Hongera sana vijana tegemezi la kesho nguvu ya taifa
@LovenessPolАй бұрын
Honger sana kea mazoezi hay tutafanikiwa katika ulinzi nausalama
@joshuamchiwa8612 жыл бұрын
Ningekuwepo kila mmoja angekula 10,000. Nimependa sana vipajì vyenu. Mungu awalinde.
@user-mg7jn4yr3u9 ай бұрын
Wapi vizuri Sana, kwakweli wameiva. Hangera kwa wakufunzi wao, Mungu aendelee kuwa tia nguvu na uvumilivu katika haki.
@ellyp96532 жыл бұрын
Hao vijanaa wabaki ukouko kikosini wameiva 🇹🇿🇹🇿🙌🙌
@FrancKakumba-rn2vr3 ай бұрын
Nakubali hakika vipajibadotunavyo hongerenisana
@asooraaasooraa48162 жыл бұрын
Safi sana hongereni kwa kazi nzuri unayofanya na Mungu awabariki mzidi kwenda mbali zaidi
@mecksonmgeyekwa69872 жыл бұрын
Wapewe ajira
@raphaelmwamakimbula96422 жыл бұрын
Aisee,safi sana wadogo zangu! 821kj mpaka 823kj 2008 Hadi 2010 juu sana kwa maadili.
@user-pz5pw8lu6s8 күн бұрын
Jamani mwanangu yuko dalasa la 5 lakni ananiambia anataka akasome shule ya jeshi sababu anapenda kuwa mwanajeshi alafu sijui ni wapi shule iliko
@aronmtui5972 жыл бұрын
Swali hivi wanapewaga kipaumbele kwenda Jeshi la wananchi kwani wanafanya vizuri sana
@smstore5535 Жыл бұрын
Kijana sam umeonesha juhudi na ugali umeupata🫡🫡 hongera 👍👍
@deboraagizo2877 Жыл бұрын
Mungu anifanikishe na mm jaman napenda San jesh
@josephinelaurent7972 Жыл бұрын
bint Jw moja kwa moja
@ibrahimliweli63762 жыл бұрын
Noma sana ni ngumu kumeza iyo💪💪
@alphonsinamuna51312 жыл бұрын
Viziri vijana,hongereni sana,
@rosetreffert67272 жыл бұрын
Wooow 👍
@ezekielwatson99262 жыл бұрын
Hongera sanaa Tanzania 🇹🇿
@user-wl8gf5bv7c8 ай бұрын
Vzr cn wapo wangepewa kipao mbele ni walimu wazuli WA baadae
@danielmutua40312 жыл бұрын
Amazing thumbs-up
@swalehewalii20902 жыл бұрын
ukomandoo unawafaaa hawa vijana
@richardmakene77802 жыл бұрын
Dada umetixha ingawa n wote
@user-iu4hw2xk3q2 ай бұрын
Jeshi nawapongeza kwajina lajamuuri ya muungano kaziiendelee
@saidswalehe29072 жыл бұрын
Daaah Yaan hakuna watega mabom na kutegua twaona wanajinyonga nyonga tu 😂😂😂
@samwelilaizer8609 Жыл бұрын
Tanzania Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Nchi yangu mungu akulinde
@ramadhanihamidu53502 жыл бұрын
JKT mnachukua lini tena wakujitolea maana kila siku ni mujibu washeria2 je na wakujitolea nao lin Afande
@linahsemindu42612 жыл бұрын
Tena wanawake jmn jhaaaa
@linahsemindu42612 жыл бұрын
Hao wabak huko muwape ajira wakikosa Kaz wakija mtaani tutakabwa wengi wazurulaji wa usiku🤣
@salvatoremathias12272 жыл бұрын
Hongereni Wadgo zangu
@shammhagama25272 жыл бұрын
Talented guys
@nsodyaphilimon91532 жыл бұрын
Nataman sana kujiunga aisee
@elizabetty-rt7py2 ай бұрын
👋👋👋👋🇹🇿 good good
@kakawamashariki89782 жыл бұрын
Moyo wa pongezi kwenu.
