Rais Mstaafu JK Asimulia Hali Ilivyokuwa Siku Ambayo Mkapa anatangazwa Mshindi wa U Rais
Пікірлер: 54
@noelnoel4916 Жыл бұрын
Jk stories zako tamu kusikiliza, ulifanya kazi kubwa kwenye uongozi wako inchi ilikuwa ngumu kisiasa
@linusjohn4941 Жыл бұрын
Safi sana mh jakaya kikwete Bado wewe ni tegemeo la watanzania safi jk Kwa hekima zako
@jumannemagumba619 Жыл бұрын
Ndio maana unaonekana kijana kwani hukuwa na mambo mengi ya ajabu ,ulipenda maisha ya watu kuliko vitu
@tumainimalulu7708 Жыл бұрын
Mkapa alitengeneza njia nzuri ambayo Kikwete na wengine wanapita na watapita. Imani yake ya kujenga taasisi yenye nguvu ndiyo inayotupa kujigamba. Mkapa na TASAF, TRA, MKURABITA na mengine mengi. Alistahili kuanza kabla ya Kikwete. Ndio sababu Kikwete alisema Mkapa kaifikisha nchi kwenye njia ya kurukia hivyo viongozi wengine wanatakiwa kuirusha nchi hii.
@hulilolutaha1277 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu aendelee kukupa afya timamu mstaafu Rais
@kennedykaduma9104 Жыл бұрын
But Mzee kikwete umenisaidia Sana kufanya maamuzi Bora katika mazingira ya kinyang'anyiro na ushindani uliojaa fitina na figisu. Hongera sana. Ukionesha ukomavu mkubwa Sana kisiasa. Hatimaye Mungu hamtupi mja wake.
One day you'll come up with really really really really good if not better story than this. There is a day and that day will come
@theteacherchance6750 Жыл бұрын
Those are just the tip of the iceberg, there is plenty more underground
@ramadhanimtambo6755 Жыл бұрын
Huyu Mzee ni mkweli yote anayosema we angalia hata baba wataifa alimkubali huyu alishangilia sana baada ya kikwete kutoa kauli ya kumuunga mkapa
@user-fj5qi8ej6y7 ай бұрын
Mimi namkubali sana huyu mzee anauchungu sana nchi yake bingwa sana wa siasa za bongo
@BONGOINMOTION Жыл бұрын
Mange kimambi kumbe yupo kwe mkondo...wa maji
@ludengelumufrancis5539 Жыл бұрын
Nakubari Sana Mzeeee wangu . I HOPE ONE DAY WE WILL MEET 🥰🙏
@boscojulius532 Жыл бұрын
Even me I love him so much
@rockcitynative9985 Жыл бұрын
Yaani wewe ulikuwa ni kajanja sana. Wenzako waliendeshwa na mihemko lakini wewe ulishajua Rais wa wakati ule na viongozi wakuu wa chama washaamua mgombea wao ni nani na kwakuwa wao ndio wenye serikali ukijaribu kupambana nao watakuimiza ukaamua uwaache wenye nguvu alafu wewe uendelee kujihimarisha taratibu. Ulikuwa na akili mingi sana. Ila ninakulaumu kutuwekea yule dikteta uchwala ulipokuwa unaondoka.
@hassanmfaume4522 Жыл бұрын
Sawa sawa mm nakuunga mkono asilimia mia ila yule magu mkapa ndiye aliyemuweka pale ila akakosa shukrani .!
@kashindisimon52655 ай бұрын
Sasa kama ni nani aliteka mchakato kusema urudiwe ili kumbeba mkapa Kama sio Mwl?kuna kitu unatudanganya bana na Bahati mbaya wakuulizwa wote ni marehemu
@iddysonyo266 Жыл бұрын
hiyo ndio ukweli wa chama cha ccm wanafanya wanachotaka kwenye uchaguzi sio ushindi wa halali katika kura
@bullekisimikwe3852 Жыл бұрын
Leo mzee ndo umeuthibitishia umma kuwa CCM ni chama cha figisu figisu yaani hakunaga uchaguzi huru na haki
@petroleumexperts3442 Жыл бұрын
huna unachoelewa, hizi ni kura za maoni ndani ya chama,
@petroleumexperts3442 Жыл бұрын
we una akili sawa sawa wew
@mkande Жыл бұрын
Huyu mzee noma
@ip_header Жыл бұрын
Kiongozi muungwana
@hassanhamudy982 Жыл бұрын
mange kimambi.......!!!!!!
@ntufyemwakigonja2277 Жыл бұрын
Aliyekunywa Konyagi ni nani 😀😀😀😀😀
@jacksonwanga6626 Жыл бұрын
Sitta
@amanimadinda6081 Жыл бұрын
EL
@jituakilimali15 Жыл бұрын
Huyu jamaa anaona yeye ndio amefanya kila kitu katika urasi wake kumbe ndio jizi kubwa subiri kaburi linakusubiri
@josephlorri431 Жыл бұрын
Nani hatakufa? Hao waliokufa walifanya nini, hakuna wa Milele haya maisha
@karaoglan9444 Жыл бұрын
Utatangulia wewe usipoangalia
@hassankurwa464 Жыл бұрын
Ndio alivyo ana penda kuona amefanya kila kitu. R.I.P JPM hamfikii hata kidogo. Kumbe Mange anatumwa
@shamte9musicofficial126 Жыл бұрын
Mi naamini mzee uyu katoka hijja ataongea mengi tu