mungu mwenye endelea kuitia uzima na ushindi mkuu familia ya mwamba wa africa rip magufuri
@stanleymhozi75905 ай бұрын
Mungu muinue jeska kwa viwango vywajuu
@user-lt1bi5nr1x6 ай бұрын
Jeska amekua mashaalah
@graceannah84524 ай бұрын
Chapa kazi mama kazi Yako ni nzuri wanawake oyeeeeee
@dominicamwacha6 ай бұрын
Happybirthday Mama Yetu Mpendwa Mungu akuongezee miaka mia moja zaidi tunakupenda mama kazi iendelee❤❤
@nabosedward48366 ай бұрын
Itakua nae yumo kwenye system mbona kaenda kiulaini tu
@SuleAmber-lw2tx6 ай бұрын
Aseeh mtoto mrefu na ninavopenda wadada warefu 😂❤
@fridageorge28096 ай бұрын
😂😂😂😂
@davidmpiluka52246 ай бұрын
Jesca, uwe mzalendo kama alivyokuwa mtumishi wa Mungu, mpendwa wetu JPM.
@mwanduelizabeth22825 ай бұрын
Jesca anafanana na mama yake Janeth Magufuli
@halimamasai22346 ай бұрын
Mtoto wa jembe kila la kheri na maisha marefu uwe jembe kama baba yako
@user-gp9px3tl7u6 ай бұрын
Mheshimiwa rais tumekuelewa
@ashamohamed32326 ай бұрын
Nataka nikulipiee fomu ya ulaisi mama yangu
@user-ue8pn5lz6m6 ай бұрын
Afya njema jescar
@Shadia5446 ай бұрын
Namtaka anaempaka wanja samia ajitokeze 😂😂😂😂
@khadjamhozya6 ай бұрын
Kwanini🤔😊
@franciscomasungulwa38206 ай бұрын
AMINA
@sabihaibrahim1437 ай бұрын
asingeweza kumfikia kirahisi hivo kama maji kama sio yeye
@user-mo7iq2fd8g6 ай бұрын
sahih kabisa...n kwa sababu t baba yake alikua somebody wa hii nchi
@allahisone63865 ай бұрын
@@user-mo7iq2fd8g 😅😅Ndiooo_🤦🏿♀️
@itikamlagalila19115 ай бұрын
❤❤
@user-ku5zj4kh6r6 ай бұрын
Habari mama mi naitwa happy nipo dar nakuomba unisaidie mwanao ela ya mtaj baba angu anatakiwa kufanyiwa upasuaji hatuna ela nakuomba ela ya mtaji
@blandinamwarabu50255 ай бұрын
Makushauri uende moja kwa moja kwa mkuu wa Mkoa utapata msaada na baba yako kama ana zaidi ya miaka 60 atahudumiwa buree lakini hata kama hajafikia umri huoa bado atasidiwa tu. Humu kwenye mitandao labda weka namba ya simu atakayekuwa nacho atachangia
@fj83173 ай бұрын
Hicho kichwa magu mtupu
@Officialjidaa-sn9cs6 ай бұрын
Magufuriiiii ni nomaaaa badoo
@joshuamwambene28746 ай бұрын
Magu wetu bwana..machinga tunamkumbuka sana
@user-pv6cw3uy9v6 ай бұрын
Asnte mama
@gasarabwepatrick6595 ай бұрын
😂😂😂😢😢😢😢😢😢😢😢
@imanmodern7 ай бұрын
Waongo ninyi 😅😅😅😅
@Official836407 ай бұрын
Uongo huo vp wakati Jesca JPM ndy huyo 😂😂
@khamismohammed16507 ай бұрын
Haoni hata kusachiwa hajasachiwa
@bundalahamza89027 ай бұрын
Kafanana na Mama yake.
@Official836407 ай бұрын
@@khamismohammed1650 We yaani lazima aangaliwe ndy aruhusiwe kumfikia Rais unafikiri kakurupuka tu kumfata hapo
@khamismohammed16506 ай бұрын
@@Official83640 hata kama kaangaliwa kisitarabu hata camera hazijamuonesha
@farajakwilasa4716 ай бұрын
mungu mwenye endelea kuitia uzima na ushindi mkuu familia ya mwamba wa africa rip magufuri