Mzee wangu kweli unapiga kazi kisawasawa hongera muheshimiwa rais wetu kwa kumchangua mpiga kazi huyu
@mohamedkigwehe34795 жыл бұрын
Safi sana mkuu nimekukubali mzee upo vizuri kwenye kazi yako
@erickmassawe51075 жыл бұрын
huyu mchaga ni noma xana nataman angerud awe mkuu wa mkoa wa kilmanjaro awaonyeshe kaz hapo wanyamwez wamekoma ubixhi
@farajakihembwe3074 жыл бұрын
nakupenda,nakueshimu,huko ulipo kiongozi Bora RC agrey Mwanri
@davismremi89862 жыл бұрын
it is my tradition to come and watch this in a while.....
@godfredmbanyi53892 жыл бұрын
I thought i was alone, 😂
@alfredmsambaa14434 жыл бұрын
Shika hii kalamu ya kijani leo upate upako hahhahaaaa kama umeskia iyo mwishon apa gonga like...
@rehemamsuya22635 жыл бұрын
Dah yani huyu mkuu ni nomaaa,hataki utani na kazi angekua headquarter ingekua noma zaid
@hamdantwaha80425 жыл бұрын
Chukua kalamu ya kijani upate upako
@jafarymdollo44205 жыл бұрын
Napenda kufanya kazi na huyo mzee somaa hiyo
@dismassamwel71304 жыл бұрын
Jamani mwenye namba ya injinia naomba anipe nimempenda sana vile alivyo cool kwenye makelele
@allykazoa70654 жыл бұрын
Msiniangalie Kwa Huruma😁😁😁
@decruzz67923 ай бұрын
27/4/2024 kama unaangalia Gonga Like
@junioramos29975 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 daaaaa cjawai kuona uyu jamaaa Hana mambo ya siasa kwenye kazi
@husseinsalimhemed71695 жыл бұрын
Mimi ni mkenya,,nafuraia uwongozi wako tabora,Wewe ni Mzee wa maendelo kabisa
@rahmarama566926 күн бұрын
Sema hv Ma Samia Nakuomba Mrudishe Huyu Kazini Tena Umweke na Makonda Utaona nchi itakavyo safishika nakutftia 5 G Bora Tanzania hpo ni 2
@ramsoramaa67984 жыл бұрын
Mwalimu Dotto pole kwa kusoma 👍👍
@elibarikimiage62042 жыл бұрын
Enzi wa magufuli kazi ilikua inaenda kwa uhakika R.I.P MAGUFULI
@msafiriduwiya953 Жыл бұрын
Juyu ndivyo alivyo toka alivyokuwa tamisemi naibu waziri Kwa kikwete Hana mchezo
@jacksonsawe23015 жыл бұрын
Nakushauri next time RC tape measure kule kunapo anzia mpe mtu akushikie wewe uwe unaziona redings wasikudanganye
@abrahamdaniel75645 жыл бұрын
Kweli yeye bora asome
@mrs29184 жыл бұрын
hawezi kudanganya sababu wanajua ni dakika 3 mbele, hakawii kurudia kusoma apoteze ajira
@mohamedkichendo77204 жыл бұрын
Sanaaa asikae.nwanzi wa tape
@yusufuheri65243 жыл бұрын
Soma iyoooh
@ramsokhamis92625 жыл бұрын
Nadhan siku iyoo mwalim dotto alilalaa na dicropa kwa kwelii... 😀
@sarahgihoshwa77153 жыл бұрын
😂😂😂🤣
@athumankhalfan78363 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 hatar
@ayubuwilliam1304 жыл бұрын
Ongera kwa kazi nzuri kustaafu kwako kuwe kwa amani
@daudimlamka12392 жыл бұрын
Utawala wa hawa viongozi wazalendo wananchi tulikua so happy
@ahmadymuhina65462 жыл бұрын
😅😅😅😅🙌kama kuna mtu anabisha hapa anyooshe mkono hapa hapa halafu OCD jiandae😅😅
@yusuphwella96515 жыл бұрын
Inamaana wakuu wa mikoa wa sehemu nyingine kwao hawajengi hata vyoo mbona sioni wakisimamia ujenzi ipasavyo
@alikhamisame96365 жыл бұрын
Huyu mzee namkubali Sana hebu angeletwa huku Zanzibar kuna mainjinia wa kichina wanatengeza mitaro ya ya maji taka hadi leo hawajamaliza huu sijui mwaka wa ngapi yani kila zikija mvua lazima mafuriko yatokeee
@innocentoder848111 ай бұрын
This is genius leader
@husseinomary44665 жыл бұрын
Ukimuangalia huyu mzee unajikuta unachekacheka kwaraha Kama unatekenywa
@veronicasamson7121 Жыл бұрын
Mwanry anatakiwa kua Naibu Waziri UJENZI. Ndo wajanja WATAKOMA!!!!😀😀. HONGERA SANA MH MWANRY. Kiongozi Bora na mcheshi..😍🤝🤝🤝
@papaampondele17505 жыл бұрын
Taifa tunajivunia watu kama hawa! mungu wapemaisha malefu,
@sospetermigera6855 жыл бұрын
Kiongoz bora kbsaa
@tsagytz67553 жыл бұрын
Yaan nataman huyu mbogo apewe cheo cha juu serikalini mbna watajamba ubwabwa 😂😂😂😂 hawa akina bashiru na wakurugenz wa bandari
@stevoovlogs86455 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 angekuwa rais huyu tungekomaaaaaa
@omarykindaile64513 жыл бұрын
Hahaha
@Basagamp45 жыл бұрын
Chukua hii kalamu ya Kijani Leo upate upako
@laurentsunta51695 жыл бұрын
Basaga hahahaha
@odilinadonald2615 жыл бұрын
Kwa nini wakuuu wa mkoa wengi wasiige kazi za huyo yuko vizuriii mno
@beckasalum26202 жыл бұрын
Ishu inakuja uyo ni injinia tofau na wengine kwayo umdanganyi
@rashidsalim38015 жыл бұрын
Hongera sana mheshimiwa
@zefamange72815 жыл бұрын
KWELI AWAMU YA JPM NI YA MOTO
@andrewzimba68445 жыл бұрын
Zefa Mange hi
@raphaelsikumbi55172 жыл бұрын
Nimewakumbuka sana makamanda wa kweli
@009biafra82 жыл бұрын
Huu ndo ulikuwa uongozi kipindi hicho Agrey Mwanri, Makonda, Sabaya,Ally happy hawa jamaa walifanya kazi na wananchi wazalendo wakifurahia.
