Mh.wsziri Hotuba nzuri sana inatia moyo wafanya biashara na wawekezaji ,kama na vitendo vitakuwa hivyo unavyoaahid.safi Go ahead.
@kadokemarco996624 күн бұрын
Huyu jamaa ni hazina ya taifa, siyo akina Mwigulu, Nape, January na akina Tulia.
@AwardHakimu24 күн бұрын
Namkubali sana huyu jamaa hanaga masifa ni mchapa kazi wenye akili timamu ndio TUnamuelewa huyu
@Majhidymhessa24 күн бұрын
Tatizo mnalijua sana: Ni utitiri wa Kodi zenu. Mfano bidhaa nyingi za inchi jirani kwa mfano @Rwanda,Burundi,Uganda, Malawi n:k zinapitia hapo Bandari ya Dar kule zinauzwa nusu ya bei tofauti na siye. Angalieni hilo. Na kinacho sumbua hapo kwetu ni Roho Mbaya za watu na maslahi binafsi zaidi.
@chalokalunde942924 күн бұрын
Nimefurahia sana huyu jamaa huwa ana maono ya nchi iendelee.
@user-vb7vw2jr7d24 күн бұрын
Mimi mwenyewe nimetoka kulipa faini ya milioni moja ya kubambikwa kwasababu hakuna pakusemea na mpango wakuhama kwenda nchi jirani
@halidomar987424 күн бұрын
Madeni tuna bambikiwa tra hatuyaelew
@tisamokebulemasubugu622217 күн бұрын
Wakubwa wanakimbia lakini wadogo wanatishiwa Police ukiziangalia lawama zote tatizo ni maamuzi Kwanini wachumi wa hii Nchi hawana michango katika uendeshaji wa uchumi Endelevu ?
@victorjames373023 күн бұрын
TRA na Kodi sio rafiki kwa wafanyabiashara
@adelinelyaruu303617 күн бұрын
TRA just want to see the numbers growing😢😢
@AhmedHassan-vl5zf24 күн бұрын
Hao kina mo dewj wanapaka kuilazimisha ili wapinguziwe Kodi Yani waziri wawachie waende
@DeogratiusAndrew-zi7zv24 күн бұрын
Nafurahi umerudi ulingoni, jaffo, majaliwa, makonda, haya nimejembe, hayaishi ukaliwake, kule walikokuwa wamekupeleka walikuziba mdomo, nakuombea sana Kwa Mungu akupe hekma kumaliza migogoro ya wafanya biashara,
@tisamokebulemasubugu622225 күн бұрын
Maamuzi ya viongozi hayaangalii uepushaji wa Athari Kwa wafanya Biashara