R.I.P legend🇰🇪 from Doha baada ya Kifo cha Baba,mtetezi wa wanyonge,anayesikia kilio cha wakubwa n wadogo😭😭😭😭 we will remember you kwa kazi nzuri n mazuri ulioyatenda...Kam Luna Wakenya wezangu huku wapiti n emoji ya huzuri😭😭😭😭
@magrethgeorge92533 жыл бұрын
Rais wangu ananiuma Mimi.jamani namuachia Mungu ndo muweza wayote
@joanchepkemboi16853 жыл бұрын
I now understand why people are fainting and crying nonstop in tz.this person was more than a father,he was a gift from heaven to the ppl of tz
@jamesmasila68733 жыл бұрын
Oh yes
@naalumbotchway52523 жыл бұрын
To the poor
@shimohewani25493 жыл бұрын
Walai Magufuli namlilia Sana. Aliaga nikahisi nimekwisha. Aliwagusa wema ila Cha kushangaza Ni kuwa wema haeadumu
@jenyyusuph49733 жыл бұрын
😭😭😭😭 I asked my heart for so many times but voice of GOD TELL ME GOD HE WANTS TO DO SOMETHING BIG NICE MORE THAN MAGUFULI
@saidemutijimacedrick79123 жыл бұрын
I will never forget you my lovely president and panafricanist president ever see....my heart will always cry becoz of yr humbleness
@chiragdavda69733 жыл бұрын
A True Legend I Salute you.. for your honest Duty towards the Country and the Poor people who got so much Mercy from you .
@sifasanga78663 жыл бұрын
Nimelia Machozi ni kama naufahamu msiba huu, JPM hata kama Kura yangu nitakupa haitoshi kuonesha Upendo wangu kwako kwa kuwajari wenye Shida. Naomba niseme Mungu akusamehe makosa yako kama binadamu ambae hujakamilika zaidi Upate Baraka zaidi za afya Njema na Umri uongezewe. You touch me Magufuli
@youngtaiz83593 жыл бұрын
Aamin inshallah
@temuemanuel46713 жыл бұрын
Nimejikaza lkn nimeshtukia maji yamedondoka kutoka machoni. Asante kwa kuguswa Baba Raisi.
@jenyyusuph49733 жыл бұрын
Ndugu kura tunazompigia ni Zina tu saidia sisi wala sio yy atupe elimu bure asimamie huduma za Afya malipo ya Magufuli kwa a navyo tufanyia yapo kwa mungu😭😭😭😭😭😭 ww fikili a kwa mfano corona alivyo tufikilia inashangaza sana kwa sababu yy haja leta corona gonjwa ndio kwanza jipmya lkn mara ya kwanza a Kasema jamani tuombe ugonjwa unaokuja ni mbaya ulipo ingia NCHINI mtu mwingine angefilikili kila mtu achunge roho yake kadili ya uwezo wake lkn a kafikilia kwanza hasa masikini a kaona watakua na hofu wataogopa sana akajivika ujasiri a Kasema jamani ugonjwa huu kwa mungu ni mdogo hembu fikili mtu ANAPESA zake ni Rais ni tajiri lkn anasikia maumivu kwamba Hawa masikini watafanywa nn na ugonjwa huu a katutia moyo mkuu😭😭😭😭😭 a kaona haitoshi kaenda kukagua vipimo Kwaajili yetu wala sio kwa aajili yake SASA MAGUFULI TUNA CHA KUMPA HADI IKAONEKANA KALIPWA?
@michaelmandia44053 жыл бұрын
Nilikua Sina mpango wa kupiga kura Leo My Rais umenibadilisha mawazo lazima nikupigie Mbunge na Diwani wa CCM
@gilgalwaryoba57353 жыл бұрын
Kuna watu flan utawaskia wanasema muheshimiwa ametoa rushwa
@shakukawele99593 жыл бұрын
Poleni sana ndugu zangu kwa kuondokewa na kijana wako mungu amlaze pema peponi Amein na walio muuwa hawato kuwa na amani katika maishani mwao inaumiza sana dada mungu akupe nguvu uwe na Amani ndani ya moyo sio rahisi jikaze dada mungu atalipa kwani damu ya mtu haiwezi kupotea hivi hivi haki ita tendeka
@tumerbakhressa85983 жыл бұрын
For the past weeks av cried never ending tears for this great leader..Rip our man Rip
@ashampore60703 жыл бұрын
Mungu akulinde Rais wetu,ina moyo wa upendo binafsi nimelia kwa uchungu,ni upendo uliotukuka mh.nashindwa kijizuia kilia bado na tafuta mtu wa kukulinganisha na wewe ktk hii dunia ni wachache sana kama wapo,mungu amponye mama yako mzazi ambaye ni mgonjwa ,mungu mponye kwani mama aliyetuzalia mtoto mwema AminaAmina
@isaiahondieki45593 жыл бұрын
I just cried myself watching this😭 please kama Samia continue with the legacy hapa Kenya twaongizwa na wana wa shetani☠️
@ericmbugua6243 жыл бұрын
Indeed Tanzania has lost a great leader may his soul rest in eternal peace 😭
@stlke3 жыл бұрын
Dr.Maghufuli was very humble ,humane and down to earth.
