Je amila vijiko vinga naunga kias gan cjaelewa apo amila kias gan
@africandanceramashan46273 жыл бұрын
Tafadhali naomba uni andikiye mahitaji
@maryvaicakes454 жыл бұрын
Mimi hapo ningeongeza unga hadi nikome hahahahahah
@mziwandabakers82974 жыл бұрын
😂😂
@ridhwansaad50174 жыл бұрын
Dada majarn ndi. Nn haf maziw husaidia nn .?i Nan lzim
@mziwandabakers82974 жыл бұрын
Ni siagi kama blueband, mo na prestige
@lindajunior36394 жыл бұрын
Jaman mimi unga wangu umekuwa mtepe sana nafanyaje?
@mziwandabakers82974 жыл бұрын
Ongeza unga kiasi ila utepe hauna shida labda kama umezidi sana
@TijayVidz3 жыл бұрын
Sauti imependeza pia☺️☺️
@mziwandabakers82973 жыл бұрын
Hahahahaha
@stelamakame32484 жыл бұрын
Tuonyeshe jinsi ya kutengeneza samli ulisema kuna hiliki uliweka muda gani sijaona hapo
@blog91173 жыл бұрын
5
@veronicakinyau21192 жыл бұрын
Hizo donuts zimaweza kuhifadhika kwa mda gani especially kwa mfanyabiashara?
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
8 days
@martinkenyi43503 жыл бұрын
Na nikitumia butter?
@mziwandabakers82973 жыл бұрын
Ni sawa tu
@dorisshilla53484 жыл бұрын
Naomba namba ya simu nikutafute in box
@jamillahkheir65364 жыл бұрын
Kwan my samli na blue band ni lazima?
@mziwandabakers82974 жыл бұрын
Sio lazima waweza kuweka mafuta
@annasannas62103 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 na nikitumia hamira bila hiriki n sawa?
@awatungunyali39363 жыл бұрын
J
@ilhamkeis96094 жыл бұрын
zinavutia maa shaa Allah.
@mziwandabakers82974 жыл бұрын
Amiin
@mrsaishaluvuno4662 жыл бұрын
Zangu nikipika zinakua ngumu nje lkn n soft ndan nakosea wap
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Moto mkali unakuwa na unga uliandaa mgumu
@hussnabakary35072 жыл бұрын
Kam huna siagi wala bluuband je wawez tumia mafuta ya kupikia
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
Ndio waweza
@TijayVidz3 жыл бұрын
Yeast iko na usawa na ukitumia baking powder au la??
@mziwandabakers82973 жыл бұрын
No ni tofauti Yeast ni chenga chenga
@TijayVidz3 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 ohhhh....asante
@sophiaahmad64384 жыл бұрын
Naweza tumia maji au tuwi badala ya maziwa?
@mziwandabakers82974 жыл бұрын
Unaweza
@gladysgeke31942 жыл бұрын
unga kampuni gani unatumia kwa maandazi ya biashara?hbf au ppf?tunaomba video ya chapati za biashara kwa kipimo kikubwa na aina gani ya unga wa bei ya kawaida unafaa
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
HBF ndio sawa kwa biashara ,sawa tutafanya darasa hilo