Like nigongee km unaungan na mimi kua huy mama ni super woman
@najma32684 жыл бұрын
Mama anapoint huyu , anafaa kuwa mjumbe au mwenyekiti maana anakumbukumbu nzur , yaan nimempenda wallah, wanawake woyeeee, yaani mwanamke yupo smart hongera sana dada
@ramadhanisuru18224 жыл бұрын
Huyu mama kaleta hoja nzuri sana kwenye hiki kikao ally hapi mungu yupamoja nawe
@zeddybass66724 жыл бұрын
Huyu hakufanikiwa kuendelea na shule .Ila Yuko vizuri sana
@gabrielisack77864 жыл бұрын
Mama ameongea point sana tena sana.
@comrademlewaisavile3364 жыл бұрын
Overconfidence
@glorysimon7754 жыл бұрын
Huyu mama akiwa diwani atawasaidia sana
@estheradriel98294 жыл бұрын
Kabisa yani😂😂😂
@missmoona44973 жыл бұрын
True
@marthadachi67314 жыл бұрын
Mama ana akili sana kajieleza point za maana na alijiandaaa vizur safiiii.Mama katisha sana wanawake oyeeeeeeee super women✌😂😂💞💞💞
@vero574 жыл бұрын
MAMA LAO , KWAKELI, HUYU MAMA AWE MBUNGE JAMANI
@hadijalukasmdeg99874 жыл бұрын
😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣😭😭😭😭😭
@nurudovino2884 жыл бұрын
Hawezi kupewa kwakuwa hajulikani 🙄
@hadijalukasmdeg99874 жыл бұрын
@@nurudovino288 hivi watu wanafikili kuwa ubunge vigezo vyake ni vichekesho mitandaoni, kaongea point sana ila hawezi kupewa wazifa wowote rabda ujumbe wa mtaani kwao, hiyo ni rahisi kupewa
@mwasoprince34594 жыл бұрын
Yaani 2020 achukue form agombee ubunge na atapita huyo, yaani point juu ya point anaongea. Alafu vigezo , anajua kusoma na kuandika Imani ya la saba kafika , ko sifa anayo ya ubunge
@ashritaabdallah64744 жыл бұрын
Mpeni uongozi uyo mama japo udiwani atawasaidia hapo kijijini kwenu
@samiramadenge9534 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@mwasoprince34594 жыл бұрын
Yaani kweli kbxaaa
@saidaljufaili9154 жыл бұрын
Sawa kabisa oni lako
@godlovemrosso59734 жыл бұрын
RC Hapi huwa nakuelewa sana bro Nakuona kuwa kiongozi mkubwa wa siku za baadae
@mercykitundu99864 жыл бұрын
Mama kaongea vzr sana tena kwa kujiamin 🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
@robertmbisse84854 жыл бұрын
Wamama oyeeee safi.. mfano wa kuigwa umesema yaliyo faida ya Kijiji kizima.... sio kwa masilay yake peke yake
@likwetasharadi79244 жыл бұрын
Sahihi
@josephmakau73224 жыл бұрын
Huyoo mama kichwa anajua sanaa kutoka taarifaa na,anongea point
@salumkarim694 жыл бұрын
At zenjibar ...napenda sana vikao vya huyu kiongoz kiukwel ALLAH ampe maisha yenye manufaa hapa dunian na kesho akhera yanikumbusha maisha ya mtume muhammad swalla llahu alayhi wassalam ...hivi ndivo anavotakiwa kuwa kiongozi juu ya anaowaongoza wajazaakumu llahu khaira.
Rc happy hongera sana kazi nzuri sana, mm huwa sichoki vipindi vyako kabisa.