@evansmungai63843 жыл бұрын
May Tanzania Prosper. May the Mind And the Vision he had for Tanzania never fade Away .
@marthagreenford83383 жыл бұрын
RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 🇹🇿BE BLESSED. WE PROUD TO HAVE SUCH KING. Miaka mingine mitano OYEEEEEHHH
@husseinshabani95223 жыл бұрын
Chozi la Mama na Rais wetu na Watanzania kwa Ujumla Ayatakwenda Bure ..Mungu Anayaona kutoka Moyoni.....Mungu yu pamoja na Wenye Subla....In sha Allah Allah Alisimamie hili.
@RoseRose-fo8lw3 жыл бұрын
Alikufa ilikuwa je?? Na ninani??
@jeanmoiseniyonagize14233 жыл бұрын
Imana ihe umugisha Perezida Magufuri
@mamukassim40753 жыл бұрын
Uyu tunataka atawale milele. Jamani mnaotaka rais uyu asitoke madarakani like za kutosha apa
@ezekieljacob57953 жыл бұрын
Watu millioni 60 umechunguza ukakuta hakuna ?? Yadunia ni yakupita tu yatakayo baki ni mawe na ya milele ni ya Mungu....tulikuwa na kina mzee ruksa watu tukasema...mambo si haya ??? Nyie hao hao...atawale milele ..mnatukoroga.
@edisonkashaija40673 жыл бұрын
Daaah 😭😭😭 tuliotaka aongoze milele tulikuwa wengi sasa mungu nae katuzidi nguvu kamchukua aende kuongoza wengne uko mbinguni😭😭😭😭😭
@edisonkashaija40673 жыл бұрын
Daaah 😭😭😭 tuliotaka aongoze milele tulikuwa wengi sasa mungu nae katuzidi nguvu kamchukua aende kuongoza wengne uko mbinguni😭😭😭😭😭
@meshacksamson10083 жыл бұрын
@@edisonkashaija4067 😢
@mamaake46503 жыл бұрын
😭😭😭
@ladygaaga76423 жыл бұрын
Am aUgandan but I can't stop crying this president had agood heart indeed May Allah grant u jannatul firdaus en 4 give ur shortcomings 😭😭😭😭
@MHJuma3 жыл бұрын
Mimi ni Mkenya ila Magufuli natamani Mungu angetupa sisi. He is a true leader. Mungu amuifadhi daima.
@rayanjoseck44583 жыл бұрын
From Kenya too,huku ni ukabila na corruption kibao
@nelsonzakayo4963 жыл бұрын
We acha tu ndugu yangu Kuna mijitu haielewi huku
@rayanjoseck44583 жыл бұрын
@@nelsonzakayo496 so sad bro
@mashramadhani19893 жыл бұрын
Msg yako imenitoa machozi
@joycenyakiha81213 жыл бұрын
Bora ww umeona lakn sisi huku wengne ni mazezeta tu hawaon kaz ya rais wetu
@fatumahassan82123 жыл бұрын
Allah awape subra yaarab, mungu akuongoze mheshimiwa rais kwa upendo kwa wananchi wako
@bienfaitmumbere67093 жыл бұрын
Amen ule ndiye raisi. sisi wa congomani tunaliya sana tukepata rais kama ule hatutamuangucha daima. waliyo pewa mema halikataa neema.
@Msnk9523 жыл бұрын
This president never deserved to die at this Age OMG..May your soul rest in internal peace.
