Kanuni Za Kuwa Na Furaha Siku Zote: 40/10/50

  Рет қаралды 80,332

Joel Nanauka

Joel Nanauka

6 жыл бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 146
@malalezengo4405
@malalezengo4405 5 жыл бұрын
huyu ni mwalimu wa uhakika sana kama umemkubali gonga lake hapa
@januarymwasenga6167
@januarymwasenga6167 5 жыл бұрын
Mimi na mkubali ila nahitaji kuwasiliana naye .
@omaryshafii50
@omaryshafii50 5 жыл бұрын
Mimi furaha yangu ni kumsikiliza Mwalimu J Nanauka.. Kama na wewe ulikuwa huna furaha nadhani umepata mtu sahihi wa kukupa matumain kwa kuwa anamahusiano na Mungu gonga like hapa
@mwanaharusialifakifaki8716
@mwanaharusialifakifaki8716 4 жыл бұрын
Jamani na mimi pia siku yangu huwa inaanza vizuri
@joelnanauka
@joelnanauka 3 жыл бұрын
Ahsante Sana Omary tuendelee kujifunza
@djumaassu1982
@djumaassu1982 Ай бұрын
Asante saana,Kaka Joël,nimejifunza mengi kupitia somo hili. Mwenyezi Mungu akuzidishie uhai,uendelee kutuelimisha.
@saidirajabu5182
@saidirajabu5182 5 жыл бұрын
Sijutii kuijua akaunt yako big u
@esterlyatuu9263
@esterlyatuu9263 6 жыл бұрын
Nanauka anasema ukwel Mungu azidi kukuinua kaka somo zur sana
@annaupendo4768
@annaupendo4768 6 жыл бұрын
katika maisha usiruhusu furaha yako ikashikiliwa na watu wengine💪nimekuelewa bro
@kindyuba8140
@kindyuba8140 5 жыл бұрын
Kweli
@vailetmapunda106
@vailetmapunda106 5 жыл бұрын
Dahh we kaka ubarikiwe sana jmn!ohoo lord mpe maisha marefu kaka joel.
@az888vietnam
@az888vietnam 3 жыл бұрын
Asante kaka Joel kwa speech zako maana zinanijenga na kunitia moyo sikati tamaa nakaza mwendo nasonga mbele kila nikusikilizapo
@salareu4763
@salareu4763 5 жыл бұрын
Asantr mwalimu Joel ,,,ila kuna watu wanakwaza sana duniani,,unaweza kuwa na amani zako ghafla MTU anakutumia hata SMS kesha kupotezea amani yani Mungu atusaidie kwa kweli,,,,
@petermasong9052
@petermasong9052 5 жыл бұрын
Mungu akuongezee maisha marefu...bado tunamengi tunahitaji kujifunza kutoka kwako....Joel Nanauka
@velurakawiche5338
@velurakawiche5338 2 ай бұрын
Yaan hili somo ni la viwango vya juuu daaah be blessed baba
@stephanogabriel2526
@stephanogabriel2526 6 жыл бұрын
Darasa nzuri sana. God blessing you Brother Joel nanauka
@gregorymmasi3442
@gregorymmasi3442 5 жыл бұрын
Hiyo Genetic Sensitivity nimeielewa mnoooo@ Tanzania watu wengi wamekua hawana raha sababu ya mambo yafuatayo; Ugumu wa maisha, Magonjwa mbalimbali, kukosekana kwa wanapsychologia nk
@florachanga6983
@florachanga6983 5 жыл бұрын
Nashukuru nimeweza kukufuatilia Asante mungu
@honestmushi9461
@honestmushi9461 6 жыл бұрын
Nimeanza kukufuatilia Mr Joel Nanauka nahisi mabadiliko na Luna uwezekano wa kufika mbali.Mungu atutie nguvu
@alimatambwe3402
@alimatambwe3402 4 жыл бұрын
Namshukur pita,amenifanya kuwa jasiri,Mungu atakulipa
@anastasiamainaministries2700
@anastasiamainaministries2700 3 жыл бұрын
Wow. Thanks Joel..i thank God i found you uve changed my life be blessed...Kenya is following
@suzanemwambe6320
@suzanemwambe6320 Жыл бұрын
Asante kaka yangu,mimi najifunza vingi kutoka kwako,ninapona tu,Mungu wa mbinguni akupe mafunuo mapya kila siku.
