Wananchi 'WAMCHONGEA' MBUNGE, DC kwa MAGUFULI LAIVU - "WANATUTISHA"

  Рет қаралды 707,919

Global TV  Online

Global TV Online

4 жыл бұрын

Wananchi 'WAMCHONGEA' MBUNGE, DC kwa MAGUFULI LAIVU - "WANATUTISHA"
RAIS Dkt John Magufuli, leo Machi 16, ameanza safari ya kuelekea mkoani Morogoro kwenda kutazama daraja la Kiegea ambalo limekatika tena jana ikiwa ni siku chache baada ya kufanyiwa ukarabati..
Akiwa njiani kuelekea Moro, Rais Magufuli amesimama barabarani katika maeneo mbalimbali na kuzungumza na wananchi pamoja na kukagua baadhi ya miradi inayotekelezwa na serikali.
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
Email: globaltvbest@gmail.com
abbymrisho@gmail.com
HABARI MPYA DAILY:
bit.ly/habarimpya
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
GLOBAL RADIO TV:
bit.ly/255globalradio
EXCLUSIVE INTERVIEW:
bit.ly/exclusive_interviews
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 203
@nicholasatudo9034
@nicholasatudo9034 4 жыл бұрын
JPM u r one in a million in Africa if all de African Presidents could hv bn like u then Africa could be far
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@abdulkarimhamissi3755
@abdulkarimhamissi3755 4 жыл бұрын
Magufuli wewe ni bonge LA Rais mungu akuweke maisha marefu
@lucky9285
@lucky9285 4 жыл бұрын
Aweke mifumo hawezi kuzunguka nchi nzima...TZ ni kubwa sana one man show can't work
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 жыл бұрын
@@lucky9285 it depends on the heart of a man..if no one can do it, he will try thou he wont cover the whole thing. his ministers would have learned his ways from the get go but we dont see none doing what he is doing unless the media isnt covering it
@LwimikoMwakibinga
@LwimikoMwakibinga 2 ай бұрын
​@@lucky9285dll hmbhnhhm LLY roll
@LwimikoMwakibinga
@LwimikoMwakibinga 2 ай бұрын
​@@lucky9285dll hmbhnhhm LLY roll
@dr.erickjmazyala8905
@dr.erickjmazyala8905 4 жыл бұрын
Mungu azidi kukutunda, kukuheshimisha, kukuongoza, kukulinda, na kukubariki sana Mh. rais wetu mpendwa Mh. Dr. JJPM na serikali yetu kwa ujumla! Mungu azidi kuibariki, kuilinda, na kuitunza Tanzania na watanzania wote!
@gusiitopmedia9649
@gusiitopmedia9649 4 ай бұрын
Paulo
@mohammedmkoma9288
@mohammedmkoma9288 4 жыл бұрын
Mungu akutangulie kwakila hatua.... Uncle haya uyafanyayo hawataelewa leo wala mtondo goo.... Inshaallah uwe na afya njema for next period 2020/2025..
@frankmnale1900
@frankmnale1900 4 жыл бұрын
Hakika Mh.Rais unakazi kubwa! Ila usivunjike moyo ubebe tu mzigo wetu.
@mfaumerashid8045
@mfaumerashid8045 4 жыл бұрын
Tusipitilize mungu tumuache rais tunampenda ila tusimchonganishe na mungu.. Tuna rais bora ila asifananishwe na mungu...
@lauraabass1077
@lauraabass1077 4 жыл бұрын
Ni kweli ndugu yangu
@tennmasumbuko4594
@tennmasumbuko4594 3 жыл бұрын
A
@priscamedadi1108
@priscamedadi1108 4 жыл бұрын
Mungu akupe maisha malefu kiongozi wetu kila binadam mapunguf hayakosi na sio wat wote watakupenda
@eliakimchaiikobellah358
@eliakimchaiikobellah358 4 жыл бұрын
Kweli Tz tulichelewa ila me naona ndo wakati sahihi huu wa kunyosha nchi yetu Me hata ukipiga 20yrs sawa tu
@papaimaika5488
@papaimaika5488 4 жыл бұрын
Mheshimwa Rais wa jamuhuri wa mungano wa Tanzania tunakuomba ufike mkoa wa Tanga wilayani kilindi
@omarymwiru448
@omarymwiru448 4 жыл бұрын
Hajaanza leo tokea waziri ni mtu wa kazi huyu ni baba Lao tanzania itabadilika sana
@mariathomas4263
@mariathomas4263 3 жыл бұрын
Naitwa Mary Thomas mu ngu akupe maisha marefu raisi wetu kazi unaifanya Sana
@joshuaomache4718
@joshuaomache4718 3 жыл бұрын
May Magufuli continue resting in peace. Natamani Kenya tuwe na Kiongozi shujaa na mpenda watu kama hayati Buldozer.