@aisharamadhan52574 жыл бұрын
Mama oyeeeee nimempenda sana anajiamini
@samiramadenge9534 жыл бұрын
🤝🤝🤝🤝🤝🤝
@fatemaligalawa41514 жыл бұрын
Wanawake wakihehe uwa kwenye kuongea wako vizuri
@samiramadenge9534 жыл бұрын
@@fatemaligalawa4151 🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
@najmaomari81274 жыл бұрын
Oyeeeeeeeee
@edsonmganyiz95204 жыл бұрын
Sana
@worldrapamako39604 жыл бұрын
Mama katuzidi mpaka wanafunzi wa udsm tumekalia kubet tu kujieleza atujui mbel ya viongozi
@samiramadenge9534 жыл бұрын
🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
@emmanuelmhamed30434 жыл бұрын
mam katisha sna so kidg kaeleza kelo za jamiii kiujumla
@ndhindilomachibya55144 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
@pendobaharia69224 жыл бұрын
Watu wa iringa bhna 😂😂😂
@mwanajumaomahundumla65044 жыл бұрын
Kamwene dada umenena kwa faida ya wote
@mahamedabdi18814 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 🤣
@agustinopaul74884 жыл бұрын
😂😂😂😂
@emmanuelmhamed30434 жыл бұрын
God sna mama amejieleza vzr mbk mkuu amesikiliza kwa makini
@neemakaluwa20894 жыл бұрын
Yaan nahis kwanza kapata ulanz ndo kamwendea mkuu wa mkoa
@elizabethsalaho23444 жыл бұрын
uwiiii mama oyeeeee😂😂😂😂😂
@noonelike63824 жыл бұрын
Wabunge wetu akina Fulani wangekuwa Wana fanya program Kama hzi walahi majimbo yangekuwa yana noga.... Dizaini natamani Hawa waakuu wa mikoa na baadhi ya wakuu wa wilaya wangekuwa na majukum ya ubunge pia ingekuwa smart Sana...🙌🙌🙌🙌🙌
@ismailmajala28024 жыл бұрын
Mama Hongera Sana 🙏
@fatmapanaguiton97834 жыл бұрын
Wanawake tunaweza mama huyu shujaa ameongea bila woga
@neyjoseph8134 жыл бұрын
😂😂😂😂nimekupenda sana wewe mama
@nzeyimanamwavita19044 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 👌👌👌
@radhiaoman24544 жыл бұрын
Mama kero zote ulizotoa zina uzito big up Sana ukipata mama kama hawa 10 mambo yanakuwa mstari
@sulaimanafrican81344 жыл бұрын
Anachangamoto .mama anafaa kiongozi wa kijiji
@aboubacarkillo51404 жыл бұрын
Mh ww ni master,uko very friendly na wananchi wako I like that,big up keep your head
@ridhwansaad50174 жыл бұрын
Hana dharau
@hadijamasanja40684 жыл бұрын
Hongera mkuu wa mkoa.Napenda unavyofanya kazi na hata vile hautumii hasira katika kuongea na hiyo imewafanya watu kuwa wawazi zaidi kwako kwa sababu unazungumza nao kama rafiki.
@comrademlewaisavile3364 жыл бұрын
Ally salum Hapy rc wa iringa nakukubal
@dazuujuma12114 жыл бұрын
MAMA LAO SUPER WOMAN WA NGUVU NIMEKUPENDA BURE
@khamisrashidy10794 жыл бұрын
Aty kimalaika kinapata shida
@rowdyrondarouseyfire94764 жыл бұрын
Hakuna kama MAMA...hyu ni mtetezi anasifa ya kua Kiongozi.
@mwasoprince34594 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😀 Iringa oyeeeee! Nafurahi TU mm
@bimaisarankamia41534 жыл бұрын
Milady.kila mkutano wa ally jmn tuuone napenda anavyosikiliza shida za watu walla viongozi wote wangekuwa hivi nchi yetu ingefika mbali walllh mungu akulinde na husda za watu
@samiramadenge9534 жыл бұрын
Amin 🤝🤝🤝🤝🤝
@maryammaram26124 жыл бұрын
Kamwene mama
@florenciakapanda99424 жыл бұрын
Kamweneeeeeee moja nzitoo✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾tunataka vtu vnoge be😅
@hadijahmwajombe95884 жыл бұрын
😁😁😁😀😀😁😁😀😀😁😁😁😀😁mama umeongea poindi
@hadijaateya76234 жыл бұрын
Point
@omreuzex71094 жыл бұрын
Be huyu sio mama ni Bindi 😀😀
@dickensimlwafu31064 жыл бұрын
@@omreuzex7109 😂😂😂😂😂
@aloycemasele72364 жыл бұрын
@@omreuzex7109 😀😀😀😀 bindi au poindi?
