MSTAAFU MWINYI AWAVUNJA MBAVU MSIBANI KWA JPM , MAMA JANETH ASHINDWA KUVUMILIA, WALINZI WAMUONDOA

  Рет қаралды 379,733

Millard Ayo

Millard Ayo

3 жыл бұрын

#millardayoUPDATES

Пікірлер: 277
@silvanqueen3205
@silvanqueen3205 4 ай бұрын
Nani anasikiliza hii hotuba baada ya mzee wetu Ali Hassan Mwinyi kufariki ni nani? Inna lilah Wainna ilayhi Raajiuun.
@SalumKanju-ik1bk
@SalumKanju-ik1bk 4 ай бұрын
ndio naisikiza hapa, mungu ampokee mwinyi katika waja wema
@habibusalum1849
@habibusalum1849 4 ай бұрын
Kunajambo la kujifunza
@lucypius4414
@lucypius4414 4 ай бұрын
Nakata vitunguu hapa😢😢😢
@mirajintandu9787
@mirajintandu9787 4 ай бұрын
😢😢😢😢leo tr.29 nmerudi tena hapa baada ya kufariki mzee wetu mzee wa Ruksa. R.I.P mzee wetu
@joycefelix9047
@joycefelix9047 3 жыл бұрын
Jamani nimerudia sana kumsikiliza huyu Mzee Wetu. Hasa yale maeneo aliyotuvunja mbavu......kama nawe umerudia achia like please
@tausially1377
@tausially1377 3 жыл бұрын
Yule mwanetu aitwa nani vile mungu akulinde babu
@AzainTv
@AzainTv 3 жыл бұрын
@@tausially1377 😂😂
@lucytewele2211
@lucytewele2211 3 жыл бұрын
Kwa kweli nampenda
@lucytewele2211
@lucytewele2211 3 жыл бұрын
Namsikilizia mpk saiv jamani anaongea kweli
@thobiasodhiambo9553
@thobiasodhiambo9553 3 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu mzee wetu, baba yetu, babu yetu mzee Mwinyi. Wewe ni CHUMA nakukubali sana. Sikuisikiliza hotuba yako hii laivu lakini imenilazimu kuitafuta ili nipate kukusikiliza. Nimefarajika sana kwa busara zako. Kama nawe unamtakia maisha marefu mzee Mwinyi, achia LIKE za kutosha.
@ngedekimolo8512
@ngedekimolo8512 4 ай бұрын
Inna LILLAH wainna ilayh raajiuun. Ameenda Mzee mwinyi kwa mila wake.Allah akusamehe makosa yako na akujaalie qaul thaabit
@lynelee5846
@lynelee5846 3 жыл бұрын
Wazee wa busara kama hawa ukifaulu kuwafikia hakikisha unapokea neno la kukufaidi toka kwao Maana wana vitu vingi sana vya kutuachia kama vijana na sio rahisi sana kuwapata walio zeeka na akili timamu much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🙌
@theafricanphilosopherqueen3032
@theafricanphilosopherqueen3032 3 жыл бұрын
Reading without glasses at 95!wow, much respect, President Mwinyi, thank you for making the widow smile 🙂
@kamaratsalimsafari8838
@kamaratsalimsafari8838 3 жыл бұрын
Much respect great n funny speech without glasses but nime notice karatasi ya kwanza ameiregelea mara 2 almost to start third reading from the same notes🤣poni na huyu kaka aliekuja muonyesha nxt notes about Mama Samia 🤣so funny
@noelimafwele602
@noelimafwele602 3 жыл бұрын
96
@kiri5807
@kiri5807 3 жыл бұрын
mamaangu ni mtu mzima na havai glasses , ameekewa glass ndani ya macho yake .inawezekana naye yuko hivyo.
@kiri5807
@kiri5807 3 жыл бұрын
hizi lenses wanazovaa warembo kuweka na kuondoa ni km zile zakuonea ila hiyo inaeka chini ya ugamba wa jicho kwenye duara nyeusi .