@bugapeasant18272 жыл бұрын
Vijana wapo vizuri sana
@utukufumusic56142 жыл бұрын
Waoooooooooo
@amanisimbowe56442 жыл бұрын
Mmetisha sanaa
@tysonlesaiyea38802 жыл бұрын
Fantastic
@hassanihamadi4418 Жыл бұрын
Safi sana ikovizuri iyo
@user-kw6xu7ei3z4 ай бұрын
Nadhani mkuu wa kikosi awatazame kwa jicho la 3
@elizabetty-rt7py2 ай бұрын
Aseeee Tanzania tunawatoto wetu, ongeleni walimu
@kambiyusufu77092 жыл бұрын
Nice
@bahatilusekelo2010 Жыл бұрын
Bahti
@alexluwaha67682 жыл бұрын
Mko vizur makamanda mmetishaa👏👏👏
@FucianeBulemo-nd4wc2 ай бұрын
Kazi ni wito
@user-ty8ci5oi9mАй бұрын
Hakuna kitu kinaeza kunishinda hapo labda hivyo vitu msichana aliefanya tu
@amanisimbowe56442 жыл бұрын
Mmetisha sanaas
@madeintanzania29952 жыл бұрын
Vitani kwani kuna boringo
@FucianeBulemo-nd4wc2 ай бұрын
Jamani mlikumbuka kuajili
@victafrancismichael2125 Жыл бұрын
Wako vizuri
@greatprotestant854911 ай бұрын
Wameuwa wiiiiiiiiii
@eliaamoss37202 жыл бұрын
Nchi ipo salama 🇹🇿🇹🇿
@doctorndoya6879 Жыл бұрын
Kuvu moja tz jeshi na wanaishi tutashinda maadui zetu wanasiasa ndio vivuluge nchi kwanza tz juu zidi tuilinde yakwetu hii
@yohanajuma5557 Жыл бұрын
Hongera
@rosetreffert67272 жыл бұрын
Talent, hongereni sana
@lehnurio86202 жыл бұрын
Da wametish
@pendolaopendolao5911 Жыл бұрын
Poleni sana
@wallywayne66022 жыл бұрын
Fantastic show
@danielmanenge44905 ай бұрын
Good sana
@amaniamani3009 Жыл бұрын
Safiiiii sanaaaaaaa
@wisperfect53202 жыл бұрын
Safi ujichanganye sasa utawatambua
@laiserkuyan60752 жыл бұрын
Hongera Sana vijana wetu mmeifa kweli
@user-hh4id1rn4n Жыл бұрын
Kweli jeshi letu linavijana wepesi na wakakamavu
@doricefrimat3125 Жыл бұрын
Noma sana
@krissjohnson47432 жыл бұрын
God people
@PaulFaida-io2zk16 күн бұрын
Mngu awabaliki kwmazoezi mema❤😂😂😢😅😅😅
@issufcassimo180 Жыл бұрын
Mr. Bayo
@josephbanzoo6165 Жыл бұрын
Mahafari Ya form four
@amosisamsoni60092 жыл бұрын
Havazi
@ManaseMwalukisa-fb3tq8 ай бұрын
Wapewe heshima zao 💪💪💪💪💪🖐️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️
@iddymbuma28562 жыл бұрын
Lazim tujue kutofautisha vipaj na mazoez uwezo
@anastaziamlungu98712 жыл бұрын
Khaaaa hata kuwatunza t mnashindwa
@dominicpaskal1312 жыл бұрын
Makin sana
@nguvuyaushawishi6632 жыл бұрын
Nc
@Esquire26624 күн бұрын
Hawa wanasarakasi,wanajeshi wa mchongo
@dettysagale3147 Жыл бұрын
Matukio
@maigajohn7022 жыл бұрын
Safi sana
@innocentshupa6692 Жыл бұрын
Nimeisoma makamanda
@ramadhanimkude57442 жыл бұрын
Naomba jeshi liwaajili kama nadhamu yaoimejitosheleza.
@mwajumammande2876 Жыл бұрын
safe sama
@frankmwashambwa17112 жыл бұрын
Michezo hiyo hata watoto wanacheza hakuna kitu hapo
@yohanawihemba58252 жыл бұрын
unakuta mtu anasema jeshi limekamilika kumbe hayo ndio yanakamilisha jesh
@masudygodwin25202 жыл бұрын
Twaha kiduku
@user-eq6nu2vr6l7 ай бұрын
Summons
@rizikirobert4596 Жыл бұрын
Respect
@adammawazomwikan4487 Жыл бұрын
Natamani ila sijui nitafikaje hapo
@mponganochristian21962 ай бұрын
Liminatt yubahwe😂😂😂
@khadijabhoke7665 Жыл бұрын
Mkuu wa majesh tz
@mrchiddy36282 жыл бұрын
Amna kitu apo tushafanya miaka iyo
@simonjustin59212 жыл бұрын
Nakubali sna
@nyasawide-tv28382 жыл бұрын
Msiwarihusu hawa vijana waje mtaani huku jamani wape ajira wakae huko kaahaaa
@amaniamani3009 Жыл бұрын
Duuuuuu!!!!!!Allah awape nguvu zaid
@davidmativo80842 жыл бұрын
Dj afro
@michaelmwembezi5998 Жыл бұрын
Somchezo kwakwer hongeren
@josephmwinuka39822 жыл бұрын
Kazi kubw
@hoziaissai37682 жыл бұрын
nice
@kambiyusufu77092 жыл бұрын
Sasa jamani tuongee tu ukweli navitani watakataga viuno hivi😂😂😂
@jumanzige96442 жыл бұрын
angalia physical fitness iliyotumika , unadhani ni mazoez kiasi gani yamefanyika? kushika bunduki ni zoez dogo sana, kilichofanyika hapo wapo ma askari kibao hawawezi, na likija suala one on one fight vitani hao ndio wahusika, usibeze jitihada za watu bna
@ummiissaabdulissaabdul81172 жыл бұрын
@@jumanzige9644 kabisa awa ndio wale wasio takia wenzao mafanikio
@petroswenya22092 жыл бұрын
Vijana wako vizuli
@charlescharles85312 жыл бұрын
Hahahaha nimewaona polisi wakichungulia 😂😂😂
@zainabsaidbotea97922 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 🔥
@ruraldancing15392 жыл бұрын
Njyewe mumfashye munsobanurire igihugu bakomokamo
@elizabethmhinas74145 ай бұрын
Siwezi kutoa lugha ya matus
@elizabethmhinas74145 ай бұрын
Wananikumbusha enzi mambali
@josephbanzoo6165 Жыл бұрын
Mahafat
@laiserkuyan60752 жыл бұрын
Nimeamini Tuko makamanda wa kulinda Taifa letu jkt muko vixuri