No video

Je mtoto ni wa Mariamu au ni wa nani kiwanja cha waka moto mpaka kieleweke

  Рет қаралды 5,139

Salim Daawah Kenya

Salim Daawah Kenya

Күн бұрын

Пікірлер: 57
@Idysalim
@Idysalim 2 ай бұрын
Subhana-Allah, Allah awafungue vifua hawa marafiki zetu, wako very innocent understanding how hard it is kujaribu kufundisha khaki na kubainisha batil na haki
@Jingajinga64
@Jingajinga64 2 ай бұрын
Assalamu Alaykum team. Allahumma Barik.
@Noorein-ws8wk
@Noorein-ws8wk 2 ай бұрын
Wsalaam warahmatullahi ta'ala wabarakaatuh
@salimdaawah123
@salimdaawah123 2 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@Adm9464
@Adm9464 2 ай бұрын
Sheikh Ali . May Allah bless you. Please and please respect the muhadara. If your role is msomaji, please be respectful and kind. Your role is to read when asked by the Sheikhs. This people don’t know much and when you behave like this , they will see Islam as different and argumentative .
@salimdaawah123
@salimdaawah123 2 ай бұрын
Inn shaa Allah
@SaidiMteluka
@SaidiMteluka 2 ай бұрын
Sikiza habari 😂😂😂 hapo maalim salim anampa mtu kibano.. daawa mpaka kieleweke
@salimdaawah123
@salimdaawah123 2 ай бұрын
Mpaka kieleweke inn shaa Allah
@andallaathman3856
@andallaathman3856 2 ай бұрын
Sheikh Ali unakoroga madhara wallah unafanya iwe fujo huachi sheikh Hasan akaongea ww waongea ww Hadi anaeuliza anakuangalia ww wallah unakoroga ni BC tuu
@amadimagadi7978
@amadimagadi7978 2 ай бұрын
Anakoroga sana hataki kunyamaza uyu Ali bana
@oopsm3574
@oopsm3574 2 ай бұрын
Ndio utamu wa daawah 😂😂
@andallaathman3856
@andallaathman3856 2 ай бұрын
@@oopsm3574 utamu gani NI bughdha tuu
@F.j84
@F.j84 2 ай бұрын
Hakuna kukoroga km una imani huezi kuskia mtu nyuma yako anakoroga dini yako kw uongo.. Hata mm sina hio subra
@andallaathman3856
@andallaathman3856 2 ай бұрын
@@F.j84 urongo hata hakuna mtu wanyuma yy anaongea nahuyo aliekuja kuuliza maswali na mwalimu Yuko siachukue yy BC afundishe mwengine asome ati kma huna Imani mwenye nayo ni ww mwenyewe ushabiki WA urongo ulisikia mtume hata siku moja alitusi mtu ama kurukia watu hangekua mtu muislam Lau mtume angekua namna hio unavyo sema ww atulie watu wapate faida
@loner_wolf
@loner_wolf 2 ай бұрын
3rd today
@salimdaawah123
@salimdaawah123 2 ай бұрын
Masha Allah
@samxx411
@samxx411 2 ай бұрын
Na mie wanne leo nimewahi
@salimdaawah123
@salimdaawah123 2 ай бұрын
Masha Allah
@adanabdi5249
@adanabdi5249 2 ай бұрын
Ustadh Ali atulie tafadhali.
@aburaasmedia3682
@aburaasmedia3682 2 ай бұрын
Ustadh Ali yuko sawa mwache
@F.j84
@F.j84 2 ай бұрын
Ustadh Ali ako sawa ni imani ya dini ikiwa kw damu huezi kukaa kuskia mtu anavuruga dini yako kw uongo nyuma yako.
@F.j84
@F.j84 2 ай бұрын
Tafadhalini waislam wacheni kusema ustadh Ali sijui anavuruga sijui nini.. Ustadh Ali ni mwalimu na ana hekma na imani ya dini ikiwa juu huezi kabisa kuvumilia ujinga wa makafiri wanaosema maneno juu dini kw ujinga au upumbavu... Je mwamjua swahaba wa mtume omar na abubakar walikua ni wakali sana walikua hawapendi nonsense.. Kama mulisoma sera za mtume hamungeongea haya ya ustadh Ali
@Abdiidaawah
@Abdiidaawah 2 ай бұрын
Allahu Akbar Maustadh wangu
@Adm9464
@Adm9464 2 ай бұрын
Haki lack of education. Definitely unlearned people who have no clue about their Bible.
@loner_wolf
@loner_wolf 2 ай бұрын
Drama za biblia ni za hovyo sana😅
@isahbarasa
@isahbarasa 2 ай бұрын
Mwalimu Ali napenda venye unaweka spice unafurahisha😅👏
@andallaathman3856
@andallaathman3856 2 ай бұрын
Unadanganya bure anaharibu kila kitu angekua anafanya vizuri masheikh hawangemwmabia atulie atulie niachie mm why coz ana interrupt tuu hata anasinya
@F.j84
@F.j84 2 ай бұрын