@user-gv4jx2fp4u
@user-gv4jx2fp4u 4 ай бұрын
Yaani ni neema
@suma2553
@suma2553 3 жыл бұрын
Nimependa zaidi pale alipomuadress mwanae wa kumzaa, "Mheshimiwa Dr. Hussein Mwinyi". Kubwa sana hili
@abubakarimlyandi8966
@abubakarimlyandi8966 3 жыл бұрын
Mwinyi mungu akujaalie afya na nguv pamoja na uhai mreefu baba wewe ni mshauri
@neemajoseph7146
@neemajoseph7146 3 жыл бұрын
Mungu akulinde baba binafsi nakupenda 2. Nikiulizwa. Kwanii nakupendasijuwi
@neemakaluwa2146
@neemakaluwa2146 3 жыл бұрын
@@neemajoseph7146 wajina 🤣🤣🤣
@neemajoseph7146
@neemajoseph7146 3 жыл бұрын
@@neemakaluwa2146 nambie wajina
@fatunam7721
@fatunam7721 3 жыл бұрын
I just love former President Mwinyi. Ingawa tuko kwenye huzuni lakini katufariji sana na vichekesho vyake
@KUTOKA-ep2fk
@KUTOKA-ep2fk 3 жыл бұрын
Lipo kusudi la MUNGU kwa kulala huyu Kijana wetu, watanzania tuwe na amani! Maana hata walionia mabaya juu ya taifa letu hawawezi kwa jina la Yesu kwa sababu MUNGU wetu yupo juu ya maadui zetu! Na MUNGU wetu atatupigania........maono ya kweli hayafi!
@angelmaufi
@angelmaufi 3 жыл бұрын
Amina
@elibaricklaizer5671
@elibaricklaizer5671 3 жыл бұрын
Magufuli ameenda lakn. Bado yupo Mungu aliyetuleteaga
@neemakaluwa2146
@neemakaluwa2146 3 жыл бұрын
Ameen 🙏
@naomyndopi5355
@naomyndopi5355 2 жыл бұрын
Amen
@millowamilonga
@millowamilonga Жыл бұрын
Eti kwa jina la yesu ni nani huyo yesu?
@lysabantu2490
@lysabantu2490 3 жыл бұрын
Jamani, that was sweet. Mwenyezi mungu akulinde. You are such a blessing Baba Mzee Alhassan Mwinyi. Thank you very much for bringing laughter on such a somber day.🙏🏾🇹🇿💚
@sophiakimaro9203
@sophiakimaro9203 3 жыл бұрын
💖💖
@lupaprince1229
@lupaprince1229 3 жыл бұрын
Kweli Kabisa Lysa
@shamsakiobia6421
@shamsakiobia6421 4 ай бұрын
P😊
@mwanakhamiskhamis3115
@mwanakhamiskhamis3115 3 жыл бұрын
Mzee wetu Huyu amemfurahisha mjane wetu angalau amecheka nasi tumefarijika sana
@sniperislam4547
@sniperislam4547 4 ай бұрын
umeondoka leo nakuckilza tenah mzee wetu 😢
@damaspmtz1018
@damaspmtz1018 3 жыл бұрын
Umeongea katika ukweli kutoka moyoni Nimependa risala yako kwa Watanzania wote na Mwwnyezi Mungu atakulinda
@thebosslady4597
@thebosslady4597 3 жыл бұрын
Mwinyi yuko vizur anasoma bila miwani God bless you grand papaa
@diyembarak5506
@diyembarak5506 4 ай бұрын
mashaAllah Tabarakah Allah
@diyembarak5506
@diyembarak5506 4 ай бұрын
Allah amjaalie kaul thabit
@theshindikasfun5198
@theshindikasfun5198 4 ай бұрын
What a great tribute ! RIP our dear Presidents, Magufuli and Mzee Mwinyi 🙏🏿🤲🏼🫶🏾
@ayubumdolo259
@ayubumdolo259 3 жыл бұрын
Nafarajika sana kumuona raisi ambaye hakuniongoza yaan nilikua bado sijazaliwa leo namskia nimefarijika sana ubarikiwe sana
@glorykalunga4849
@glorykalunga4849 3 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu baba hakika unafurahisha
@conrad4950
@conrad4950 3 жыл бұрын
Oh wow..may God bless President Mwinyi..such a humorous soul..iv laughed so hard even though I was sad. RIP Mangufuli.
