My beautiful homeland,,,so proud of ukerewe island..💖💖💖
@dorismbise29274 жыл бұрын
Wangap wanasema huo ni mzmu au uchaw wa uyo jaama anayeongea nalo kikabla like hapo
@andersonjira375 жыл бұрын
mbone hamjaweka hiyo pesa, na nyinyi mkasimama kando mkaliacha likacheza, mwalisukuma mkidanganya watu JIWE LACHEZA, nyinyi ndo mna mchezo na macho ya watu
@alsinambise91554 жыл бұрын
Uko sahihi kiini macho hichi
@kobelochamanga97575 жыл бұрын
Majini yashindwe kwa kina la yesu
@rozmihambo19353 жыл бұрын
Mm siji kuna majini mnaabudu
@florenceatambo2579 Жыл бұрын
Mbona pesa itolewe ndo liongee walijuaje kwamba Hadi pesa itolewe,,
@gahanalugwisha83165 жыл бұрын
vyote vimeumbwa na mungu tusishangae Sana
@theodorychristopher47955 жыл бұрын
Hata sisi kwetu Kigoma kuna mto maji yake yanapandisha mlimani wambie watalii waje watoe pesa.
@OdiloMganga-bm1xbАй бұрын
Mambo ya hasili ayo lakni kuna watu apa wamekazana kusema mapepo majini uchawi haafrika kuamini chao mtiani ila yesu wao awajai kumuona
@shillaazuwaji54385 жыл бұрын
Mila zipoo mie nakubali
@abduliefessi27865 жыл бұрын
oooooooh haleyaaaaaa uyo ndie bwana tunae muabudu alisema ata inua ata mawe
@blackprist51975 жыл бұрын
No way. Wajua walolifanya.
@SmilingDragon-qt4ig8 күн бұрын
Sasa kwann licheze baada ya kuwekewa pesa? Au Kuna mtu uko chn
@isaacmgidange57002 жыл бұрын
However la ajabu kisiwa cha ukara
@beatricebatista5285 жыл бұрын
tumuimbie na tumsifu Mungu coz as tukinyamaza mawe yataimba na upepo utasifu
@alphoncesiogo16755 жыл бұрын
F Bc
@seyaorongo74664 жыл бұрын
Beatrice Batista Amina
@zakiamseka96982 жыл бұрын
Nitalihamishia kwa mwamposa
@nuurinkluge75844 жыл бұрын
Look it again ..naona hii bwana yabonyenya hii jiwe kwamuguu moja hapo nchi.. jiwe yacheza🙏🙏💗
@sol-ql1kt5 жыл бұрын
This is beautiful
@annakletayohana45614 жыл бұрын
Litakusaga saga bure ilo jiwe
@dorroboss5 жыл бұрын
He is shaking the stone, its not moving by itself
@rebeccaedward67954 жыл бұрын
Jmn watu wengine mwafurahisha sasa kwa akili yakawaida wao wananguvu gani kusukuma jiwe kubwa hivyo hadi licheze? Usisimuliwe Fanya kufika tu uone mwenyewe pesa wameweka kdg liongeeje. Watu wanatengeneza biashara kimiujiza tu kama babu wa loliondo
@abdulazizi66065 жыл бұрын
uwo ndo uwepo wa mwenyezimungu akuna cha mila wala nn
@consolathanamajojo9869 Жыл бұрын
Haha😀😀 htr xanah hii
@mercypatrick27374 жыл бұрын
Mizimwi hiyo
@clavery-verisnicholouc20625 жыл бұрын
Mmh namaliza mb zangu bure
@annakletayohana45614 жыл бұрын
Umeona ee
@susangraf32975 жыл бұрын
Anaongwa ndio acheze, dunia ina mambo itafika wakati wa kumba kuku pesa ,ndio umjinje!!!!
