Kwa mchujoo huu.. Ni kwamba kukaa kimya ni bora zaidi kuliko kusema.
@irenemshiu54415 жыл бұрын
Nimependa sana somo kaka yangu...nitaitumia hiyo kanuni kuanzia Leo.barikiwa sana
@shubackmashinga35355 жыл бұрын
Watanzania wanapenda vitu vya onyo mfano walivyo sambaza skendo ya pastor gwagima
@hidayamotto72105 жыл бұрын
Kweli kabisa kaka
@rafaelmwanyila61343 жыл бұрын
Mwalimu joel,tafsiri ya vizuri na ubaya inategemea sana na mtu anavyolipokea jambo.hii unaweza kuilezeaje.
@naomyerasto13054 жыл бұрын
Mungu aendelee kukubaliki my kaka
@nelsonjonas73342 жыл бұрын
Point Man of God, maneno huwa nayaumiza Sanaa hasa mtu anaposema na kusambaa kwa Watu, You touch my heart.
@charlzzesonconsciousness66855 жыл бұрын
Shukrani kaka
@habibabora34044 жыл бұрын
Asante kaka umeeleweka
@joemouly78775 жыл бұрын
Asante kaka
@joshuakibona79125 жыл бұрын
Ahsante mwalimu
@thegirl14055 жыл бұрын
Masha Allah shukuraa sana brother somo zuri💕💕👌barikiwa sana 🙏🙏
@maseiafricano12502 жыл бұрын
Asante sana kwa elimu yako mungu akubariki sana mwalimu. Unanipa elimu yahali ya juu sana... ata shuleni tulipo soma atukupata elimu unayo tufundisha Najifuza mingi kupitiya kwako asante sana tena sana 🙏mungu akubariki akupe maisha marefu ili uze kufundisha wengi.
@khadijajuma71425 жыл бұрын
Binadamu wengine wavivu wakufikiria aise,kuna ndugu yangu kulikua na kitu cha kweli ila si kizuri nilivyokisikia na kukiona nikajua nikimwambia itakua tatizo familia nzima nikaacha sikumwambia,Sasa yule aliesababisha hicho kitu akapinduka tena kwa ndugu yangu akampa habari ya uongo na si nzuri,na yeye hajafikiria akasambaza sumu familia zote 😁😁😁😁Sijui kama baadae alifikiria kama kabolonga au vip.Mpk sasa sijaongea nae. Ahsante kwa ujumbe mzuri,naendelea kujifunza kila siku.
@lucymmole64353 жыл бұрын
Umekuza.msaada sana kwangu ubarikiwe sana joel
@charlesoputi7101 Жыл бұрын
Mimi bado Niko huku though tuko 2022 but nawakaribia Tu polepole
@judithnjunwa66685 жыл бұрын
think before you talk, ni heri kunyamaza wasomaji wenzangu, penda sana somo la huyu kaka NANAUKA,BE BLESSED
@jacksonkinange46055 жыл бұрын
Asante Kaka ni kweli Fikiri kabla ya kutenda
@msleny67674 жыл бұрын
Wow, nilikosa the day you uploaded this but Nashukuru kuwa sehemu ya funzo zako kila siku♨️♨️
@godrivercaaron815 жыл бұрын
Asante Sana brother,umenifungua fahamu Kwa upya,be blessed
@funnyworldtz2 жыл бұрын
My life Teacher be blessed brother #SeeMeontheTop 🏔
@bahatiaamani93205 жыл бұрын
Thanks Sir kwaushahuri wako mzuri may God bless you
@leticiampeka14885 жыл бұрын
Nice lesson...be blessed abundantly
@manenolugendo63965 жыл бұрын
Pamoja sana Bro Ujumbe umefika vizuri nimeupokea hapa👍✌
@englengaipaul60005 жыл бұрын
Ahsante sana somo nzuri sana kiongoz
@hafsahcletty59685 жыл бұрын
Shukran 🙏
@josephmagaluda52405 жыл бұрын
Asante sana joel somo zuri sana
@zuhuraabdillah69415 жыл бұрын
tripple filter test i like hii bro. because it reduce wastage of time. biggest is protecting my mind forever with bad information
@danchibomnyama42953 жыл бұрын
Me nimeajiriwa nauza duka l nafaka ila silipwi kwa sas maan boss alinipa nafas yakusimamia duka lkn bahat mbaya likaingia hasara akaamua kunishusha niwe n simamiwa ila silipwi je ntafanyaj ili nitoke kwenye majanga hayo ili nitimize malengo yangu
@shabansalum60143 жыл бұрын
Thanks my Brother
@jerrywababawababa18163 жыл бұрын
Thank end god bless you for everything
@fidelismukandara9325 жыл бұрын
Thank u bro,, somo zurii sanaaa be blessed.