@mjahmed3809
@mjahmed3809 3 жыл бұрын
Babu hassan mwinyi long life bi idhni Llahah, you made my day
@mbarikiwambarikiwa3988
@mbarikiwambarikiwa3988 3 жыл бұрын
Ishi miaka mingi mh mstaafu Ally Hassan Mwinyi.
@josephmateru8892
@josephmateru8892 3 жыл бұрын
Umeongea mambo mengi sana ya msingi japo umetufurahisha sana umefanyi kamfaraja
@mariamnimbo8394
@mariamnimbo8394 3 жыл бұрын
Nakuunga mkono mzee Mwinyi, kweli JPM kafanya mengi mno, mno, makubwa na mazuri ya maana. RIP JPM baba!!!!!!!!
@Minsirerickjuniorofficial1272
@Minsirerickjuniorofficial1272 3 жыл бұрын
Nampenda sana huyu raisi kwa unyenyekevu na heshima yake,hana kiburi ya kustaafu ,mungu akupee maisha marefu babu
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 4 ай бұрын
Uliwahi ona waombolezaji wakipiga makofi? Marachache sana. Mzee wa busara huyo RIP Mzee Mwinyi.
@habibasimba1387
@habibasimba1387 3 жыл бұрын
Mzee wa ruska 😍😍😍😍 my mum told me alot of goods abt him
@nestinaviolachemba7914
@nestinaviolachemba7914 3 жыл бұрын
Me too yani
@abelmkiba543
@abelmkiba543 3 жыл бұрын
Goods si ni bidhaa hizo au mi ndo sielewi
@thomasgogomoka6404
@thomasgogomoka6404 3 жыл бұрын
Goods umezingua na wewe Goods ni bidhaa.
@lightrich6436
@lightrich6436 3 жыл бұрын
@@thomasgogomoka6404 mambo
@thomasgogomoka6404
@thomasgogomoka6404 3 жыл бұрын
@@lightrich6436 hii
@ismailyusuph740
@ismailyusuph740 3 жыл бұрын
Aisee kuna Watu MUNGU kawajaalia udongo mzuri’ miaka 96 bado angali anafanya baadhi ya mambo kwa ufasaha...!...Ahsante Mzee Mwinyi Kwa kuwafariji wafiwa ..!
@amidumselle5659
@amidumselle5659 3 жыл бұрын
Anasoma bila hata kuwa na miwan lakin vijana wa miaka 12 tu saizi hawezi kukaa bila miwani
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 4 ай бұрын
Dah!! Innalillah wainna ilayh rajiun Mzee Ruksa 😭😭😭 Ulikuwa huna baya maskini baba wa watu.
