So sweet wenyewe washikaji wanacheka mpaka basi nimewapenda bure Mungu awatunze ndugu zangu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Zengeni-gz8fe2 ай бұрын
Mapenzi hayachagui .hata mtume aliyoa mwanamke SI saizi yake na maisha yakaendelea.mbona wanaume wakioa mabint wadg hamsemi? Mapenz maelewano❤❤❤❤❤
@ChristinaOnditi-el3xo2 ай бұрын
Mie naona huyo kijana ni muhuni tu, Isha hapo unapigwa na kitu kizito
@hassanihussein27312 ай бұрын
Kwaiyo mtume ndo alifanya hayo tu ya kuoa mke aliemzidi umri mingine mbona hatuyafati haya ndo tunaona yanamaana SHUBAAAAAMIT
@Zengeni-gz8fe2 ай бұрын
@@hassanihussein2731 hapana brother vyote vinaumuhimu .ila nilijaribu kuwakumbuxha 2ktk Yale matendo ya mtume hili ni 1wapo lakuoa mwanamke aliyemzidi umri.na mapenzi maelewano 🙏
@Zengeni-gz8fe2 ай бұрын
@@hassanihussein2731 lawama zimekuwa nyingi sana kwa sister.huenda baadhi yetu hatujui hili .kifupi mi nimefutahi dada yetu kupata mwenza..usingo Maza unachosha.mi nampa maua yake dada insha 🙏🙏💪
@wemakalama64582 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣@@hassanihussein2731
@mamaswaas_kitchen2 ай бұрын
Nimesoma comment nyingi tu before niandike yangu na wengi wanamponda Isha ooh umri ooh kijana muongo sioni kama ni poa ile minimeona ni wanapendana wanheshimiana na kizuri zaidi ni marafiki, nimewapenda bure sema tu kweli hapo kwa ndoa mutie bidii ndugu zangu kuna na kesho napia kuowa mwanamke mkubwa chambilecho ni sunna mtume wetu (S.W.A) alifanya ivo so sio ajabu.
@AfricaQueen2 ай бұрын
🙄🙄🙄🤔🤔🤔🫣🫣Dah! Huyu bwana mzima wa kichwa kweli 🤔🫣Anaulizwa mashwali anachanganya maneno na eti huyu sio mwanamkwe wa mwisho na Aisha anajichekesha dah! Bwana mshamba sana na anaongea sana anamtia aibu 😂🤣🫣kijana ngosha anatafuta maisha kama Rommy wa shilole 🤣😂🤣😂🫣Bi dada lajichekesha 🤪🤪🤣😂😂Because of love ❤️😂🤣🤣🤪
@SuleimanKhdija2 ай бұрын
Nini tatizo mabint wanakosa vijana ila Shangazi wapo vizur vijana tafteni pesa mwisho wa cku unafukuzwa kama.......😮
@aishafrancis77142 ай бұрын
Romy🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@Mina.152 ай бұрын
Uchebe 😂😂
@kibouttv71482 ай бұрын
Mabinti wengi bado hawajajitambua wengi wanaume wanaangalia pia na akili yako je ni ya kujenga maisha au kutwa mnaomba vocha na hela za mawigi alaf mishangazi ni watamuuu uliza wanaume wakwambie mwanamke umri ulioenda na ameshazaa utamuu ni mwingiii
@melanialeonard40312 ай бұрын
🐕🐕🐕
@user-wp5pu1zs8i2 ай бұрын
Vijana wasasa wanataka mtelezo kulelewa msisingizie kuombwa pesa
@user-rd8dz3kp9f2 ай бұрын
Huyu kaka kunakitu anatafuta kwa isha minishaona😂😂
@BMboss108Ай бұрын
Pia Aisha atafuta kitu😂😂😂
@user-pu6pr5jt4n2 ай бұрын
Mhm kazi kweli kweli Wakna shishi wako wengi
@RabiaWahadh2 ай бұрын
Zuch ❤❤❤❤❤
@user-rd8dz3kp9f2 ай бұрын
😂😂😂
@teddygabriel56622 ай бұрын
Sina la kusema yangu macho na masikio👁️👁️👂👂
@hamismbekae30502 ай бұрын
Habari ndio hiyo mwanaangu ausio wamama wamjini duh😮
@smartonlinetv51442 ай бұрын
Mmmmmmh.......kazi kweli kweli hakuna mapenzi hapo ni swala la maslai
@kassimchuo52902 ай бұрын
Mamboo
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm2 ай бұрын
Mwanaume haongei sana huyu ni mpiga dili tu😅😅😅😅
@rajabdibwa64152 ай бұрын
Jamaa mjanja mjanja😂😂
@user-hz5nf8qp5w2 ай бұрын
Nakubali braza kwa maneno yko umri n namba 2❤❤❤❤
@ggvv99702 ай бұрын
Mwanzo wamaelezo uwanirahaa😂😂 Masha Allah kila laheri inshallah ❤❤❤
@user-gj2mm3ko8m2 ай бұрын
DIVA NA Abdul sheikh WA mchongo (mke wangu WA mwisho)haya basi ....ILA Chuma kibiji hiyo kinamula mashauzi weeeee😂😂😂😂
@AmanaHussein2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@esterpaul58562 ай бұрын
Nimewapenda sana ❤ kwanza huyu Dada hanaga skendo za umalaya..Umri just a no
@faridapandu75792 ай бұрын
❤❤❤ nakupenda daisha mlee kijana
@user-pe1qv1sn5p2 ай бұрын
vijana wa natafuta sehemu za.kutulia na.kutuliza akili.ila ndio.mtulie sasa.na.fanyeni jambo . ili msizini
Kweli dada Khadija. Halafu dada Mashaunzi aangalie sana kuna kitu anakifuata huko mbelen:tena mchaga awe makuni Aisha.