@salmasaid7058
@salmasaid7058 4 жыл бұрын
Love u so much magufuli
@hildayusto2086
@hildayusto2086 4 жыл бұрын
Mungu Akujaalie baba Anaekupinga anayake Baba mwenye Maamuzi Magumu sijawahi ona Mi nakupenda tuu😍
@mwanakombokadaupovizuridea3224
@mwanakombokadaupovizuridea3224 3 жыл бұрын
Maghuful safi
@athumaniomari2833
@athumaniomari2833 4 жыл бұрын
Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumuongoza kumsimamia kumrinda na kuzidi kuimalisha afya yake raisi wetu
@elishapaul6882
@elishapaul6882 4 жыл бұрын
Rais wa wanyonge
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 4 жыл бұрын
Mm napendaga maamuzi yakooo tuuu. Wengi yanawashinda . Wee una akili ya ajabu Sana katika kutatua matatizo. Sijui wengine kwa nn wanashindwa.
@ernestsinje9221
@ernestsinje9221 4 жыл бұрын
mimi mkazi wa mlandizi yaani hilo tatizo lilikuwa shida sana
@saidiselemani7786
@saidiselemani7786 4 жыл бұрын
Tuna nafasi hii mungu ametupa watanzania tumutumie huyu raisi ni wa miaka 30 atutengenezee nchi jamani
@mossymtwana6422
@mossymtwana6422 4 жыл бұрын
Hawa watendaji mbunge na wengine woote wanamfanyia Rais kusudi ili wasimchague ili warudie wizi wao wa zamani sasa wanawafanyia wananchi kusudi Mungu anawaona wanachokifanya
@hudamohamhed4897
@hudamohamhed4897 3 жыл бұрын
@@ernestsinje9221 daaaah😪😢 ila mwenyezi Mungu azidi kumlaza pema peponi
@magangiralucas6516
@magangiralucas6516 Жыл бұрын
Walikuua Baba walijua uongozi wako ni wa haki wakakupoteza mapema walijua hakuna wakukushinda ungeweza kuongoza maisha yako yote hakuna mtu wakipawa kama chako wakukufikia
@menyajoseph76
@menyajoseph76 4 жыл бұрын
Rais mlandizi inafa ongoze east Africa kwa maoni yangu inafa ongoze UGANDA 5yrs KENYA 5yrs tangu nizaliwe wewe ndio Rais ambaye nimependa tusipoteze elimu Live longer in the name of god
@HermanKinyaiya
@HermanKinyaiya Жыл бұрын
Uongozi wa hayati,Dr.John Pombe Magufuli,sidhani kama,anaweza kutokea,kama yeye,labda,ipite miaka 20,"namkumbukapia,Edward Moringe Sokoine,naye,alikuwa CHANGAMOTO,NDOMANA AKASEPESWA
@swahibambogo1833
@swahibambogo1833 4 жыл бұрын
Viongozi wa Mlandizi hawana mawazo ya maendeleo kuanzia mkuu wa wilaya, mkurugenzi hata Mbungu, ndio maana Mlandizi ni mji mkubwa ila hauna miundombinu ya kueleweka, soko bovu , stand mbovu barabara mbovu
@delorisdaniel194
@delorisdaniel194 4 жыл бұрын
We are proud of you President John Pombe Magufuli. The best President in the Africa and in the world. Rip Rip Hurray
@thomastarimo
@thomastarimo Жыл бұрын
Huyu baba mungu alimleta kwa makusudi malumu na ndiyo maana ibilis akupendezwa na utendaji wake tangia ulipotolewa katika ulimwengu huu umetuacha yatima baba umetua chia majanga tupu akuna kinacho endelea baba magufuli
@ashleybeby111
@ashleybeby111 10 ай бұрын
L0
@ashleybeby111
@ashleybeby111 10 ай бұрын
​@@thomastarimo0
@apostlejohnmakhoha3742
@apostlejohnmakhoha3742 3 жыл бұрын