@aminaathumani3148
@aminaathumani3148 3 жыл бұрын
Kweli kulia kupo na kucheka kupo asante mzee wetu mwinyi umefanya tutabasam haliyakuwa tunamajonzi makubwa
@HeriMagwaza-cd4wg
@HeriMagwaza-cd4wg 4 ай бұрын
Rara salama mzee
@amenemhurt8817
@amenemhurt8817 3 жыл бұрын
95 but still going strong. Much respect 🙏 Rest in peace JPM🙏
@everkabete6645
@everkabete6645 3 жыл бұрын
wooow is 95,I can't believe it because he doesn't look that age
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 Жыл бұрын
And he can read without glasses 👓
@user-es1rv7sn2p
@user-es1rv7sn2p 4 ай бұрын
Hii ndiyo hotuba pendwa toka kwa mzee Rukhsa 😂 mpk watu walisahau km wamefiwa, nilitamani ufikishe miaka 100 tukufanyie birthday ya Taifa lakini Mungu amekuhitaji kabla.. Nakuliliaa mzee Mwinyi. Allaahumma ghfirlahu wa Arhamahu wa Maskanahu fil JANNATUL FIRDAOUS... Innaa lillaah wainnaa ilayhi raajioun 🙏🙏🙏
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 3 жыл бұрын
Amina mzee Mwinyi maneno mazuri RIP John Magufuli
@user-eq3pt7uu9i
@user-eq3pt7uu9i 4 ай бұрын
RIP mzee mwinyii😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 nilikupenda Sana hii siku ulitufurahisha but now haupo nas .. pumzika kwa Aman😭😭😭😭😭😭😭
@joycefelix9047
@joycefelix9047 3 жыл бұрын
Mzee uishi Miaka mingi zaidi
@sashasaah526
@sashasaah526 3 жыл бұрын
I love this man man shaa Allah love from 🇷🇼
@charlesmwandenuka7986
@charlesmwandenuka7986 Жыл бұрын
Unapendwa sana mwinyi ______ saw a
@calmandrelaxationessential2407
@calmandrelaxationessential2407 3 жыл бұрын
Amemfanya Adi mama Janeth acheke
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 3 жыл бұрын
Umli ushaenda mzee wenu anatuchekesha wezie tunamajonzi
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 3 жыл бұрын
@@yasodishonest9792 mwache atuchekeshe angalao majonzi yapungue
@muzneali387
@muzneali387 3 жыл бұрын
@@yasodishonest9792 Ni ngumu lkn hivyo ndio inavyotakiwa yaani Machungu aliyonayo Mama Janeth Hakika hayana mfano Mungu ndie ajuae walau akipata ahueni ya kupoza Machungu sio vibaya
@mumyhendry2919
@mumyhendry2919 3 жыл бұрын
Ulijua kutupotezea stress kwa muda Baba😂😂😂
@ibrayomapenzi7048
@ibrayomapenzi7048 3 жыл бұрын
MI NI FUNDI MIWANI MARA NYING SANA WATU WAKIFIKA MIAKA 40 Wanaanza kuvaa miwani za kusomea LAKINI MZEE MWINYI BADO YUPO NGANGARI HAIJALISH MIAKA GANI YUPO ILA BADO ANASOMA BILA YA MIWANI , NA UJASIRI WA KUONGEA UPO VILE VILE NIMEPENDA SANA
@jonaskabonda741
@jonaskabonda741 3 жыл бұрын
Kweli kabisa mzee Mwinyi yeye wa kipekee
@mwadinihaji7740
@mwadinihaji7740 3 жыл бұрын
Masha Allah , yaani mpaka raha mzee Mwinyi
@swaleheismail46
@swaleheismail46 3 жыл бұрын
Jamanii ukiona kitu hukijui we nenda ukamuulize mama siti ,daaaahhh mzee Allah akupe umri mrefu zaidiiii
@sniperislam4547
@sniperislam4547 4 ай бұрын
Nimejikuta nacheka alivyo sema inatosha eeenh 😂😂😂 dah allah akupe qauli thaabit na kaburi lako liwe viwanja miongon mwa viwanja vya peponi nakukumbuka ulikuja shulen kwetu azam kufungua msikit pale azam complex kwa sheykh twalibu