@cymone61595 жыл бұрын
Shukran mwl, Mungu akubarik Uwe na uzima ili tuendelee kuvuna mambo mazuri kwako
@rahmahussein40195 жыл бұрын
Absolutely true .
@zahramunir85965 жыл бұрын
True... God bless you.!
@egonkasiano78225 жыл бұрын
2 shukran
@elishazacharia67384 жыл бұрын
Yeah Kuna wakt nikizungumza Mambo baada ya muda najilahumu kwanamna moja au nyingine inaniasiri mim mwenyewe
@jasminepeter75985 жыл бұрын
Kweli inaweza kuleta madhara makubwa sana
@faudhiatmasoud40255 жыл бұрын
Hii mada piaa imeshawah kusisitiziwa na spiritual speaker mmoja anaitwa Gaur Gopal Das yeye aliongelea tripple filter test ktk kuepuka umbea(gossip)kabla hujackiliza umbea unapaswa kumuuliza anaetaka kukuambia aya maswal kabla hujasikiliza..1:Is it true or false 2:Is it good or bad 3:Is it beneficial or not beneficial.. Kibongo bongo mtu kaja na ubuyu afu uanze kumuuliza ayo maswal kabla hajakuambia atakuona kama mtu flan hv unajifanya msomi na nini lakini kiuhalisia inaepusha sanaaaaa mambo yasiyo ya msingi na huzuia ubongo kutawaliwa na mambo yasiyo ya msingi..Asanteeee sn kaka Noel #seeyu@detop
@richardvalson98685 жыл бұрын
Asante sana brother kwa somo zuri la maisha yetu ya kila siku
@tatuyussuf75745 жыл бұрын
Ahsanteee...
@abassjuma20522 жыл бұрын
Asante sana
@hamzalibingai32275 жыл бұрын
Ninakuelewa sana bro mungu akulinde na kila la shari na akuzidishie ulichopungukiwa asante kwa elimu nimejifunza mengi kutoka kwako ahsante
@sumiodilo11805 жыл бұрын
Great&powerful
@nathanmateow94555 жыл бұрын
asante rafiki n imepata picha kubwa na nimependa sana pale nilipoona kweli kuna watu wanaanzisha kitu ili tu wakupate na wakuharibie ulichonacho
@joshuakwelimoto64945 жыл бұрын
Ahsante Joeli nimekuelewa
@noelmwikeve62555 жыл бұрын
Kwelii kabisaa coach
@adelinaallex19413 жыл бұрын
Barikiwe kaka kwa elim nzuri
@mussalulenga99392 жыл бұрын
Hapo alikua amemkataliee!!wew Luna ubuyu mwingine kukaa nao unasumbua
@sleyoumkhamic92375 жыл бұрын
sure think twice♥
@mussadismass93063 жыл бұрын
Kwahapo itaniletea nizam nakusheshim fikr ubarikiw joel
@alihassanhaiba69375 жыл бұрын
Ahsante hakika ww ni mwalimu kwetu
@eddahhawa74714 жыл бұрын
Umepanda mbegu njema,,,,shukrani🙏🙏🙏🇹🇿
@mkwizoxsafarisadventures97505 жыл бұрын
kina ukweli? kizuri? kinaumuhimu? See you at the top....
@okokamfaume68885 жыл бұрын
Asante sana, Noted kaka Joel
@ombenikisunga50595 жыл бұрын
Waoooo barikiwa kaka
@johnfubusa15985 жыл бұрын
Asante sana mwalimu kwa SoMo zuri pia umefunga kisikizo Cha juu Cha shati umependeza Sana
@abelbenedicto53925 жыл бұрын
Thanks Much Broo
@dnassehtz5 жыл бұрын
Kuna kitu nimejifunza hapa hakika siwezi rudia tena na lazina nitumie tripo filter test asante bro
@neemamafie2875 жыл бұрын
barikiwa sana nimejifunza kitu
@najmachami5475 жыл бұрын
Asante nimeipenda na nimejifunza pia
@godfreyjoseph59675 жыл бұрын
Mungu akubariki bro, I like
@amanigeorge9886 Жыл бұрын
Hii Triple filter test.Nzuri sahii
@winnyshayo88125 жыл бұрын
Barikiwa kaka Joel.
