Diamond kafanya show ulaya lakin hakupata vibe ✨ kama hili alikiba ni mtu na watu ❤❤❤ from CANADA 🇨🇦 🤴 👑 king 🤴 umeupiga mwingi sana na wanatakiwa wasanii wa Tanzania wajifunze kutoka kwa alikiba king ni moja 22222
@mogrosso350013 күн бұрын
Congo Tanzania 🇹🇿 🇨🇩one love ❤❤
@SokoroboyNdend-iv1js13 күн бұрын
San@@mogrosso3500
@joycekisamo489612 күн бұрын
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@AlikibaaCom9 күн бұрын
@@joycekisamo4896 ni Sawa ila diamond hakupata watu kama hawa
@user-ry4cf8ln6l8 күн бұрын
Elewa kupata vibe hujaambiwa show ilikuwa yake @@joycekisamo4896
@touches4lifeonlinetv4613 күн бұрын
Mwamba ana watu aisee ,,,watu hawaimbishwi regae Wala Nini Ila vibe lakutosha #saluti king kiba🇰🇪🇹🇿
@user-um4fk5ls3v14 күн бұрын
Mwenyezi mungu azidi kukupa maisha marefu King kiba wewe ni musanii ambae uwaga na nipa furaha sana ya moyo kupitia miziki yako
@MohdAli-fl2ef14 күн бұрын
Nilijua dar au Kenya kumbe king yupo abroad wow ever seen before
@JojyLuhasa14 күн бұрын
Nani ameona bendera ya Congo ikipeperushwa kama mimi apa kama umeona naoma like
@officialbwoywalandlord189614 күн бұрын
Nimeona
@alphalungele-47914 күн бұрын
Nimeona pia
@hassantupa13 күн бұрын
Ni kwamba hapo yupo m,congo na yeye anawakilisha kwao!😂😂😂
@OlivierJustin-wl6dd13 күн бұрын
Congo na motema Crown ni nyumbani
@mogrosso350013 күн бұрын
Congo ❤❤❤love Tanzania 🇨🇩🇹🇿
@razakilipwelele551814 күн бұрын
Likes from East Africa 😂😂😂
@SuleimanAli-jv3lt14 күн бұрын
All the way from Zanzibar we love you King 👑 kiba so very much 💓
@rajimuashirafa826513 күн бұрын
Hapa sasa ndio tunaiwakilisha bongo kimataifa kwa mziki wetu kabisa sio kwa ngoma za wasanii wa mataifa mengine au amapiano za South Africa halafu uje useme unaiwakilisha bongo kimataifa,,,,,Tanzania one musician king Alikiba upo kwenye mstari wa muziki wa bongo unaupambania snaaaa mziki bongo kimataifa snaaaa na unapeperusha mziki bongo mbele ya mataifa makubwa snaaa hongera snaaa ,,,,Mfalume wa mziki wa bongo na Tanzania one music
@talibthetruth870913 күн бұрын
Nani alieona king ameheshimu bendera pale alipoiokota akampa mlizi hio ni respect🎉🎉
@joycekisamo489612 күн бұрын
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@DambweRama14 күн бұрын
CROWN HAPA NI NYUMBANI 👑👑🎉🎉
@AmosItawa14 күн бұрын
Lakini unaweza kuta haiongelewi sana huyu ndo King 🤴 bhana alafu hata halingi
@talibthetruth870913 күн бұрын
Haongelwi kwa chuki dat why
@jumakhamis22613 күн бұрын
Sns hawezi kuongolea hahaha
@HenryChristophvtl-md1cz14 күн бұрын
Mfalme ni Mfale t aijalishi niwawapi💥💥💥
@Lebabaz14 күн бұрын
King ni mmoja tu
@shabaningaoga16414 күн бұрын
Wa kwanza king ni kiboko🔥 likes zote hapa
@joycekisamo489612 күн бұрын
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@rajabumkoko394711 күн бұрын
Wewe utakuwa umetumwa na diamond kwani kuna mtu kakuuliza acha shobo@@joycekisamo4896
@saxprince1013 күн бұрын
Wa Canada wanaimbishwa Cinderella na wanaitikia bila hata amapiano 🙏 , Alikiba is only one kiba
@NemesMasawe14 күн бұрын
Mzik mzur huwaa unaish vizaz kwa vizaz
@Peresi-t1d14 күн бұрын
Jaman ivi apa ni canada kweli au mbagara mbona vibe kama bongo tu
@nickalreadyknows13 күн бұрын
Mambo ya torontoooooo hayo kjn uamini nn ww, toka hapa na meno yako ya kuungua 😂
@belitomanuel624013 күн бұрын
Even my self I had this question ❓ which Canada are this??
@abdullahkazungu402513 күн бұрын
Kwani hamuamini kua Canada pia wa East Africa wako?? Au mnahisi niwazungu pekee??
