Hapo mmeonesha ukomavu mkubwa wa kisiasa, ila kiukwel wote mko vizuri, nimependa sana hii.
@samwelnevele77962 ай бұрын
Mdahalo huu kwa kweli ni meupenda hongera sana
@leocadianjau74102 ай бұрын
Natamani hii midahalo ifanyike kwa viongozi wote wa kanda tutapata watu wazuri sana kuinua utawala bora hadi level ya chini kabisa
@jumakapilima72952 ай бұрын
Mjadala haukuwa wa afya
@frankSamwel-rg3lz2 ай бұрын
Midahalo kama hii ina stimuleti thinking. Big up chadema na Act wazalendo kwa kuliona hilo
@user-jt4lo1og8w2 ай бұрын
Hii ndiyo demokrasia ya kweli, big up chadema❤❤❤❤❤
@nzagiherman16282 ай бұрын
Mdahalo mzuri sana. Tunapata wasaa wa kuelewa thinking, goals na the end... Nafurahi sana kuwasikiliza mnavyorespond hoja na maswali.
@mcongomakete16642 ай бұрын
Asante sana kwakufafanua hapo maana mh msigwa anapotosha uma
@user-ig7tb1cf8z2 ай бұрын
Chadema bigup sana kwa njia hii inawajengea uwezo zaidi chadema
@PelleSamky2 ай бұрын
Hongera sana Naiona Nuru Chadema Mungu awabariki sana na wakubali
@bahatadof5543Ай бұрын
Kweli sugu upo vizuri kaka yangu,me nakuaminia,kumbe sugu uliona huyo Mzee anaenda kuindoka,saafi sana sugu
@isayakihongile49212 ай бұрын
Haya ndiyo mawazo huru ninayoyataka yanajenga yanamuamsha kiongozi asibweteke nipo na Sugu
@wemakyagunya18952 ай бұрын
Uongozi ni kazi sana aisee inataka roho ya Bwana wa Mungu iwe juu yako. Hapa Sugu na Msigwa wanapamhana kupata tu nafasi ya Uenyekiti wa kanda tu aisee kwa kweli ni kazi saana.
@user-un8si7wk1z2 ай бұрын
Hii debate ni excellent. Wamefanya vinzuri ĝ
@pirminmatumizi54642 ай бұрын
Ni mapema mno. Lazima uzijue siasa za Africa ndugu yangu. Tusiige wamagharibi kila kitu.
@shinjemsuka18222 ай бұрын
Sugu ana hoja za kitoto sana, comedians
@TegemeaFutemakatifu2 ай бұрын
Sio kweli ila nimependa mdahalo huu
@Fesary2 ай бұрын
Na ameshibda; Sugu anaongea simple lakini strong
@TegemeaFutemakatifu2 ай бұрын
Hoja za Kitoto kama??
@thomaskiponda60792 ай бұрын
ÌNGEKUWA CCM WANAJIGEUZA CHAWA KWA MTU MMOJA HII NDIYO CHADEMA TUNAYOIJUA❤❤❤
@user-uz9mw1ie6z2 ай бұрын
Tuache makundi ya hivyo ili tushinde uchaguzi wa serikali za mitaa mwako 2024 na uchaguzi mkuu 2025. God Bless Us - CHADEMA
@noeljacob96442 ай бұрын
Ila maswali ya Odemba yamenyoka sana🙌🙌🙌🙌
@alphoncewilliam43252 ай бұрын
😂😂
@AronsMugisha552 ай бұрын
Mko vzr sana Chadema
@user-vz4xv7lg3x2 ай бұрын
Hii ni nzuri sana....hata atakaeshinda atajua ana kazi ya kufanya na si kujibweteka tu!!
@illomowerner76902 ай бұрын
Sana, walioshinda watimize majukumu yao kwa bidii na ubunifu mkubwa kwa mujibu wa katiba. Congratulations for the voted leaders, all are winners
@user-vz4xv7lg3x2 ай бұрын
@illomowerner7690 sure, they have a great job to do!!
@othannmpoli9896Ай бұрын
You have show us, the meaning of democracy keep it up !!! May be next time….,.!
@AronsMugisha552 ай бұрын
Chadema mmekuwa mfano mfano mzr one mnavyofanya mdahalo live ili kumpata kiongozi bila mizengwe aise hii ni demokrasia ya hali ya juu sn. Safi sana vyama vingine viige mchakato huu wa kupata viongozi
@user-so9fo5tv3j2 ай бұрын
Mdahalo mzuri sana
@user-ig7tb1cf8z2 ай бұрын
Kanda ya Nyasa mnawatu wazuri sana mimi nawashauri wajumbe wawape wote, maana simwoni wakumwacha.