@naalumbotchway52523 жыл бұрын
He didn't die. They killed him. Am waiting for the name of that India hospitals
@jasminejuma43753 жыл бұрын
@@naalumbotchway5252 😩😩 subhanallah
@r.filsjoe62253 жыл бұрын
I am from Rwanda, I am very touched, Presidents like these ones,who deeply love their people even to hopeless ones are needed in Africa. MAY GOD BLESS TZD we love you .
@timbukwa97713 жыл бұрын
Thanks our neighbor,also we admire mr Kagame so much!!and respect him so much for what he is doing there!!
@minskbelarus72553 жыл бұрын
God bless you too
@vumiliabakari60503 жыл бұрын
Amina mkuu
@Rymaas1TV3 жыл бұрын
Neno moja kwa Watanzania nyote ,hongereni sana kwa Rahisi wenu Mmepata Raisi ,Yan natamani nibadili hata Kabila kwanamna navyo mpenda Muheshimiwa Magufuli, Mungu akuongoze Umri Raisi wetu japo sipo tanzania nawala si mtanzania Ila nakuombea mema sana.ubarikiwe sana Mueshimiwa
@vijimamboproduction72233 жыл бұрын
Wish we had such a president in kenya God bless u tanzania
@stevenlugo81953 жыл бұрын
Thanks a lot guy....although some of stupid people here in Tanzania wanaona km vile magufuli hafanyi kitu....coz wamesha zoea kutawaliwa na mabeberu Miaka nenda Miaka rudi
@sabinashabani97423 жыл бұрын
@@stevenlugo8195 kabisa Ila tumuombee tu raisi ashinde kwa kishindo tuone wanaotumika na mabeberu wataishije
@vijimamboproduction72233 жыл бұрын
Kwa hali ya raslimali tanzania na kenya ss tupo juu ila ufisadi umetutawala kenya kuanza walioanga za juu Hadi chini mm npo kenya lakini raisi wangu n magufuli sioni haja ya nyinyi kufanya uchaguzi huyu mheshimiwa magufuli ni zawadi tanzania wamepewa na Mungu ila watu hawajui thamani ya kitu/mtu ila tunapowakosa akiondoka huyu sina usemi "magu njoo utuongoze kenya lau sku moja 2 TUNAKUPENDA MHESHIMIWA MAGUFULI MOLA AKUPE UMRI MREFU KUMTETEA MYONGE God bless Tanzania
@salminikilua31893 жыл бұрын
ikiwa wengine wanapigania madalaka ya kisiasa wengine wanapigania watanzania wenyeshida
@minskbelarus72553 жыл бұрын
Mr VIJIMAMBO we are always praying for Kenya and you will, for God's will you will get a President for all Kenyans. Sisi watanzania; we have a saying " KUTESA KWA ZAMU" GOD bless EAST AFRICAN
@kimolankenyenge71583 жыл бұрын
A,m living south africa but a,m appreciate president john j maguful bze is a best president in africa so live a long life father.
@uwezowamunguutendaokazi30433 жыл бұрын
Kristo YESU MWOKOZI awarehemu. Barikiwa Mzee wetu. Amen.
@ramadhanmbega72713 жыл бұрын
Inauma wallah Ila jpm ni mfano ulio mzurrr kwa kizazi cha leo na baadae Mzee anamoyo sanaa Mungu ibarik tanzaniaa na watanzania wake eeeimen
@ramadhanmbega72713 жыл бұрын
@@bettylena1769 kwan unateseka
@silverman69303 жыл бұрын
Our Rock , Humble President May God bless you Magu we love you dearly 🇬🇧🇬🇧🇬🇧❤️❤️❤️ , The man who fears God
@octavianusdenatus18273 жыл бұрын
Asee we have President in Tanzania anayejua shida za indvidual na huruma kwa watu wake mwenyezi Mungu na ampe nguvu na uzima amen!!!!!!