​@@andallaathman3856nop wakimwambia atulie sio kua anaharibu wala hajui.. Ustadh Ali haezi kuskia mtu akivuruga dini ya Allah lazma anachemka na hio ni dalili ya imani ikiwa iko juu.. Ikiwa mamba ya mzaha tu munapigania je dini ya Allah.. So wewe vumilia tu
@loner_wolf
@loner_wolf 2 ай бұрын
Huyo wa mwisho wazomu , hajui uweza w mungu hata chembe
@omweri05
@omweri05 2 ай бұрын
Sunday mtakuwa hapo tena nikuje na maswali
@bahsansheikh6042
@bahsansheikh6042 2 ай бұрын
Hii team inakua hapo daily, so karibu sana
@ZamzamMakoto
@ZamzamMakoto 2 ай бұрын
Wako hapo kila siku
@isahbarasa
@isahbarasa 2 ай бұрын
Karibu sana upate kujua haki
@ahmedsido5838
@ahmedsido5838 2 ай бұрын
Njoo na list sheikh Salim akupe khabari masha Allah
@ahmedsido5838
@ahmedsido5838 2 ай бұрын
Lakini usiulize swali ya sadaka 😂😂😂
@hythamhashiem4458
@hythamhashiem4458 2 ай бұрын
Huyo jamaa anayo sema ilitoka mbinguni na anadai kuwa niya mungu kwani mungu aishi mbinguni?
@josemu870
@josemu870 2 ай бұрын
Kwa neema ya uislamu
@user-sq1ol2fb3i
@user-sq1ol2fb3i 2 ай бұрын
Assalam alykum mwalimu salim wacha tabiya yakuhigiliya wanawake wakiisilm Unasema yakwamba mabinidi wetu siomabindi wenyetabia nzuri kwasababu mamazao ni Single wewe unawakikahupi utakaha na mkewako maisha Yako yote mbonguza maneno yako naujiregebishe wapewanawake wakiislam mawaidha manzuri lakini sio kuwahigiliya wacha kiburi mwalim salim
@andallaathman3856
@andallaathman3856 2 ай бұрын
Sasa kiburi iko wapi hapo haswaa hta useme hivyo kua na lugha mzuri hebu Hilo lajjlikana kua watoto wakuelewa na mama wengi hua wnaakosa maadili mara nyingi
@Jingajinga64
@Jingajinga64 2 ай бұрын
​@@andallaathman3856ni kawaida kupata mitihani na misukosuko unapolingania watu kwenye dini hata kama ni watu wa dini yako mwenyewe. Twende nae tu kwa utulivu inawezekana ameteleza na atajirekebisha. Sheikh Salim usi mind ila ongeza volume kidogo.
@user-ng1po1dh4z
@user-ng1po1dh4z 2 ай бұрын
Sikiliza kwa makini, na Jifunze ili utoe ujinga, achana na Ushabiki usiyo na maana.
@salimdaawah123
@salimdaawah123 2 ай бұрын
Mwalimu ako sawa katika uisilamu hakuna single mother hii ni uzungu au ukristo katika uisilamu watoto wako na baba zao single mother ni wale wanazaa watoto bila kuolewa nadhani hakufahamu mwalimu alivyosema pili mwalimu hakutaja wanawake wakiisilamu alikuwa anamfunza mkristo so please kabla hujasema sikiza video vinzuri
@andallaathman3856
@andallaathman3856 2 ай бұрын
@@salimdaawah123 huyo ana chuki zake tuu ama labda yy kazaa nje ya ndoa ndio akaja nahasira bila kuelewa kilicho semwa
@user-hy5zd5rn6r
@user-hy5zd5rn6r 2 ай бұрын
Qur'an yako inasema sisi.Badala ya mimi
@F.j84
@F.j84 2 ай бұрын
Majestic plural. Enda ukasome bibilia uelewe kisha ukuje kw quraan😂😂😂
@user-te3ir8yh6k
@user-te3ir8yh6k 2 ай бұрын
Hivi una maana gani?
@user-hy5zd5rn6r
@user-hy5zd5rn6r 2 ай бұрын
@@F.j84 Majestic plural? Stop dreaming.....there was no such things in the 7th century...Go back to madrasa
@user-hy5zd5rn6r
@user-hy5zd5rn6r 2 ай бұрын
@@user-te3ir8yh6k soma utaelewa tu
@user-hy5zd5rn6r
@user-hy5zd5rn6r 2 ай бұрын
Majestic plural?....there was no such things during the 7th century.Go back to where you got this lie from and tell them to tell you the truth
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Паша Осадчий
Рет қаралды 1,1 МЛН
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 162 МЛН
PASTOR DICKSON OSORO ASHINDWA KUJIBU  SWALI LA KIJANA MDOGO PAT 2
40:04
Koech Abubakar Daawah Kenya
Рет қаралды 4,3 М.
Sheikh Hassan Ahmed - Kisa cha wanandoa
1:57
Thamaratul Jannah Tv
Рет қаралды 2,4 М.
Wanawake wakikristo wavamia mkutano wa daawah mkuru kwa jenga by sheikh Idris
46:28
KIJANA WA SHAKAHOLA AJITOKEZA KWENYE DAWAH
1:24:11
Straight Path Dawah
Рет қаралды 10 М.
Ukweli wafichuka kimeeleweka daawah imefika njia ni Moja tu ya uisilamu
51:42
Salim Daawah Kenya TV
Рет қаралды 9 М.