Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli akitekeleza majukumu ya kiserikali
Пікірлер: 473
@user-lw3pq5yh9d5 ай бұрын
Yan huyu mzee hyu ni1kwa1 pepon kabisayan❤❤❤❤jonh
@stephanojames2935 Жыл бұрын
Mungu ailaze roho ya marehem magufuli mahalipema pepon
@maramegamahega19919 ай бұрын
Mlio mkumbuk magufuri 😢😢😢 tujuane
@giftladis4 ай бұрын
Tumtoe wapi raisi kama huyu kwetu Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 😭😭😭
@MarryLinors-hj7jb9 ай бұрын
Ila huyu raisi alijitoa sana wala hakuogopa kua angeweza hata kudhuriwa na hawa watu,, Magufuli endelea kupumzika kwa aman😭😭😭ndo Nyerere wa pil
@MwanaharusiJumanne3 ай бұрын
Amina ♥️♥️♥️
@msafirinampya8986 Жыл бұрын
Leo nimemkumbuka Sana mheshimiwa mpaka machozi yamenilenga mungu amlazemahalipema peponi
@aloycesamba9984 ай бұрын
Amina
@MwanaharusiJumanne3 ай бұрын
Amina
@givenjackson5449 Жыл бұрын
Yuko wap uyu rafiki yangu what a lovely president 😭
@japhetmalahuleokilangi98725 жыл бұрын
Afande Kaufyata Mkia Hahahaaaa Chezea Magu Wewe
@gilbertmwilu7429 Жыл бұрын
😅
@bensonmgaya56936 күн бұрын
😂😂
@zuberigwakula85315 жыл бұрын
Nimejikuta naliatu kiukweli
@julaimalidadi639410 ай бұрын
Kukosa ajira ndoo kulifanya nione ww mbaya lakini ilikuwa ni maslahi ya kwangu na ya Kijinga ,,, hakika ulikuwa bora basiiii leo nmetoa machozi
@technicianmanyama68566 ай бұрын
🤔🤔
@mourinhonyamkekwa356811 ай бұрын
Raisi wangu umelala chato,kwa sasa tunaishi kama wakimbizi kwenye nchi yetu
@user-so2si9dt9uАй бұрын
Pole baba makonda anakuja Tena huyu mwingine tangu aingie madarakan nikuzurura tu makonda anakuja baba kuwa na aman
@grease7635 Жыл бұрын
Hakika mungu hajawah kuwaacha walio wake mungu nimwaminifu anatenda Kwa wakat tusio udhan.
@mswanawamswana31295 жыл бұрын
Umemuuliza swali la kiufundi huyu mfungwa wa Mwisho. Kama mguu wa tatu unafanya kazi.
@olivasumundi9227 Жыл бұрын
Tunapenda kizazi Chalo kikurithi na kifanye Kama unachokifanya RIP my 😂🤣😭❤️❣️💘💛💚 President
@kaburamechack4071 Жыл бұрын
Kweli tulimpoteza mutu muhimu katika taifa letu Mungu Amulaze mahali pema 🙏🙏🙏🙏
@susananyasani652611 ай бұрын
Wasemaji wote mbele ya Rais Magufuli aliyetuondokea nimepatwa na Uchungu wa Machozi Rais wa Wanyonge pumzika kwa Amani Wananchi babo wanakukumbuka kwa wema wako
@JohnNjengaCOCO5 жыл бұрын
Magufuli mungu amulinde kweli. Gereza za hapa Kenya zaidi ya asilimia 50% ya wafungwa ni kusingiziwa au kutopata lawyers wa kuwatetea vilivyo.
@victoriamazula55923 ай бұрын
So sad alinyakuliwa malema mno
@King_Of_Everything5 жыл бұрын
Muheshimiwa Raisi ameongea kwa hekima kubwa sana aiseeh. Mungu amuongoze vyema.