@kamaratsalimsafari8838
@kamaratsalimsafari8838 3 жыл бұрын
Ha ha ha 🤣Nimejishtukizia tu nacheka automatically 🤣Hawa ndo wahenga wetu, na sikweli ka nxt generation tutapata tena wazee wenye busara na matamshi ya ucheshi ka hawa
@kaizamulinda633
@kaizamulinda633 3 жыл бұрын
Thank you for making Janet smile at least. You are aging with your charm and wisdom grandpa
@azizamuhali5531
@azizamuhali5531 3 жыл бұрын
Mimi binafsi nakupenda Mh. Rais mstaa babu yangu Mwinyi ni utukufu kwa Mungu kukupa maisha marefu na akujaalie zaid na zaid ili atukuzwe sana Mungu wetu 😁😀😊
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 3 жыл бұрын
MZee mwinyi. umli umeenda unatuchekesha bana.Asante kwakuleta tabasam kwa wafiwa
@jamesmgimba7403
@jamesmgimba7403 3 жыл бұрын
Raha sana kuwa na mzee kama wewe
@AllyMwazoa
@AllyMwazoa 3 ай бұрын
Moyo mweupe msafi wa kidhahabu alioumiliki huyu mzee mungu amrehemu na amuweke mahala pema peponi
@mohammedmbaya5194
@mohammedmbaya5194 2 жыл бұрын
Asante mzee wetu kwa kutufaliji mungu akupe umri mrefu
@rithamzuri
@rithamzuri 4 ай бұрын
Rest in power Babu yangu..yn umeenda hata miwani hujavaa?
@conneykinya2395
@conneykinya2395 3 жыл бұрын
Mungu akujalie maisha marefu,yenye afya na nguvu..through this anointing of life,I tap the same in Jesus name.Amen,Amen.
@khadijamzuri8679
@khadijamzuri8679 3 жыл бұрын
Sasa na mwanao hussen ajipange na yy nae ni rais ayafanye kama hayo
@rehemashabaniameen
@rehemashabaniameen 4 ай бұрын
Leo nimerudi kuzitazama hii hotuba ya Raisi wangu Mwinyi upunike kwa kwa Amani
@user-oe7kc1jm3q
@user-oe7kc1jm3q 4 ай бұрын
Mimi pia nimerudi tena kuitazama Rest in peace Mwinyi
@juliethdionise6448
@juliethdionise6448 3 жыл бұрын
Mwinyi kazaliwa 1925 daaah naomba mmngu nizeeka ivyo
@bimkubwaali1605
@bimkubwaali1605 3 жыл бұрын
Ameen
@amour5535
@amour5535 3 жыл бұрын
Ameen
@binzuamsami1841
@binzuamsami1841 3 жыл бұрын
Amen
@Hommie-Noir96
@Hommie-Noir96 3 жыл бұрын
Kuna mzee anaitwa Gwassa kazaliwa 1922 kasoma na Nyerere, kamfundisha adi mkapa Kaigo #Blacks are true Jews
@khalidjimmy5774
@khalidjimmy5774 3 жыл бұрын
Mungu ampe afya njema Sana mzee wangu
@mikelinagomezi1766
@mikelinagomezi1766 3 жыл бұрын
Mzee wa ruksa umli ime kwenda, baba mungu akulinde
@eenpaard3915
@eenpaard3915 3 жыл бұрын
Mwinyi yupo leo na kaona maendeleo mengi sana ya nchi
@salmajamal
@salmajamal 4 ай бұрын
Innallillah rajiun,nimeirudia hii hotuba ya Mzee wetu hakika Mungu amechukua jembe lake ,Allah akupe kauli thabiti babu yetu
@mrmhenipm
@mrmhenipm 3 жыл бұрын
Mpambe ameshindwa kujizuia ,,imemlazimu acheke tu maana mzee Mwinyi ameamua kuwatoa kwenye huzuni
@user-ol8xz7cp2j
@user-ol8xz7cp2j 4 ай бұрын
R I P wazee wetu mwinyi na magufuli😭😭😭
@edithmakwakwa9489
@edithmakwakwa9489 3 жыл бұрын
Be blessed Mr.Mwinyi
@OmanOman-sm6dv
@OmanOman-sm6dv 3 жыл бұрын
Hafadhari kawatoa watu kwenye majozi😂😂
@judyngowi391
@judyngowi391 4 ай бұрын
Nimegundua hakuwa mnafiki huyu baba!
