Je, ni siku ipi saihi ya ibada part 3

  Рет қаралды 20,586

BIBLIA NURU YA DUNIA

3 жыл бұрын

One of the most important visions of the Apocalypse is the one that presents the three angels flying in the sky announcing three consecutive messages. Each message is closely related to others. In addition, they relate to other symbolic visions expressed in other writings of Revelation. The word "angel" means "messenger" and, in this prophetic and symbolic vision, angels represent God's people of the end-time world, in the role of proclaiming the good news of salvation.

Пікірлер: 46
@mercywainaina8840
@mercywainaina8840 3 жыл бұрын
Keep the sabbath day holy . Asante mwalimu Francis .
@kennedylimberia5177
@kennedylimberia5177 3 жыл бұрын
Watu wa mikinduri wabarikiwe na amaneno yake mazuri ya mungu
@kelvinaherimutula1207
@kelvinaherimutula1207 3 жыл бұрын
Ongela sana kwa kusambaza nuru palipo giza
@fredrickgitonga1972
@fredrickgitonga1972 3 жыл бұрын
Mbarikiwe sana watumishi
@lucykamangu5030
@lucykamangu5030 3 жыл бұрын
More blessings Pastor and your team
@Helen-uh1ww
@Helen-uh1ww Жыл бұрын
Am watching from uganda but ur words always encourages me God bless you and u continue with the sprit
@raymondngajagu66
@raymondngajagu66 3 жыл бұрын
Mr Ndacha na Paul Mungu awabariki na awatangulie
@athumanikhamis7694
@athumanikhamis7694 3 жыл бұрын
GOD bless you brothers, nawafuatilia sana kuongeza maarifa na kujifunza kufundisha, am athmani khamis from Dar es salaam Tanzania...
@daud8785
@daud8785 3 жыл бұрын
M Mungu awabariki Sana na awalinde.
@lastsilwimba664
@lastsilwimba664 9 ай бұрын
Mungu akubariki.
@athumanikhamis7694
@athumanikhamis7694 3 жыл бұрын
GOD bless you and empower you friends... athmani from dar es salaam Tanzania
@brianokokookoko
@brianokokookoko Жыл бұрын
You too
@odagodan4339
@odagodan4339 3 жыл бұрын
Mi ningependatu kuhimiza wenye moyo safi ili tungane pamoja tuweze kufanya hii kazi kupitia mchango wa kifedha kupitia number ya Ndacha ili injili isonge mbele. Sio kila mtu anaeza hubiri. Na Ndacha na team yake wanafanya kazi nzuri sana.
@athumanikhamis7694
@athumanikhamis7694 3 жыл бұрын
Ata ukituma kwa Tshillings si sawa??
@denniswasai2668
@denniswasai2668 3 жыл бұрын
Asante sana lakini itakua vyema ukichange into ksh
@Kenb1773
@Kenb1773 3 жыл бұрын
Barikiwa sana pastor hakika nabadilika kwa neno unalolisoma
@ericosoro7617
@ericosoro7617 3 жыл бұрын
Amen
@JANETHEMMANUEL-df4pq
@JANETHEMMANUEL-df4pq Жыл бұрын
Ndacha amuri za Mungu za agano la kale si za agano jipya
@samkabayiza6212
@samkabayiza6212 4 ай бұрын
leta andiko
@elizabethsidi5574
@elizabethsidi5574 9 ай бұрын
Aky huyu mchungaji ni mbishi kweli
@brianokokookoko
@brianokokookoko Жыл бұрын
Je ni siku gani kamili wafuasi wa mungu wanafaa kuabudu mungu??
@franciskiio9980
@franciskiio9980 3 жыл бұрын
Mchungaji kakosa fungu huyu😲
@adielgodwin
@adielgodwin 3 жыл бұрын
Huyo msomaji si alikua ameenda kwa uislam
@harrisonodiwa7248
@harrisonodiwa7248 3 жыл бұрын
Huyu msomaji Paul I watched somewhere in KZfaq eti amejiunga na uislamu tena.
@rosemutinda3076
@rosemutinda3076 3 жыл бұрын
Ilikuwa kitambo sana.. Alikuwa amehongwa na wakuu wa kiislamu ati atapewa 200k akirundi uislamu, ni story devu sana.
@princeeddiekingsley8719
@princeeddiekingsley8719 3 жыл бұрын
Hi Mimi Kama pastor sijashindwa kuthibitisha na siku hiyo sikuwa nimejipanga ila Kama atarudi mikinduri I assure you that I will prove that Sabbath as ndacha says is on Sunday na ndo maana nilimwomba siku iwe between Christian's and Sabbath