@lucaskanga6342 Жыл бұрын
T
@abdifatahbarkatle86963 ай бұрын
😊
@MwanaharusiJumanne3 ай бұрын
Amina 🙏🙏🙏
@neemagabrieli-ff4mq11 ай бұрын
Jaman namkumbuka babayetu wa taifa rais john pombe magufuli tunakukumbuka sana laiti ungekuepo leo
@abubakarmwita6974 Жыл бұрын
Mungu akueke mahali pema na naomba kizazi chako kiwe na muongozo kama wako
@ramadhaniamri3465 Жыл бұрын
Rest in peace mkuu....Mungu Baba naomba utupe Raisi kama huyu wa Tanzania.....Aamiin
@WeInHere-nr8yz8 ай бұрын
haitakuja kutokea tena
@gastoenock30207 ай бұрын
Mungu amlaze marehemu JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI mahali pema peponi amina
@MwanaharusiJumanne3 ай бұрын
Amina kubwa 🙏🙏🙏❤❤❤
@kidrajuma4092 Жыл бұрын
wema awana maisha cku zote
@auntmakochela42024 ай бұрын
Kweli 😢😢😢
@gaspeldaniel1140 Жыл бұрын
Huyu ndie Rais siyo sasa Raisi hajui hata watu wake wanaamka vip
@meshackgerald4032 Жыл бұрын
MUNGU tusaidie tupate kiongoz kama huy anaye sikiliz kero za watu masikin
@nimujocentre21735 жыл бұрын
Hii inatufundisha mengi lakini kikubwa tuamini kuwa kiongozi sio kazi ndogo...Respect to you my President
@user-es6rf4jq9w10 ай бұрын
Mungu akusamehe makosa yako kutoka ndani ya moyo wangu na akupe pepo unayo stahili kiongozi wa Africa
@MwanaharusiJumanne3 ай бұрын
Amina
@Theloopmenu16 күн бұрын
Km mmungu angetukubalia,amrehemu Rais wetu😢
@kellennehemiah25345 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutia nguvu baba wa baba la Taifa na uzao wako ukabarikiwe
@fadhilikaphizi77722 жыл бұрын
Pumzika Kwa amani Mzee wetu
@mkangyailutashaggy7207 Жыл бұрын
Moyo unaniuma mno, tupo huk tuna furahia maisha wezetu wanalia mno, Mungu wape wepesi wanao
@safari5774 Жыл бұрын
We will never forget you
@susananyasani652611 ай бұрын
Natumaini kazi aliyoacha Rais Magufuli wakati wa Uhai wake inaendelea kufanyika kama aliyosema alipokuwa hai
@rashidkassim7836 Жыл бұрын
Nothing to say ila tamkumbuka sana mzee magu mungu ampunguzie makosa🙏🙏💯💯
@bettymapesa34 Жыл бұрын
😭😭 ingekua inawezekana kurud we baba ningemuomba Mungu kwa bidii zote ili urudi tena Dunian
@user-oi8yj1wy7t9 ай бұрын
So now Magufuli had tojust leave us with tears. I hate to question my God, but God are we so cursed not to deserve such blessings of people like these ones? Kuna kipi tunaweza kifanya ee Mungu ili sasa adhabu yetu ifike tamat nasi pia tufurahie uongozi kama huu. Asante sana Tanzania kwa kutupa huyu ambaye Kenya na Afrika nzima tunamenzi sana.
@JumanneAbdallah-vp3vk Жыл бұрын
MUNGU akubaliki
@brunomirambi8792 Жыл бұрын
MAGUFUL ULIKUWA MWANAUME WA SHOKA
@StewartUkason3 ай бұрын
Sasa mtu amekamatwa Kwa ishu ya mafuta, halafu anapewa kesi ya mauaji...hii imekaaje ndugu zangu watanzania!? Tutampata wapi mtu kama huyu, ambaye Mungu alikaa ndani yake?
@IddiJumanne-po2pp Жыл бұрын
Mungu ailaze roho ya marehemu peponi amen
@bettymapesa34 Жыл бұрын
Achen tu kwakweli huyu baba Mungu ampe pumziko la milele
@mswanawamswana31295 жыл бұрын
Umenigusa sana Rais JPM. Umejibainisha kuwa wewe ni Rais wa wanyonge na mtetezi wao. Barikiwe sana Rais wetu
@giftkitua971210 ай бұрын
No one like you baba😢😢
@c.e.omasasi5131 Жыл бұрын
2022 November 😭 Rip my father John
@emmanuelmwamlima10276 ай бұрын
DAAAH WE MUNGU KAMA ALIKOSEA MAHALI UNGEMPA HATA NAFASI YA MWISHO, KAMA ULIVYOMPA EZEKIEL, HATA HIVYO TUNAJUA WEWE NI MUNGU, NA KILA UNALOLIFANYA HALINA MAKOSE, TUNAKUSHUKURU HATA KWA MUDA ULIOMUWEKA KUWA RAIS WETU, HAKIKA MENGI TULIJIFUNZA
@marygregory7566Ай бұрын
Mungu wetu mwema tupatie tena kiongozi mwenye hofu ya kukuogopa wewe Mungu
@JohnNjenga-em4fd6 ай бұрын
True leader,chosen by God him self...