Sijawahi kuona mtu mwenye hekima ya juu kama baba magufuli wa tanzania.mungu akuinue zaidi na zaidi
@khamismohd8616
@khamismohd8616 4 жыл бұрын
Acha usenge ww uyo ni raisi na sio mungu usimtie matatizoni kwakumfananisha na mungu
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 4 жыл бұрын
Jembe letu hiiiilooooh
@erickkihuru4529
@erickkihuru4529 4 жыл бұрын
Baadhi ya Watendaji wa rais hawana msaada
@zulfaissa7814
@zulfaissa7814 4 жыл бұрын
Wanao chafua sifa ya rais niwale ambao wanaochaguliwa nawanachi kishahatendi hki
@koshenyare4351
@koshenyare4351 4 жыл бұрын
A good leader is always a good leader
@hamisamadimpozi5923
@hamisamadimpozi5923 4 жыл бұрын
Mungu akulindae rais wetu tunakupenda
@piushappyness226
@piushappyness226 4 жыл бұрын
Asante sanaaaaaaaaa
@emmanuelbonifase1114
@emmanuelbonifase1114 4 жыл бұрын
JPM for change yes we can
@mohanoor153
@mohanoor153 3 жыл бұрын
It is you are great leader and for that I will always thank you.....but what about those with shops don't they deserve to do there business ?
@shytonagen3552
@shytonagen3552 4 жыл бұрын
Eti maguful hapendwi , naona wapinzan wamekosa cha kusema
@adrofgwahula7294
@adrofgwahula7294 4 жыл бұрын
Hapendwi kwenye akaunt za chadema
@errydeo8865
@errydeo8865 4 жыл бұрын
ni kama 0.1 percent ya watz! wengi ni ushabiki tu na kudanganywa!
@sayirungu661
@sayirungu661 4 жыл бұрын
Kweli
@daudyluguhwa5224
@daudyluguhwa5224 3 жыл бұрын
21qq
@tennmasumbuko4594
@tennmasumbuko4594 3 жыл бұрын
Good
@watakaniitaje1215
@watakaniitaje1215 4 жыл бұрын
Uyo mlinzi WA Rais kanenepa iyooooooo ivi anamlinda kweli Rais wetu uyo mbona anatutia mashaka
@fulgencendyamukama742
@fulgencendyamukama742 4 жыл бұрын
Jitahidi kujadili mambo ya maana ya kujenga na wala siyo kujadili maumbile ya watu.
@ShSh-my8cw
@ShSh-my8cw 3 жыл бұрын
@@fulgencendyamukama742 nakupnda bre kwa moyo wko msaf
@ramadhanisuru1822
@ramadhanisuru1822 4 жыл бұрын
Aaminina kukubali sana mheshiwa raisi magufuli
@presseg.6362
@presseg.6362 4 жыл бұрын
Magufuli Baba Laoooo!!!!%%%@
@amrygoerge3989
@amrygoerge3989 3 жыл бұрын
Mungu kwel umemuchukua mtetezi Wetu ? hakika kazi yako haina makosa
@teddyoscar6876
@teddyoscar6876 4 жыл бұрын
Upinzani wakaege wanapiga kelele tu na upumbavu wao wamekalia bla bla kila kukicha kuichafua serikali wanadhani watu watabadirika kuwafuata wao nonsense.
@lucky9285
@lucky9285 4 жыл бұрын
Mbona kero kila kona ajenge mifumo...one man show can't work nchi ni kubwa sanaaa
@mohamedluzegea2491
@mohamedluzegea2491 4 жыл бұрын
Duuu hiyosafi sana bado mbunge waandeni mjinisimuelewagi
@agnessjumanne1819
@agnessjumanne1819 3 жыл бұрын
Daaah tutakukumbuka sana JPM
@ashurar2721
@ashurar2721 4 жыл бұрын
Nakukubali sana baba hongela
@alinassor1201
@alinassor1201 4 жыл бұрын
Hata kama unahitaji msaada wa raisi lakini yeye in kama wewe ana cheo tu hana sifa ya uungu mungu hana mfano
@Excel-Elevation-School
@Excel-Elevation-School 4 жыл бұрын
Tulia ww usiogope. Mungu pia ni cheo.
