MAPANGO ya AMBONI na MAAJABU yake, Kuna Maumbile ya Mwanamke na Mwanaume, Kichwa cha SIMBA, Mlima

  Рет қаралды 54,163

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

3 жыл бұрын

Пікірлер: 157
@songashaban1332
@songashaban1332 10 ай бұрын
The guider is 100% educated and is a pure geologist. I like him
@leatherlee1502
@leatherlee1502 2 жыл бұрын
Nimependa kazi ya mwelekezi. Mungu amjalie
@fatmakungu2160
@fatmakungu2160 3 жыл бұрын
Mashaallah nyumban tumebarikwa sana
@kecha5251
@kecha5251 3 жыл бұрын
Nice clip .I was born in T,A.but I never visit. But I know the place. Big up. My home Boyz. I hop to visit one day . In shaAllah.
@jafariramadhani3264
@jafariramadhani3264 3 жыл бұрын
Huyu kaka anaelezea vzr sana
@ashafroholdt7697
@ashafroholdt7697 3 жыл бұрын
Huyu kaka mwelekezaji ni shujaa kweli kweli, sehemu inatisha sana. Lakini yeye hana wasiwasi kabisa daaah pongezi sana kwake ❤🇹🇿🙏🙏
@davidcurtis8556
@davidcurtis8556 3 жыл бұрын
Sio hivyo sio mwepesi huyo, hiyo sehemu inatisha mno kama unaogopa kufa na imani yako ni ndogo sio sehemu ya kutembelea hapo, nilianza kwenda hapo safari ya kwanza ilikuwa kishule mwaka 1997 mabasi mawili kwa bahati mbaya tuligundua kama mmoja alibaki hapo baada ya kuhesabiwa wakati wa kuondoka maana kila mmoja alikuwa na namba yake namba moja ilikosekana, ilikuwa huzuni sana sana kuondoka bila mwenzetu. Lakini sikuacha kwenda na idadi ya kwenda haihesabiki ni pazuri sana kwa kupumzika kufurahi na familia ila ni pabaya sana kwa mambo ya anasa na aina yoyote ya ushenzi, hili ni pango na 3 na namba mbili ndio watu wanaingia na kufanya matambiko japo namba 3 ndio sana ila namba saba hakuna anaeweza kufika huko panatisha mbo mno na inasemekana pananyoka wasio na macho
@kaftan1776
@kaftan1776 Жыл бұрын
This reminds me the eraly 60's when my family used to visit Kiomoni and Amboni on a weekly basis from Tanga. I used to be terrified of the concrete/gravel crushers of Kiomoni. Once we startled something or someone in the cave and in our desperate attempt to get out the only flame torch we had went out we were in total darkness. It is said that these caves have subterrainian highways that go all the way to places in Kenya and Uganda as there is a story that a pet dog was lost in the caves which later surfaced in Uganda.
@kaftan1776
@kaftan1776 Жыл бұрын
Kwa ajili ya usalama ni bora zingeliekwa alama za kuongoza yeyote alie ndani ya pango kuonyesha njia ya nje ya pango. Alama hizo ni bora zingelikuwa zile ambazo zaonekana hata bila ya taa kumsaidia yeyote ambae amepoteya kumuonyesha njiya ya kutokeya..
@saidalsalmi9313
@saidalsalmi9313 3 жыл бұрын
Jamaa ana describe very good.
@maddybongo
@maddybongo 3 жыл бұрын
Mpe hongera huyo tour gaide hakika yuko vizuri naona Chemistry na Biology iko kichwani.
@Myright888
@Myright888 3 жыл бұрын
Na history, kweli kijana kaiva
@Myright888
@Myright888 3 жыл бұрын
So proud of him kwa kweli
@jafariramadhani3264
@jafariramadhani3264 3 жыл бұрын
History
@aminatabakari2741
@aminatabakari2741 3 жыл бұрын
Na jiografia pia anaijua👍
@husnaothuman1609
@husnaothuman1609 3 жыл бұрын
Hapana Chezea Tanga Yetu...Tanga Ndio Home 🏡💖 I miss you Home
@veronicamfuko9625
@veronicamfuko9625 3 жыл бұрын
Congratulations. Yaani imenifurahisha sana kuona mapango ya Amboni. Kwakweli nimejifunza mengi sana. Big up💪👏🙏
@omanoman1371
@omanoman1371 3 жыл бұрын
Hakika tunajivunia vivutio vya kwetu nimeshawahi fika kwenye haya mapango tukiwa form 4 hakika tulifurahia sana japo kunatisha 🇹🇿🇹🇿💃💃
@justinjoshua1059
@justinjoshua1059 3 жыл бұрын
Dhaaah pole sana Esko, mm siwezi ingia umo. Panaogopesha saaana.bro sky akupe pongezi nyingi sana kabisa.