@muhammadsaidi48723 жыл бұрын
TIZAMA MHESHIMIWA RAIS MAGUFULI ANAVYO OMBEWA MUNGU KWA MAZURI YAKE NDIO MUNGU HAMUANGUSHI MUNGU MKUBWA ATAKUSAIDIA MHESHIMIWA RAIS MAGUFULI AMIN
@jamesmuchwe88943 жыл бұрын
I don't imgn this mpaka kutembelea watu kwa boma zao just like any other person.......so hurting to lose such a hero.....RIP we will miss you
@benitokhanbenito70693 жыл бұрын
Only GOD WILL KNOW WHAT NEXT sababu haiwezekani rais anatoa chozi sababu ya watu
@masongaofficial3 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/qNiWm5unmt6zgYU.html
@jenyyusuph49733 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@aaa64sa133 жыл бұрын
Yeye pia ni bnadam na ana roho kama viumbe wengine. Wacha yeye kutowa chozi sisi tunao angalia tu wengi wetu wamedondokwa na Chozi. Wacha tumuombe Allah amjaalie Afya na Umri Mrefu. Ameen. ✌❤🇹🇿
@nadyasalim79563 жыл бұрын
Amiin
@eishstoner66923 жыл бұрын
Benitho kma uligundua kitu
@lucypaul95543 жыл бұрын
Daaaa nimelia kiukweli magufuli be blessed my president
@shaddybmc83423 жыл бұрын
HAKUNA RAIS KAMA MAGUFULI ,MPENDA WATU , MPENDA WANYONGE. ANAEJUA KUJALI
@aswileedson21222 жыл бұрын
He was such a wounderful honest leader all over the world. Every one who desires to be a leader in this planet Earth, may have something to learn from such a bound servant of GOD. In deed, I desire!!
@mudathiriali18013 жыл бұрын
Am not Tanzanian, this President is real hero in Africa. The love 💕 I have to this president will let me to visit Tanzanian in the name of almighty.
@atupokilengallah48823 жыл бұрын
Aki nimeliaaaaaaaa! Uwiiii Magufuli! Eee Mungu wanguuu😭😭😭😭😭watanzania fungueni macho tusiuze nchi kwa wazungu jamani! Mungu atupe Rais wa aina gani? Eee Watanzania msidanganyike jamani! Wazungu wanataka madini yetu jamanj fungukeni ndugu zanguuuuu😭😭😭😭😭
@awadhally10523 жыл бұрын
Kwel kabisa wazungu ni watu wasenge sana hawafai ata kidogo
@mwanaidimunga90993 жыл бұрын
Allah akuhifadhi huko uliko JPM mtu uliekuwa na huruma sana
@DottRoBroc3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
@peterndutu88852 жыл бұрын
I studied magufuli high school broo so I remember magufuli
@simonfredrick7789 Жыл бұрын
@@peterndutu8885 Amen to that!
@fedelinamahenge66493 жыл бұрын
Asante sana baba mungu akubariki mno rais wa wanyonge😭😭😭nimelia yote ya mungu🙏
@mpajialisoni39593 жыл бұрын
Mungu akubariki Raisi wetu
@fredyphilimon383 жыл бұрын
Sometimes, am trying to think, what kind of this man was!!!? Few of them. We wil miss you much
@evanccast62283 жыл бұрын
Mungu akurehemu uendako baba kweli hadi mimi mwenyewe nimekubali kwa rohoo mojaa 🙏🙏🙏
@ashuramhando52853 жыл бұрын
Poleni Sana Mungu awape nguvu kipindi hiki kigumu hakika Rais wetu ana huruma Sana hisia Kali Sana Mungu akulinde Rais wetu Magufuli
@edensingers37113 жыл бұрын
NABII WA KUSHI---ELISA MANGORIBO--Raisi aliyeinuliwa kubadili sura ya Bara la Afrika kiuchumi na mabadiliko haya yataanzia Tanzania na kuambukia Afrika yote Tunamuombea kwa dhati kabisa atimize ndoto za Afrika
@OmarHassan-sq3fo3 жыл бұрын
He's a best and honest and humble president aver I see in Africa continent God bless this Man
Magufuli, a man with a heart No, he was an angel among men. He had to go back to his eternal home Sooner than men wanted him to. He belongs to God. He is now with God. John Magufuli.