@user-fx7ig1uy6t2 ай бұрын
Nina miaka 29 na utuuzima wangu huu nilichokiona huyo kaka ni muongo mpk muongo tena..ila kila kheri sis
@YasminYasmin-vj5ih2 ай бұрын
😢yn unaemuona kbsa km muongo hiyo mwanamke tapel kweli mwanamke mwalimy wetu kipofu huyu sikuelewi jmn
@salamasefu54942 ай бұрын
Mapenzi yakiwa mapya yana nguvu.mungu awajalie ameen
@ukhutfatumah11542 ай бұрын
Bora wali nyama kuliko walimwengu Furahia penzi lako Isha mashauzi
@dayana5513story2 ай бұрын
Love is beautiful things 😍 😊
@lovirinaa2 ай бұрын
Mh vinaume viongo no matter how old a lady is a young man can lie to any old woman wanawake hakili ni ndogo sana uyo jamaa yuko hapo for his own reason hakuna mwaume anaependa mwanamke mkubwa kwake
@wemakalama64582 ай бұрын
SubhanaAllah mitihani kwa kweli mhh
@RabiaWahadh2 ай бұрын
Zuch Na Diamond 💯💯💯💯
@user-zz7jr7yj9m2 ай бұрын
Tukiachanaaa na shishi utakutanaaa na ISHA
@user-tt7cu2et1x2 ай бұрын
Kazi ikooo😂😂😂
@joyce557272 ай бұрын
😁😁
@user-lc4yg2hf4g2 ай бұрын
Mungu awaongoze vema❤❤❤
@Habibtyjojo14 күн бұрын
Ukweli nilikuwa namuonea huruma mabango ila sasa Nina furaha kuona Aisha amemsamehe mpenzi wake am so sorry wallhi😊
@jadetoto9 күн бұрын
Kamsamehe wapi hii ya zamani
@chinamilenas33752 ай бұрын
Hamna penzi hapo daaah...
@MeniJr2 ай бұрын
Saivi haya sio mashangazi tena ni magurdumu
@ramboiddrambo30562 ай бұрын
sema uyu jamaa anaonekana mzinguaji anataka kuonekana tu kama anaigiza
@KuluthumuMsuwakollo2 ай бұрын
Isha anaonekana kapenda sana
@annamwakibinga5272 ай бұрын
Hii mishangazi hii mna mambo sana.
@user-dz5jc6pp8e2 ай бұрын
Mmmmmmm jamaniiiiiii usijimalizeeeeee mdogo anguuuuuuu hayaaaaaa mchaga mama mkwe mualikeni mama angu tabu mwaimu
@jamilaathumani54812 ай бұрын
Kila la her inshallah..mdumu kwenye ndoa yenu
@MohamedMkota2 ай бұрын
Yn kijana wa watu umewekwaaa😅😅
@alisaadmohammed2 ай бұрын
Mwendo kasi na mashngazi
@khadjamhozya2 ай бұрын
Mashauzi ana kisura furani kizuri❤❤❤❤❤❤
@Brunn-mh2bq2 ай бұрын
Fulani sio " furani"!!
@user-gj5jp7iu1y3 күн бұрын
Maneno yakaka nayaamin sasa isha ndo ataki kumsamehe
@RehemambodzeJefa-bw8vv2 ай бұрын
Nice couple❤
@rajabessa36752 ай бұрын
Mashangazi ❤
@lunangabenjamin31212 ай бұрын
Ni mapenzi mzidi kupenda mbona mnaendana haya tafuni sasa mengine ya maana maishani.achaneni utoto.
