The guider is 100% educated and is a pure geologist. I like him
@leatherlee15022 жыл бұрын
Nimependa kazi ya mwelekezi. Mungu amjalie
@fatmakungu21603 жыл бұрын
Mashaallah nyumban tumebarikwa sana
@kecha52513 жыл бұрын
Nice clip .I was born in T,A.but I never visit. But I know the place. Big up. My home Boyz. I hop to visit one day . In shaAllah.
@jafariramadhani32643 жыл бұрын
Huyu kaka anaelezea vzr sana
@ashafroholdt76973 жыл бұрын
Huyu kaka mwelekezaji ni shujaa kweli kweli, sehemu inatisha sana. Lakini yeye hana wasiwasi kabisa daaah pongezi sana kwake ❤🇹🇿🙏🙏
@davidcurtis85563 жыл бұрын
Sio hivyo sio mwepesi huyo, hiyo sehemu inatisha mno kama unaogopa kufa na imani yako ni ndogo sio sehemu ya kutembelea hapo, nilianza kwenda hapo safari ya kwanza ilikuwa kishule mwaka 1997 mabasi mawili kwa bahati mbaya tuligundua kama mmoja alibaki hapo baada ya kuhesabiwa wakati wa kuondoka maana kila mmoja alikuwa na namba yake namba moja ilikosekana, ilikuwa huzuni sana sana kuondoka bila mwenzetu. Lakini sikuacha kwenda na idadi ya kwenda haihesabiki ni pazuri sana kwa kupumzika kufurahi na familia ila ni pabaya sana kwa mambo ya anasa na aina yoyote ya ushenzi, hili ni pango na 3 na namba mbili ndio watu wanaingia na kufanya matambiko japo namba 3 ndio sana ila namba saba hakuna anaeweza kufika huko panatisha mbo mno na inasemekana pananyoka wasio na macho
@kaftan1776 Жыл бұрын
This reminds me the eraly 60's when my family used to visit Kiomoni and Amboni on a weekly basis from Tanga. I used to be terrified of the concrete/gravel crushers of Kiomoni. Once we startled something or someone in the cave and in our desperate attempt to get out the only flame torch we had went out we were in total darkness. It is said that these caves have subterrainian highways that go all the way to places in Kenya and Uganda as there is a story that a pet dog was lost in the caves which later surfaced in Uganda.
@kaftan1776 Жыл бұрын
Kwa ajili ya usalama ni bora zingeliekwa alama za kuongoza yeyote alie ndani ya pango kuonyesha njia ya nje ya pango. Alama hizo ni bora zingelikuwa zile ambazo zaonekana hata bila ya taa kumsaidia yeyote ambae amepoteya kumuonyesha njiya ya kutokeya..
@saidalsalmi93133 жыл бұрын
Jamaa ana describe very good.
@maddybongo3 жыл бұрын
Mpe hongera huyo tour gaide hakika yuko vizuri naona Chemistry na Biology iko kichwani.
@Myright8883 жыл бұрын
Na history, kweli kijana kaiva
@Myright8883 жыл бұрын
So proud of him kwa kweli
@jafariramadhani32643 жыл бұрын
History
@aminatabakari27413 жыл бұрын
Na jiografia pia anaijua👍
@husnaothuman16093 жыл бұрын
Hapana Chezea Tanga Yetu...Tanga Ndio Home 🏡💖 I miss you Home
@veronicamfuko96253 жыл бұрын
Congratulations. Yaani imenifurahisha sana kuona mapango ya Amboni. Kwakweli nimejifunza mengi sana. Big up💪👏🙏
@omanoman13713 жыл бұрын
Hakika tunajivunia vivutio vya kwetu nimeshawahi fika kwenye haya mapango tukiwa form 4 hakika tulifurahia sana japo kunatisha 🇹🇿🇹🇿💃💃
@justinjoshua10593 жыл бұрын
Dhaaah pole sana Esko, mm siwezi ingia umo. Panaogopesha saaana.bro sky akupe pongezi nyingi sana kabisa.