@rabiaabdallah8465
@rabiaabdallah8465 4 жыл бұрын
yani u yu jamaa siku nikikutana naye kero ya Kwanza niyayule askari pale bendera Tatu ukipita bp anaitwa shabani ana kirava 4 chabluu mnyanyasaji ssana
@hilalhilal8400
@hilalhilal8400 4 жыл бұрын
Weye hukutani nae kwasababu hujatumwaa. Walipagwa tu
@hilalhilal8400
@hilalhilal8400 4 жыл бұрын
Huyu jamaa hajaeleza shida kaja kupiga kampeni
@morandraymond8602
@morandraymond8602 4 жыл бұрын
Ivi huyu ndiye wanasema anawakandamizwa wanasiasa anawezejee kukubalika ndani ya watu wake wakati ni dikteta inabidi tuwe wakwel kesho Kunamoto jehanaamu tusiawaminishe uwongo watu wasiojuwa kupambanua mambo
@saidiselemani7786
@saidiselemani7786 4 жыл бұрын
Achana na hao kama hawawezi kumukubali magufuli akili zao muozooo
@akilihabibu4203
@akilihabibu4203 4 жыл бұрын
Sijui nisemenini kwa RAIS MAGUFULI
@naimasaid7763
@naimasaid7763 4 жыл бұрын
Safi sana
@georgekagwebe2461
@georgekagwebe2461 4 жыл бұрын
Thanx presendaaaaaaa
@mahamoudomar5492
@mahamoudomar5492 4 жыл бұрын
wangapi wananipenda
@gemadamiani4286
@gemadamiani4286 4 жыл бұрын
Mheshimiwa Raisi walau wenye viti wa kijiji walipwe chochote. Mshahara wa kima cha chini. Miaka yote wanatumikia Taifa mpaka wamezeeka wakitumikia bila hata chupa ya maji. Wanashinda wakisuluhisha kesi nyingi na kulinda usalama wa kijiji. Wapewe chochote Kwaajili ya utumishi wao.
@mangegervas9651
@mangegervas9651 4 жыл бұрын
Gud saana jpm
@HermanKinyaiya
@HermanKinyaiya Жыл бұрын
Ndiyo MaanaWakakuondoaDuniani."tutakukumbukaDaina".
@emmanuelchimwandu4247
@emmanuelchimwandu4247 3 жыл бұрын
God bless you my president rest in peace.
@lauraabass1077
@lauraabass1077 4 жыл бұрын
Wewe ndo kiongozi unanyenyekea na kuheshimu Wananchi si kuwatunishia misuli na kujiproud kwa urais. Nakupenda baba
@shidabundala8984
@shidabundala8984 3 жыл бұрын
Ahsante magufuri Allah akulinde akupe umri mrefu
@rafaelmeza8586
@rafaelmeza8586 3 жыл бұрын
😭😭
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 4 жыл бұрын
Nimekukubar brooo
@silasokoth4838
@silasokoth4838 3 жыл бұрын
I feel crying anytime watching bulldozer solving cases... rest in peace
@paulinasemindu1292
@paulinasemindu1292 4 жыл бұрын
mlandiz hawaogopi ila,chalinze ukabil,Mwingi!mm kama mm mbuge wetu simuelewagi kbc
@ramadhansteven7914
@ramadhansteven7914 4 жыл бұрын
Mama Salmin una nini lakin?
@mgonlinetvpwani5901
@mgonlinetvpwani5901 4 жыл бұрын
Ramadhan Steven sijui ana hari gan sasa hiv?