@estertuyahole6799
@estertuyahole6799 2 жыл бұрын
umenifurahisha sana juu ya hilo Mungu akubariki uendelee kunibariki zaisi🥰💞💕
@ellybrown8899
@ellybrown8899 6 жыл бұрын
Kweli,kwenye amani na utulivu,mmh!asilimia ya watu wengi hakuna amani ndani ya mioyo, wala utulivu,ni kwa nje tu.Asante kwa somo zuri.Barikiwa!
@AliM-di8dz
@AliM-di8dz 6 жыл бұрын
Nina hasira sana kumbe haifai , mungu nisaidie ipoteee hasira inanikosesha Amani.
@kizajacqueline8583
@kizajacqueline8583 Жыл бұрын
Baba mungu mungu akubariki sana 🙏
@racheljosephat3463
@racheljosephat3463 3 жыл бұрын
Unanipa nguvu sana thanks for that
@fofomohammed6253
@fofomohammed6253 6 жыл бұрын
Asante Sana Kaka nimejifunza mengi God bless you
@mobilesolution2413
@mobilesolution2413 6 жыл бұрын
kaka joel ubarikiwe sana unatutengeneza kimwili na kiroho mafundisho yko.ubarikiwe sana
@mwanamkasihabibu9915
@mwanamkasihabibu9915 5 жыл бұрын
shukran kwa somo Kaka mungu akujalie afya uelmshe na vzaz vyetu
@ednaednamillanzinia2826
@ednaednamillanzinia2826 Жыл бұрын
Asante nimefaidika,ubarikiwe
@shamilaomar3724
@shamilaomar3724 6 жыл бұрын
mashaallah nimeipenda hii nanimejifunza mengi asante my kk
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Shamila Omar karibu sana ahsante kwa kutembelea channel yetu
@shamilaomar3724
@shamilaomar3724 6 жыл бұрын
+Joel Nanauka pamoja ndugu daima lnshaallah
@fofomohammed6253
@fofomohammed6253 6 жыл бұрын
Shamila Omar Mimi pia
@deusjohn1107
@deusjohn1107 4 жыл бұрын
Nimejifunza pale ulifyosema mazingira ukiwa na mazingira mazury unaweza ukawa na furaha zaidi
@frankamosi7413
@frankamosi7413 2 жыл бұрын
Ujumbe mzur Sana...MUNGU akutunze
@fatumatandika5849
@fatumatandika5849 2 жыл бұрын
Yaani uko vizuri saana
@ericsaul4186
@ericsaul4186 6 жыл бұрын
God bless you and your family Joel, somo zuri sana gratitude, social support, Spiritual attachment ni vitu muhimu ingawa majority hawafuatili. Siku yangu nimeanza vizuri sana leo# Blessings
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Eric Saul ahsante kwa mrejesho na hongera kwa kusikiliza
@mossyahmada8430
@mossyahmada8430 6 жыл бұрын
Kaka Mungu akuzidishie uwezo ulionao
@johnluhwa8342
@johnluhwa8342 6 жыл бұрын
Asante broh unatufahamisha vtu vingi sana, ubarikiwe na Mngu aendelee kukupa upeo mkubwa zaid
@albinoentreprises2176
@albinoentreprises2176 5 жыл бұрын
UKO TOFAUTI NA WATZ WENGI WANAOJIFANYA PUBLIC SPEAKERS. UNASOMA SANA VITABU INAMAANA UGENIUS WAKO WA DARASANI UNAKUSAIDIA. UTAFIKA MBALI SANA. HONGERA
@deuslongino4918
@deuslongino4918 6 жыл бұрын
kaka Joel asante kwa kutupa mwanga amina sans
@gudanemma1459
@gudanemma1459 Жыл бұрын
Napenda Sana kufatilia mafunzo yako yananipa ujasiri na nguvu mpya
@alihassanhaiba6937
@alihassanhaiba6937 5 жыл бұрын