@Peresi-t1d14 күн бұрын
King always is king thank you king kiba
@Saki93014 күн бұрын
Dj D Ommy bonge la hipe
@barakayusuph461713 күн бұрын
our own goat 🐐king kiba🇹🇿🇺🇬🇳🇬🇰🇪🇨🇩🇨🇮🇧🇮
@joycekisamo489612 күн бұрын
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@Anwar_khan-13 күн бұрын
Asante my brother alikiba wewe kweli ni mfalme wa bongo fleva maana nimepata fuzo kwamba unalazimisha kwamba waelew kuna bongo flava asante kutangaza mziki wa bongo njee ya bongo
@rukiasekulu50211 күн бұрын
Only one king in Africa 🥰
@mohamedyally8169 күн бұрын
Akun kama yeye
@omaryluambano349514 күн бұрын
Kingkiba salute
@Murisal14 күн бұрын
Uyu dj asimwache king 🎉🎉anajuwa
@PendoUrassa-xm7ru14 күн бұрын
Dj wa crownfm hyo
@abdullahabdulla969713 күн бұрын
@@PendoUrassa-xm7rukwani hatujui au
@user-qp5vi9yt6m13 күн бұрын
Ndo dj wake uyo
@middoTv14 күн бұрын
THE INTERNATIONAL DJ
@Oficialkb14 күн бұрын
Iyo n asubuy au usiku 😂😂😂😂 king n mjo2 wengine n fek ikipendwa usha pendwa imeisha iyo🎉🎉🎉
@user-rx7te2px5d14 күн бұрын
Mzoefu wa izo issue,kazini.Ni fire.
@kelvinliheta976914 күн бұрын
Hapo Ingekuwa Domo ungesikia mbwembwe kibao. Ila king show kimya kimya na uwanja umejaa.
@DullaAbdala-fk9ie13 күн бұрын
King 👑👑👑 y
@salimalaquimane307712 күн бұрын
Bila kumtaja simba bado ssa hapo mond kaja vp
@Bakarimhenga254sheikh10 күн бұрын
Lia basi😂😂@@salimalaquimane3077
@angelojuma781814 күн бұрын
King ni mmoja
@kgchippy14 күн бұрын
Kiba 🔥 simple and enjoyment ❤
@BoniphaceDonald14 күн бұрын
Show amazing king
@gadafimuemede298514 күн бұрын
Rei para sempre 🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@thomaskombe243014 күн бұрын
King ni mmoja tu..... 🔥🔥🔥🔥
@Perfect-migomigo14 күн бұрын
Mfalme wa music 👑👑
@alphamanoke611613 күн бұрын
King kiba..salute big up from 🇰🇪 🤴 king will always remain to be king
@TiliaAmedeus13 күн бұрын
Aah,uyu king sio wa level hiz, Kings anatisha maana nlivoona nyomi yoote iyo nkajua ni pale dar jangwan,kumbe yuko Canada 🇨🇦,,chaaaaah.....
@CantonaKunona14 күн бұрын
I can't say anything❤❤🔥🔥🔥🔥😭😭😭
@ABUBAKARISAIDI-dh7fy14 күн бұрын
Hawa watu wanaomfananisha king 👑 kiba na mwambino wanaptea kweli
@msagatijackson14 күн бұрын
Nikazani anawaimbisha watu wa mbagara kumbe canada aisee so pow
@edwardlesian931814 күн бұрын
King forever ❤
@SalinSultan14 күн бұрын
King kiba Atari sana❤
@hendricksjohn620113 күн бұрын
King kiba huna mpinzani Africa nzima sema watu hawakuheshimu kwasabubinaishi Maisha yako ya kawaida wala huringi huna baya mwamba
@yusrairakoze396614 күн бұрын
King unajuwaga kunipa raha kweli nakupenda mpaka nahisi baridi❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@jaffjeff691214 күн бұрын
Duuuh
@ErickWambura-dv1if12 күн бұрын
Your the only 1 king 🤴💙❤❤❤❤❤❤ brodaa
@AbdallaMpambika-bp6ub13 күн бұрын
Dah!! Nilizan mwjaku anamsakama mwmbino kumbe kwel jamaa anajiliza sana sasa king kapga show watu wanaimbishw sinderela na wanaimba kama from mbagala kunbe canada
@collinswambani897214 күн бұрын
Only one king❤❤👑
@user-hy5le8uk5b14 күн бұрын
The king himself 🔥🙄🙌
@pesaspy_tv13 күн бұрын
Media ndy kitu kilimchelewesha Alikiba light angafungua mapema basi ilikuwa unyama sana
@Ace0131213 күн бұрын
King for real
@iddyfourteen925213 күн бұрын
Mfalmee n mmoja tuuuu ameumiza sanaaaa vibe km yupo mbagala au lupaso kwa mkapa
@AmuriUlimwengu13 күн бұрын
Siyo powa king ni king tuuu❤❤❤❤❤❤
@IqramNoman-gu3xr3 күн бұрын
É noma namkubar Ali kiba onde quer que ele vá
