Kwa Kweli Ubarikiwe sana Mtu wa Mungu, umekuwa Mentor mzuri sana Kwangu yaani najifunza mengi mno Toka kwako. Hata Kibari nilichonacho najua Ni Mungu tu Amewatuma ninyi ili muishape Jamii.
@yakubufadhil2560 Жыл бұрын
Joel nakupenda Sana Kwa ajili ya Allah,upo vizuri Sana kwenye kufatilia mambo, ebu Kaa chini uangalie ukweli kuhusu ni ipi dini sahihi Mbele ya Mungu Kwa wanadamu woooote?
@mirambovumilia39263 жыл бұрын
Ni mwezi wa pili Sasa tangu nianze kukufuatilia kwenye mitandao , na huwa najitahidi kukuelewa na kutekeleza kila ninacho amini kutoka kwako ,. Kiukwel nimeanza kuona mabadiliko kwenye kipato ata lifestyle yangu. Na kama hii elimu ningeipata miaka miwili iliopita, naamini ningekuwa mbali kiuchumi. Nakuombea kwa mungu usije choka kuelimisha ,nakutegemea mwalimu wangu And I Promis You To See Me At The Top💪
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ahsante kwa mrejesho huu, tuendelee kujifunza zaidi
@emmanuelhawela62812 жыл бұрын
@@joelnanauka .l
@user-xo4gl3we1t9 ай бұрын
KAKA JOEL NANAUKA ASANTE WA USHAURI MZURI MUNGU AKUBALI@@emmanuelhawela6281
@michaelkarunda51203 жыл бұрын
Nimekufuatilia kwa kipind kifupi sana na kukuelewa, nimejilaum why nilichelewa kukufamu mapema?... Upo safi sana brother.
@nimrodmulangi8074 Жыл бұрын
Pamoja na yote, hili la kuwatambua majina yao umenisaidia zaidi, hapa ni moja ya maeneo nitaanzia kazi zaidi. Mwl wangu Ubarikiwe.
@vairethsimkoko32013 жыл бұрын
Hakika nimejifunza mambo mengi na naamini mfumo wangu wa maisha utazidi kuwa na matokeo mazuri,ubarikiwe sana.
@ANANIUSELIAS Жыл бұрын
I have heard alot of motivational and inspiration speeches from experts and gurus , but this guy @joel nanauka is outstanding....Moses Jackson
@kasabwapeter86533 жыл бұрын
asante sana KAKA hakika wewe una faha katiya watu makini zahidi.
@angelalwisa33213 жыл бұрын
Waooo I like it... Mtu wa Mungu yaani KILA nikikusikiliza uwaga najifunza Sana na kubarikiwa mnoo
@martinjuliusadam9703 жыл бұрын
Umeokoa fikra, sasa si mtumwa kifikra... Ahsante bro Joel "#s60 see you at the top"
@mwashighadijames30183 жыл бұрын
Thanks bro Joel,am from Kenya hakika hayo yote nayafuatilia kweli na mimi namshukuru mungu napendwa kweli,smile is the way of showing how you are interested to others, sio kununa mda wote
@joelnanauka3 жыл бұрын
Hongera sanaaa
@user-jb6hi2vs7y3 ай бұрын
Kaka joel wewe ni mtumishi wa Mungu kwa eneo hilo Kwa kutabu chako cha Mkombozi wa familia na speech ya usisubiri kuanza anza sasa my life has changed totaly My God keep you my brother🙏🙏🙏
@jimboulaya3 жыл бұрын
Ahsante sana kwa kweli katika jamii yetu issue ya kukamata simu wakati wa maongezi muhimu ni tatizo sana na unaikuta hata kwa hao wanaoitwa mastaa, utakuta anafanyiwa mahojiano muhimu ila yuko busy na simu. It's very unprofessional, jengine kukosea kutamka majina, hatufanyi bidii kumtamka mtu vile inavotakiwa, hata wewe mtaalamu hapa umeteleza kidogo 3:25 ni Inatamkwa kwa kiswahili Deil Kaa-nih-jee na sio Dale kama kwenye ma-dale.
