JIONEE ALIKIBA ALICHOKIFANYA CANADA, MAELFU WAJITOKEZA.

  Рет қаралды 46,002

Crown Media

Crown Media

16 күн бұрын

Alikiba

Пікірлер: 348
@AlikibaaCom
@AlikibaaCom 14 күн бұрын
Diamond kafanya show ulaya lakin hakupata vibe ✨ kama hili alikiba ni mtu na watu ❤❤❤ from CANADA 🇨🇦 🤴 👑 king 🤴 umeupiga mwingi sana na wanatakiwa wasanii wa Tanzania wajifunze kutoka kwa alikiba king ni moja 22222
@mogrosso3500
@mogrosso3500 13 күн бұрын
Congo Tanzania 🇹🇿 🇨🇩one love ❤❤
@SokoroboyNdend-iv1js
@SokoroboyNdend-iv1js 13 күн бұрын
San​@@mogrosso3500
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 12 күн бұрын
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@AlikibaaCom
@AlikibaaCom 9 күн бұрын
@@joycekisamo4896 ni Sawa ila diamond hakupata watu kama hawa
@user-ry4cf8ln6l
@user-ry4cf8ln6l 8 күн бұрын
Elewa kupata vibe hujaambiwa show ilikuwa yake ​@@joycekisamo4896
@touches4lifeonlinetv46
@touches4lifeonlinetv46 13 күн бұрын
Mwamba ana watu aisee ,,,watu hawaimbishwi regae Wala Nini Ila vibe lakutosha #saluti king kiba🇰🇪🇹🇿
@user-um4fk5ls3v
@user-um4fk5ls3v 14 күн бұрын
Mwenyezi mungu azidi kukupa maisha marefu King kiba wewe ni musanii ambae uwaga na nipa furaha sana ya moyo kupitia miziki yako
@MohdAli-fl2ef
@MohdAli-fl2ef 14 күн бұрын
Nilijua dar au Kenya kumbe king yupo abroad wow ever seen before
@JojyLuhasa
@JojyLuhasa 14 күн бұрын
Nani ameona bendera ya Congo ikipeperushwa kama mimi apa kama umeona naoma like
@officialbwoywalandlord1896
@officialbwoywalandlord1896 14 күн бұрын
Nimeona
@alphalungele-479
@alphalungele-479 14 күн бұрын
Nimeona pia
@hassantupa
@hassantupa 13 күн бұрын
Ni kwamba hapo yupo m,congo na yeye anawakilisha kwao!😂😂😂
@OlivierJustin-wl6dd
@OlivierJustin-wl6dd 13 күн бұрын
Congo na motema Crown ni nyumbani
@mogrosso3500
@mogrosso3500 13 күн бұрын
Congo ❤❤❤love Tanzania 🇨🇩🇹🇿
@razakilipwelele5518
@razakilipwelele5518 14 күн бұрын
Likes from East Africa 😂😂😂
@SuleimanAli-jv3lt
@SuleimanAli-jv3lt 14 күн бұрын
All the way from Zanzibar we love you King 👑 kiba so very much 💓
@rajimuashirafa8265
@rajimuashirafa8265 13 күн бұрын
Hapa sasa ndio tunaiwakilisha bongo kimataifa kwa mziki wetu kabisa sio kwa ngoma za wasanii wa mataifa mengine au amapiano za South Africa halafu uje useme unaiwakilisha bongo kimataifa,,,,,Tanzania one musician king Alikiba upo kwenye mstari wa muziki wa bongo unaupambania snaaaa mziki bongo kimataifa snaaaa na unapeperusha mziki bongo mbele ya mataifa makubwa snaaa hongera snaaa ,,,,Mfalume wa mziki wa bongo na Tanzania one music
@talibthetruth8709
@talibthetruth8709 13 күн бұрын
Nani alieona king ameheshimu bendera pale alipoiokota akampa mlizi hio ni respect🎉🎉
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 12 күн бұрын
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@DambweRama
@DambweRama 14 күн бұрын