@jeniphapius4954 жыл бұрын
😂😂😂😂😃😃😃
@stevenshija28482 жыл бұрын
Me nikajua linacheza lenyewe kumbe hadi utumie minguvu 🥺
Jamaani hilo jiwe nimchezo tu we kimiujiza msilete ushirikina mkasema eti tumpata utalii onyesheni vitu vya msingi na sio hilo mnataka kutuletea mambo ya loliondo
@StanleyMakoye20238 ай бұрын
Wakiliwekea usasa tu linagoma kucheza
@ClintonNyamsera3 ай бұрын
Mimi huwa Namibia eti huwa ilinacheza had linahama sasa mbona hailiami
@anamayala88963 жыл бұрын
Huyo anaelichezesha ana uchawi unaosambabisha linacheza mbona huyo kajaribu lakini limeshindikana kulisukuma ana nguvu fulani
@pendolugembe70265 жыл бұрын
Mbona mpk walitingishe km linasikia waliambie bila kutingisha
@valentinemdenge4745 жыл бұрын
kwel ni utenga uchmi wa kisiwa cha ukara
@mwidzuhuluhapalataii69455 жыл бұрын
yaani watu wasio wa kiroho utawaona tu.Kimsingi hiyo ni mizimu ya kabila/ukoo wa sehemu husika,mambo ya sayansi hayahusiani hapo.Cha kushangaza watu wanakuja kuliomba na kulitolea sadaka,Binadamu kuweni makini sana,hiyo ni kazi ya shetani na malkaika zake maana alipotupwa duniani,makao yake ni kuzimu na sehemu za ajabu kama mito mikubwa,bahari,miti mikubwa,majabali kama haya,milima mikubwa,
@goodlucktemu31494 жыл бұрын
Nyaburebeka ikabudike cheza rubeka byabu nyabu
@karuhangastephen99504 жыл бұрын
Kuna uchawi kweli
@worldrapamako39605 жыл бұрын
ilojiwe ningekuwa mimi bila buku laki moja sichezeshi tena ningelijengea nyumba
@mashakulangwa47615 жыл бұрын
Aiseee hayo ni maajabu ya kiulimwengu, ila lingekuwa kwangu ningefurah sana coz linaingiza kipato bila jasho!!!
@izooscyber90915 жыл бұрын
huo niukora tu mwisho wa siku walewale wenyewe ndio watarudi kuzichukua zile hela siamini hayo tu nimalimwengu
@nicodemmlagala21485 жыл бұрын
Masha Kulangwa
@nuurinkluge75844 жыл бұрын
Please pata vizuri angalia hii bwana simba.hapo kwanchini juwe ndogo so anaponyeza naguu moja hapo ethen jiwe iko yacheza...just look it kwavizuri ukikuwa naakili waona Hii ujanja tu😯😯😯
@sheridabenjamin74625 жыл бұрын
Mungu amusamehehe san
@namirihamisi38995 жыл бұрын
Alieona jiwe hilo lina macho na puwa na mdomo a like.
@hassanfurahe68095 жыл бұрын
jaman hayo ya kwel kunalingine liko huko huko katikati ya kisiwa linacheza kaa linataka kuangukia upande mwengine linainuka
@hamoudjaruphu28935 жыл бұрын
nikweli kabisa ata mm ilisha fik huko
@alinealine37405 жыл бұрын
maman tanzania kali kwa kichawi
@mgetazacharia10614 жыл бұрын
msidhani. kuwa ni uongo nikwel jiwe hilo linacheza liko ukara
@hamadilaumaelindi75555 жыл бұрын
mungu si wakawaida tukae tukijua hayo ndio maajabu yake
@zuhuramuhanga54005 жыл бұрын
Hata iringa sehemu moja inaitwa lupilo kuna jiwe Lina umbile LA binadam linaitwa mwanakatinga nendeni mkaone maajabu yake msishangae sana hizo zote ni rehmaza mungu
@omanmamulove98783 жыл бұрын
mungu hashindwi kitu naan no icho kitu🤝
@husnakijoji40825 жыл бұрын
Huo ni uchawi kabisa hakuna majabu huo mkono wa mzee ndo kapakaa madawa yake yakichawi hata mv nyerere kupinduka kwenye kina kifupi kama kile na kisha kuua watu wote wale ndo uchawi kama huo mnaoutumia
@jossymak78535 жыл бұрын
Hiyo ni miungu kama ya zamani
@sontrillthereal81863 жыл бұрын
Hakuna kitu hapo
@NajimaNichole-oz3zv3 ай бұрын
Makubwa Tembea uone
@assanassanal79905 жыл бұрын
kwahyo hzo ela anazichukua nani sasa😅😅😅 kama sio kuibiana jaman mmmhhh
@georgeshija9115 жыл бұрын
hakuna muujiza wowote hapo hizo ni hesabu tu kuna kutikisa na kusukuma sasa wengine tunasukuma halafu wenyeji wenu wanatikisa taratibu kisha linapata kasi
@Mpakauseme2 жыл бұрын
Je ulifanikiwa kufika na kisha ukaona jinsi wasukumavyo
@mussanganda5052 жыл бұрын
Uchawi tu,
@ashuraashura8825 жыл бұрын
Ni miujiza ya mungu ila mweye mnatumiya ucawi
@m7gamba3704 жыл бұрын
Kweri maajabu Luna mti ukiukata unasemanjoo muone pasiansi
@andeorusandrew13524 жыл бұрын
Mmmmh dunian kuna mengi,imuka nyaburebeka
@oman11oman595 жыл бұрын
Majini tu hayo mshindwe na mlegee
@alexmutua52565 жыл бұрын
Oman11 Oman Kabisa kaka umegonga ndipo.