@illomowerner76902 ай бұрын
hahahaaaas
@user-so9fo5tv3j2 ай бұрын
Well said Mchungaji Peter Msigwa.
@respiciusmugezi86452 ай бұрын
Mimi sijui sana siasa lkn ninachokiona kwa Msigwa ni mtu ambaye anajua kujieleza vizuri na kujitetea ya wezekana hiyo ni kalama yake,ila kwa utendaji sio mzuri
@lusajomwaipopo50422 ай бұрын
Uko vzuri
@TegemeaFutemakatifu2 ай бұрын
Uko Sahihi Msigwa anakipaji Chakujieleza Vizuri sana
@faustinombilinyi98092 ай бұрын
Kweli ndugu msigwa anajua SN kujieleza kujibu hoja lkn UTENDAJI hajui sn pili huwa anajua yy yupo superior than others tatu hajui miiko na mipaka na yake na viongozi wake alinukuliwa akipingana na makamu mwenyekiti hadharani ni kosa lile
@ignasmwamwenda31542 ай бұрын
Msigwa, kwenye ngorongoro mmmmh, ulijikwaa
@jamessoke44542 ай бұрын
Safi Sana kwa mdahalo mzuri
@dismasmtui7292 ай бұрын
Safi sana CDM
@user-xi2mf4xh7r2 ай бұрын
Nyie ni maswaiba nawajua na kiukweli mko vizuri maana tunhitaji hoja kamili kama hizi,wote mko vizuri kimawazo tunawatakia heri ktk uchaguzi.
@illomowerner76902 ай бұрын
Bonge la hoja, unajitambua
@PaulKabungo2 ай бұрын
Safi Sana
@user-oo3qw8ns7g2 ай бұрын
Congrats msigwa, freedom of opinion
@JoseHaule-tx7lu2 ай бұрын
Safii kabisa hiyo ndio democrasia
@johnmakundi98772 ай бұрын
Chadema mko vzur hongera kwa mabadiliko
@illomowerner76902 ай бұрын
Big post
@sebastianmwantuge55972 ай бұрын
Huko ndiyo kushindana kwa hoja,mwisho wa siku mmoja akishinda mnapongezana. CHADEMA safi sana.
@gaspercharles22442 ай бұрын
Ndg yangu hapa ni kuangushana sio kushindana ndani ya Chama halipaswi hili maana baada ya huu uchaguzi mmoja Kati Yao ataanguka kisiasa sayansi ya siasa haitakiwi Chama kimoja viongozi wawili tena wa ngazi za juu kufanya hayo madhara yake ni makubwa Sana ndani ya Chama kisiasa
@V24hrs2 ай бұрын
Kumbe waliokimbia walikosea sana
@elishampoki87512 ай бұрын
Nakubali
@finiasmaengela29962 ай бұрын
Mjadala mzuri Sana
@costamasuba10992 ай бұрын
Pamoja siyo mzoefu wa siasa ,ila mfumo wa kifikiri ndio engine ya Kila jambo,wote hao wanamazuri na madhaifu ,ila mchungaji ni mbobevu kwenye leadership,sugu ni hodari wa kumobilize watu,sugu he have to lean more.
@geraldgedi46572 ай бұрын
Kweli kabisa hata wakati wa ukoloni shule zilikuwepo chini ya miembe na watu walipata elimu ndo waliopata elimu wamejenga shule
@wilfredmdemu611Ай бұрын
Cm nao wafanye mdahalo kama huu tutaona vioja kwa kweli
@Aminmwansile-we8vn2 ай бұрын
Mpeni ushindi sugu sugu ameshinda huu mdahalo
@safarimashimba50802 ай бұрын
Hot soup!
@cyprianboniphace-oz5lw2 ай бұрын
Mh Msigwa nakukubali sana ila hapa naona Mh Sugu ana nafasi kubwa ya kushinda.
