Usijidanganye ccm hawezi sehemu kubwa kushinda uchaguzi wa huru na haki
@infodigtechforcommunityemp4103Ай бұрын
Safi Kabisa CCM sema kweli daima
@abubakarimussa913126 күн бұрын
Pumbavu ccm lini ikasema ukweli
@FredMwamgogwa-td6niАй бұрын
Bora kama mmegundua
@mahengedaktari-ek8goАй бұрын
Asante mwamba
@evampuya-mp9vf20 күн бұрын
Hongera saana kwakuwa muwazi CCM umewarahishia kupata mtu sahihi
@clemenceparokolaАй бұрын
Heche njia nyeupeeeeee
@StevinGodfreyАй бұрын
hechee arudishiwee jimboo lake😊
@manfredkibona3126Ай бұрын
Hizo sasa ni fitina ambazo CCM inasema mwiko umejichanganya bro😅
@AthumanDauda28 күн бұрын
Amna Cha fitina au kafitina naona jipu litatumbuka
@YoyoChacha-gl5uiАй бұрын
Wew wetar hahuwezi kusida tarime
@jacksonsimon502025 күн бұрын
Bado hamjasema, na mtasema tuuu!!
@kadaskarim508119 күн бұрын
Wewe sio ccm mbuz wwe ni mnafik sana
@usembiphonedar5632Ай бұрын
Tarime mjini na vijijini hiyo ni chadema ninyi majoka ya kijani mlipata hayo majimbo kwa bahati na michongo tu! 2024/2025 tunataka majimbo hayo yarudi Chadema. Bob Wangwe na John Heche wanatosha sana! Wana Tarime ikatae ccm kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao mafisadi ccm.
@tronline695929 күн бұрын
Kuna JITU litakufa kwa pressure 😂
@AbdallahMchani19 күн бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊🎉
@SeverinepauloPeterАй бұрын
Jimbo la heche.
@sebastiansalamba31329 күн бұрын
Sio tarime tu Kanda ya ziwa wanasiri kubwa
@JacksonNyaikoba27 күн бұрын
Toa sera
@MATHAYOPETROGARYAАй бұрын
Naona huyu jamaa kaamua kumwombea John heche kura asubuhi sana sasa wewe jichanganye kumtoa waitara uone kama ccm tarime huko hautakufa!!!
@infodigtechforcommunityemp4103Ай бұрын
Haaaaaahaaaaaaaa
@infodigtechforcommunityemp4103Ай бұрын
Safi sana
@bockerNyarusahi28 күн бұрын
We utakuwa ni mgeni huu ukanda,yaani umepotea kifikra
@PhilipoMwita-wc1kuАй бұрын
Binafsi hua naona waitara ni mwanasiasa mwenye hoja...lkn. Amekua kigeugeu sana KATIKA kuwatetea wananchi bungeni Kuna muda unaona huyu mwamba anatuteetea lkn kwa muda mwingine unaona anajipendekeza na kulamba miguu ya Samia.. Halafu Sasa amekua haonekani kwenye majimbo
@MATHAYOPETROGARYAАй бұрын
Ndo siasa inataka hivyo
@josephmahando493Ай бұрын
CSR, Itamtafuna sana ni haki ya waliyo karibu na mwekezaji, aendeee,, na CSR ITARUDI TU NI HAKI YETU SISI TUNAO UMIA NA SHUGHURI ZA UENDESHAJI WA MGODI WA.
@lameckrange-ol6uzАй бұрын
Hayo yapeleke kwenye chama kwani hamna vikao Hiyo haijakaa vzr..
@amanmwalyambi141627 күн бұрын
Nimependa ukamandani
@user-id6xo9td6kАй бұрын
Chuki binafsi zina wasumbua sana ccm. Heche jimbo wamesha kupa.hilo asubuhi mapema.