@roidamwangoka4711
@roidamwangoka4711 4 жыл бұрын
Atakuwa kazimia 🤣🤣🤣🤣
@SEMANKA97
@SEMANKA97 4 жыл бұрын
Hiyo ndo nguvu ya Rais
@leanahbusanga8272
@leanahbusanga8272 3 жыл бұрын
Rest in peace baba 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@faijohn9745
@faijohn9745 4 жыл бұрын
Nakupenda magu yani ww baba lao
@binrashid8671
@binrashid8671 3 жыл бұрын
Ni kosa kusema kumuona fulani kama nimemuona mungu, hata awe nani
@samsonogembo9347
@samsonogembo9347 4 жыл бұрын
magufuli ww nitosha kabisa karibu kenya tukupatie uraise mbaka Kenya tunakupenda sana
@ATANASSHEMZIGWA-vt5vz
@ATANASSHEMZIGWA-vt5vz 10 ай бұрын
Punzika baba kazi yako bdo inaishi na mungu akupe punziko la milele
@namsamson3443
@namsamson3443 4 жыл бұрын
Huyu bodyguard wa Magu kawa na kitambii, Sasa unavyokusanya watu hivyo watajikinga na corona kweli
@nelsabugo3613
@nelsabugo3613 4 жыл бұрын
Yani hadi nimemsahau
@user-fn4er6xf7u
@user-fn4er6xf7u 8 ай бұрын
J.p.m Daina watanzania wantonge wanakukumbuka,pumzika kwa Amani Raisi wetu ,akika tunakuku kwa mazuri uliyotufanyia😭😭😭😭😭
@japhetbarton8268
@japhetbarton8268 4 жыл бұрын
5
@ayubumoha6313
@ayubumoha6313 10 ай бұрын
Amri ya mungu Haina makosa😭😭😭😭😭
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 4 жыл бұрын
Waooooo so nice
@metrinetumwa6123
@metrinetumwa6123 3 жыл бұрын
Our lovely magufuli may your soul continue resting in power daddy we miss you.
@amanisima9357
@amanisima9357 4 жыл бұрын
Nyie mnao'dislike ndo nyie wenye rohombaya mnaopenda kuona wenzenu wanasumbuliwa na wanaendelea kuteseka kwa uonevu.
@frankallylukago4387
@frankallylukago4387 4 жыл бұрын
Big up Jpm
@saumuhassan3796
@saumuhassan3796 3 жыл бұрын
Jamani mwenzenu napenda clip za uyu mzee hatari. Pia naona choyo kwa nini na Zanzibar kwetu haji nako shida ziko
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 4 жыл бұрын
Duu kaka imejitoea hongera sana
@geoffreyosiemo1608
@geoffreyosiemo1608 4 жыл бұрын
Kweli kabixa l love u maguvuli mm nko Kenya enyewe we nkaa mungu
@jumababuu5552
@jumababuu5552 4 жыл бұрын
Mheshimiwa raisi naomba ufike na mkoa Wa Singida wilaya ya manyoni barabara ya itigi kama unaerekea mbeya.mheshimiwa raisi kule wananchi wana nyanyasika sn na apajawahi fika kiongozi yeyote kule. Naomba mheshimiwa ufike utusaidie
@oloipala8590
@oloipala8590 4 жыл бұрын
Kutumia mamlaka na hazina ya serikali vibaya kufanyia kampeini. Ange amrisha wizara husika kutekeleza haya. Nchi zilizoendelea haifanyiki hivi.
@vero57
@vero57 4 жыл бұрын
Khee huyo mlizi mbona kitambiii sana
@ngakayukadogo8475
@ngakayukadogo8475 4 жыл бұрын
Vero amevaa bullet proof
@gemadamiani4286
@gemadamiani4286 4 жыл бұрын
Mheshimiwa Raisi Maghufuli naomba ufike Moshi wilaya ya Rombo kijiji cha katangara. Wengi ni masikini hawana TV, walau wakuone na waongee yaliyo moyoni mwao
@carolinesalakana1090
@carolinesalakana1090 3 жыл бұрын
Umenifanya nicheke kwanguvu
@wiliamkawana8052
@wiliamkawana8052 Жыл бұрын
Yanga ihefu
@hamzamtagwaba3750
@hamzamtagwaba3750 4 жыл бұрын
Napumzisha moyo Asia utama
@ezramassawe639
@ezramassawe639 4 жыл бұрын
Kweli unafaa magufuli kabisaaa kutetea wanynge
@benjaminlubimbi1168
@benjaminlubimbi1168 4 жыл бұрын
Mh. Jpm kajionee uozo wilayan kongwa dodoma
@pendobaharia6922
@pendobaharia6922 4 жыл бұрын
Na mpwapwa
@aponzianamhenga1349
@aponzianamhenga1349 4 жыл бұрын
Magufuli mngu akibariki kwa kazi nzur
@djlozthestreetking1955
@djlozthestreetking1955 4 жыл бұрын
wakati mwingine mimi utazama uamuzi wako nabaki machozi ikitiririka tu uku kenya ni shida tupu
@ajmajule7274
@ajmajule7274 2 жыл бұрын
Yes
@user-up9gz8ij1s
@user-up9gz8ij1s 3 ай бұрын
Tutakukumbuka daima kipenzi chawa tanzania
@user-zd8yl3kq8o
@user-zd8yl3kq8o 3 ай бұрын
Hakika mh Magufuli alikuwa kiongozi mzur sio kiongozi tu bali ni zaidi ya kiongozi bora sijawahi kuona.