CROWN HAPA NI NYUMBANI 👑👑🎉🎉
@AmosItawa
@AmosItawa 14 күн бұрын
Lakini unaweza kuta haiongelewi sana huyu ndo King 🤴 bhana alafu hata halingi
@talibthetruth8709
@talibthetruth8709 13 күн бұрын
Haongelwi kwa chuki dat why
@jumakhamis226
@jumakhamis226 13 күн бұрын
Sns hawezi kuongolea hahaha
@HenryChristophvtl-md1cz
@HenryChristophvtl-md1cz 14 күн бұрын
Mfalme ni Mfale t aijalishi niwawapi💥💥💥
@Lebabaz
@Lebabaz 14 күн бұрын
King ni mmoja tu
@shabaningaoga164
@shabaningaoga164 14 күн бұрын
Wa kwanza king ni kiboko🔥 likes zote hapa
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 12 күн бұрын
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@rajabumkoko3947
@rajabumkoko3947 11 күн бұрын
Wewe utakuwa umetumwa na diamond kwani kuna mtu kakuuliza acha shobo​@@joycekisamo4896
@saxprince10
@saxprince10 13 күн бұрын
Wa Canada wanaimbishwa Cinderella na wanaitikia bila hata amapiano 🙏 , Alikiba is only one kiba
@NemesMasawe
@NemesMasawe 14 күн бұрын
Mzik mzur huwaa unaish vizaz kwa vizaz
@Peresi-t1d
@Peresi-t1d 14 күн бұрын
Jaman ivi apa ni canada kweli au mbagara mbona vibe kama bongo tu
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows 13 күн бұрын
Mambo ya torontoooooo hayo kjn uamini nn ww, toka hapa na meno yako ya kuungua 😂
@belitomanuel6240
@belitomanuel6240 13 күн бұрын
Even my self I had this question ❓ which Canada are this??
@abdullahkazungu4025
@abdullahkazungu4025 13 күн бұрын
Kwani hamuamini kua Canada pia wa East Africa wako?? Au mnahisi niwazungu pekee??
@Peresi-t1d
@Peresi-t1d 14 күн бұрын
King always is king thank you king kiba
@Saki930
@Saki930 14 күн бұрын
Dj D Ommy bonge la hipe
@barakayusuph4617
@barakayusuph4617 13 күн бұрын
our own goat 🐐king kiba🇹🇿🇺🇬🇳🇬🇰🇪🇨🇩🇨🇮🇧🇮
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 12 күн бұрын
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@Anwar_khan-
@Anwar_khan- 13 күн бұрын
Asante my brother alikiba wewe kweli ni mfalme wa bongo fleva maana nimepata fuzo kwamba unalazimisha kwamba waelew kuna bongo flava asante kutangaza mziki wa bongo njee ya bongo
@rukiasekulu502
@rukiasekulu502 11 күн бұрын
Only one king in Africa 🥰
@mohamedyally816
@mohamedyally816 9 күн бұрын
Akun kama yeye
@omaryluambano3495
@omaryluambano3495 14 күн бұрын
Kingkiba salute
@Murisal
@Murisal 14 күн бұрын
Uyu dj asimwache king 🎉🎉anajuwa
@PendoUrassa-xm7ru
@PendoUrassa-xm7ru 14 күн бұрын
Dj wa crownfm hyo
@abdullahabdulla9697
@abdullahabdulla9697 13 күн бұрын
​@@PendoUrassa-xm7rukwani hatujui au
@user-qp5vi9yt6m
@user-qp5vi9yt6m 13 күн бұрын
Ndo dj wake uyo
@middoTv
@middoTv 14 күн бұрын
THE INTERNATIONAL DJ
@Oficialkb
@Oficialkb 14 күн бұрын
Iyo n asubuy au usiku 😂😂😂😂 king n mjo2 wengine n fek ikipendwa usha pendwa imeisha iyo🎉🎉🎉
@user-rx7te2px5d
@user-rx7te2px5d 14 күн бұрын
Mzoefu wa izo issue,kazini.Ni fire.