@givensanga35245 жыл бұрын
Kaka ww unaakiri sana mungu akubariki
@muzdahomar6625 жыл бұрын
Asnt broo kwa mafunzo
@mohammedrashid29062 жыл бұрын
Safi kabisa
@immajuzo24405 жыл бұрын
Aaant kaka
@mozasaid38695 жыл бұрын
Kweli kaka J
@joseefaidabutu64675 жыл бұрын
ASante kwa elimu nzuri
@mariaevarist1418 Жыл бұрын
Uko vizuri hongera kwa kipaji
@chachayohana16724 жыл бұрын
Nice
@malalezengo44055 жыл бұрын
Kweli kabisa usikurupuke tafakri kwanza ujembe mzuri Sana
@keflentito80525 жыл бұрын
Asante kaka Joe
@simonpatilo75553 жыл бұрын
kabisa bro
@mwajumamwishehe27435 жыл бұрын
Asante kaka👏👏👏👏👏🙏🙏
@freedomwirelesssolutions13885 жыл бұрын
Timiza malengo yako...zingatia msamiati na herufi kaka Joel
@neemajacob26835 жыл бұрын
Good
@davidtvonline60205 жыл бұрын
IPO vizuri Sana Hii Triple filter Test
@naamohamed99643 жыл бұрын
👏👏👏
@jacksonchimomo5545 жыл бұрын
Thanks Teacher God bless you
@omarimshamu2572 Жыл бұрын
Respect
@robertgordon27453 жыл бұрын
endelea kututengeneza kaka
@matildaammo68685 жыл бұрын
Ndio cha muhimu Sanaa asanteeee
@zuhuramike13993 жыл бұрын
Amen
@barakanyamafu59375 жыл бұрын
Uko vizur Sana dogo
@josephmathew44185 жыл бұрын
Penda Sana joel
@eliasjuma45664 жыл бұрын
Bro nashukulu sanakwa masomo yako...
@awamkhalid53614 жыл бұрын
Of coz hata kama utamkoso mtu bas toa solution isbakie kua swali
@mosesfrancis849511 ай бұрын
Hakika
@timonzurielsenior2635 жыл бұрын
safi kaka..nice knowledge and sensitive
@adelinakibejile4696 Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@judithnjunwa66685 жыл бұрын
HI Joel
@nasibumasini70004 жыл бұрын
🙏🙏
@mesalimrashid63125 жыл бұрын
Niko mombasa nakufatilia sana kwa kina napenda masomo yako .
@rafaelmwanyila335 жыл бұрын
Ok
@DRICK-vn3oj5 жыл бұрын
Bro, mimi huwa ni mgumu kumkabali mtu. ila hapa shimamoo broo
@dulanus72865 жыл бұрын
Khasw kaka ni bora kukaa kimya tu kuliko kuongea tu
@chrismassawe3265 жыл бұрын
NIMEJIFUNZA JAMBO JIPYA NWALIMU JOEL NANAUKA MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU UZIDI KUTUFUNGUA AKILI
@cosein5 жыл бұрын
Lakini hii idea ya triple filter idea ni nzr lkn wakati mwingine sio kwa sababu itawafanya watu wasizungumze kabisaa Mfano kitu ni kweli na muhimu kwa watu wa jamii fulan lkn c kizuri kwa baadhi ya watu ukifata hii ideas huwezi kuwaokoa walio wengi mfano ukiwataja wanaotumia unga na nikweli na muhimu lkn c vizuri kwao ukifata hii idea uwez kufanya hivo Nyongeza mama angu anapenda hizi video zako
@malupex62994 жыл бұрын
Fact
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Sure 😥💦
@martinkajonjo33625 жыл бұрын
Bro masomo unayoyatoa mazuli nataka nipate na kitabu cha timiza malengoyako nipo mtwara nitakipataje