qv2hj9rc3f
@user-qv2hj9rc3f 10 ай бұрын
Mungu aturehem maana tulikua na lulu tushndwa kuielewa haraka but hakika huyu alikua rais halali hatatikea mwingine
@ochiengbrian5065
@ochiengbrian5065 10 ай бұрын
RIP from kenya we loved uuuuu
@hawamjungu3396
@hawamjungu3396 9 ай бұрын
😢😢😢😢 kwa kweli tutakukumbuka daima
@festohaule1499
@festohaule1499 8 ай бұрын
Magu bwana eti mguu wa 3 unafanya kazi 😅😅😅 mlemavu nae kasema alitomba daah...ila kiujumla inasikitisha sana lakini magu alikua rais wa wanyonge kweli..rip
@user-sq1mh5np8v
@user-sq1mh5np8v 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤ lala kwa amani
@user-pt9kg9ri7r
@user-pt9kg9ri7r 3 ай бұрын
God Bless Him ,Tanzania and Africa as a whole is mourning him
@user-ml4vn5zq9l
@user-ml4vn5zq9l 8 ай бұрын
Mungu wetu tunashukl sana kwa rais john pia tunaomba utujalie rais mweny hofu ya mungu
@WegoroSofret
@WegoroSofret Ай бұрын
Mwenyez mungu ilaze loho ya mpendwa wetu palipo pema
@Madmax_kingTz
@Madmax_kingTz 9 ай бұрын
Nimepita kurudia rudia mambo yako mzee wewe hakika ulikuja kwa mipango ya MUNGU. Na kila kauli yako ulisisitiza tumtangulize MUNGU
@user-to6bf2jk8n
@user-to6bf2jk8n 2 ай бұрын
😭😭 kama kweli Kuna mwanadamu anaehusika na kifo chako, kabla ya kufa kwake lazima alipie hilo😭😭
@user-so2si9dt9u
@user-so2si9dt9u Ай бұрын
Vya ilikuwa kubwa sana kweke wote tutalejea huko
@rashidsaid678
@rashidsaid678 4 ай бұрын
Mwenyezimungu amulaze pema peponi R.I.P Magufuli
@ShadrackYusuph-mu4xo
@ShadrackYusuph-mu4xo 5 ай бұрын
Ase hyu alikua ni Rais wengne mtapita tu jaman haitawahi kutokea kumputa mtu kama Magufuri
@user-so2si9dt9u
@user-so2si9dt9u Ай бұрын
Wengine kama Majin tu
@hamisimkongwe5035
@hamisimkongwe5035 Жыл бұрын
Mungu akuzidishie pumziko la milele
@user-zo9wt8vx8c
@user-zo9wt8vx8c 11 ай бұрын
Mbona maraisi wengine wasiige mienendo ya huyu kiongozi mpenda watu
@Nyaburyaofficial217
@Nyaburyaofficial217 9 ай бұрын
Rest easy John pombe magufuli Mungu saidiya afrika utupe viongozi kama Magufuli
@rwizigirabienfait7185
@rwizigirabienfait7185 Жыл бұрын
shujaa wa African ,wewe na mandela, sitawasahau hata kamwe
@MeshackMarwakihengu
@MeshackMarwakihengu 2 ай бұрын
Mimi katika maisha yangu sijawahi kumpenda rais kwa kiwango kkubwa kama Magufuli
@scorahkuyava1834
@scorahkuyava1834 Жыл бұрын
Tutakukumbuka daima babaaaa😭😭😭
@elizabethngowi6442
@elizabethngowi6442 Ай бұрын
Pumzika kwa Ani mzee wetu,kiongozi wetu mpendwa.....tunakukumbuka Sana.
@shabankolia8204
@shabankolia8204 3 ай бұрын
😭😭😭 ilikua mtu wangu aki mingu airehemu roho yako jamani
@rosemuthoni1549
@rosemuthoni1549 Жыл бұрын
Rip ntakapo fika mbinguni nimkose makufuli ntajua nmekosea jia ya mbinguni love from Kenya
@MwanaharusiJumanne
@MwanaharusiJumanne 3 ай бұрын
Mwenyezi mungu akupe pumziko la milele Amina 🙏🙏🙏
Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016
17:24
LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM
48:48
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 42 МЛН
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 95 МЛН
Shughuli nzima ya maziko ya hayati Magufuli
50:37
Azam TV
Рет қаралды 580 М.
Wananchi 'WAMCHONGEA' MBUNGE, DC kwa MAGUFULI LAIVU - "WANATUTISHA"
15:50
Global TV Online
Рет қаралды 711 М.
MFUNGWA Amshushia MAOMBI MAGUFULI Gerezani/HAIJAWAHI KUTOKEA!
6:43
Global TV Online
Рет қаралды 272 М.
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 42 МЛН