@kelvinliheta9769
@kelvinliheta9769 14 күн бұрын
Hapo Ingekuwa Domo ungesikia mbwembwe kibao. Ila king show kimya kimya na uwanja umejaa.
@DullaAbdala-fk9ie
@DullaAbdala-fk9ie 13 күн бұрын
King 👑👑👑 y
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 12 күн бұрын
Bila kumtaja simba bado ssa hapo mond kaja vp
@Bakarimhenga254sheikh
@Bakarimhenga254sheikh 10 күн бұрын
Lia basi😂😂​@@salimalaquimane3077
@angelojuma7818
@angelojuma7818 14 күн бұрын
King ni mmoja
@kgchippy
@kgchippy 14 күн бұрын
Kiba 🔥 simple and enjoyment ❤
@BoniphaceDonald
@BoniphaceDonald 14 күн бұрын
Show amazing king
@gadafimuemede2985
@gadafimuemede2985 14 күн бұрын
Rei para sempre 🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@thomaskombe2430
@thomaskombe2430 14 күн бұрын
King ni mmoja tu..... 🔥🔥🔥🔥
@Perfect-migomigo
@Perfect-migomigo 14 күн бұрын
Mfalme wa music 👑👑
@alphamanoke6116
@alphamanoke6116 13 күн бұрын
King kiba..salute big up from 🇰🇪 🤴 king will always remain to be king
@TiliaAmedeus
@TiliaAmedeus 13 күн бұрын
Aah,uyu king sio wa level hiz, Kings anatisha maana nlivoona nyomi yoote iyo nkajua ni pale dar jangwan,kumbe yuko Canada 🇨🇦,,chaaaaah.....
@CantonaKunona
@CantonaKunona 14 күн бұрын
I can't say anything❤❤🔥🔥🔥🔥😭😭😭
@ABUBAKARISAIDI-dh7fy
@ABUBAKARISAIDI-dh7fy 14 күн бұрын
Hawa watu wanaomfananisha king 👑 kiba na mwambino wanaptea kweli
@msagatijackson
@msagatijackson 14 күн бұрын
Nikazani anawaimbisha watu wa mbagara kumbe canada aisee so pow
@edwardlesian9318
@edwardlesian9318 14 күн бұрын
King forever ❤
@SalinSultan
@SalinSultan 14 күн бұрын
King kiba Atari sana❤
@hendricksjohn6201
@hendricksjohn6201 13 күн бұрын
King kiba huna mpinzani Africa nzima sema watu hawakuheshimu kwasabubinaishi Maisha yako ya kawaida wala huringi huna baya mwamba
@yusrairakoze3966
@yusrairakoze3966 14 күн бұрын
King unajuwaga kunipa raha kweli nakupenda mpaka nahisi baridi❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 14 күн бұрын
Duuuh
@ErickWambura-dv1if
@ErickWambura-dv1if 12 күн бұрын
Your the only 1 king 🤴💙❤❤❤❤❤❤ brodaa
@AbdallaMpambika-bp6ub
@AbdallaMpambika-bp6ub 13 күн бұрын
Dah!! Nilizan mwjaku anamsakama mwmbino kumbe kwel jamaa anajiliza sana sasa king kapga show watu wanaimbishw sinderela na wanaimba kama from mbagala kunbe canada
@collinswambani8972
@collinswambani8972 14 күн бұрын
Only one king❤❤👑
@user-hy5le8uk5b
@user-hy5le8uk5b 14 күн бұрын
The king himself 🔥🙄🙌
@pesaspy_tv
@pesaspy_tv 13 күн бұрын