@mhandohassan92075 жыл бұрын
Eriya Peter
@michaelchendy89935 жыл бұрын
kwakwel dunia inamaajabu
@jumamussa305 жыл бұрын
una akili ww kila kitu majin mtakalia kukariri majin 😂😂😂😂
@ganganainfochannel5 жыл бұрын
Hello tunashukuru kwa kusapoti tukifanyacho, tunaomba muendelee kuwa nasi na maisahau kusubscribe !
@jamesjohn41585 жыл бұрын
fatili stor ziko nyingi sana
@athumanmnyasa17293 жыл бұрын
Mmmh, Hilo iwe ni balaa.
@jazome37565 жыл бұрын
Sjaona la ajabu nisauti ya mwanadamu walasijasikia sauti ya ajabu
@israelsalim43225 жыл бұрын
wana zingua tunapotezeana mda
@theodorychristopher47955 жыл бұрын
Kama mtaingiza manjonjo ktk hilo jiwe na mkawabana pesa hao ndugu jiwe hapo kwaheri halitacheza tena na pesa hakuna.
@annastaziavenance17355 жыл бұрын
Hapa mmetudanganya nikijuacho mie ilo jiwe lacheza na kuimba endapo utaziweka zile pesa za zaman na sio za sasa 😂 mmetupiga togooo hapaaa
@haapymuhamedy7065 жыл бұрын
Basi hakuha mahajabu juhu yajiwe hilo Bali ni hakilitu tazama msukumaji haki sukuma kuna mahali hanakanyanga tazameni mguhu wake wakuliha unakanyanga wapi kisha uta patajibu
@jumaathuman60495 жыл бұрын
Jaman ya mungu nimeng huo uwezo walipewa watu wa kale ndo maana unaona vitu vyote tunavyovitumia zaid yake ving walivibuni watu wa kale
@winfredkaroli91455 жыл бұрын
Nachojiuliza mm ni lazima huyo mzee kulisemesha au ni mtu yeyote akiliongelesha Linachacheza..? Nakama niyeye tu anauhusiano gani na hilo jiwe au alielekezwa na nani ukisema hayo maneno ndo linacheza?
@shukrankapinga85305 жыл бұрын
Kama jiwe limekuwa kimila zaidi.. Je nini kitatokea endapo msemeshaji mteule wa ukoo atafariki dunia?.. Amakweli dunia na maajabu yake.. Tuupende na kuuenzi utalii wetu wa ndan..
@verynicesingano58504 жыл бұрын
Linacheza kweli au kuna mzimu umo
@juliussyonga38595 жыл бұрын
BARAKA swila
@kambonaonesmo54524 жыл бұрын
Hiyo ni maajabu kwa jiwe hilo
@willycharlemanyanza87895 жыл бұрын
Duuuuh hilo jiwe ni zaidi ya BIKO
@raphaelkajela44125 жыл бұрын
Maajabu hayaidhi
@aishayusufu58735 жыл бұрын
Nimecheka kiboya sana
@joycemashikolo90965 жыл бұрын
Hakuna cha nyabulebeka wala nini akiri zenu ndio zimewambia hivyo.huyo ni Mungu tu mnageuza maajabu ya Mungu mnampatia nyabulebeka? ovyoo 😌
@magynzioka11225 жыл бұрын
Umeona
@mamawawili37255 жыл бұрын
Joyce mashikolo. mm kama mm nasema ivi hatudanganyiki kwann lisiachiwe kucheza na kuongea lenyewe had litingishwe?acheni kutushika maskio
Ushirikina ulikuwepo, upo na utakuwepo, ni sehemu ya utamaduni ambao hauwezi kufa.
@kanyeshahigirimana5686 Жыл бұрын
@@johnkiimbila6799 umeongea kweli kabisa ndugu yangu
@jennefergikonyo83225 жыл бұрын
Aaiii hio ni kama uchawi,bona wanaweka pesa.Hizi ni nguvu za giza
@dr.hamiduibrahim13075 жыл бұрын
Sipati picha kama hili jiwe lingekuwa nyumbani kwa mangi! Pangekuwa ni zaidi ya fursa.
@charleswilonja23205 жыл бұрын
Wewe ndo umenichekesha Sasa aaaaaah
@loycecharles26185 жыл бұрын
Dr. Hamidu Ibrahim hahahahaha umetisha hata huyo nifurusa kwake yani ukienda lazima uache hela kama hivyo hata wenyeji was huko huwa wanatoa hela kwenda kuliona nakucheza
@happymwaseba94935 жыл бұрын
Nimecheka sana mangi
@douglasmgina54714 жыл бұрын
Je in kweli haya
@annexjay44345 жыл бұрын
Mnajuaje kama siku moja alitatembea liwabamize nyie wote. Hasa mkikosea masharti...