@aminatabakari2741
@aminatabakari2741 3 жыл бұрын
Asante ndugu mtangazaji na ndugu muongozaji katika mapango haya ya Amboni!!!
@mowanaalmowana6126
@mowanaalmowana6126 3 жыл бұрын
Upo vizuri kwa maelezo nishafika huko giza kama lote Najivunia kuzaliwa TANGA❤️❤️❤️
@onlytecna9498
@onlytecna9498 3 жыл бұрын
Yaan hayaaa ndo mambo ya kua mnatuonyeshaa jmn ❤️❤️❤️
@mhinajerome5964
@mhinajerome5964 Ай бұрын
Nine injoi sana mtafsiri yuko vizuri mno
@petermacharia4156
@petermacharia4156 Жыл бұрын
Tanzania is nice, from kalema tz
@mwandegeplaza6504
@mwandegeplaza6504 3 жыл бұрын
Jamaa ameelezea vizuri sana
@heyumi2340
@heyumi2340 3 жыл бұрын
muongozaji yuko pw hana uoga 😘😘💃💃
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 жыл бұрын
Kapazoea
@khadeejaabdullah7083
@khadeejaabdullah7083 3 жыл бұрын
MashaAllah hongera sana Esco
@WinWilly4162
@WinWilly4162 3 жыл бұрын
Esco Ahsante sana, nimetalii kwa macho
@mwatumsaidi5104
@mwatumsaidi5104 3 жыл бұрын
Hizi ndio habari tunazozitaka sio kila kukicha kiki za wasanii zisokua na mpango
@mowanaalmowana6126
@mowanaalmowana6126 3 жыл бұрын
Umeona eeh
@hafswauweso9704
@hafswauweso9704 3 жыл бұрын
Bwana ee
@tesokraftokenyaafrika6571
@tesokraftokenyaafrika6571 2 жыл бұрын
toka kenya, i feel good to be afrikan, much more luv, gud work bro u explain inna humble way,GOD bless ya work bro
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada Жыл бұрын
Nimeshatembelea haya mapango na nikapita ndani yake kuna sehemu kuna giza la atari hata mkutake muwe close kabisa huwez kumuona mwenzako
@LadouceurTony
@LadouceurTony 3 жыл бұрын
Wow Mungu acha aitwe Mungu
@joycenahimana6079
@joycenahimana6079 3 жыл бұрын
Asante sana
@BilloceArts-bs4nb
@BilloceArts-bs4nb 4 ай бұрын
Kwa hili Nina mengi ya kusema na kumshukuru mungu, na Kwa jinsi guide alivyo smart Nina mengi ya kusema lakini kulingana na muda Wacha niseme Sina la kusema 😂😂😂😂😂❤❤❤ proudly Tanzanian
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 жыл бұрын
Ahsante kwa maelezo mazuri
@rusirusi771
@rusirusi771 3 жыл бұрын
Kwataka moyo kuingia ndani ya mapango mm siwezi
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 3 жыл бұрын
hamna wala hakuishi umo ndani ila muakikishe nyie mloshikana mcjemkaachiana akiachia mmoja tu anapotea
@masifaentertainment
@masifaentertainment 3 жыл бұрын
wakwanza ku comment toka wengereza
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 жыл бұрын
Subutu hata kwa pesa siingii humo ndani kwa nje tuu kunatisha ndan jee
@mawdinhassan6853
@mawdinhassan6853 3 жыл бұрын
Hakutishi my dear .kupo vizuri tu
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 жыл бұрын
@@mawdinhassan6853 bas one day nitafik hapo
@saumuimeda5181
@saumuimeda5181 3 жыл бұрын
Mashaallah Tanzanian tuna vivutiwe vizuri cn Allah ametujaalia vitu vingi cna lkn hp kunatisha mie siingii kbsaa
@ashwramashallah7242
@ashwramashallah7242 3 жыл бұрын
😂😂😂eti mimi apa siingii
@ashwramashallah7242
@ashwramashallah7242 3 жыл бұрын
Mngu wa ajabu huyu .