@user-qe4bj3sl9l
@user-qe4bj3sl9l 4 ай бұрын
Hanaga unafiki huyu baba
@ElizabethMkini
@ElizabethMkini 4 ай бұрын
Kabisa he was such a good soul 😢
@yahyamohagust5619
@yahyamohagust5619 3 жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu mzee mwinyi
@benabdillahahmed8760
@benabdillahahmed8760 3 жыл бұрын
Former president I wished you more life and healthy to be able to get a good feel for your family and your friends amen
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 4 ай бұрын
Nae kaenda jamqn 😢😢daaaa wazeee wa busara wanaondoka 😮😮😢
@sophiakatondo2016
@sophiakatondo2016 3 жыл бұрын
Babu bado uko. Vizuri. Endelea kutuasa yaliyo mema. Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu afya njema pmj na Bibi. Siti.
@samahamed2418
@samahamed2418 3 жыл бұрын
Nice 1 mzee mwinyi😀👏👏
@awadhally1052
@awadhally1052 3 жыл бұрын
Samah😂♥️
@philiporobert9047
@philiporobert9047 3 жыл бұрын
Upo vizuri mzee wetu
@allysultani1089
@allysultani1089 3 жыл бұрын
Mzee mwinyi ishi miaka mingi amiin.
@user-wh3hg5fe1k
@user-wh3hg5fe1k 8 ай бұрын
Unastahiki pongezi mzee wetu mwinyi kwakumpongeza ayati mpedwa wetu ayati joni magufuli.❤
@esctasyhaiti2693
@esctasyhaiti2693 3 жыл бұрын
The first smile 😃 Thx Mzee
@mansourameir3605
@mansourameir3605 4 ай бұрын
Aisee mzima huyu hadi umri huu havai miwani ila watoto wake wote hawaoni hadi kwa miwan pumzika salama
@ummukuluthumikoki7002
@ummukuluthumikoki7002 3 жыл бұрын
Allah akulipe kher
@monicajoseph1677
@monicajoseph1677 Жыл бұрын
Kuswali lakaa 5 kila cku na kufanya ibada kwa mda mrefu na kufata alotuelekeza mwnyezi mungu na kutenda mema ni tiba tosha kwa kila binadam
@jackjudy9182
@jackjudy9182 3 жыл бұрын
❤️😍angekua babu yangu ni kusmile tu
@gamgangweesechota3589
@gamgangweesechota3589 3 жыл бұрын
Nampenda sana mzee wetu mwinyi
@margarethmziray635
@margarethmziray635 4 ай бұрын
Mzee Ruksa will miss you with your jokes
@jumajuma6704
@jumajuma6704 4 ай бұрын
R I P Mzee Mwinyi
@khadujifuad9360
@khadujifuad9360 3 жыл бұрын
Nlicheka sanah though was in pain of loosing a my president.. much love to all the Tanzaniaz presidents..
@haroungwiyamabuzohera-jk3vl
@haroungwiyamabuzohera-jk3vl 4 ай бұрын
Kweli kabis🎉a wewe BABA MWEMA SANA. MWENYEZI MUNGU AKUZIDISHIE KILA LA KHERI. RIP BABA
@rupertoako8417
@rupertoako8417 3 жыл бұрын
Babu wetu wa nchi jaman lazima babu awe mchezi
@mohamediidd7579
@mohamediidd7579 3 жыл бұрын
Daaah mzee tumekuelewa sana
@maxmaizer4631
@maxmaizer4631 3 жыл бұрын
Haha kiungo mkabaji kma anatoa pasi kumbe anafunga mwenyew eti ndgu zanguuu 😂 asanteni sana haha
@wahidaali336
@wahidaali336 3 жыл бұрын
MASHALLAH ALLAH AKEPE UMRI MREFU WENYE KHERY NA WEWE BABA ALLY
@maxmaizer4631
@maxmaizer4631 3 жыл бұрын
@@wahidaali336 alahuma ameeen
@saudangalleni388
@saudangalleni388 3 жыл бұрын
Mung akupe maisha maref rais wetu mstaaf mchesh
@sospeteriganjagabriel7944
@sospeteriganjagabriel7944 Жыл бұрын
Nimejikuta narudia kufuatilia tukio hili kwa heshima ya Hayati JPM anapoelekea kutimiza miaka miwili toka kifo chake.