@suzanedgar51133 жыл бұрын
Asante sana. Kwa kweli nilikuwa si mtu wa kutabasamu
@epafranyambalo3 жыл бұрын
Jana kanisani hapa Kijitonyama.kuna mchungaji ndio ilikua mara ya kwanza kumuona.ila alivyosalimia kwa smile zuri.zaidi ya nusu ya kanisa tuli smile na ni mwanaume.Real smile inaambukiza
@joelnanauka3 жыл бұрын
Mfano mzuri sanaa huu
@omaryshafii11743 жыл бұрын
Cha kwanza uwe na hofu ya Mungu mtu anapokuja na tatizo ulichukue kama la kwako utaweza kufanya hayo yote Mungu akubariki kwa somo zuri
@christophernilongo61543 жыл бұрын
Nakubali Sanaa mafundisho yako brother, hata ukipitia sekunde chache tu lazima ujifunze kitu
@dottounique71843 жыл бұрын
Asante mno brother Joel nakutakia maisha marefu mnomno vote nitavitekeleza brother Joel
@adelaidenganyagwa39002 жыл бұрын
Nakupongeza sana kwa kufundisha vizuri! Hakika wewe ni mwalimu na unanguvu za kutoka kwa Mungu! Endelea Mungu kuna kitu amekuandalia mbele pambana kaka
@newtondangote69543 жыл бұрын
Thank you brother Joel, Hakika nimejifunza kitu kwenye video hii, zaid zaid nikuweka mkazo tu! Though sikuwahi kufikiria Nguvu iliyopo kwenye kumuita mtu jina lake.
@joelnanauka3 жыл бұрын
🙏🏻🙏🏻🙏🏻 Ahsante snaa
@sharifamtilly10143 жыл бұрын
Nashukuru mungu hivyo vyote ninavyo Ila nitaongeza kuwa active listening. Coz watu hupenda kunishikirika na kuipenda kazi yangu .
@mbelwakattolwiiza22283 жыл бұрын
Ahsante Sana kwa somo zuri Sana nakupenda Joe Nanauka
@revstephenmursaotv.3198 Жыл бұрын
Asante Sana kwa elimu unazotupa mtumishi wa Mungu. Tunakupenda.
@devothasimbi10553 жыл бұрын
Nimekuelewa vizuri sana kaka, upo sahihi kabisa nimejiona mwenyewe haswa kwenye tabasabu ni kweli watu wanajenga Imani na ukiwa na jitihada kubwa kazi hutojiona mpweke watu wanafurahia uwepo wake.shukrani kubwa
@jumbewatson41642 жыл бұрын
Thnx Joel unanifanya niwe mtu katika watu sasa mimi naanza mwanzo na kusikiliza koz nlikua mbishi kwa kila maada...Asanteh
@thrivehappy96102 жыл бұрын
Mungu akulinde! Nashkuru nduguyangu pia naamini nitaonana nawewe live!
@Mbembela7375 ай бұрын
Unafundisha vizur sanaa kiongozi huwa napenda sanaa mafundisho yako be blessed more?
@deboraclass9282 Жыл бұрын
Mshauri wangu siku zote...❤ Shukrani sana Kaka Joel Nanauka.
@OderabrendaАй бұрын
Mafunzo yako inaeleweka kabisa naisikiliza kwa makini ❤🎉from Kenya 🇰🇪
@ghostelmendez72063 жыл бұрын
Katika walimuuuuuu wote niliowasikiliza ......Huyu mwalimu nanaukaa nakupenda bure silipii chochote lakini najifunza mungu akulinde na akutunze ,.,,.,.,.,..,.,.,.,,.,..,.,.,..,.,.________
@joelnanauka3 жыл бұрын
Nashukuru sanaaa
@swalhaomar1623 жыл бұрын
Thank you so much Mr. Joel
@rehabokaya22323 жыл бұрын
Hi Mr Joel Nanauka nilijoin hivi juzi na ninazidi kubadilika hongera sana
@JamesJux-cl6pv3 ай бұрын
Dahh hongera sna kaka kwa kazii yko nzuri
@ibrahimAhmed-zq5hj3 жыл бұрын
Thank you so much bro God bless you
@JSL.TV_TANZANIA_14 ай бұрын
Very powerfully,,@see you at the top.