@peterpain55945 жыл бұрын
Napenda anavyosema ATAKUSOMESHA UYO
@fadhilplatnumz62094 жыл бұрын
🤣 Jamani muangaliage nahela zakupja nyingine hazipigiki Jamani kueni makani kazi 🤣🙏👍 Vema sana Mkuu wamkoa Nc
@lucasmanyama2892 Жыл бұрын
You deserve to president in this country.
@ishaq99255 жыл бұрын
rais tupe n.a. cc japo miez6 daa Huyu mzee wa fyekereambali Jiji Liwe ok
@ilovejesus93035 жыл бұрын
Mbona Makonda naye yupo Moto?
@jamesmodest32063 жыл бұрын
Wangapi tumepitia hapa mwaka huu2021
@user-eu6ql9zl7n14 күн бұрын
Asante baba!
@amanimwaifunga65245 жыл бұрын
Mwanri Big up Sana kiongozi
@dennisdennis75595 жыл бұрын
Chukua hii kalamu ya kijan Leo upate upako hahahah
@ibrahimaziz71585 жыл бұрын
Yani huyu muheshmiwa ana akili cjapata ona humuibii bwana
@gigotz17555 жыл бұрын
Magu ampe uwaziri wa michezo
@beckasalum26202 жыл бұрын
Kwenye michezo atafer uyo injinia awe wazili wa ujenz
@mwidiniharuna96185 жыл бұрын
kwenye karam ya kijan gonga mezaaaaa
@mwalaprosper22913 жыл бұрын
Mis you mwamri!!
@shedrackboniphace77555 жыл бұрын
Huyu anawafaa mkoa wa Lindi please
@khanbaba81253 жыл бұрын
Mh magufr pls Baba ukistafu mwachie uyuuu mh icho kity ni ombi tu kwa mtazamo wangu
@kindboywillsmis81525 жыл бұрын
Amekunywa
@mwengwamwengwa96783 жыл бұрын
Tunakumbuka sana mzee wa soma hiyoooooo
@swaleheally81343 жыл бұрын
Kama umesikia mbaka yesu atajua hamja maliza hapa
@barakaalmas33995 жыл бұрын
Sukuma dani mweshimi huyo
@salehali92035 жыл бұрын
Mh,haingizi siasa ktk kazi zake,viongozi wengine waige mfano wa mh,mkuu wa mkoa huyu
@hunchoonetz87473 жыл бұрын
Uyu jamaa anafka mbali namuombea awe rais aseh
@graysonnyamsogoro3764 жыл бұрын
Daah i like this RC
@kyambarungwe44535 жыл бұрын
jamani tungiwa na kiongozi kama huyu mbeya daaa yani mbeya ingiwa kama ulaya magu mlete mbeya huyu maana ni kiongozi bora
@ramamtetu23275 жыл бұрын
Awamu Hii Wapiga Dili Kazi wanayo Maana Ugali wa Moto Mboga Moto Ulle Umangi Meza haupo Watu Wanawajibika Mbaya !
@ezekielndaraba72215 жыл бұрын
😀😀😀jamaa bwana we mwalimu Dotto
@mpambanajitz70267 ай бұрын
Angetufaa SANA huyu MWAMBA DUH 🙄🙄🙄🤣🤣🤣🤣
@mchaking65045 жыл бұрын
Value for Money
@paulkessy52675 жыл бұрын
Laaaaaaaaa aiseee noma sana
@amrimalumbo17125 жыл бұрын
Naomba Baba JPM mpe Uwaziri mana kazi anaijua vzr piga kaz Mwanri
@moshielfesty79922 жыл бұрын
🤣🤣🤣HUYU Mzee nikiboko arudi tena 😂
@mgenikilindo57934 жыл бұрын
Viongozi kama hawa ndo wanatakiwa Tanzania...
@abdullasuleiman2 ай бұрын
"msiniangalie kwa huruma, hakuna cha kiniangalia kwa huruma hapa, mimi nabeba zamanaaa😂
@Basagamp45 жыл бұрын
Mwl Dotto tunakuaminiaaaaaa
@proffjay38823 жыл бұрын
Wapendao maendeleo na kuchukia ufisadi na watakao haki kwa wananchi bila mzaha, tafutieni uyu kiongozi kura za urais muhura ujao....
@kulwamussa25823 жыл бұрын
safisana tukipata viongozi kamahawa nchi itafika mbarisana rakini kwasasa wezi wanajitawara kirakona wenfine tayari wamegeuka madarari wawa china madarari wawazungu huku kwenye utawara uropita wamefanya mambo yakipuuzi kabisa watanzania tusikubari nchihii tunamasomi majizi mafisadi nahayafungwi yanarerewa kirasku nakuchekewa