@graceomar3086
@graceomar3086 3 жыл бұрын
Jamaaan unanifuraishaaaaaaa tukiwa na majozi saaana
@jambia4515
@jambia4515 4 ай бұрын
Mzee Mwinyi alitumia sana muda kuwatoa watu kwenye msiba kuwasahulisha kama wapo kwenye majonzi kwa muda molla mpe kauli thabiti Mzee Mwinyi
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 4 ай бұрын
Mungu akulaze mahali pema peponi ulikuwa mwema sana kama mwanao Hussein Mwinyi
@mamarachel9286
@mamarachel9286 3 жыл бұрын
At 1:13-20. Kwa mara ya kwanza ndo naona bodydguard wa rais anacheka. I've never seen that b4
@nabosedward4836
@nabosedward4836 3 жыл бұрын
Huyo siyo bodyguard ni ADC
@tegezdomin8363
@tegezdomin8363 3 жыл бұрын
Ni ADC
@Maiya-cg8cy
@Maiya-cg8cy 4 ай бұрын
Inalillah waina illah rajiun tutakukumbuka kwaucheshi mzee wetu msalimie jpm😢😢😢😢
@tundaakamankitunda739
@tundaakamankitunda739 3 жыл бұрын
I m very sad for losing our best president John Pombe Joseph Magufuli RIP so please all Tanzanian don't ever loose hope let's fight against corruption
@jamesswai6583
@jamesswai6583 3 жыл бұрын
Mwinyi Uishi miaka Zaid. God bless u.
@yustinakunambi98
@yustinakunambi98 4 ай бұрын
Pumzika kwa amani mzee mwinyi😢
@user-fy3ff8sc3h
@user-fy3ff8sc3h 4 ай бұрын
Pole baba alla akubalimsamaha wako. Amina
@cynthiamcguire1495
@cynthiamcguire1495 3 жыл бұрын
Legend.
@alexandermutakha882
@alexandermutakha882 4 ай бұрын
Old is gold
@danomolo7365
@danomolo7365 3 жыл бұрын
Mzee alikuwa na hotuba tamu sana juu ya JPM vile tu kusoma kwa haraka haraka inampiga chenga juu ya umri.
@alloycejames5285
@alloycejames5285 4 ай бұрын
So wise...
@eenpaard3915
@eenpaard3915 3 жыл бұрын
Mzee Ruhsa forever legend
MANENO MAZITO YA RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA HAYATI MAGUFULI CHATO
30:26
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 59 МЛН
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 52 МЛН
Heartwarming moment as priest rescues ceremony with kindness #shorts
00:33
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 38 МЛН
Maneno ya Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa rais Magufuli
13:03
Azam TV
Рет қаралды 93 М.
Namna hotuba ya Mzee Mwinyi ilivyoleta faraja kwa wafiwa
18:54
Hotuba Ya Mwl  Julius K  Nyerere   Mkutano Mkuu Wa CCM Dodoma Mwaka 1995
14:17
Shughuli nzima ya maziko ya hayati Magufuli
50:37
Azam TV
Рет қаралды 582 М.
Shujaa aliyelala chumba cha Idi Amin wa Uganda  aeleza mazito
12:25
Mwananchi Digital
Рет қаралды 124 М.
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42