Tangu nianze kukufatilia nimekuwa strong nasimama mwenyewe kwenye mambo yangu ,ata sijali watu wasipoongea na mm wakati sijawafanya kitu najua ni chuki zao tuuu ,mungu akupe maisha marefu tuendelee kujifunza
@christinatibezuka3204 ай бұрын
Daaahh yaliyonikuta,😢 lakini namshukuru Mungu kwa sasa Niko vizuri, hakika wewe ni mwl🙏
@edsonedmond69194 ай бұрын
Ubarikiwe sana baba
@zakariachacha75744 ай бұрын
Hahahhahha kwakweli kwa hali hii naenda kumuacha mpenz wangu sitaki tena mahusiano nae maana hizo dalili zote naziona kwake
@shukranjulius95264 ай бұрын
😂😂😂Yani wewe
@MSHINDICLEMENCE4 ай бұрын
Very good kumb ww unaelew xo Kam wale wanaosem ntafany kesho
@shukranjulius95264 ай бұрын
@@MSHINDICLEMENCE 😂😂😂
@zakariachacha75744 ай бұрын
@@MSHINDICLEMENCE ukweli wa mungu naachana nae kuzaa syo tija
@MSHINDICLEMENCE4 ай бұрын
Hayo ndo maneno sas maan wanawake wajion wazr kumb hamna ki2 Kaz 2 ku2pa stress
@cattyrichard17144 ай бұрын
Asanteee sana Mtumishi wa Mungu somo zuri kabisa lenye manufaa kwetu vijana Hasa tulio single 😅
@brackskinyozi328025 күн бұрын
Uko Sahihi kaka Joel.... asante sana
@cubahiroarthemonofficial90594 ай бұрын
God bless you 🙏. From Burundi 🇧🇮
@user-wy6re9be2g4 ай бұрын
Nashukuru sana Kaka Joel...!! Mimi Mpenzi wangu (Girlfriend) kiukweli simuelewi hata Kidogo,, Tupo kwenye Mahusiano Mwaka unakata ila suala la Appointment ni kipengele sana.. Amelelewa na Mama na anaishi kwao ila Hana time na Mimi, kila Appointment nnayoweka Visingizio chungumzima inatokea inaharibika.... Mapenzi ya kwenye simu Daily siyawezi kiukweli...,, Mtu Hana time na Mimi, Hana uhuru na Mimi INACHOSHA... Nampenda Sana Sijui nifanye kitu gani...!!
@user-zl5mt6lk4n4 ай бұрын
nenda kwao kamtolee posa uone kama atakataa au atakubali
@PeterAlly-zr4di4 ай бұрын
Then see me AT THE TOP thank you pastor
@eunace30194 ай бұрын
Tafadhali naomba uongeze sauti kidogo
@billjeremiahmaiwe4 ай бұрын
Mungu akubariki sana Kwakweli napokea nafasi ya upekee sana.
@rubenkimati52504 ай бұрын
Jarb kuadjust sautii inahitajii ukiskilizeee Kwa makini sana .Alf sauti ipo had mwsh
@abdulfatahjuma31054 ай бұрын
Best lesson God going to enlight you Broo❤
@user-iv5fl9cp9h4 ай бұрын
Asante sana kaka zidi kutujaza maarifa na mungu akuongoze 8:42
@stanleytoo20284 ай бұрын
Be Blessed so much
@goldiegranted55014 ай бұрын
Somo🔥🔥🔥🔥🔥
@abuhaydatOmar4 ай бұрын
You are very good man be blessed
@Sanga_jr_244 ай бұрын
@zakariachacha umeupiga mwingi 🔥 kaka Vita ni vita mura 😂🙌🏿
@work24onme4 ай бұрын
Holy Spirit Amen 🙏🏼 Asante sana mwalimu Joel, Mungu akubariki.
@user-nu6ge7rg7n4 ай бұрын
Ukimsikiliza kaka Joel lazima utabadilika kwa nvonvote vile asant sana kaka
@user-ts4jr7ok1e4 ай бұрын
Asante sanaaa nazidi kujifunza sanaaa kutoka kwake
@denssimon55854 ай бұрын
Upo sahihi sana👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
@truthch16424 ай бұрын
15:14 asante ninazidi kujifunza. Thank you
@moseskenedy70424 ай бұрын
Epsod ya jana niliielewa sana kaka barikiwa
@clarasabutoke69074 ай бұрын
Asante sana kwa elimu
@NaomyPoul4 ай бұрын
Asante kaka Joel nimejifunza jambo🎉
@janetmbwana5534 ай бұрын
Wow❤❤ hakika hii ni dawa ,
@hadidjaissa91544 ай бұрын
Aksante sana kaka somo nzuri
@user-qh2ef5gj5b4 ай бұрын
Asante kaka mungu akubalik
@mgenikisinzah15644 ай бұрын
Ni guidance nzuri.
@Mchiwalalatz4 ай бұрын
Kaka najifunza sana
@Udindigwa4 ай бұрын
Amina
@glorysilayo68944 ай бұрын
Kumbe nahitaji kuanza upya nilipo sio sahihi
@CalmOysters-im5lh4 ай бұрын
Uliyosema yalinikuta labda kitu naweza kusema nikwamba kabla hujampa mtu moyo wako shirikisha vitu vitatu 1.AKILI,2.HISIA,3.MOYO..Moja ikikosekana miongoni mwa vitu hivi vitatu usitoe moyo wako acha utaumia
@user-dy6mx4yc6y4 ай бұрын
Ni muhimu kwa hili kwakwel
@Mama-A4 ай бұрын
Kenyans gather here
@goldiegranted55014 ай бұрын
Hapo kwenye MAONO hapo😂🏆🔥
@officialAlAbdul4 ай бұрын
Joel nmepata mwanamke anamtoto mmoja ila akombali na mm anafanya kaz namm nafanya kazi ila kila mwezi anamatatzo
@goldiegranted55014 ай бұрын
Tuliza nafsi,,,,tumia akili na moyo vyote Kwa pamoja,,,swali Sana pia,,,,kumbuka hili suala sio la kushauriwa sanaaaah,Bali kusikiliza maarifa kama hivi AF vyengine Unadeal navyo mwenyewe,naamini utaweza kupata majibu🏆,,,,NB:USITUMIE HISIA PEKE YAKE,,,,BALI NA AKILI,,,,(Akili +moyo=jibu SAHIHI)
@user-zl5mt6lk4n4 ай бұрын
hakuna binaadamu ambaye hana matatzo yake hata wewe unryo yako