@johnraymond41463 жыл бұрын
Mungu akubaliki Sana magufuli wewe ni kiongozi Bora Sana Tanzania tupo pamoja na weee
@tinamzava8343 жыл бұрын
Hata kidogo
@emanuelialoyce74893 жыл бұрын
Yupo pamj nawe cyo na watanzania,kuma nini wew,pole tu kwa wafiwa lakn
@sautisaut19113 жыл бұрын
@@emanuelialoyce7489 yaani chadema cku zote nyie ni watu wa kuponda na kulaumu na matuc halaf mbaya zaid maneno machafu munayoyaongeamukipewa onyo munasema vyombo vya ulinz vinawaonea. Hivi chama gani umekiona ambacho kinaacha kutangaza sera kinatupia matuc kama co chadema ! Lakin sasaiv itabid muwe munajibiwa maana munapotosha umma na bahat mbaya munatumia ubabe kuwa lazima wananchi wakufaten nyie kauli zenu ndo ziwe sahihi mjomba hii siasa ongeeni sera mueleweke sio kutoa matuc
@rahmarajab36883 жыл бұрын
MUNGU anajua maumivu tunayopitia kumpoteza Rais wetu,mwenye utu,upendo kwa watu anaowaongoza, R.I.P. Shujaa wangu
@YusufAli-ib6xu3 жыл бұрын
This president is man of god and Tanzania 🇹🇿 god has gifted this great humble human being as Tanzania 🇹🇿 president...More than 30 years he need to lead the government of Tanzania 🇹🇿
@ashamwandu65723 жыл бұрын
Moyo Moyo wangu Jamani hakiyamungu magufuli weeeeeeee ingekuwa kifo unapewa rushwa mie ningeuza kibanda changu nikuokowe ,nilikupenda kupitiliza sijuwi Kama nitaeudia kupenda ivyooo,nimetoka mganza mpaka chato kwa miguu kuahuhudia mazishiyako umelala Najuwa Mungu yupo na wewe,kwani ulimtumainia mno,nae hayo kuacha,buriani buriani baba lala salama
@browrinah93573 жыл бұрын
Mungu ametupa Rais wa kutujali sisi wanyongo, Mungu akubaliki sana Mh: Rais
@emanuelialoyce74893 жыл бұрын
Raid mnafk xana mbn anapg risasi wengn kuwaua,ni shenzi nini na sura yake kama chatu
@salamafulu21853 жыл бұрын
@@emanuelialoyce7489 uliwah kushuhudia au unasikia tu samahan lakn chunga mdomo wako utaingia pabaya usifate mkumbo wa mtu Wala usishabikie flan anafanya hivi ngoja na mm nifanye jiadhali katika hili
@gilbertmariwa38303 жыл бұрын
@@emanuelialoyce7489 Nimesikitika Sanaa kuona kijana unaongea upumbavu Kama huo Ila natumaini serikali yetu sikivu itakuwa imeshaona ulichoandika!! Usifikiri kuwa hawasomi huu upuuzi ulioandika jiandae tuu kwa ushaidi!!
@kalufunyangenyakinyungu50873 жыл бұрын
@@emanuelialoyce7489 we kenge ndo nyie majasiri wa mitandaoni tu mkidakwa mnataja walowatuma pusi we,unaweza kutuonesha ushahidi wa hayo uyasemayo? Au ndo mnamuigaiga Tobo tu.
@aminasittusaid38303 жыл бұрын
@@emanuelialoyce7489 Utahukumiwa na Mungu kwa shutuma na matusi haya zidi ya Rais wetu maana Mungu pekee ndo ajuaye yaliyo fichikana na ya dhahiri.
@malaykatoursandsafari15713 жыл бұрын
Yani huyu rais jamani mm sijaona kwa kweli Kama na ww umeligundua hilo weka like chini hapo
@awadhally10523 жыл бұрын
Rais tumepata tumshukur Allah
@zenaimamu91053 жыл бұрын
Naomba sana watanzania mrudisheni tena rais wenu magufuli hakuna mfano wake dunian.magufuli mungu akujaalie ushinde uchaguzi.frm 254
@iddiali80573 жыл бұрын
Pole sana Mr. President. Hongera kwa moyo wa Upendo. Naomba uzidi kuwa na imani na huruma. Good luck Mr. President.
@solomonmpuluma2823 жыл бұрын
Sio rahisi kwa mtu ambaye nafsi yake ni mfu kumwelewa Rais Magufuli. Mungu akujaalie huruma na upendo milele na akubariki saaana.