@faustermathiasfaustet53623 жыл бұрын
Fau kama fau we love u ako na cofidance thanaaaa
@bulugubujashi63784 жыл бұрын
Safi sana mhandisi unajuwa kujieleza na unaijuwa kazi yako
Mkuu wa mkoa uko vema zaidi kwa kutetea haki za watu mungu akutunze
@aminakasim1198 Жыл бұрын
Angalia wa babaa walivyo nyamazaa hahahahaaa
@amanijolam41404 жыл бұрын
hahahah mwaka huu tutaona mengi mama alijipanga,alipigilia hadi skuna hatari
@errydeo88654 жыл бұрын
impressive..mama gombea udiwani...
@samweliandrea78022 жыл бұрын
Daaa mama yuko vzr sana mungu akusaidie uwe na ujasiri huohuo
@braitontweve1704 жыл бұрын
Nimekupenda bure mkuu wa mkoa wt big up
@neemakirenga52984 жыл бұрын
Kweli furaha Kama jina lako,Mungu akubariki kwa kazi nzurii
@dicksonsanga46964 жыл бұрын
Yes yes mamy
@yohanamoleli96832 жыл бұрын
Wilaya ya hai tungempata mkuu Wa mkoa kama huyu maendeleo yangeonekana namkubali sana RC hapi
@kennyrogers47343 жыл бұрын
Umoja wa Uraya tena? sindio hao Mabeberu hao uraya
@aishasalum29634 жыл бұрын
😆😆😆😆huyu mama anajiamini
@aishasalum29634 жыл бұрын
@@majijabombasa6761 😆😆😆😆sana
@salmajuma40154 жыл бұрын
Sanaa hadi rahaa
@jaklinifaustini42594 жыл бұрын
Nimecheka kwa nguvu wewe dada mimekukubar😅😅
@hermanmkobalo37554 жыл бұрын
Shkamooo mamaaa
@norahnkanabo52834 жыл бұрын
Huyu Ally Hapi anaongea kirafiki na wananchi wake hadi raha sio wengine maswali hawataki, hoja hawataki wanakuja kuamlisha tu wananchi na kuondoka, lakn huyu nimempenda anaelekezana vizuri na kuwaelewa wanachi wake
@shamimlugoya7564 жыл бұрын
😂😂😂huyu mama bila shaka atakua mana muinjilisti
@mbotwambotwa21862 жыл бұрын
Mama uko vizuri sana mzazi
@japhetisraelsmafie9974 жыл бұрын
Mimi nimeona mahindi mazuri sanaaaaaa
@mwasoprince34594 жыл бұрын
Huyu mama tumpe utetezi wa wanawake taifa , Hana aibu ya kusema
@jabiraxmed78984 жыл бұрын
Ally hapi the next president of Tanzania
@benedictashirima91134 жыл бұрын
Asante Mama 🙏🙏🙏🏼
@ramadhanisuru18224 жыл бұрын
Safi sana kikao kizuri m
@lucyommy22564 жыл бұрын
Nani hajacheka kwenye anatikisa ad kimalaika
@hadijalukasmdeg99874 жыл бұрын
yani nimecheka na kulia kwa sauti wamama oyeeeeeee🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
@samiramadenge9534 жыл бұрын
Oyoooooooooo
@hadijalukasmdeg99874 жыл бұрын
@@samiramadenge953 good 👍👍👍
@samiramadenge9534 жыл бұрын
@@hadijalukasmdeg9987 🤝🤝🤝🤝🤝
@hadijalukasmdeg99874 жыл бұрын
@@samiramadenge953 🤜🤛🤜🤛🤜🤛🤜🤛👍👍👍👍👍
@samiramadenge9534 жыл бұрын
@@hadijalukasmdeg9987 👍👍👍👍👍
@burnmotto18764 жыл бұрын
Nakukubali Sana mkuu
@victoriamassawe2504 жыл бұрын
Big up mama bila uogaaa umenikosha sana