@ElishaOisso2 ай бұрын
Maigizo hayo
@evancemoevt85972 ай бұрын
Kwa Sasa ni Mwendo wa Mishangazi!!!😂😂😂😂😅😅😅
@Zainab-qg6xv2 ай бұрын
😂😂😂nimecheka tena mishangazi yenyewe mibonge bonge
@MohamedMkota2 ай бұрын
😅😅
@joyce557272 ай бұрын
😁
@Sarah-tq2vc2 ай бұрын
Mishangazi yenyewe yamenenepeana kweli
@Kidotii2 ай бұрын
Mishangaziii tuko vizuriii, tunaupendo wa dhati na tuna helaaa😂
@user-ni6xq5jt9q2 ай бұрын
Yaan maelezo tu yanajitosheleza kuwa dada kaamua kukusaidia😅
@TrinaRoman3452 ай бұрын
🤔🤔🤔🤔🤔 yan hapa ujajipata yn mwakani uyu kwao🫣🫣🫣 amna kitu apoo
@aminaomary55672 ай бұрын
Lakini kijana mzuri kama wataendelea ❤❤❤❤
@khadjamhozya2 ай бұрын
Ninzuri arakini anaonekana mhuni furani
@aggiemarley57422 ай бұрын
Huyu kaka anampenda sana Isha. Ona anavyomtizamadada wakati anaongea.
@jadetoto9 күн бұрын
Ndo wameachana sasa
@user-ht5tc5yv5t2 ай бұрын
Mmmh uongo huo bwana kick hyo😂😂😂😂
@Lulucut2 ай бұрын
Ila waschana tukiwa wadogo vibinti tunataka mibaba tukisozeza umri tunataka vijana.
@sofitanzanian9552 ай бұрын
Joshua pumzi zinakuhadaa niko pale mungu atakavo kuzalilisha
@Naju6452 ай бұрын
Allah awadumishe
@user-jk7tq7xq2f2 ай бұрын
Nimaisha magumu au Kwa vijana au Nini tatizo
@danimtenga69622 ай бұрын
Jamaa kakwambia ana kazi usichoelewa hapo nn?
@user-jk7tq7xq2f2 ай бұрын
@@danimtenga6962 kutembea Na watoto
@ukhutfatumah11542 ай бұрын
Kipi kigum hapo kijana Ana kaz yake ingia Instagram yake ya Isha kamtag
@zenasalum22312 ай бұрын
@@ukhutfatumah1154 kamtagi jina gani chaumbea Mimi nikaone
Kaz ambayo sito ifanya ni hii kwa umri kam huu et niziniw na vijan aaah hapan mungu aninusuru pesa na zitafuta kwa shida nisile na qatt wangy nikatafuta mtuy tunae enden nae anizidi yy siyo mim nimzid nikikosa mzee kam mim ni bora ni baki na watt wangu w mtihan
@Kidotii2 ай бұрын
Hao watu wazima dada wanavisukari! Shaur yakoo😅😅
@omanoman20442 ай бұрын
@@Kidotii siyo kweli kwa hiyo watuy wazima wakike ndo hawana kisukar am
@roseafrael752 ай бұрын
@@Kidotii😅😅😅😅😅
@ZuhuraMwanafuno2 ай бұрын
Visukari na preshaa
@msafirisaimoni95612 ай бұрын
Wanalongana sema isha ana mwili mkubwaaaa😂😂😂😂
@khadjamhozya2 ай бұрын
Huyu kaka ni mhuni sana maneno yake sizani kama watadumu
@ameenaameena4222 ай бұрын
Ila ss wanawake tunajizalilisha sanaa
@messaabbas7392 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂jamaa Vibe aisee vitu vya wanawake wanavyopenda
@albertinamichael61232 ай бұрын
Umri ni nombre tu.
