Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mwigulu Nchemba amealikwa kufunga mafunzo maalum ya kikosi cha jeshi la magereza katika viwanja vya kikosi maalum cha kutuliza ghasia magerezani kilichopo Ukonga.
Пікірлер: 246
@salehalisaleh76856 жыл бұрын
Majeshi yote nchini yako vzr,Allah aendelee kuwabariki kwasababu mpk sisi tunapata muda wa kuwatukana mitandaoni ni kutokana na amani wanayoidumisha,watanzania tuache kuwatukana walinzi wetu ambao kila siku tunawafata kwa shida mbalimbali
@jamesmutisya70797 жыл бұрын
Noma sana congratzn guys ,,,,walai nmekubali
@octavianmbiza69707 жыл бұрын
kazi nzuri TASK FORCE
@barakamagembe85384 жыл бұрын
Miez sita ya joto nimeiona natamani sana nami kuonesha yakwangu sema mungu hajapanga hongelen makanda wangu
@zulfaungele34842 жыл бұрын
Good Sana makamanda,, welcome Tz
@yusuphelphace47957 жыл бұрын
Mmefanya wonder asee, big up saana makamanda!
@simonsadala23866 жыл бұрын
Asanteeee hili ni jeshi la pekee nchini ambalo nalipenda viva makamanda namini nchi ipo kwenye mikono salama
@amourkhamis Жыл бұрын
Safi San kazi moja tu
@mamatuishi-mamatuondoke88227 жыл бұрын
Hongereni sana askari magereza" baadhi ya mazoezi bado kabisa pia chakula kuleni maana miili yenu bado dhaifu sana"kulinda mfungwa si kaz ndogo
@danfordmwigune34067 жыл бұрын
Binti hayati manyota jichanganye ndo utawajua
@aminiammy79977 жыл бұрын
Nimeipenda sana Mungu awabariki sana
@davidedson65609 ай бұрын
Safi sana jeshi letu
@chigonapatrick59645 жыл бұрын
Aiseee tanzania tukovizuri sana kwa asikari wetu namna hiii big up sana
@bakarimohamedi58147 жыл бұрын
wapo vizuri sana I wish ningekuwa mmoja kati yao
@nangaitv57475 жыл бұрын
Hawajawahi kufeli @angai tv
@patrickmunisi447 жыл бұрын
nimewapenda mpo vizuri mno.Mungu awasaidie muwe wazalendo wa nchi yetu Tz
askari kuwa na tumbo ama unene ni ujinga tu ......hawa nawafananisha kama wachina tu ....wembamba lakn mambo yao balaaa
@mwaminimohamed87905 жыл бұрын
Daah
@pastoryconrad67957 жыл бұрын
kazi nzur magerezaa
@marcokweka7 жыл бұрын
Mmmhh badoo
@opelaminikamongo23097 жыл бұрын
marco kweka
@khamismbui92517 жыл бұрын
+opelamini Kamongo p
@munirayusuph12973 жыл бұрын
Muendelee vizuri ivyoviyo na kuendelea zaidi
@barakaramadhani48137 жыл бұрын
kusema ukwer me nimependa askar hawa kwa uwezo wao mdogo walio uonesha tena ingewezekana askar wote wa tz wangekuwa feety maana askar wetu mdebwedo sanaaa...
@omaryteddy622 жыл бұрын
Good good 👍
@neemaagustino37025 жыл бұрын
Vizurisana vijana
@rashidisalum11615 жыл бұрын
Good Job
@rome-de-saint22137 жыл бұрын
ahseee... nmewapenda xana qamenikumbuaha scout wakat ile broo.. kma VP nfanyie mpango napenda sana uko
@sikuzanmatembo59757 жыл бұрын
mmetisha masoja kinomanoma
@tuyizereghadi13417 жыл бұрын
naishi marekani pengini mimi mwana jeshi wa gereza lakin haya mafunzo sijawaji kuona..sijui niseme eti niulevu ama mambo mengine...Ila ninacho tambua ni kwamba wafungwa group ya kwanza lenye liko fit** kwahiyo you need to be physically and mentally stable**
@menyendoyesaningo31046 жыл бұрын
Noma sana
@samwelmalindi10834 жыл бұрын
Safi sana
@subrynerysegerow13237 жыл бұрын
Hiv nyiny mnaosema vimbavu cjuw nn nyie mnaweza kwan ulizan wakiwa wakomavu wawe na msuli mnene jaribu kutofautisha baunsa na mkomavu washamba nyie hapo miez tisa tu je mwaka ujinga tu 😏
@akshaydavid1593 жыл бұрын
Wambie wamtazame Bruce lee alivyokuwa.