@salumumsike81755 жыл бұрын
Jamaa anamuangalia vibaya sana mfungwa..
@jumakichamo13445 ай бұрын
Huyo jamaa alieomba ni hatari sijawaah sikia,nasema sijawahi sikia.❤
@meshaksaidimusukuruiet-gc2zb11 ай бұрын
😭😭😭mungu ailase mahali pema Peponi mbado nakupenda sana ❤❤
@vincentkadzomba3717 Жыл бұрын
Hatutapata Rais kama East Africa nzima tunakutambua uliko 🙏 RIP Kiongozi
@michaelthobias9967 Жыл бұрын
Najisikia vibaya moyoni mwangu kwajili ya kifo Cha hiyu binadamu Bora zaidi kuwahi kuishi ktk taifa langu mungu wewe ndio unajuwa pumzika kwa amani
@joelmusyimi25657 ай бұрын
Huyu rais nilimpenda xan i wish angekuwa rais wa kenya was a man of God kabisa alichaguliwa na mungu
@willistonemdindi98989 ай бұрын
I have no question to ask you God you had a reason to take Magufuli ,am kenyan but this was the best African president continue resting in peace 🎉
@issabella1455 Жыл бұрын
Mweshimiwa rais makufuli mwenyezi mungu akulinde mahali pema peponi
@simontamba2189 Жыл бұрын
Ulikuwa na uzalendo Baba Rip no one can replace you
@user-jm1kg4lu7b9 ай бұрын
Ilikuwa raha sana wakati upo rais wangu mpenwa❤❤❤❤❤
@JoshuaJackson-of5mi29 күн бұрын
Fundisho sana na kwa viongozi wengine alikuwa na hofu ya mungu huyu kiongozi
@salomeorango9041 Жыл бұрын
Huyu ndiye Rais halisi
@DenisOkuzi-je8jb7 ай бұрын
Rest in power comrade rais John Pombe Magufuli. You were a blessing to us.
@MwanasitiSalim-yb3dm5 ай бұрын
Lllllllllllllllll
@DorcasManase-sp3ld11 ай бұрын
Laiti wangekuwa wanarudi ningeomba huyu arudi jaman, ila yote sawa mungu ampe maisha ya raha
@user-ct4jp1ux1z11 ай бұрын
Hakika Magufuli umetuachia majonzi makubwa. We really miss you. Tutakukumbuka daima. Haya mazuri hayazungumzwi ila wanatoa kasoro tu wamesahau kwamba hakuna mkamilifu isipokuwa Mungu tu. RIP Magu.
@KelvinNassary-ld5yg Жыл бұрын
A long night!!! 😭😭😭 knowing that this can never be replaced!!! Its gone and its gone Glory to God!!!😭😭😭
@akilimalilisholukazige2 ай бұрын
mimi ni mkongomani ila tuta kukumbuka daima.
@user-dz1us2xw2s5 ай бұрын
Ivikweri baba ameenda kuskojurikana rest in peace babanimekukumbuka duuuh 😭😭😭
@JoselineHokororo-ny3ke Жыл бұрын
Tunakukumbuka sana,chema hakidumu
@givenjackson5449 Жыл бұрын
Kuja kwangu hapa Ili wewe UINULIWE hahahahaha ila magufuli jaman😭😭
@wigoxfashionkiller86754 ай бұрын
Rest in peace kiongozi wetyu
@mashmashmkeyenge92105 жыл бұрын
MHESHIWA MM NINA OMBI ..WAFUNGWA WAFANYE KAZI NA PIA WALIPWE MISHAHARA KAMA WANAOFANYA KAZI URAIANI, WASAIDIE FAMILIA ZAO NJE ..MAANA KUFUNGWA NI KUNYWIMA UHURU TU ,LKN TUKIENDELEA NA MATESO JERA TUNAPOTEZA NGUVU KAZI.
@yusufuheri6524 Жыл бұрын
Tatizo wakilipwa mishahara wafungwa wataongezeka
@poaswahilimovies99k9 ай бұрын
Point
@josephandrew87445 жыл бұрын
Magufuli Oyeeee
@peterpaul5915 жыл бұрын
Asante Rais wetu
@user-wh5gr3yw9s10 ай бұрын
This was a gospel God nionyeshe Mungu
@user-wh5gr3yw9s10 ай бұрын
This was a man of God
@AziziMsumba10 ай бұрын
Mungu wajalie wote
@japharykassim63715 жыл бұрын
Kwani hawa wanaojiita watetezi wa wananchi wanapotoka magereza mbona haya huwa hawayasemi?