@irenewile3 жыл бұрын
Kabisaaa
@jumarashid54283 жыл бұрын
Wanasiasa ni waongo sana
@monicalushola4433 жыл бұрын
Amina
@jacklinematonange71813 жыл бұрын
Wafarijini wafiwa
@J4UPro3 жыл бұрын
Magufuli Mungu atamlipa japo wengine hawaoni upendo wake
@josephmwanilonga14923 жыл бұрын
Mama kanifanya nimpende magufuri...kuanzia leo mm Ni magufuri... Nakuombea we baba umenifurahisha
@nadyasalim79563 жыл бұрын
Hata na mie nampenda sana magufuli
@user-ng6yt2od7l3 жыл бұрын
Ata mimi nampenda Sana Ila tumuombee jamani Kwa Mungu
@user-ng6yt2od7l3 жыл бұрын
Atamimi
@mkombozikiratv.97333 жыл бұрын
Mungu akupe maisha na pumziko la milele rais wetu Magufuli
@jenyyusuph49733 жыл бұрын
Ukiwa mtu mzuri unapiga vita ukiwa mbaya Hakuna anayekufatilia Jina la bwana lihimidiwe😭😭😭😭
@temkezatv43813 жыл бұрын
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Kweli kabisa Tanzania kwanza Mungu mlide Rais wetu 🙏❤️
@mahobesimonmahobe91943 жыл бұрын
Lazima ibadilishwe tu maana huyuu kaletwa na munguu
@aleysamwel55463 жыл бұрын
Wish ingekua hivi kabisa. Mf. Russia✅
@glorykarim15703 жыл бұрын
Nitafunga na kuomba maombi yangu yakufikie popote ulipo raisi wangu nimelia na nitalipa kwaajili yakoo milele yote nitakukumbusha rasi wnagu baba yangu magufuli wangu kweli umekufa au naota kuna muda utamka nikuone tenaa nikusifie raisi wangu umeondoka mapema sanaa siwezi chochote magufuli wangu rudi kidogo baba 😭😭😭😭😭 nakuomba baba ningeweza ningemuimba mungu akurudishe baba siamini kabisaa mimi nalia sanaaaa😭😭😭😭🙏🏿
@cryptonewfuture3 жыл бұрын
Tuko pamoja kwenye ilo
@malaki0473 жыл бұрын
Dear death why did u tke JPM a true leader and Man of pple. U wil forever live in our memories Ni kweli ulikua mtetezi wahaki na wanyoge wote.
@yusuphhamimu15643 жыл бұрын
Maana shaa Allah, Allah akuongoze katika njia iliyo nyooka Raisi wetu mpendwa, Allah akusimamie katika kila Jambo na katika kila hatua.
@hamisayusuph59663 жыл бұрын
Machozi yamenitoka lkn pia nakuombea kwa mwenyezi Mungu azidi kukupigania Rais wetu kweli una moyo wa upendo
@iddmuhammadozil15663 жыл бұрын
Poleni bro.. its so painful wallahy Dah
@neemahamza11163 жыл бұрын
mungu kwa hya maombi ungetuachis huyu baba alhamdulilah mungu unajua mengi nakupnda magufuli wangu
@henrykatamba29363 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki ,Nakupenda Sana sana
@rayanaabdallah4733 жыл бұрын
Am from Kenya and I love Magu kwa uongozi wake Wallae, tuulizeni wenzenu wa Kenya, Rais wetu ziiiiiiiiiiiiiiii..
@fahadfaraj18223 жыл бұрын
Tunaangalia sana ktn n citizen twawajua yote yakenya
@magdalenachubwa93883 жыл бұрын
Rayana waswahili wanasema nabii hakubaliki kwao ila ipo siku tutaona thamani ya huyu baba. Analipenda sana taifa lakini kuna watu tunajifanya vipofu
@rayanaabdallah4733 жыл бұрын
@@fahadfaraj1822 ndo mtajua tofauti ya uongozi wetu na wenu
@fahadfaraj18223 жыл бұрын
@@rayanaabdallah473 ni kweli kabisa watu wanajijali wao na matumbo yao ukabila umekithiri, ni shida ufisadi uliopitiliza
@maimunaabdalla71463 жыл бұрын
Knya kuna raisi WA kabila Fulani but raisi WA wakenya wote hakuna.kweli naisemwe. From 001
@apolotemba69933 жыл бұрын
Jaman wa Tanzania tuache ushabiki Huyu Rahis nimuhimu sana katika nchi yetu. Tuki mwacha tuta mkumbuka. Kama Libya wanavo mkumbuaka gadaf.