@hadjimbugi86812 жыл бұрын
@@akshaydavid159 mtazame van damme
@ngometvarusha40307 жыл бұрын
sipendi mchukua video wakati tukio linafanyika badala yakuelekeza camera anaelekeza kwa waziri,waziri si tunamwona kila siku
wamejitahidi kwa ambao hawajui karate ndo wanaona wameweza sana
@danielikisenge13877 жыл бұрын
Hawa ndio komando
@afandebrighttz28876 жыл бұрын
Danieli Kisenge karibuni Kunavituvizur zaidi ya hiv
@omaryteddy622 жыл бұрын
😭😭😭😭😭Masikini mtoto kashanga kwa uluma
@ashwajeshi15586 жыл бұрын
Kikosi maalum
@isdorypater4363 жыл бұрын
hatar sana usicheee
@machangamagessa37533 жыл бұрын
Ezekiel mdem
@rajabuzumbe40777 жыл бұрын
hiyo midomo yenu inawaza siasa kupinga kila kitu ila kupambana na scorpion na Rambo mnashindwa acheni wanaume wafanye yao
@mukhtaarabdirahman39566 жыл бұрын
Where country rwanda
@barakamagembe85384 жыл бұрын
Ayo yote ni kwa ajili ya waalifu
@anifaallyatungoza71775 жыл бұрын
ongera sanaaaaaa
@johnkangere69357 жыл бұрын
Poleni Wanajeshi Was Tanzania...Mnayoyafanya Hapa Kenya Hufanyiwa Na Raiyaa Wakawaida..Wanayayafanya Wanajeshi Wa K.D .F. Hamuyawezi Kamwe
@thomasmoris66756 жыл бұрын
john kangere Kuongea Ujinga nayo... Au umekula githeri umepatwa na tumbo ya kuhara
@kasimmohamed87355 жыл бұрын
hao prisons officers jombaa,kakojoe ulale
@abasimagwiza63406 жыл бұрын
good
@halisientertainment64895 жыл бұрын
daaaah hataliiii
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG7 жыл бұрын
editor kazingua sana
@dkmrishokimbesa8582 жыл бұрын
Aaaahaaaaa mmekoseya na wanawake wangevuwa
@madindamaumbi72787 жыл бұрын
askali wakakamavu
@cairoshampeny4 жыл бұрын
tuliyafanya sana tukiwa shule
@castohchricy83067 жыл бұрын
kumbe magereza co watu wa sport sport
@gabrieligidioni30856 жыл бұрын
Castoh Chricy kwel mko ft
@kanukanute15143 жыл бұрын
💥💥💥
@joelinparexo80635 жыл бұрын
Jamani inaogopesha mbona ?
@ashwajeshi15586 жыл бұрын
I miss these people 😂😂😂
@christophermlaponi5344 жыл бұрын
Mabaunsa na wale wanyanyua vitu vizito ndiyo mara nyingi huwa na miili mikubwa, ila makomandoo kama hawa hawapaswi kuwa na miili mikubwa, kwani wanatakiwa kuwa wepesi wakati wote. Hivyo ukimpambanisha huyu komamdoo na baunsa basi baunsa atachezea kichapo hadi aombe poo !
@gambogambo897 жыл бұрын
Lengo la serikali kuonesha majeshi yetu yakifanya mazoezi ni lipi hasa, kuanzia kwa JWTZ, Police na Magereza. Kwa mtazamo wangu nahisi ni propaganda za kuwatisha wananchi na c vingenevyo. Huu upuuzi unapaswa kupingwa Jeshi c wafanyaji wa maonesho matter of fact JWTZ wanapaswa kuonesha ktk sikukuu za kitaifa n transition ktk uongozi lakini magereza hawa jamani.
@florencejames-jo1cz4 ай бұрын
Kwenye pikipiki mmetudanganya kabisa mbona kamkwepa kama
@rashidmoche87097 жыл бұрын
full bawa yaani
@mamarama63607 жыл бұрын
mbavu nyeus duuh hahahaaa
@barakamagembe85384 жыл бұрын
Kagongo sanze mgaranza mlati pia na kalukoz wezi wote naimani mafunzo aya mnayaona nawasihi kula kidogo lala mapema by tmkafoko
@isayalugendo37133 жыл бұрын
Pol
@glorydenis51112 жыл бұрын
Mavunzo ya kawaida
@rahisalovely96224 жыл бұрын
Si mchezo mwanaume wa kinondoni lzma wajinyeeee
@feezdidthis22207 жыл бұрын
sioni cha ajabu kiasi cha kumsumbua kiongozi mkubwa kama huyo kuja kuangalia ujinga wanaofanya
@mpuwanyahamza51885 жыл бұрын
Her Fez senge ww
@kiyabonjemu98855 жыл бұрын
Mjinga ni wew, mgen rasmi bla walinz angekuwa mkuu?? Ulinz ndo Aman ya watu wote