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 3 жыл бұрын
@@ashwramashallah7242 wakat tu nasoma tulienda wengne walishindwa kuingia kipind icho kila shule inaenda mkifika mnatoka pesa mnaingizwa
@sayyidaseif6309
@sayyidaseif6309 3 жыл бұрын
I like it
@peninacharles9757
@peninacharles9757 3 жыл бұрын
Amazing
@sa3dasa3da87
@sa3dasa3da87 3 жыл бұрын
Mmh asanteni ila cjawaza kuingia huko ni hatari na nusu yatakamoyo
@mamfungah
@mamfungah 3 жыл бұрын
Very nice clip, je ipo ya lugha ya kigeni kingereza
@binthkhamisi1097
@binthkhamisi1097 3 жыл бұрын
Masha Allah. Tanga one day ys
@ericjonstz3120
@ericjonstz3120 3 жыл бұрын
Asante Tanzania, Africa
@saidabass1098
@saidabass1098 3 жыл бұрын
Ni kweli mahan na mm nishawah kuigia umo unajua kule kwetu tanga mukiwa shulen kunasiku maalumu inapagwa kuenda ku enjoy
@lordrextz3686
@lordrextz3686 3 жыл бұрын
Muongozaji yupo vizuri sana
@bosslilyg4390
@bosslilyg4390 3 жыл бұрын
Esco 💪💪🔥🔥
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 3 жыл бұрын
Mashallah, inshallah ipo cku nitaenda mapangoni.
@shamzone388
@shamzone388 3 жыл бұрын
Tanga raha kweli tanga raha Nendeni mkatembee lushoto soni pangani na kwenginepo karibuni sana
@marthageorge5043
@marthageorge5043 Жыл бұрын
Naipenda tanga yetu
@ashwramashallah7242
@ashwramashallah7242 3 жыл бұрын
Nimemis Tanga home sweet😘😘😘😘
@user-cm9lm4mj7v
@user-cm9lm4mj7v Жыл бұрын
Mwelekezi unajua broo sauti yako kama laiza producer wa wasafi recod
@aishaabdallah4255
@aishaabdallah4255 3 жыл бұрын
Nice
@magrethmathayo2800
@magrethmathayo2800 5 ай бұрын
nimekukubali chali yangu
@fanny7565
@fanny7565 3 жыл бұрын
Dah
@MrTouch-rm4rh
@MrTouch-rm4rh 3 жыл бұрын
Mm nilihishia inje apo noma kunatisha sana aisee
@shaadenshaduni7755
@shaadenshaduni7755 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣nime ogopo Esko ivi linge waangukia !
@didaamohsin6594
@didaamohsin6594 3 жыл бұрын
DAAAAAAAH...WAJIWEZAA HUOGOPII..HUMO NDANI WW...UNA MOYO..NAKUPA HONGERA ZAKO.SKY MUONGEZE MSHAHARA KWA KAZI NZURI
@didaamohsin6594
@didaamohsin6594 3 жыл бұрын
🇰🇪from+254
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 3 жыл бұрын
Amezindikwa
@shamzone388
@shamzone388 3 жыл бұрын
Hapo huoo ni uongo kama ukiomba unachotaka unapata basi hapo amboni mabokweni maramba kusingekuwa na masikini
@shenjamamzingi7950
@shenjamamzingi7950 3 жыл бұрын
Ndio tulipokwamia hapo,Mapango Makaburi na Mambo mengi ya Historia tunayageuza ndio sehemu ya kumuomba Mungu na Mungu kwa hekima yake anajibu baadhi ya Dua za watu hao wasiokuwa na Akili
@fatmasalim8293
@fatmasalim8293 3 жыл бұрын
Doh kwatisha kuingia ndani
@noorayaqoot1294
@noorayaqoot1294 3 жыл бұрын
Unavofahamisha ni vizuri na hodari
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 3 жыл бұрын
Esco kapiga kelele kwa kiza kinene🤣🤣🤣🤣
@mapishitanga9861
@mapishitanga9861 3 жыл бұрын
Home sweet home
@medicalphysicsbiomedicalen1707
@medicalphysicsbiomedicalen1707 3 жыл бұрын
Ahsante ipo siku tutafika much love from Italy 🇮🇹
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 3 жыл бұрын
Hiyo ni kazi ya mungu , kayatengeneza mwenyewe الله.
