Kutana na Mtaalamu wa Kilimo kutoka Taasisi ya Utafiti wa Mbegu, TARI, akikueleza jinsi ya kufanya Kilimo cha Parachichi kama una maswali coment hapo Chini.
Пікірлер: 9
@EdsonOigensanga2002 ай бұрын
Iv naweza nikazipanda kiangazi ichi nikawa na zimwagilia maji zika toboa mpaka masika ,, au inabidi hadi masika
@matatizonkwera8607 Жыл бұрын
Elimu nzuri Ila muonekano wa parachichi hauvutii,Kwan mfano Miche midogo imesinyaa pia mti mkubwa unaonekana Haina chakula Cha kutosha
@olivemwamengonakilimombeya6951 Жыл бұрын
Namba ya mtaam jaman
@SARWATTDOMINIC10 ай бұрын
Mtaalam habari yako me natamani nilime nipo manyara nitapataje hizo hudhuma za miche