@joevang46854 жыл бұрын
wahehe mnajiamini sana
@esterelias81894 жыл бұрын
Bado sijamaliza yatatu ngoja niangalie kikaratas
@raphaelmrisho15204 жыл бұрын
Wanahitajika watu majasiri na wenye uelewa na mambo kama huyu mama
Hii kampeni ya nn, he is no more a RC, that's the facts, asubiri kama wengine
@raheemamkambha60134 жыл бұрын
Mama kaongea vyema
@thomaslaurent19362 жыл бұрын
Safi mama we unafaa kutusemea sisi watanzania
@tshirima88864 жыл бұрын
Hongera sana baba
@seifhamad98174 жыл бұрын
Huyu mama noma
@herimallya33854 жыл бұрын
Kioongozi wa mfano..Hongera Ndgu Hapi
@hadijahmwajombe95884 жыл бұрын
hahahahahahahsha
@failunaimba97744 жыл бұрын
Imenoga san
@fardoshnassor78473 жыл бұрын
👍🏽
@nyamogafamily42624 жыл бұрын
Wahehe hoyeeeee!!!
@beatricetenywa43674 жыл бұрын
Oyeeeeeeee💃
@nyamogafamily42624 жыл бұрын
Ndilumba mama
@beatricetenywa43674 жыл бұрын
@@nyamogafamily4262 ale myawe
@samiramadenge9534 жыл бұрын
@@nyamogafamily4262 na ndimuyago ndilumba
@janekikoti21794 жыл бұрын
Yidada mwakikoti tuvahehe tuna luhala wuhulo 😂😂😂
@twahasaidi7578 Жыл бұрын
😀😀😀😀🤣🤣🤣😂😁🥰😍😍😍😍😍😍😍😍😍
@stephenwakunyala40043 жыл бұрын
Safi mama
@lucyommy22564 жыл бұрын
Mama oyeeeeeee nimekupenda
@marymabubakar16464 жыл бұрын
Kamwenee,mama,jasiri
@mariamjackobo62194 жыл бұрын
safi mama mwanamke umejiamini
@mwasoprince34594 жыл бұрын
😀😀😀😀😀kamwene
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
Mnawachagua. WANAOKAAA OFISINI TU NA KUVAA SUTI KYNYWA CHAI. KAZIII HATUZIONI BWANA. WAAMBIE WAFANYE KAZIIIII TUWAONE. SIO UREMBOOO WA OFISI NO TUNATAKA MAENDELEO YA NCHI YETU
@sekelajohn53384 жыл бұрын
Jamani wengine igeni tuna kero sana wananchi huu mfumo ni mzuri
@teddymwageni17634 жыл бұрын
Mnamuachaje kwenye uongozi?
@zuberygastony6403 жыл бұрын
Huyo Mama anafaa kuwa diwan
@hawakiza60674 жыл бұрын
Huyu mama agombee ubunge unamfaa sana
@gamelahg46134 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@tatoorashedi17873 жыл бұрын
Kaka Alli sasa unakazi huyu mama wananchi mpeni udiwani
@japhetmtwe87854 жыл бұрын
Kwamweneeeee
@musokedios81622 жыл бұрын
Watu kama hawa hawapewi uongozi badala yake anapewa mwenye pesa anayetoa rushwa
@LucyDeus-yg4pm28 күн бұрын
Mama apewe mauwa yake
@nuruchikoe19593 жыл бұрын
Super woman
@mariammwambungu31744 жыл бұрын
Wamama hoyeeeee Huyu mama katuwakilisha jamani
@mtakamaonline77484 жыл бұрын
Offer offer nunua au kopa solar ya watt 40,80,120,200 ikiwa pamoja na TV inch 21-43 na taa zake tukuletee hadi nyumbani pamoja na ufungaji ni bureeeeeeh wahi sasa offer hii ipo jirani kuisha.piga simu 0764325083/0654362426.