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 3 жыл бұрын
Tupo huku 🇮🇹 wote bro. Upo maeneo gani?
@medicalphysicsbiomedicalen1707
@medicalphysicsbiomedicalen1707 3 жыл бұрын
@@Fm-MornStar2014 nipo Milan
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 3 жыл бұрын
@@medicalphysicsbiomedicalen1707 sawa, mie nipo Roma. Ukija huku unishtue tukutane Termini.
@medicalphysicsbiomedicalen1707
@medicalphysicsbiomedicalen1707 3 жыл бұрын
@@Fm-MornStar2014 powa
@ShekheRajab
@ShekheRajab 2 ай бұрын
Nilienyoy sana nilipokuwa form6 tulifika apo pazur sana
@khamisishabani3155
@khamisishabani3155 3 жыл бұрын
UYU TOUR GUIDE YUKO NJEMA MNO
@jemalukas6342
@jemalukas6342 3 жыл бұрын
Daah. hatari. Naogopa. Sijui kamantaingia
@salimumohammedsalimu1720
@salimumohammedsalimu1720 Жыл бұрын
Mzee esco huko pia kuna mabaharia hebu watafute babuu
@fadhiliswalehe9286
@fadhiliswalehe9286 3 жыл бұрын
Nishaingia hapo patam saana
@heavenlymusicproduction4360
@heavenlymusicproduction4360 3 жыл бұрын
Humo ndani oksijeni nivipi?
@stephanokigosi656
@stephanokigosi656 3 жыл бұрын
Tangaaaa what's good ?
@princiouskdot6361
@princiouskdot6361 3 жыл бұрын
Niliingiaga kpind nipo 4m4 hyo cku ucku ckulala niliota ndoto za ajabu 😁😁😁😁😁kinatish jmn
@tanyanyakipande8082
@tanyanyakipande8082 3 жыл бұрын
Napenda utafiti na utalii ila uku siingii
@yussuphathumani1753
@yussuphathumani1753 3 жыл бұрын
Mmetisha 💯💯💯💯💯💯💯💯💯
@shaadenshaduni7755
@shaadenshaduni7755 3 жыл бұрын
😄😄😄hapo siwezi kuingia naogopa
@shabaniissa3163
@shabaniissa3163 2 жыл бұрын
Mungu muweza wa kila jambo
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 3 жыл бұрын
Esco si bure ndani ya pango umeomba upunguziwe mahari mn si bure km safari haijazaa matunda😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@binthkhamisi1097
@binthkhamisi1097 3 жыл бұрын
Huyu jamaa nmwamba sana
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 жыл бұрын
Mhh hayo mengine nahisi kama mmeyachonga hayo ya nje
@aliamar4422
@aliamar4422 3 жыл бұрын
Hhhhh
@VicentTarra
@VicentTarra Жыл бұрын
Vip humo hawaishi nyoka usije ukaingiza kichwa ukaumwa kichwa
@111dudi
@111dudi 14 күн бұрын
Sanamu ya bikra Maria na biblia viliwekwa na wajerumani, ili wasishindwe na waislam. Ukiangalia sanam imebandikwa tuu.