@hajimkushi17692 жыл бұрын
Ulioteshwa ndugu
@olgaswallo14633 жыл бұрын
I love you my president
@kulwahusseni73962 жыл бұрын
Hakika utakumbukwa daima pumzka kwa amani mh raisi wetu one day I see to you
@saidmkilya84543 жыл бұрын
Kwa kweli raisi tunaye ila tusimuangushe kwenye Kura za uraisi
@monicalushola4433 жыл бұрын
Amina
@neemajoseph73463 жыл бұрын
Bro uyo mbona kapita yan hakuna mpinzani kbs
@zainabunyumba31403 жыл бұрын
Nimejikuta tyuu Machozi Yananitoka Akiamungu Magufuli wew Nilitamani Utuongoze Miaka yote Uishio Duniani
@samueljojo459 Жыл бұрын
Magufuli was a Great leader.Never in history has a person shown and extraordinary leadership.Rest in peace.Heaven has Just welcomed a Saint.Amen.
@wanderaothumani49193 жыл бұрын
Blessed are you jpm
@veronicangugi96383 жыл бұрын
He's a real leader who fears God. May the Lord God of Israel remember him and give him long life to serve him.
Inna Lilahi Wa Inna ilayhi rajiuun Utakumbukwa Kwa mema yako Rais wetu hakika hakuna mfano wako😭😭
@yusuphmalongo7063 жыл бұрын
Zuhura Ama hakika rais wetu tutamkumbuka sana Kwamema kama arivyosema mbere yetu nyuma yako rara sarama mtetezi wawanyonge
@pipensouley763 жыл бұрын
Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.Dr,JPMagufuli Mungu akulinde uwaongoze watanzania kwa ingine myaka 5.Mungu ibariki Tanzania.
@elishaferuzi52303 жыл бұрын
🇺🇸I’m speechless ,this is a definition of a True leader ✊
@officialmsafi16893 жыл бұрын
Kwa drama hizi!
@J4UPro2 жыл бұрын
@@officialmsafi1689 you know nothing
@ibrahimsalim37023 жыл бұрын
Magufuli 😧😧 you was actually God's sent from heaven, no one has done what you have done in this earth, umepiga vita vilvyo vyema na mwendo umemaliza, let's God give you endless kingdom to rule as a King
@oscarkasalile84423 жыл бұрын
Mungu kazi yako haina makosa ila umechukua mtu mzuri kwa watanzania maskini ungewachukua hata wanaozurura nje kulichafua taifa hili,duuuuuuuuh, kweli wewe mungu hupangiwi, mpaka nimelia tena eee mungu umpuzishe kwa amani. Kwaheri baba yetu unatuliza kila siku nikikuangalia unakuwa kama hujafa.
@chellayuniz21933 жыл бұрын
Selfless is the word,down to earth is another incredible and I am even lost of words. I pray that God protects Magufuli because with more men like him, Africa is a force to be rekindled with. 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@jacklinematonange71813 жыл бұрын
Tz hawajui hilo ni vipofu wa wapofu
@kalumbugideon41593 жыл бұрын
Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli miaka 5 Mingine wewe ndiye Rais wetu wa Tanzania....
@ALIMOHD-bk9lr3 жыл бұрын
SURELY. Afanyayo yanatoa machozi na yanajenga UTU kwa hakika.
@nadyasalim79563 жыл бұрын
Ana imani sana President magufuli
@kalumbugideon41593 жыл бұрын
@@ALIMOHD-bk9lr Naam
@bernard27453 жыл бұрын
chers freres et soeurs Tanzaniens ( de toutes tendances ), suis congolais de la RDC , Je vous en supplie de tout mon Coeur quoique vous fassiez ,prenez soin de votre President Mr magufuli...Cet homme est un don de Dieu et ce don ne vient qu'une seule fois dans la vie de nation .Apres Mr NYERERE ,Dieu vous donne cet homme d'une compassion depassant la limite de ses fonctions ...Mon pays n'a pas encore cette grace d'avoir un homme voue totalement a la cause de ces freres et soeurs ...Apres la mort de Lumumba et de Mzee Laurent desire kabila , mon pays souffre a tous les niveaux ...Prenez soin de cet homme ...J'ai des larmes qui me coulent chaque fois que je vois ces actes de bienveillance .Que Vive la Tanzanie
@balkisamour58153 жыл бұрын
Hakuna Kama muheshimiwa makufuli mungu mlaze pema
@isaacnyakapembe94013 жыл бұрын
So emotional may his soul rest in peace
@tanuhamos55443 жыл бұрын
Watanzania kweli mnaniumiza sana, Mimi sio mtanzani ila naumia sana ninapoona watanzia wanaomsema vibaya huyu Kiongozi mwema, mpenda nchi yake na wananchi wake, kweli ivi Mungu awape nini ?? Mungu anawapa zawadi lakini mnaipuzia na kuidhalau nchi zingine tunatamani tungejaliwa kupata kiongo kama uyu lakini tumekosa, sawa nakubali hamna nchi isiyokuwa na upinzani lakini upinzani kama huu kweli wakukataa mazuri yote tena yanayoonekana kwa macho sio vizuri, Mimi naona mwelekeo wenu msipobadilika mtakuwa kama Libya walimkataa Ghaddaf kwamba wamemchoka nawakati alikuwa ameijenga nchi na kila nchi alikua anaishi vizuri lakini wakadanganywa sasa angalia Leo Libiya iko wapi.imekuwa sio nchi tena.sasa na Tanzania mnaelekea uko maana haiwezekani Kiongozi kama huyu mnamtukana tena kweupe kweli naumia atakama Mimi sio mtanzania.