@aminatabakari27413 жыл бұрын
Asante ndugu mtangazaji na ndugu muongozaji katika mapango haya ya Amboni!!!
@mowanaalmowana61263 жыл бұрын
Upo vizuri kwa maelezo nishafika huko giza kama lote Najivunia kuzaliwa TANGA❤️❤️❤️
@onlytecna94983 жыл бұрын
Yaan hayaaa ndo mambo ya kua mnatuonyeshaa jmn ❤️❤️❤️
@mhinajerome5964Ай бұрын
Nine injoi sana mtafsiri yuko vizuri mno
@petermacharia4156 Жыл бұрын
Tanzania is nice, from kalema tz
@mwandegeplaza65043 жыл бұрын
Jamaa ameelezea vizuri sana
@heyumi23403 жыл бұрын
muongozaji yuko pw hana uoga 😘😘💃💃
@aminatanzanya74753 жыл бұрын
Kapazoea
@khadeejaabdullah70833 жыл бұрын
MashaAllah hongera sana Esco
@WinWilly41623 жыл бұрын
Esco Ahsante sana, nimetalii kwa macho
@mwatumsaidi51043 жыл бұрын
Hizi ndio habari tunazozitaka sio kila kukicha kiki za wasanii zisokua na mpango
@mowanaalmowana61263 жыл бұрын
Umeona eeh
@hafswauweso97043 жыл бұрын
Bwana ee
@tesokraftokenyaafrika65712 жыл бұрын
toka kenya, i feel good to be afrikan, much more luv, gud work bro u explain inna humble way,GOD bless ya work bro
@Emedroadtocanada Жыл бұрын
Nimeshatembelea haya mapango na nikapita ndani yake kuna sehemu kuna giza la atari hata mkutake muwe close kabisa huwez kumuona mwenzako
@LadouceurTony3 жыл бұрын
Wow Mungu acha aitwe Mungu
@joycenahimana60793 жыл бұрын
Asante sana
@BilloceArts-bs4nb4 ай бұрын
Kwa hili Nina mengi ya kusema na kumshukuru mungu, na Kwa jinsi guide alivyo smart Nina mengi ya kusema lakini kulingana na muda Wacha niseme Sina la kusema 😂😂😂😂😂❤❤❤ proudly Tanzanian
@yahyahamad18023 жыл бұрын
Ahsante kwa maelezo mazuri
@rusirusi7713 жыл бұрын
Kwataka moyo kuingia ndani ya mapango mm siwezi
@mahmoodalghefeili53703 жыл бұрын
hamna wala hakuishi umo ndani ila muakikishe nyie mloshikana mcjemkaachiana akiachia mmoja tu anapotea
@masifaentertainment3 жыл бұрын
wakwanza ku comment toka wengereza
@aminatanzanya74753 жыл бұрын
Subutu hata kwa pesa siingii humo ndani kwa nje tuu kunatisha ndan jee
@mawdinhassan68533 жыл бұрын
Hakutishi my dear .kupo vizuri tu
@aminatanzanya74753 жыл бұрын
@@mawdinhassan6853 bas one day nitafik hapo
@saumuimeda51813 жыл бұрын
Mashaallah Tanzanian tuna vivutiwe vizuri cn Allah ametujaalia vitu vingi cna lkn hp kunatisha mie siingii kbsaa
@ashwramashallah72423 жыл бұрын
😂😂😂eti mimi apa siingii
@ashwramashallah72423 жыл бұрын
Mngu wa ajabu huyu .