@salehali4saleh19
@salehali4saleh19 3 жыл бұрын
Nakumbuka ile operation ya majambazi waliyokwenda kujificha ktk mapango hayo,ili make headline sana
@mamukassim4075
@mamukassim4075 3 жыл бұрын
Nishaingia mote umo nilienda fanya project na wenzenu tuliinyoy Ila nda tulishikana tukawa msururu ili tusipotezane
@shenjamamzingi7950
@shenjamamzingi7950 3 жыл бұрын
Muongozaji wa Mapangoni ameshindwa kumtukuza Muumba,alitakiwa kusema haya Mapango yameumbwa na Mungu
@stephanokigosi656
@stephanokigosi656 3 жыл бұрын
apewe tuzo huyo mwandishi wa habari wa sns .katisha sana bwana esco
@floraflora9490
@floraflora9490 3 жыл бұрын
Siezi enda pango hilo waaa😳
@saumuimeda5181
@saumuimeda5181 3 жыл бұрын
😅😅😅😅Unaogop nn sasa
@fatmaomar1012
@fatmaomar1012 3 жыл бұрын
wa5 kwenye kumi boar ctoki👍
@scolakotei4357
@scolakotei4357 3 жыл бұрын
P
@safiauwimana2355
@safiauwimana2355 3 жыл бұрын
Wapili leo
@thakibuiddi1857
@thakibuiddi1857 3 жыл бұрын
Ww hujui ht kutangaza
@peterchilumba739
@peterchilumba739 3 ай бұрын
Vitu hivi ndiyo tunapswa kufundishwa shule na sio hadithi zao za magharibi.
@mrsliverpool4235
@mrsliverpool4235 3 жыл бұрын
WA Tatu
@pitargamba9208
@pitargamba9208 3 жыл бұрын
Faida ya shule hiyo, tuliyo shindwa sasa tunashangaa
@ahmedyussuf5883
@ahmedyussuf5883 3 жыл бұрын
6
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 3 жыл бұрын
Dah! Nimetembea bila kuchoka ndio nahisi uchovu sasa hivi. Tuliotembea wote tujuane kwenye LIKES
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 3 жыл бұрын
Nimefika mara 1 sijui kama nitakwenda tena sehemu hii nafkiri sio sehemu ya kwenda kama matembezi Kwatisha.
@hajrahnassor5348
@hajrahnassor5348 Жыл бұрын
Sanaaaa
@salimumwnyipembe4961
@salimumwnyipembe4961 3 жыл бұрын
Amboni home kabisa
@sherin3171
@sherin3171 3 жыл бұрын
Kuna stima pia
@saidihemedimkukulike3545
@saidihemedimkukulike3545 3 жыл бұрын
Kwa ushauri wangu muwe mnawavalisha elenti
@maryamm7765
@maryamm7765 3 жыл бұрын
Dah mim ni mtu wa tanga lkn sijawahi kwenda apo yaan naogopa
@saumuimeda5181
@saumuimeda5181 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@sadiyakb8498
@sadiyakb8498 3 жыл бұрын
Kwatisha
@saumuimeda5181
@saumuimeda5181 3 жыл бұрын
Sana tu
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 4 ай бұрын
Tuliingia humo group la watu mwezetu mmoja alipandisha mashetani akatoka nje kuna joto balaa lazima utoke kijasho
@marundakisaka2637
@marundakisaka2637 3 жыл бұрын
Tusaidie kingilio ni sh ngapi ili watanzania wakajionee maajabu ya mapango hayo
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 3 жыл бұрын
kipind tuko msing kiingilio kilikuwa 500 cjui kwa sasa ilikuwa mwaka 1998 tulikuwa la 7
@mustafaosman1838
@mustafaosman1838 3 жыл бұрын
Kiusalama zaid wangevaa mahelment
@emilykai7866
@emilykai7866 3 жыл бұрын
Nitaleya godoro humo niwe naja kulala huko😌
The Story Book : Mizimu Ndani Ya Pango La Ngonga Zanzibar
30:04
Wasafi Media
Рет қаралды 235 М.
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 79 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 90 МЛН
HISTORIA YA NG'WANAMALUNDI / MATUKIO YA AJABU NA YA KUTISHA
33:08
JIWE LA MAAJABU UKARA LINACHEZA NA KUTOA SAUTI - HADUBINI YA TBC
16:30
Gangana Info Channel
Рет қаралды 903 М.
Jionee Maajabu ya Ziwa Ngosi
8:24
MbeyaYetuOnlineTV
Рет қаралды 47 М.
The Story Book : Usiyoyajua Kuhusu Jua
26:54
Wasafi Media
Рет қаралды 919 М.