@mariaphilemon78573 жыл бұрын
Hakika unanifungua ufahamu kwa vingi, Barikiwa mno Mungu wa mbinguni azidi kukutunza
@AidaMakwaruziАй бұрын
Asante sana kaka Nafrahishwa sana Nimejifunza kitu
@godloventegwi84003 жыл бұрын
Ahsante Sana Kaka uwe blessed Sana we learn more & more from you
@jasonjastinmatandala30373 жыл бұрын
Nimeelewa sana nitajitahidi kuanza kila mojawapo kwa nafasi yake... Kwani hata kama nafanya baadhi ya hapo Ila sio kama umefundisha, ahsante kaka Nanauka
@sugarkheri46802 жыл бұрын
Asante Na barikiwa Sana
@neemaprisca71263 жыл бұрын
Thanks Sir, for u are nice presentation,
@boazigelefasi87693 жыл бұрын
Thanks bro kwa somo nzuri
@happymushi2219 Жыл бұрын
Asante Sana Kaka ubarikiwe sana
@anoldnelson20493 жыл бұрын
Nakuelewa Sana mwalimu nafraiya uepo wako mungu akujalie zaidi
@paulpeter46845 ай бұрын
Thank a lot for that taught us in side of life education do again 🙏🙏
@naamohamed99643 жыл бұрын
Asantee kk
@fhyubhhh28812 жыл бұрын
Thanx and bless you always
@mengicacoconut81443 жыл бұрын
It's really good ! Thank you brother
@mawam64623 жыл бұрын
Sahih
@MerryLaurent-ug6jmАй бұрын
Kweri kabisa Kaka angu yaani unaongea ukweri yaani mi ni mtu wa tabasamu yaani muda wote nipo na tabasamu . Watu wengi wananipenda sana,yaani ata mtu akinikosea mimi nimwepesi sana kusahau na kuruhusu mambo mengine yandelee UBARIKIWE SANA KAKA ANGU. umenifanya niamini ni kweri kabisa unacho zungumza
@mubussnestv50573 жыл бұрын
Joel nanauka sijaacha kukufatilia since march 2020 nlipokuon KZfaq see you at the top
@NsajigwaMwakanyamale3 ай бұрын
Kaka nashukuru sana maana nilikosa kaz kisa nilikua nmenuna
@faudhiatmasoud40253 жыл бұрын
Kwa sababu tu nimekua nikikufatilia kwa muda mrefu nafurah kusema ayo yamekua kama marudio kwangu na faida zake nimeziona pia nazidi kuziona..you be blessed kaka💪
@hilaryndosi2493 жыл бұрын
Shukrani sana Joel ..mengi nimejifunzaa.
@philomenaemanuel8692 жыл бұрын
Nafatilia kila siku masomo yako barikiwa sana na Mungu akutumie zaid
@victoriakimaro8869 Жыл бұрын
May God bless you!
@abdallahzaidan_01434 ай бұрын
thanks bro,every single word is maningful
@wemajoashi35492 жыл бұрын
Asante umenifungua hakir
@juniorcx01143 жыл бұрын
Shukran
@healinghomeprayercentre3 жыл бұрын
Thank you sir
@amosdaud9410 Жыл бұрын
Binafsi nafurahia Sana masomo yako brother Joel, Mimi ntaanza na kusikiliza kwa makini (active listening)
@MariaMosi-xi4hh2 ай бұрын
God bless you 🙏
@emmanuelnjovu4611 Жыл бұрын
Hongera sana kwa ujumbe mzuri Je nawezaje kuwasiliana na wewe?