@mahmoodalghefeili53703 жыл бұрын
@@ashwramashallah7242 wakat tu nasoma tulienda wengne walishindwa kuingia kipind icho kila shule inaenda mkifika mnatoka pesa mnaingizwa
@sayyidaseif63093 жыл бұрын
I like it
@peninacharles97573 жыл бұрын
Amazing
@sa3dasa3da873 жыл бұрын
Mmh asanteni ila cjawaza kuingia huko ni hatari na nusu yatakamoyo
@mamfungah3 жыл бұрын
Very nice clip, je ipo ya lugha ya kigeni kingereza
@binthkhamisi10973 жыл бұрын
Masha Allah. Tanga one day ys
@ericjonstz31203 жыл бұрын
Asante Tanzania, Africa
@saidabass10983 жыл бұрын
Ni kweli mahan na mm nishawah kuigia umo unajua kule kwetu tanga mukiwa shulen kunasiku maalumu inapagwa kuenda ku enjoy
@lordrextz36863 жыл бұрын
Muongozaji yupo vizuri sana
@bosslilyg43903 жыл бұрын
Esco 💪💪🔥🔥
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Mashallah, inshallah ipo cku nitaenda mapangoni.
@shamzone3883 жыл бұрын
Tanga raha kweli tanga raha Nendeni mkatembee lushoto soni pangani na kwenginepo karibuni sana
@marthageorge5043 Жыл бұрын
Naipenda tanga yetu
@ashwramashallah72423 жыл бұрын
Nimemis Tanga home sweet😘😘😘😘
@user-cm9lm4mj7v Жыл бұрын
Mwelekezi unajua broo sauti yako kama laiza producer wa wasafi recod
@aishaabdallah42553 жыл бұрын
Nice
@magrethmathayo28005 ай бұрын
nimekukubali chali yangu
@fanny75653 жыл бұрын
Dah
@MrTouch-rm4rh3 жыл бұрын
Mm nilihishia inje apo noma kunatisha sana aisee
@shaadenshaduni77553 жыл бұрын
🤣🤣🤣nime ogopo Esko ivi linge waangukia !
@didaamohsin65943 жыл бұрын
DAAAAAAAH...WAJIWEZAA HUOGOPII..HUMO NDANI WW...UNA MOYO..NAKUPA HONGERA ZAKO.SKY MUONGEZE MSHAHARA KWA KAZI NZURI
@didaamohsin65943 жыл бұрын
🇰🇪from+254
@fatmaalnabhani36093 жыл бұрын
Amezindikwa
@shamzone3883 жыл бұрын
Hapo huoo ni uongo kama ukiomba unachotaka unapata basi hapo amboni mabokweni maramba kusingekuwa na masikini
@shenjamamzingi79503 жыл бұрын
Ndio tulipokwamia hapo,Mapango Makaburi na Mambo mengi ya Historia tunayageuza ndio sehemu ya kumuomba Mungu na Mungu kwa hekima yake anajibu baadhi ya Dua za watu hao wasiokuwa na Akili
@fatmasalim82933 жыл бұрын
Doh kwatisha kuingia ndani
@noorayaqoot12943 жыл бұрын
Unavofahamisha ni vizuri na hodari
@shamsahaji62023 жыл бұрын
Esco kapiga kelele kwa kiza kinene🤣🤣🤣🤣
@mapishitanga98613 жыл бұрын
Home sweet home
@medicalphysicsbiomedicalen17073 жыл бұрын
Ahsante ipo siku tutafika much love from Italy 🇮🇹
@myunaniniahmad64633 жыл бұрын
Hiyo ni kazi ya mungu , kayatengeneza mwenyewe الله.
@Fm-MornStar20143 жыл бұрын
Tupo huku 🇮🇹 wote bro. Upo maeneo gani?
@medicalphysicsbiomedicalen17073 жыл бұрын
@@Fm-MornStar2014 nipo Milan
@Fm-MornStar20143 жыл бұрын
@@medicalphysicsbiomedicalen1707 sawa, mie nipo Roma. Ukija huku unishtue tukutane Termini.
@medicalphysicsbiomedicalen17073 жыл бұрын
@@Fm-MornStar2014 powa
@ShekheRajab2 ай бұрын
Nilienyoy sana nilipokuwa form6 tulifika apo pazur sana
@khamisishabani31553 жыл бұрын
UYU TOUR GUIDE YUKO NJEMA MNO
@jemalukas63423 жыл бұрын
Daah. hatari. Naogopa. Sijui kamantaingia
@salimumohammedsalimu1720 Жыл бұрын
Mzee esco huko pia kuna mabaharia hebu watafute babuu