@RamadhanBassamАй бұрын
Kwani huyo Isha Ana ukubwa gani? Mwili tu huo na uyo mwamba c mdogo kivile
@MarjebyАй бұрын
Mshua wangu anapiga muda wowote anapotaka😅so dogo usijimalize sana
@mamadida61002 ай бұрын
Isha hana ukubwa wa hivyo
@barackmoses70032 ай бұрын
Dah Dunia inaelekea wapi
@user-pf2cf4hp6w2 ай бұрын
Mm mbona natafta mishangazi sipati jamani mie nataka mshangazi wakunilea
@user-fo2on5rg6t2 ай бұрын
😂😂😂😂tafuta ela
@rajabdibwa64152 ай бұрын
Nenda kwenye nyumba za malezi😂😂😂
@user-pf2cf4hp6w2 ай бұрын
@@rajabdibwa6415 duuu umetishaaa
@fathiyahmuzney73672 ай бұрын
Kwan kijijin kwenu huna shangaz
@ukhutfatumah11542 ай бұрын
Njoo ujeruman nikuconnect na MISHANGAZ ya kizungu
@eggysulle79882 ай бұрын
Nmewapentaaaa😂😂😂😂
@NAYLASULTAN-td4ks2 ай бұрын
BETTER FANYENI HALAL MUOWANE NA AUTIE ISHA MASHALLAH ANAJUA KUFEKA NA ANAJUA KUPENDA AND MUME MTARAJIWA UKIFANYIWA KITU NA ISHA SEMA THANKS UNAONA YEYE UMEMUEKA SAWA NYELE ZAKE AMEKUBIA THANK LAKINI YEYE ISHA KAKUPANGUSA KITU ON YOUR FACE HATA THANK HUJAMPA THAT IS NOT RIGHT TO HER SHE LOVELY WOMEN YOU ARE LUCKILY TO HAVE HER IN YOUR LIFE
@evancetilya1672 ай бұрын
Dah
@tuntufyemwasyete38342 ай бұрын
Hawa wasanii wana rahana
@fbr51132 ай бұрын
KWELI AJIRA NGUMU ILA NIMEWAPENDA NA NIMECHEKA HADI NIMELIA
@user-cj2kl7cd9k2 ай бұрын
Isha kama sikosei nahisi kazaliwa 82 sasa ana uzee gani ni mwili tu huo
@MauaDumba2 ай бұрын
Ila isha ana baby face❤
@khalfanmohd70192 ай бұрын
Mbona mim sipatagi mashangazi jaman munawapataej kila nikiwatongoza nakomeshwa na kesi hupelekwa nyumbani kwa wazee😢
@AminahasiraMakoti2 ай бұрын
😂😂😂😂njoo mm pia natafuta vibenten
@user-ne4fl7kc8h2 ай бұрын
❤❤❤
@user-fk1io4yp3j2 ай бұрын
Afu kuna mm msichana mdogo sina mpenzi duuuuuh! Kweli shangazi zetu mna balaaa
@amosihokororo97022 ай бұрын
Njoo
@user-fk1io4yp3j2 ай бұрын
@@amosihokororo9702 😅😅
@hassantuva37652 ай бұрын
Sema Shangazi ukimzingua anakuacha paap
@roseafrael752 ай бұрын
😅😅😅😅 yani ni shwaaaaaaa
@aminaomary55672 ай бұрын
:dada Aisha huyo mrembo anaonekana kama anabeza hivi hapo pembeni ni nani?
@aishafrancis77142 ай бұрын
Maisha yanakwenda mbio jamani daah😂😂😂😂😂😂
@user-se9no4rg3k2 ай бұрын
Muwe mnaona aibu wanawake ata kuwavulia nguo navitoto vidogooo😢😢😢😢😢😢
@khadjamhozya2 ай бұрын
Hizo nguo wanazowavuria na na hizo Kuma wanazowapa ni vyawo wewe unawashwa wapi
@rerisamba2 ай бұрын
Lakini Isha Masauzi nilianza kukuona kitambo kumbe ulikua single
@rhodarichard4494Ай бұрын
Tatzo we domozege
@RoyMangale2 ай бұрын
Yaani mtangazaji kamzidi muonekano huyo kibenten wa Isha mashauzi,,, mpaka Isha mashauzi anaona aibu
@chandeyusufu95702 ай бұрын
Vijana atafuteni kazi badae mnapigwa chini kinomanoma
@user-pu6pr5jt4n2 ай бұрын
Mhm kijana kashapata mseleleko😂😂
@QeenPrince-lm7ci2 ай бұрын
Nilikuona unamaana kumbe akili kama za mtingila 2
@bennamush46162 ай бұрын
Mashangazi tuashieni my wetu au kisa pesa😂😂😂
@ednahumazi7772 ай бұрын
Aibu.poleni wenzangu muda ukipita tafuta rika lako ambaye hana mtuu looo huyu dada.hawaendani wanawake twajilalilisha huyu ni mwanayo
@mkamajames27862 ай бұрын
Hii ni Kiki tu
@user-zz7jr7yj9m2 ай бұрын
Makubwaaa mshangaziii
@SmilingFreshwaterLake-tg5qp2 ай бұрын
Shida sana
@twiseghekisilu88452 ай бұрын
Kwani mashangazi hawana haki ya kupendwa???na mapenzi hayana umr,kikubwa maelewano!!
@SmilingFreshwaterLake-tg5qp2 ай бұрын
@@twiseghekisilu8845 Wanahi ya küpendwa Ila na wezee wenzao siyo siyo vijana