@erickkirimimutwiri5469
@erickkirimimutwiri5469 4 жыл бұрын
Natamani kenya tungekua na rais kama Dr Magufuli
@joshualaiza7326
@joshualaiza7326 Жыл бұрын
Hi
@suzannnko5055
@suzannnko5055 4 жыл бұрын
Sawaaa baba mwenye maamuzi magumu tunaomba ufike katika eneo la Arusha national Park utatue matatizo ya wananchi
@frankgervas357
@frankgervas357 4 жыл бұрын
Fika na mwenge magufuli wetu
@janethmartin6786
@janethmartin6786 4 жыл бұрын
Huyu ndio rais aliechaguliwa na mungu tukafata watanzania mungu mpe nguvu na uzima amen
@emmanuelluhamba8568
@emmanuelluhamba8568 4 жыл бұрын
Vitambulisho viilivyoisha muda je watapata wapi vingine na ukiulizia haipatikaniki au waendelee kutumia hivohivy
@user-uc8bx4hn8e
@user-uc8bx4hn8e 4 жыл бұрын
ام ٩
@orgeneslema9464
@orgeneslema9464 4 жыл бұрын
Mwaka wa uchaguzi wa TZ tukidai Mbingu tunapewa. JPM hoyeee
@frankmganda9585
@frankmganda9585 3 жыл бұрын
Mungu nimkubwa
@frediricknandonde1690
@frediricknandonde1690 4 жыл бұрын
Gasoni msigwa unashobo kweli sasa unaongea nini
@pasquallungwa3517
@pasquallungwa3517 4 жыл бұрын
Haaahaahaa umenichekesha kweli
@dicksonpatrick3819
@dicksonpatrick3819 3 жыл бұрын
Sana magufuri
@marcodominico9503
@marcodominico9503 4 жыл бұрын
KARIAKOO
@abdulshabani4277
@abdulshabani4277 4 жыл бұрын
Misukule
@tumsimekahwa553
@tumsimekahwa553 3 жыл бұрын
RIP JPM
@JamaliNgahugu-yn4jr
@JamaliNgahugu-yn4jr 10 ай бұрын
Kahawa
@jonasabel8967
@jonasabel8967 4 жыл бұрын
Mh RAIS MAGUFULI ukija arusha fika na vijijini hususani kijiji kinachoitwa MIRONGOINE ARUSHA TZ Mpakani mwa wilaya ya SIMANJIRO.
@petercassian8534
@petercassian8534 4 ай бұрын
We still mourn you Our President
@nuhulikonde4134
@nuhulikonde4134 4 жыл бұрын
kwel hii ni kaz kaz..............
@emanuelwilliam8834
@emanuelwilliam8834 9 ай бұрын
Watanzania wote navizazi vijavyo wainge utendaji kazi uliotukuka wa hayati Magufuli
MAMBO YALIYOMCHEFUA MAGUFULI KUPITA KIASI LEO NI HAYA..
25:04
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
Mwanafunzi ‘AMKUNA’ MAGUFULI, ATOA MILL 5, Ampandisha Kwenye GARI!
13:43
Пробую самое сладкое вещество во Вселенной
00:41
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 132 МЛН
DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....
11:32
JPM Awabana Mawaziri, Askofu 'Njooni Hapa Mchangie Msikiti'
14:14
Global TV Online
Рет қаралды 345 М.
Пробую самое сладкое вещество во Вселенной
00:41