@michaelogony75
@michaelogony75 Жыл бұрын
dont be incorrigible friend accept the truth that you've known today. you cannot defy the reality
@suleimanmido2942
@suleimanmido2942 3 жыл бұрын
Yesu hakushika sabato
@denniswasai2668
@denniswasai2668 3 жыл бұрын
Ushidwe wewe. Soma Luka 4:16
@suleimanmido2942
@suleimanmido2942 3 жыл бұрын
@@denniswasai2668 sasa kama Yesu ameingia sinagogi mbona ww unaingia kanisani umetoa wapi?
@morinyoparks8073
@morinyoparks8073 2 жыл бұрын
Wakristo hawasomi Biblia na unakuja na maneno ya kinywa chako Tumia andiko takatifu
@suleimanmido2942
@suleimanmido2942 3 жыл бұрын
Marko 16:12 Yesu aliwatokea akiwa na sura nyengine @ sasa hua mnabisha nn ?Quran inaposema kua walibabaishiwa mtu mwengine
@moseskimani6088
@moseskimani6088 3 жыл бұрын
We fuata Quran
@isaiahosiemo5417
@isaiahosiemo5417 Жыл бұрын
Hawa ndio wamepotea kabisa
@rosemutinda3076
@rosemutinda3076 3 жыл бұрын
Hawa ndio mapastor wanategemewa na watu 🙄🙄Ati Sunday ni siku ya kwanza, mara siku ya saba 🙉🙉
@suleimanmido2942
@suleimanmido2942 3 жыл бұрын
watu wa Sunday ndio waasisi wa ukrito SDA ni kama dhehebu la TB Joshua wakaribuni tu ila wote jikoni
@suleimanmido2942
@suleimanmido2942 3 жыл бұрын
yaani unakutana na Yesu anakwambia mbona sio katika watu wangu 😆😆😆duh unatamani kwenda kwa Muhammad na ww ulimkataa ni shida
@rosemutinda3076
@rosemutinda3076 3 жыл бұрын
@@suleimanmido2942 dini ya kiislamu mwazilishi ni walaka, na hadija ambao walikuwa majesuits wa Catholic. Mohammed ni mtume wao. Mohammand alisilimisha shetani akawa muislamu. waislamu, majini na shetani ni brothers.
@rosemutinda3076
@rosemutinda3076 3 жыл бұрын
@@suleimanmido2942 siwezi ingia dini ya majini. mungu wa majini atasanidiaje....
@suleimanmido2942
@suleimanmido2942 3 жыл бұрын
@@rosemutinda3076 nitafute kwa no 0773096695 nikupe elimu ambayo hukuwahi kuanayo
@princeeddiekingsley8719
@princeeddiekingsley8719 3 жыл бұрын
Grace changed everything you can't keep the Sabbath hypocritically and not observe it's ordinance .Mbona usirudi tena mikinduri .Exodus 31:12-17.How can you keep the Sabbath and reject it's ordinance???we are under Grace and not the Law .Acts 13:39.
@profs.a5412
@profs.a5412 3 жыл бұрын
Hapo umefafanua kwa akili zako ndacha, wapi imeandikwa hizo sabato zilikoma na hiyo inaendelea? ....hapa mtumishi sikubaliani nawewe kwakuwa hakuna aya kwenye biblia inaonyesha sabato ambazo zilikoma na ambazo zinaendelea. Usijiingize kwa siasa
@denniswasai2668
@denniswasai2668 3 жыл бұрын
Wewe ndie unaingia kwa siasa. Biblia inasema Sheria za Musa silikoma msalabani. Na hizo Sheria silikua nyingi hata sabato silikua nyingi pia na silikoma.
@suleimanmido2942
@suleimanmido2942 3 жыл бұрын
@@denniswasai2668 hakuna andiko kama hilo ni kuweka viraka tu
@morinyoparks8073
@morinyoparks8073 2 жыл бұрын
Wewe hio professor yako ni jina ama ni real
@michaelogony75
@michaelogony75 Жыл бұрын
@@suleimanmido2942 uislamu ni dini ya mohammed wewe endelea kupigia mohammed debe wote mumepotea. hio qurani ikaweza kuandikwa kwa lugha zingine watu watatoroka wote.
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 6 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 14 МЛН
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 94 МЛН
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 6 МЛН