@deodathsilayo36392 ай бұрын
Chama kingine kiige hiv Kama wataweza
@conradjunior59402 ай бұрын
walianza ACT hii
@user-zg4yz7je8d2 ай бұрын
Chama kinakuwa sasa zamani chama wanachaguaana tu sasa ivi mtifuano
@dunstankihaa23832 ай бұрын
Chief Odemba ni hbar nyingne kwa wanahabar
@josephmantago28372 ай бұрын
Nawaomba viongozi wangu wapongezane wao kwa wao mi nawakubari wako vzr hawawezi kufanana ndo maana ya democrasia atakaeshinda tumeshinda wote chadema kizazi kipya cha kuhoji Mungu ibariki chadema na watu wake
@raphaelmchilo-kx4tt2 ай бұрын
Jamani msigombane ndani yachama
@HenryKasaje-on4xq2 ай бұрын
Safi sana
@karenstephen87382 ай бұрын
Good! Hiki ndicho chama cha siasa bhana
@illomowerner76902 ай бұрын
Kweli kabisa kamanda, umehoji na kutoa mawazo yako kizalendo... materialistic
@NyangiMarwa2 ай бұрын
Mdaharo mzuri sana ila siku nyingine boresheni sauti
@LuciaAgustino-pt5mg2 ай бұрын
Muzingwa uko vizuri sana
@AnithaQueen-jc6wt2 ай бұрын
Msigwa yuko vizuri sugu akae pembeni kwa heshima ya chama
@geraldgedi46572 ай бұрын
Msigwa P. you are so strong you deserve what you have and you will win this battle on 29.5.24
@illomowerner76902 ай бұрын
UKO wapi @regnald Let's know about your prediction whether is has gone okay or not😂
@DenisKagineАй бұрын
Msigwa very nice,
@user-ig7tb1cf8z2 ай бұрын
Wana ccm tuingie tujifunze Chadema mambo mema si vibaya kuviiga.
@williamshehemba72242 ай бұрын
Hii ni kitu nzuri sana CCM WAIGE HILI KWA ULIMWENGU WA SASA
@komboarts7110Ай бұрын
Sugu swala la kilimo umejibu kwa Utulivu wa maono
@ambitiousholyspirit3952 ай бұрын
Chadema ni chama kikubwa sana kinakuabsiku Hadi siku.
@karenstephen87382 ай бұрын
Nilikuwa najua yale ya wamasai yatamfuata Msigwa pole hili litakuangusha trust me bro check your arrogance
@illomowerner76902 ай бұрын
Great prediction @karestephen
@user-gy3bv7nm7d29 күн бұрын
Msigwa mjanja mjanja tu hana jipya atulie tu amuache sugu nae
@Simulizitulivuu2 ай бұрын
Daaah ila Msigwa 💪💪💪💪💪
@YaeLondon-xy7sh2 ай бұрын
Msigwa apishe nainatosha kama amejenga chama na mboye
@leodgardotmar71982 ай бұрын
Sugu nchi haijengwi kwa connection ni policy
@ThobiasMarandu2 ай бұрын
Not Impressed by anyone!
@mcongomakete16642 ай бұрын
Mbona anajikanusha miaka 10 sio mzaha kama hakuna sampo ya miaka 10 umeshindwa
@edomukiluswa22622 ай бұрын
Msigwa kuhusu jambo la ngorongoro ni kama ulikuwa CCM, Jaribu Tena kujisahihisha kulingana na Imani ya Chama chako, Kuhusu lugha jaribu kupunguza kingereza, Watanzania walio wengi utawaacha nyuma hivyo ujumbe wako kutowafikia Sawa sawa
@illomowerner76902 ай бұрын
Muungwana ni vitendo, hoja nzuri @edomukiruswa
@Aminmwansile-we8vn2 ай бұрын
Msigwa mdahalo umekushinda yaan hauleeweki
@mwl.elishafredrickmwambeng89212 ай бұрын
Msigwa ni genius sana.... I wish angekuwa ndani ya CCM tushuhudie potential yake ikiwa full taped
@lusajomwaipopo50422 ай бұрын
Ccm hamuwapi watu wenye pontetiol nafasi
@mwl.elishafredrickmwambeng89212 ай бұрын
@@lusajomwaipopo5042 ni kweli mkuu ndipo tunapofeli kama Chama.... Tunaenda Kwa kujuana zaidi kuliko Nini mtu anajua....
@MsifuniMahenge2 ай бұрын
Tumpe sugu Kwa Sasa nyasa msigwa miaka kumi imetosha
@Aminmwansile-we8vn2 ай бұрын
Msigwa umeferi kwenye huu mdahalo
@ThobiasMarandu2 ай бұрын
indigenous • \in-DIJ-uh-nuss\ • adjective. 1 : having originated in and being produced, growing, living, or occurring naturally in a particular region or environment 2 : innate, inborn.May 12, 2024 Msigwa Hapo au hajui au Kapotosha, Indignous Haina Maana ya Suti au Nyumba Ina Maana (Watu wa Asili wa Mahali, Iwe wana Suti au rubega) Wamasai ni Indiginous wa Maeneo hayo.
@omegamwasenga98232 ай бұрын
Msigwa anapaniki, twende na Sugu nyasa.