Media ndy kitu kilimchelewesha Alikiba light angafungua mapema basi ilikuwa unyama sana
@Ace01312
@Ace01312 13 күн бұрын
King for real
@iddyfourteen9252
@iddyfourteen9252 13 күн бұрын
Mfalmee n mmoja tuuuu ameumiza sanaaaa vibe km yupo mbagala au lupaso kwa mkapa
@AmuriUlimwengu
@AmuriUlimwengu 13 күн бұрын
Siyo powa king ni king tuuu❤❤❤❤❤❤
@IqramNoman-gu3xr
@IqramNoman-gu3xr 3 күн бұрын
É noma namkubar Ali kiba onde quer que ele vá
@Juliusantipas
@Juliusantipas 13 күн бұрын
Alafu Jana tundaman alisema Kwa kweli alimaanisha japo Kuna wanafki waliopinga nakukereka naamini watakua wamejionea oya sio poa noma sana🔥🔥🔥👍
@deusdeditsanga9666
@deusdeditsanga9666 14 күн бұрын
King kiba🔥🔥🔥
@LameckZakaria-qg9vv
@LameckZakaria-qg9vv 14 күн бұрын
Daimond alisema msanii wetu ajulikani ata Malawi sasa uku canada anasepa na kijiji ujue kiba anakipaji bila shobo na watu anackika anakubalika bila madance anamaliza ktk stage
@barakadaprince3742
@barakadaprince3742 14 күн бұрын
Yule mshamba kiba ni noma na nusu👑🔥
@user-pk1yl7zt8p
@user-pk1yl7zt8p 13 күн бұрын
Ww nd mshamba maana ctor Zak unazo yy Hana na songesha unakopa il kumfatilia
@LameckZakaria-qg9vv
@LameckZakaria-qg9vv 13 күн бұрын
Cm na tv zipo why tucwafuatilie au unataka iweje ndugu
@idinshazimakashukwe
@idinshazimakashukwe 13 күн бұрын
Anaeijua anajua Tu big up bro🔥
@user-hu3sc4kg1f
@user-hu3sc4kg1f 12 күн бұрын
Mashaallah❤❤🎉🎉
@omarymtotela3751
@omarymtotela3751 14 күн бұрын
Nakubali sana ❤
@Muidumbe450
@Muidumbe450 13 күн бұрын
Wewe ndo King kweli❤❤🇲🇿🇲🇿👍👍
@baruthmussamuslim3434
@baruthmussamuslim3434 12 күн бұрын
DJ d.ommy mzee wangu unampatia sana kiba mauwa yako upewemzee wangu maana unapiga ngoma nabado unaamsha vaibu
@gibronrugemela853
@gibronrugemela853 14 күн бұрын
Great vibe🎉
@alvannykiba281
@alvannykiba281 12 күн бұрын
King Kaká we ni kiboko
@user-lk5dz3dx8z
@user-lk5dz3dx8z 14 күн бұрын
King to the world 🎉
@Kingjmtv1982
@Kingjmtv1982 12 күн бұрын
King kiba nakubali mtu wa watu ❤
@uredipeter412
@uredipeter412 13 күн бұрын
King 👑 on top
@ALLY_K61
@ALLY_K61 14 күн бұрын
Kingkiba tunakukubalii sana
@mohamedally4496
@mohamedally4496 11 күн бұрын
Dj d ommy hatariii mno
@AhjuceAqeeb
@AhjuceAqeeb 13 күн бұрын
Allah akuongoze katika maisha yako bro .akujaalie mwisho mwema na familia yako na wazazi pia Allah awajalie mwisho mwema .....napenda life style yako bro . Niwe mkweli napenda life style ya King , AY na Mr Blue....kiukweli Aina ya maisha yako yananivutia nataman Allah anijaalie kuishi kama wao Inshaallah.