@hildahmathew78002 жыл бұрын
Asant sana kwa somo hili.je mtu afanyeje endapo yy c mtu wa kutabasamu maan nimeona kuwa anakoswa fursa
@ziyadanyandwi29083 жыл бұрын
Asante sana nimejifunza kitu
@juliethfrank66263 жыл бұрын
Ur blessed Joel
@happnesstupuyo1553 жыл бұрын
Hili somo ni la kwel namefanyakaz kubwa. San kwenye maisha yangu
@NancyKahindi-qy8vh Жыл бұрын
Asante sana kaka joel
@user-pb2kp9qm9xАй бұрын
Nimeanza wiki hii kukufatilia masomo yako ni mazuri barikiwa sana kaka
@nover80353 жыл бұрын
Yote hayo nayafanyaga naturally and automatically....who aim I!? smart person or!?
@joelnanauka3 жыл бұрын
👍👍👍
@mahmoudmnyamzugu66282 жыл бұрын
This enables to me improve my life and teach others
@gladymsuya13103 жыл бұрын
ila wewe kaka n smart umenyoa vizur kwel😅🔥
@Bruno-ed1ps3 жыл бұрын
Wadada 😂😁
@sarahmsangi72433 жыл бұрын
Wachache Sana wanaweza kusifia Kama ulivyomsifia,watu Kama wewe wachache Sana,unanikumbusha one day nilikuwa nimevaa travota yangu nimenyoa vizuri,Sasa dada mmoja alikuwa na boy wake akaniangalia akaniambia uvumilivu umenishinda hakika kaka nimevipenda viatu vyako ,vinauzwa shilingi ngap nikamnunulie huyu mume wangu nikamwambia elfu arubain na tano
@giftkelvin73 жыл бұрын
Mm naenda kuanza kufanyia kazi hayo matatu hasa, smile, active listening na names
@eveswai55013 жыл бұрын
Samahani kaka Joel.....jambo lakumpata msaidizi kwenye biashara au MTU wakufanyanae biashara linanisumbua sana
@jaypeace50903 жыл бұрын
Asante sana mwalinu
@jeremiebahane6679 Жыл бұрын
Je validé beaucoup ton enseignement 👍
@hassanmgao27953 жыл бұрын
active listening..be attention,high contact...this is greeting.
@ndoakikristo77772 ай бұрын
Amazing❤
@edwinalfred64602 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka. Hakika yote ni mema.
@delaxitmt72363 жыл бұрын
God Bless you Brouh
@uwimananadia60663 жыл бұрын
Asante sana kaka angu
@patrisheradam57903 жыл бұрын
Asante Sana kaka kwamafuzo mazur🙏
@nkezabahizifulgence86462 жыл бұрын
Nashukuru Sana bro Joel
@azizakwileka16863 жыл бұрын
Barikiwa kaka... Unatusaidia sana.
@SiSaLeSeArusha3 жыл бұрын
Shukrani sana kaka.
@ebenezernnko82512 жыл бұрын
Safi sana kaka nakuelewa sawa
@julianambone9584 Жыл бұрын
Thanks 🇰🇪
@yohanamagele36333 жыл бұрын
Wow,listen eyes
@emmanuelakutulaga97563 жыл бұрын
Brother upo vzuri cnah, thanks much unatusaidia cnah.but na weeh pia nakushauri Kati xa kazi ambazo hupaswi kuzifikiria kuzifanya NI siasa,achana nayo kbisa.baki upande huu huu I hope utasaidia sana binadamu wengi pia hta kwa upande wako utabarikiwa cnah na Mungu pia na kipato utapata,aidha kzi nyingine ambayo waweza fanya NI kusomea neno la Mungu halafu ciku ukawa pastor,naamini kwa Kariba xko utaokoa wengi cnah.
@robertmutani88933 жыл бұрын
Bro big up for advcing us
@herimailo8183 Жыл бұрын
Brother asante sana
@tedytitus72053 жыл бұрын
Ii kitu inanitokea Sana watu kunifuata kuniambia changamoto zao mpka watu walio nizidi umri sometimes naogopaga 😅najiulizaga sababu ni nini ila leo nimegundua nawasikliza sana kwa ukaribu na kuwapa hope pia na kucheka na kutabasamu sana 😇 kweli nimewaambukiza mpka marafiki zangu ku smile wamekua affected kiasi kwamba kama kuna event yeyote chuo n mimi siendi na wao wanagoma kabisa kwenda 😂 daah kumbe!!! Thanks kaka J