@user-io6yj9fs2hАй бұрын
Bob wangwe au heche hao ndo watu sahii
@deomaiko963229 күн бұрын
Hii ndio siasa 😂😂
@WazaeliStefanoАй бұрын
Aheri huyo waitara kuliko huyo mliyemkaribisha juzi atawavuruga kwelikweli
@JosephMosabi21 күн бұрын
Kwani hamna vikao vya chama mkayaongelea huko
@user-fw6xu8gn2qАй бұрын
Broo upigaji ndani ya ccm ni haki yao kwani ripoti ya cag inajileza vzuri tu nani kachukuliwa hatua mama amesema kila mtu alee kwa urefu wa kamba yake hujasikia? Acha watu wale mema ya inchi
@georgedaudisabuni5339Ай бұрын
Kukataa wazee wa mila hapo ndipo unabugi viongozi wa dini wanaumhim wao na wazee wa mila wanaumhim wao usiangalie imani yako
@user-jg2dy4kb6jАй бұрын
Heche ni suala la muda tu kuchukua jimbo
@JosephatMsafiriАй бұрын
Haya yapo hata majimbo mengine pia na inawezekana kuna kozi maalumu wanayopitia kwani hakuna hata moja linalotofautiana.
@divaimafuru684427 күн бұрын
Naomba mbaki nae hata sisi akirudi chadema hatumtaki😂😂
@user-fl8jf5zn9jАй бұрын
Huyo waitera ni chawa,tu. Hafai kuwa hata kiongozi kwanza anatamaa sana
@boniphacewambura142728 күн бұрын
Shida hakushinda 2020 Na haya ndio malipo yake Maana watu walipiga kura wakimtaka Mwl.John wegesa heche Ila jana jana yenu mkapola uchaguzi Sasa vumilieni Maana kura huwaamua maana Pauline ya wengi ni kauli ya mungu Sasa kura ni kama kauli
@weslaus775026 күн бұрын
Nilichogundua ww ndo mpinzani wa Chama Cha Mapinduzi na Waitara
@HadaikaNgabonaАй бұрын
Huyu si mwana ccm.
@robertphilip38526 күн бұрын
Fukuzeni huyo waitara mlevi mkubwa toeni kabisa huyo mono mongugi
@kibwetere1418Ай бұрын
Kumekucha!!
@MweraRiroАй бұрын
Fuatilia katika tiktok ya wiki moja iliyopita,,,,,nilisema tangu 2005 hakuna mbuge alie wahi kurudi mara mbili au awamu ya pili bungeni kufikia 2025 itakuwa miaka 20 sijui kama kaka yangu atavunja record
@MashakaMatukuАй бұрын
Na bado mmeanza kusinichiana wenyewe,, waachieni wenye Jimbo lao
@kirariwilanya1850Ай бұрын
Waitara ni Mbunge wa Magu & Ccm.huyo hajawai kushinda Tarime watu tunajua hata Waitara na watu wake wanajua kwamba "Heche ndie Mbunge wa Tarme vijijini ni swala la mda tu"
@margarethpolepole7438Ай бұрын
Mungu wangu Waitara kimemsibu nini
@user-ig7tb1cf8zАй бұрын
Wenzako bungeni mpina aliyesema kweli katimuliwa.