@erickjohnkyando73193 жыл бұрын
Ndugu umesema kweli kabisa. Ila kunamusemo unaosema kwenye miti mingi hakuna wajenzi hawakukosea kabisa.ndicho kinachooneka kwa wa Tanzania wa leo, na Siku akiondoka ndipo watakapo ona umhimu wake.
@jeccaonline77553 жыл бұрын
Yan we acha kabisa sijui nikitugani kimewakuta watanzania wenzangu tuzidi kumuomba Mungu atatusaidia
@ivanniyeha42293 жыл бұрын
Hata usishangae kwenye jamiii yoyote lazima wawepo wachawi ,wezi ,wanafiki,majambaz, wapinga maendeleo, nk
@heavensent25263 жыл бұрын
Umenena mpendwa
@idrisamohamed22243 жыл бұрын
Umeongea point kaka ww unamaono kama yng watanzania cjuh wnafer wapi na wasipo badilika watakuja kujuta wacpo mpatia tena muda tena huyu rais kuongoza kwa mala nyingine Tanzanian kwa kweli tanzania ya sasa hipo juu sana
@francislauwo3 жыл бұрын
Father was home to mourn with mother. I believe in his leadership,he never tried to leave anyone behind..though he was not able to meet everyone.The very rare thing to happen in this catastrophic planet. Hakuna kama wewe na wala hatatokea kama wewe. Ulikua mtu wa aina yako. Pumzika kwa Amani baba yetu,mzee wetu,kiongozi wetu,jemedari wetu,shujaa wetu,mzalendo wetu.
@nickodemmwandambo89243 жыл бұрын
Huyu raisi nisiongee sana niuachie moyo ili watu wasio na... Wasisikie
Kwa kweli Tanzania mumebarikwa kua na kiongozi bora mi ni mkenya hili Hali natamani Sana kua mtanzania mungu azidi kumtia moyo huo huo kwa 🙏🙏🙏
@charlesmnzava22113 жыл бұрын
Raisi wa wanyonge
@masongaofficial3 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/qNiWm5unmt6zgYU.html
@tecnotecno50783 жыл бұрын
waliye husika sheria ichukue nafas yake hatuwez kuvumilia uhaini huu kaa ajil ya uchaguzi na uroho wa madaraka mungu awalaan wote waliohusika.
@hadijaalpha75473 жыл бұрын
Rest in peace 🙏 that's my President ❤ 😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@davidkiiru64453 жыл бұрын
The best African ever
@naomiabel99293 жыл бұрын
Mungu awafunge mkaja wa rohoni pia mungu ambariki Rais wetu kwa upendo
@tonmathias58643 жыл бұрын
Ninaamini damu ya kijana huyo itakuwa juu yao wote waliohusika.
@pascalmstaarabu43723 жыл бұрын
Dah very sad tz hatutapata Rais kama huyu
@samuelnduwimana80803 жыл бұрын
Dunia nzim ingekuw nama rais kam Huy ingekuw👍👍👍
@ibel4lf3 жыл бұрын
Poleni wafiwa sad soo sad Ubarikiwe Raisi kwa kufariji wafiwa
@berthamakortha83873 жыл бұрын
UBALIKIWE SANA. KIPENZI CHETU RAIS WETU MWEMA
@thuvakonde25843 жыл бұрын
Rais Magufuli mnyonge mwenzetu Allah akutangulia baba Magufuli
@shamzone3883 жыл бұрын
Pole mama na pole rais makufuli nipo mbali ya nchi ya tanzania lakini nakupenda sana kwa kujali raia zako tupo pamoja hata km tupo nchi za mbali lakini twakuoenda sana