@V24hrs2 ай бұрын
Aliwaita nyumbu kwakuwa nyie ni nyumbu kweli. 😂😂
@illomowerner76902 ай бұрын
Huna akili
@nicasissa2 ай бұрын
Msigwa is a big brain
@Aminmwansile-we8vn2 ай бұрын
Katika huu mdahalo nimeamini sasa kuwa sugu ni mwanasiasa mkubwa sugu ameshinda huu mdahalo
@success-only2 ай бұрын
Kipepeo msigwa mbona anapanic ? Kuna wakati msiwa ataisaliti chadema Ulishabikia na kuungana na ccm kuwafukuza wamasai ngorongoro
@user-ne1ni8cp4b2 ай бұрын
Chill bro msigwa
@LuciaAgustino-pt5mg2 ай бұрын
Musikwazane wote moo vizuri kisiasa katika taifa letu
@1xbetagent24hrsnicolous32 ай бұрын
Msigwa kujipa sifa umekwama acha watu wakupe sifa Pili tuhuma simekuchafua Pili unajibu kwa hasira ambayo na jaziba usilazimishe mambo wakati umebugi stape Nipo nasugu
@clarencelazaro96002 ай бұрын
In fact Msigwa tena
@samsonsanga4368Ай бұрын
Kweny jibu la nyumbu mch umejib vzr san.
@King_Of_Everything2 ай бұрын
👊👍✌️.
@Aminmwansile-we8vn2 ай бұрын
Msigwa tayari umetumika mwachie sugu aongoze nyasa
@davidndaha96072 ай бұрын
Apa nakubali kiongozi sio kuchaguliwa tuu ila kupewa charenge kesho akishindwa wanamwacha!.
@shukuruphanuel17292 ай бұрын
Msingwa ni Kiongozi, Wanachama wa CHADEMA waamue vizuri. Wakichagua vibaya watapotea
@illomowerner76902 ай бұрын
Acha kuwapangia wajumbe nani achaguliwe, wapigakura watachagua kiongozi wao kutokana na mahitaji yao ikiwepo vipaumbele vyao. Isitoshe wote bado wataendelea kufanya kazi za chama hata kama si viongozi, aliyekwambia mtu akidondoka kwenye kura hafanyi kazi za chama? Acha akili mgando
@Simulizitulivuu2 ай бұрын
Kwa hoja nilijuatu Msigwa hashindwi. Sasa kwenye utendaji huko sijui sanaa
@finiasmaengela29962 ай бұрын
Nimegundua msigwa kinachomsumbua ni suala la wamasai 😂
@onesmomasala-rg2wd2 ай бұрын
Mdaahalo mhim kati msigwa na mbilinyi
@onesmomasala-rg2wd2 ай бұрын
Haya ndio mambo
@MohamedAli-kq2zc2 ай бұрын
Moderator mwenyewe mhhhhh.Mungu mwema
@gaspercharles22442 ай бұрын
Kweli hichi Chama Sasa ni kama cha chadema kugonganisha viongozi na kukosoana namna hii mbele ya watu ni kuangushana kisiasa au Kuna agenda? Maana sijabarikiwa na ukosoanaji wa namna hii viongozi wa Chama kimoja maana hadi Sasa kwa mtu mwelewa ameshamwona mmoja hapo kuwa hafai Sasa kesho yake kisiasa ndani ya Chama ni nn?
@cyprianboniphace-oz5lw2 ай бұрын
Umesahau wakati wa kura za maoni za ubunge CCM majimboni watu mpaka wanagombana kama sio wa chama kimoja.
@bahatadof5543Ай бұрын
Kwa hiyo ofisi hazina maana,wakitaka kukuona watakukuta wapu sema mchungaji unachemsha
@boniphace12 ай бұрын
Hii dhana ya kusema maendeleo siyo vitu bali ni watu ni mtego utakao toa good excuse ya kutowajibika. Ni kweli hatuhitaji vitu kama majengo, miundo mbinu n.k?
@user-lw3tg3yg5b2 ай бұрын
Mimi si chadema lakini nawaunga mkono kwa mjadala mnaofanya hii itasaidia wananchi kuchagua viongozi makini
@illomowerner76902 ай бұрын
Bonge la hoja @user
@kassiannyamba805Ай бұрын
Jongwe music
@mangenyanyondo86912 ай бұрын
Msomi mh msigwa uwelewa wa juu sanaa
@GeraldNyasembe-q2d29 күн бұрын
Mmhh kumbe msigwa alisapoti CCM kufukuzwa kwa masai
@HaryPoter-zw7vr2 ай бұрын
Tumpe Sugu kura Zetu, Mchungaji msigwa aeleweki,mmetutukana,pili ameunga mkono kufukuzwa Kwa wamasai