@joycethomas7918Ай бұрын
Sasa kwanini usipeleke kwenye viongozi wa kanda ya juu. Hilo kosa kusemea kwenye mitandao, hiyo inaonekana vitina zenu wenyewe
@helencyprian8745Ай бұрын
Kumbe hata nyie wenyewe mnatoana uhai😢😢😢😢
@samoskiyalo6095Ай бұрын
Njia muliyo ipita je mutabadikisha? Hongera kutambua wema huzaa wema tenda utaweza
@emanuelmhoja2411Ай бұрын
Kumbe kuna ubaguzi wa ukoo huko kwenu!! Hamfai kabisa kuitwa Watanzania,mnatuletea tabia za Kikikuyu
Hiyo tabia ya Waitara ndio aliyonayo huyo mwingine uliyemkaribisha hana sifa za uongozi kwa Sasa akiona Kuna mtu anaongelea nafasi yake ndie anakuwa adui yake
Si mlimuona lulu 😂 kisa muibomoe Chadema wenyewe kwa wenyewe sasa mnanyukana kwisha habari yenu na msubiri ya Msigwa sasa😂
@yohanamsongole6489Ай бұрын
Huyu kijana hafai
@ntegrity27728 күн бұрын
BOB WANGWE NI MBUNGE POPOTE TANZANIA HUYU NI DHAHABU YA MARA KITAMBAA SAHIHI CHA KUTUFUTA MACHOZI YA CHACHA ZAKAYO WANGWE BOB WANGWE HATA HECHE HATOSHI MBELE YAKO! WEWE NI KIPENZI CHA WANA TARIME JARIBU MY SON
@George-jz3jgАй бұрын
Unafiki tu wa kisiasa mbona 2020 mlikula hela zake na mkamnadi mpaka akapita ubunge we kijana lazima umekisa vijicent vya waitara
@fwc5552Ай бұрын
Alipita kwa kupigiwa kura na nani
@KanyawelaАй бұрын
Nileteee uyu imeanza kutugeuka
@JoyceKabula-in1sh28 күн бұрын
Hahahaaa
@ryobajohn7177Ай бұрын
HUYO HAFAI
@mustafaalli4698Ай бұрын
Mshikemshike Tarime....😂
@AthumanDauda28 күн бұрын
Kanda ya ziwa mbona kitaeleweka tu majipu tutayatumbua mda ukifka
@nestor384Ай бұрын
Wewe ni mpuuzi kama wapuuzi wengine
@MayalakusekwaNkwabiАй бұрын
Wewe na Waitara ni CCM ni WAONGO
@boniphacewambura142728 күн бұрын
Mumuhoj na watara na nyabugeti tumjue
@helencyprian8745Ай бұрын
Mbona uwizi ni asili yenu unashangaa nn? Wakiwaambia nyingi ni wapigaji mnawaona wabaya, sasa mnasema wenyewe. Ni muda tu
@emmanuelhema18629 күн бұрын
Hufai kuwa kiongozi wewe hayo ni mambo ya ndani ambayo mnatakiwa kuyaongelea kwenye vikao vyenu vya ndani utakuwa na lako jambo hapo husaidii chama bali unakiharibu
@boniphacewambura142728 күн бұрын
Ndani hakuna nafasi
@princenelsonsinko5237Ай бұрын
Waitara kwsiha
@amanmwalyambi141627 күн бұрын
Waitara kwisha
@VenanceMbangaАй бұрын
Acha wafu wazikane wanyewe
@AMANIMSOREАй бұрын
tarime kwanza watu baadaya mkuu
@SungwaFrancis-sx1lsАй бұрын
Wewe ni musaka tonge huna lolote la maana la kusaidia chama,kwa kashifa hii unayotoa ikiwezekana naomba chama kikufukuze uanachama hufai kuitwa mwana CCM.
@leonceuwandameno6378Ай бұрын
mkimfukuza ndo mtashinda uchaguzi? mlipewa ubunge kama ubani na mwenda zake --- sasa mtaisoma namba kama kauli ya chama chenu inavyosema.
@BoscorPatrickАй бұрын
kijana mwenzangu achana na siasa.unusuru uhai wako .ccm hawapend mkweli watakupina au kukustava/ kukutundulis.kukuben sanane n.k
@charlesmurimi765Ай бұрын
Mimi nasema Waitara ni tapeli. Huyu ni jirani yangu ila kibaka
@emanuelmhoja2411Ай бұрын
😂😂😂
@lucksonsikaona50529 күн бұрын
Waitara ni mavi kabisa
@emilianchibinda82Ай бұрын
Huyu si kada wa CCM wala mwanaccm.CCM wana sehemu zao maalumu za kuzungumzia mambo yao sio kwenye mitandao! Zaidi ya hapo CCM wana sare zao zinazowatambulisha, ambazo ni rangi ya kijani, makada wanaoisoma katiba ya CCM wanafahamu. Kipindi hiki kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mengi yatasemwa yakilenga kuchafuana.