@stevenbupamba41616 ай бұрын
Jamani hakuna Rais ambaye atavunja record ya huyu mwamba.Mungu ampumzishe kwa amani.Amepigana vita mwendo kaumaliza.Apumzike kwa amani.Amen
@eastleighphoto28337 ай бұрын
HE WAS A GOOD 👍 PRESIDENT
@jdwuodMuhuru5 ай бұрын
''Hata sisi tuliopo hapa, ni wafungwa au mahabusu wa baadaye''. Ni ombi langu kila siku, siku moja ikiwezekana niwe Magufuli wa pili hapa duniani!!
@rivinusradslaus69883 ай бұрын
Una mawazo kama yangu kaka angu
@MichaelPaulTZ5 жыл бұрын
Wakuu kazi nzuri, hizi title za video ingependea kama zingekuwa zinaakisi tukio husika ile iwe rahisi kuzitatuta kwenye mtandao, kuliko kuziita "Ikulu Tanzania Mubashara"
@amanihans5367 Жыл бұрын
Dah ila.Magu asee Mungu amsamehe makosa roho ailaze mahali pema
@user-qv2hj9rc3f10 ай бұрын
Mungu aturehem maana tulikua na lulu tushndwa kuielewa haraka but hakika huyu alikua rais halali hatatikea mwingine
@ochiengbrian506510 ай бұрын
RIP from kenya we loved uuuuu
@hawamjungu33969 ай бұрын
😢😢😢😢 kwa kweli tutakukumbuka daima
@festohaule14998 ай бұрын
Magu bwana eti mguu wa 3 unafanya kazi 😅😅😅 mlemavu nae kasema alitomba daah...ila kiujumla inasikitisha sana lakini magu alikua rais wa wanyonge kweli..rip
@user-sq1mh5np8v2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤ lala kwa amani
@user-pt9kg9ri7r3 ай бұрын
God Bless Him ,Tanzania and Africa as a whole is mourning him
@user-ml4vn5zq9l8 ай бұрын
Mungu wetu tunashukl sana kwa rais john pia tunaomba utujalie rais mweny hofu ya mungu
@WegoroSofretАй бұрын
Mwenyez mungu ilaze loho ya mpendwa wetu palipo pema
@Madmax_kingTz9 ай бұрын
Nimepita kurudia rudia mambo yako mzee wewe hakika ulikuja kwa mipango ya MUNGU. Na kila kauli yako ulisisitiza tumtangulize MUNGU
@user-to6bf2jk8n2 ай бұрын
😭😭 kama kweli Kuna mwanadamu anaehusika na kifo chako, kabla ya kufa kwake lazima alipie hilo😭😭
@user-so2si9dt9uАй бұрын
Vya ilikuwa kubwa sana kweke wote tutalejea huko
@rashidsaid6784 ай бұрын
Mwenyezimungu amulaze pema peponi R.I.P Magufuli
@ShadrackYusuph-mu4xo5 ай бұрын
Ase hyu alikua ni Rais wengne mtapita tu jaman haitawahi kutokea kumputa mtu kama Magufuri
@user-so2si9dt9uАй бұрын
Wengine kama Majin tu
@hamisimkongwe5035 Жыл бұрын
Mungu akuzidishie pumziko la milele
@user-zo9wt8vx8c11 ай бұрын
Mbona maraisi wengine wasiige mienendo ya huyu kiongozi mpenda watu
@Nyaburyaofficial2179 ай бұрын
Rest easy John pombe magufuli Mungu saidiya afrika utupe viongozi kama Magufuli
@rwizigirabienfait7185 Жыл бұрын
shujaa wa African ,wewe na mandela, sitawasahau hata kamwe
@MeshackMarwakihengu2 ай бұрын
Mimi katika maisha yangu sijawahi kumpenda rais kwa kiwango kkubwa kama Magufuli
@scorahkuyava1834 Жыл бұрын
Tutakukumbuka daima babaaaa😭😭😭
@elizabethngowi6442Ай бұрын
Pumzika kwa Ani mzee wetu,kiongozi wetu mpendwa.....tunakukumbuka Sana.
@shabankolia82043 ай бұрын
😭😭😭 ilikua mtu wangu aki mingu airehemu roho yako jamani
@rosemuthoni1549 Жыл бұрын
Rip ntakapo fika mbinguni nimkose makufuli ntajua nmekosea jia ya mbinguni love from Kenya