@Juliusantipas13 күн бұрын
Alafu Jana tundaman alisema Kwa kweli alimaanisha japo Kuna wanafki waliopinga nakukereka naamini watakua wamejionea oya sio poa noma sana🔥🔥🔥👍
@deusdeditsanga966614 күн бұрын
King kiba🔥🔥🔥
@LameckZakaria-qg9vv14 күн бұрын
Daimond alisema msanii wetu ajulikani ata Malawi sasa uku canada anasepa na kijiji ujue kiba anakipaji bila shobo na watu anackika anakubalika bila madance anamaliza ktk stage
@barakadaprince374214 күн бұрын
Yule mshamba kiba ni noma na nusu👑🔥
@user-pk1yl7zt8p13 күн бұрын
Ww nd mshamba maana ctor Zak unazo yy Hana na songesha unakopa il kumfatilia
@LameckZakaria-qg9vv13 күн бұрын
Cm na tv zipo why tucwafuatilie au unataka iweje ndugu
@idinshazimakashukwe13 күн бұрын
Anaeijua anajua Tu big up bro🔥
@user-hu3sc4kg1f12 күн бұрын
Mashaallah❤❤🎉🎉
@omarymtotela375114 күн бұрын
Nakubali sana ❤
@Muidumbe45013 күн бұрын
Wewe ndo King kweli❤❤🇲🇿🇲🇿👍👍
@baruthmussamuslim343412 күн бұрын
DJ d.ommy mzee wangu unampatia sana kiba mauwa yako upewemzee wangu maana unapiga ngoma nabado unaamsha vaibu
@gibronrugemela85314 күн бұрын
Great vibe🎉
@alvannykiba28112 күн бұрын
King Kaká we ni kiboko
@user-lk5dz3dx8z14 күн бұрын
King to the world 🎉
@Kingjmtv198212 күн бұрын
King kiba nakubali mtu wa watu ❤
@uredipeter41213 күн бұрын
King 👑 on top
@ALLY_K6114 күн бұрын
Kingkiba tunakukubalii sana
@mohamedally449611 күн бұрын
Dj d ommy hatariii mno
@AhjuceAqeeb13 күн бұрын
Allah akuongoze katika maisha yako bro .akujaalie mwisho mwema na familia yako na wazazi pia Allah awajalie mwisho mwema .....napenda life style yako bro . Niwe mkweli napenda life style ya King , AY na Mr Blue....kiukweli Aina ya maisha yako yananivutia nataman Allah anijaalie kuishi kama wao Inshaallah.
@HusseinChai-d1k7 күн бұрын
Safii kiba kazi nzur
@user-um4fk5ls3v14 күн бұрын
Pia nakupenda sana kaka yangu ❤❤❤❤❤❤💪
@vumiliamgendi14811 күн бұрын
King tunaomba utuandalie nyimbo nzuri ya Simba day na hiyo mke wa mtu sumu usiisahau Mimi shabiki yako mkubwa
@bakarimajaliwa24713 күн бұрын
Dj d ommy anamjulia king kiba
@isayamsisika625513 күн бұрын
Wekeni performance nzima ya king basi acha kuzingua Admin wa crown
@user-vm4fe3ql5c14 күн бұрын
King🎉🎉
@JojyLuhasa14 күн бұрын
Tu mérite être le roi
@dinyoabeli902814 күн бұрын
King king🔥🔥🔥🔥
@SeifullahSady13 күн бұрын
Alikb ni mfalme wawatu uyoo ndoo kng nimependzwa na iyo show ya Canada❤
@egbertrwiza922614 күн бұрын
Wakwanzaaa😂😂
@user-cs4nj4yn8d12 күн бұрын
Congolese we’re there big up
@Brunotarimo1014 күн бұрын
Mfalme wa africa
@AlexGwambie-xr2hm14 күн бұрын
King ni mmoja2
@FaithaAli-cy5nr14 күн бұрын
King ❤
@GDBOYOFFICIAL14 күн бұрын
Hiii nizaidi 🔥 kiba babaaaa
@kennedymatiko683014 күн бұрын
#kingkiba
@barakadaprince374213 күн бұрын
Alie sikia mbona umezima mzki gonga like hapa😅
@ZinganisaNova13 күн бұрын
Alikiba ni moto hatari sana ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@JosephMichael-z5y14 күн бұрын
Ninoma Sana 😂😂
@VitusEmmanuel-pe3yi14 күн бұрын
Nakubal
@AlmasMbunde-ev2yq14 күн бұрын
DJ d ommy
@Jipendelee25513 күн бұрын
Hii Cinderella Hadi goosebumps 🔥🔥
@PmVictor-d3i13 күн бұрын
Je Vien aussi de voir notre 🇨🇩 depuis congo 🇨🇩
@swala_master13 күн бұрын
Huyo ndo kings kiba mwenye crown 👑 yake
@AbilahSalumu-qx1cb13 күн бұрын
Umetisha King 🤴 🙌 kiba
@Saki93014 күн бұрын
Bendera ya Congo 🇨🇩 ipo hapo Sema Aina noma ni East Africa
@user-en1ci8jk7v13 күн бұрын
Mfalm hunatisha sana ❤❤❤❤❤ by Alackson swagg mcongomani