@HusseinChai-d1k
@HusseinChai-d1k 7 күн бұрын
Safii kiba kazi nzur
@user-um4fk5ls3v
@user-um4fk5ls3v 14 күн бұрын
Pia nakupenda sana kaka yangu ❤❤❤❤❤❤💪
@vumiliamgendi148
@vumiliamgendi148 11 күн бұрын
King tunaomba utuandalie nyimbo nzuri ya Simba day na hiyo mke wa mtu sumu usiisahau Mimi shabiki yako mkubwa
@bakarimajaliwa247
@bakarimajaliwa247 13 күн бұрын
Dj d ommy anamjulia king kiba
@isayamsisika6255
@isayamsisika6255 13 күн бұрын
Wekeni performance nzima ya king basi acha kuzingua Admin wa crown
@user-vm4fe3ql5c
@user-vm4fe3ql5c 14 күн бұрын
King🎉🎉
@JojyLuhasa
@JojyLuhasa 14 күн бұрын
Tu mérite être le roi
@dinyoabeli9028
@dinyoabeli9028 14 күн бұрын
King king🔥🔥🔥🔥
@SeifullahSady
@SeifullahSady 13 күн бұрын
Alikb ni mfalme wawatu uyoo ndoo kng nimependzwa na iyo show ya Canada❤
@egbertrwiza9226
@egbertrwiza9226 14 күн бұрын
Wakwanzaaa😂😂
@user-cs4nj4yn8d
@user-cs4nj4yn8d 12 күн бұрын
Congolese we’re there big up
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 14 күн бұрын
Mfalme wa africa
@AlexGwambie-xr2hm
@AlexGwambie-xr2hm 14 күн бұрын
King ni mmoja2
@FaithaAli-cy5nr
@FaithaAli-cy5nr 14 күн бұрын
King ❤
@GDBOYOFFICIAL
@GDBOYOFFICIAL 14 күн бұрын
Hiii nizaidi 🔥 kiba babaaaa
@kennedymatiko6830
@kennedymatiko6830 14 күн бұрын
#kingkiba
@barakadaprince3742
@barakadaprince3742 13 күн бұрын
Alie sikia mbona umezima mzki gonga like hapa😅
@ZinganisaNova
@ZinganisaNova 13 күн бұрын
Alikiba ni moto hatari sana ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@JosephMichael-z5y
@JosephMichael-z5y 14 күн бұрын
Ninoma Sana 😂😂
@VitusEmmanuel-pe3yi
@VitusEmmanuel-pe3yi 14 күн бұрын
Nakubal
@AlmasMbunde-ev2yq
@AlmasMbunde-ev2yq 14 күн бұрын
DJ d ommy
@Jipendelee255
@Jipendelee255 13 күн бұрын
Hii Cinderella Hadi goosebumps 🔥🔥
@PmVictor-d3i
@PmVictor-d3i 13 күн бұрын
Je Vien aussi de voir notre 🇨🇩 depuis congo 🇨🇩
@swala_master
@swala_master 13 күн бұрын
Huyo ndo kings kiba mwenye crown 👑 yake
@AbilahSalumu-qx1cb
@AbilahSalumu-qx1cb 13 күн бұрын
Umetisha King 🤴 🙌 kiba
@Saki930
@Saki930 14 күн бұрын
Bendera ya Congo 🇨🇩 ipo hapo Sema Aina noma ni East Africa
@user-en1ci8jk7v
@user-en1ci8jk7v 13 күн бұрын
Mfalm hunatisha sana ❤❤❤❤❤ by Alackson swagg mcongomani
@Kyser255
@Kyser255 12 күн бұрын
The only one King 👑
@adamhashimu4462
@adamhashimu4462 13 күн бұрын
King Kiba king of east Africa ❤
@3kingsmusictv873
@3kingsmusictv873 7 күн бұрын
Unyaaaama ❤🎉
@Sampovoice8088
@Sampovoice8088 14 күн бұрын
Uyo ndio king
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi 13 күн бұрын
King ni moja bada ya hapo ni harmonaiz waooo ❤❤
Alikiba Live performance AFROFEST 2024 at Canada
35:37
Alikiba
Рет қаралды 36 М.
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 10 МЛН
Does size matter? BEACH EDITION
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 20 МЛН
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 36 МЛН
KING KIBA LIVE
15:14
SPORT NAMI
Рет қаралды 607
NDARO: TUNDA NI WANGU, CONDOM, YA NINI, NASOMA DM ZENU
8:20
Crown Media
Рет қаралды 35 М.