@kabaloernest4 жыл бұрын
FBA
@mukisatmk88214 жыл бұрын
Hahahah
@aishasilaji57595 жыл бұрын
Jamani baba yangu usije kuvunja mguu bule
@biommy94725 жыл бұрын
Aisha Silaji ..pwahahaaaa
@gracenyambura35025 жыл бұрын
Aisha Silaji
@chitandastories5 жыл бұрын
Aisha Silaji Duh
@chitandastories5 жыл бұрын
Aiseeeeeee
@sophiamvungi14252 жыл бұрын
Kweli dunia hii kuna maajabu mengi
@Hottatto8165 жыл бұрын
uende na ilesehem kuna unyayo wa mwana marundi
@timothysimon64385 жыл бұрын
timothy
@zamirhassan815 жыл бұрын
Bwiru hio
@mumyally59015 жыл бұрын
Jini au
@annakletayohana45614 жыл бұрын
Mxiieeem nimemind kumaliza MB za kuingilia kwa Millard loo
@ismailladha76172 жыл бұрын
Hilo jiwe linasukumwa na mguu sio mikono
@obimbomarybenter21655 жыл бұрын
dunia kunashangaza sana ila tu hatuwezi amini hadi tujionee
@teklamanase70885 жыл бұрын
acheni uongo, hiyo pesa inakwenda wapi? hiyo ni biashara kama babu wa lolondo
@Mazuruinature5 жыл бұрын
Hiyo nifunga macho mbona tangu zamani haijawai kutokea? Mbona leo hio ni uwongo kama loliondo chungeni
@joelmetele67795 жыл бұрын
Nakwel
@fatmaali65345 жыл бұрын
hee mbona maajanu
@Rkdigtech10 ай бұрын
Nice
@juliusmataba19195 жыл бұрын
Nomaaa
@joycefulko77715 жыл бұрын
Mbona ni yeye analisukuma
@MachariaWaKamauTV5 жыл бұрын
the English comment u are looking for is here.... this is nonesense
@daudmasala77045 жыл бұрын
Nonesense? Your not serious shmn lol
@joycegeorge65765 жыл бұрын
ata 100 siweki maana ni ushetani mkubwa
@aishannacho72424 жыл бұрын
Mmmh
@sulaymanwaziri44555 жыл бұрын
Nyie wapuuzi hilo jiwe linahitaji akili tu kulisukuma na huo milio ni jinsi linavyo gusa kwenye jiwe la chini,,, pindi unapo kosea kusukuma sehemu husika haliwezi kucheza,,, nilazima ufuate uelekeo wake
@wariwanee73355 жыл бұрын
Waimbe bila kusukuma
@princeemma52985 жыл бұрын
Dah ama kwel its so min
@ngasasocks11255 жыл бұрын
usilolijuwa ni kama usiku wa giza hilo jiwe kweli kabisa lipo na linacheza mm mwenyewe nilishajionea.
@zaitunmuhammad97055 жыл бұрын
Mbona wana lisukuma
@steveswakei96005 жыл бұрын
sijui ni lini mwanadamu ataerevuka jamani!
@dothopacha88085 жыл бұрын
Hahahaaaaaaaaaaaaaaa madhabahu yashetani hiyo mcdaganyike hakuna maajabu wala nn,ushirikina huo
@salummohamed38305 жыл бұрын
Urongo
@tibrucemushi17355 жыл бұрын
maajabu niliyoona mimi ni hela tu.....
@mosesgathura73215 жыл бұрын
Aiiiii hi si kweli
@manyaramrema65315 жыл бұрын
Hyo ni fursa kiuchumi! Ni mizimu hyo
@alexbushishi83425 жыл бұрын
Mpiga picha hajanitendea haki, unachezesha mno kamera.
@thevoiceofdeliverance60615 жыл бұрын
Hii ni Ibada kamiri ya uchawi wa mizimu ,Na haya ndiyo mambo ya kishetani yaliyolifikisha taifa hili kuwa katika hari ya umasikini Mungu tusaidie ...
@heavendarliahblackqueen585 жыл бұрын
Hahahaaa!kweli hlo ni jiwe la ukweli?
@janetaswa85905 жыл бұрын
Emmanuel u r right
@magdarenanguvumali8035 жыл бұрын
mch Emmnueli
@wolframchikomo88735 жыл бұрын
Ni kweli haya ni mambo ya KUUTUKUZA ushirikina. Kuna watu hawajui kuwa mambo kama haya YANAILETEA NCHI LAANA KUBWA. Tuwaombee lakini tusiache kuwashauri pia. Asante kwa kuliona hilo
@danyonlinetv18475 жыл бұрын
hayo maneno uanamaanisha nn
@aishahayata48315 жыл бұрын
utasukuma mwandishi mpaka uje hapo kuna majini yanapewa ela
@elsonyohana85354 жыл бұрын
pale unapoamn ktu hata kam n hamna hua inatokea nguvu nyngne ambay husababsha ukaona muujiza