@kibemassao6478Ай бұрын
Ww ni bogus, huoni nembo ya ccm hapo kifuani? Au umeshiba maharage
@emilianchibinda82Ай бұрын
Massao nyie ndio mliozoea kuandika mambo bila kufahamu sawa na kudandia gari kwa mbele sawa na huyo mwenzio. Nikuelekeze ndugu yangu kwenda kwa wakongwe wa chama hiki kuelimishwa. Kwa kukusaidia tuu ebu angalia picha za wana ccm wawapo kwenye shughuli zao maalumu za ama mikutano ya kichama, kisha unitajie idadi ya wajumbe wanaokuwa na vazi lenye rangi ya huyo jamaa yako. Usiandike tuu ulipaswa uelewe kilichoandikwa. Pale kilichoandikwa ni rangi wewe bila kuelewa ukaona nembo.Ebu tafiti kwanza
@henrymwamakulaАй бұрын
Kiongozi umetukosea wanaccm kamati ya maadili na kamati ya siasa ya wilaya ipo mbona umkurupuka kwenda kuongea kwenye media
@sainatv2688Ай бұрын
Sasa kimeumana ila chunga ulimi utafichwa msa c mrefu tata maana chama chenu kwa kuficha hahahaha
Ww una hila zako kama ni hoja si upeleke kwenye Vikao vya Chama au na ww una mgombea?
@yohanamsongole6489Ай бұрын
Huyu hana jipya nimusaka tonge
@zebedayokatamaduni9676Ай бұрын
Waitara tupeni nje. Weka Heche hapo
@kadaskarim508119 күн бұрын
Pumbavu zako wwe unatumiwa
@user-mx8om2iv1dАй бұрын
waitara ni taira kama kichwa chake
@ramdanmbara8500Ай бұрын
Huyu mpumbavu katumwa, hana lolote. CCM Vibaraka kama Mpuuzi huyu anayeongea wanapo achwa ndio chanzo cha migogoro..
@ntegrity27728 күн бұрын
Wewe umeshindwa kumuenzi baba yako CHACHA ZAKAYO WANGWE hata alipo analia! Ungebaki CHADEMA watu wa Tarime hawawezi kumuacha CHACHA ZAKAYO! Mdogo wako BOB WANGWE NI JEMBE aje Tarime achukue ubunge asubuhi wewe hufai
@JacksonNyaikoba27 күн бұрын
Usogere watu
@ChristerKokuАй бұрын
Nyie watu wa Tarime CCM,msijaribu kumuengua Waitara,na Mbunge makini ni Mbunge anajua kuzitetea hoja za mama Samia,lakini zaidi anajua kulia bungeni tafadhali kaa naye.Hoja zako peleka kwenye vikao vyenu.
@bockerNyarusahi27 күн бұрын
Pamoja na hizo sifa zako kwa Waitara,ni vyema umkaribishe jimboni mwako umpiganie apate kura ili awaongoze nyie huko
@user-gx9jr5le2fАй бұрын
We mwehu huna lolote
@fredysiwale5413Ай бұрын
Kumbe wewe ni mpuuzi tu unaongelea mambo ya uchaguzi leo mbona bado acha mbunge afanye kazi aliyo tumwa na wananchi
@JacobMbosalee28 күн бұрын
Chuki binafsi hizo.wewe uogopi kufungwa??
@emmanuelcharles5613Ай бұрын
Jomba uko vizuri waitara mbwembwe nyingi tiripu hii ataenda gombea msata
@hemedimbilikila9768Ай бұрын
Hahahah msata Tena duh
@dorothmsuya168620 күн бұрын
Sasa na wewe mitandaoni ndio umeona pa kutolea malalamiko? Hakuna vikao vya Chama? Unaboa bwana!😢😢😢
@gidongailo717417 күн бұрын
Mwache aseme bhana😂😂
@dorothmsuya168617 күн бұрын
@@gidongailo7174 ndio keshasema tena!
@christopherryoba58027 күн бұрын
Hata wewe una matatizo jitafakar kada mwezangu
@user-ze1zz5zy9oАй бұрын
huyu kiukweli nimjinga kabisa anamsemaje mbunge ktk ujasiri huo simama imara