Ahsante sana kaka Joel nimejifunza mengi
@jorumzacharia352
@jorumzacharia352 5 жыл бұрын
Hongera kaka kwa mafunzo mazuri mungu akubariki
@faridamkesso97
@faridamkesso97 6 жыл бұрын
Asante sana kwa somo maana kuna mambo yamenigusa sana na especially hiyo genetic sensitivity
@lilydickson740
@lilydickson740 3 жыл бұрын
Upo sahihi sana kaka
@kindyuba8140
@kindyuba8140 5 жыл бұрын
Asante xana kaka yangu kwa kutoelimisha
@vinceh8120
@vinceh8120 2 жыл бұрын
Shukran kaka Joel Kwa SoMo la maisha ju ya furaha
@paulociza5601
@paulociza5601 3 жыл бұрын
Ubarikiwe saaaaaa nitumie nambo za whasp
@saidirajabu5182
@saidirajabu5182 5 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@nereaigogo4442
@nereaigogo4442 6 жыл бұрын
Wewe ni level nyingine kabisa 21:30' nimeielewa sanaa
@saidbaiya9524
@saidbaiya9524 5 жыл бұрын
Mashallah brother
@ramaabuu1958
@ramaabuu1958 5 жыл бұрын
Raha sana kukusikiliza!!!
@elizabethkasimila9771
@elizabethkasimila9771 5 жыл бұрын
Kaka Joel Mungu AKUBARIKI kaka ila naomba mawasiliano
@professorjoma2364
@professorjoma2364 6 жыл бұрын
Nanauka ni msomaji mzury sana wa vitabu love you brother
@user-qs9rn2je4c
@user-qs9rn2je4c 6 жыл бұрын
asante sana kaka ama kwel najifuza mambo mhimu mengi ubarikiwe sanaaaaaaaa
@subiraomar4771
@subiraomar4771 5 жыл бұрын
Asante sana kwa kutujuza
@zarunaamwanajimba1950
@zarunaamwanajimba1950 6 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kaka barikiwa sana
@enockmpagike3012
@enockmpagike3012 5 жыл бұрын
Ahsante sana bro
@AliM-di8dz
@AliM-di8dz 6 жыл бұрын
Unaeleweka sana Kaka unamafunzo mazuri
@rafaelmwanyila33
@rafaelmwanyila33 5 жыл бұрын
Uko vyema sanaaa mkuu,nayakubali sanaa mafunzo yakoooo
@theaficanone6894
@theaficanone6894 6 жыл бұрын
ubarikiwe sana bro napenda kukufatilia sana
@estersijaona403
@estersijaona403 5 жыл бұрын
napenda sana kaka unachofanya and i really appreciate xo much and one thing 4m napenda kufanya ki2chatofaut bt inform of ur style.
@ezrommkambati2948
@ezrommkambati2948 5 жыл бұрын
Ni kweli kaka, hata mimi sina furaha kwa sababu ya kile ninachokiishi siyo passion yangu!
@kassimngakonda4748
@kassimngakonda4748 6 жыл бұрын
thnks so much bro,nmekupata vzr sn.
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Ubarikiwe
@stephenshimwela2140
@stephenshimwela2140 6 жыл бұрын
Ahsnte bro upo vzr!
@danielmollel2513
@danielmollel2513 6 жыл бұрын
Kaka umefanyika msaada mkubwa kwene maisha yangu. kila nikikusikiliza napata nguvu mpya. Isipokuwa kutafuta aman kwa mtu ni ngumu, inakua iv, ukiwa umetofautiana na mwezi au wakwe hanakuwa na chokochoko zisizoisha. leo uko nao vzr kesho ina kuwa shida. ulosema yote yanawezekana, isipokuwa iyo point moja ni ttz kubwa
@user-pi1st6pj3w
@user-pi1st6pj3w Ай бұрын
Thanks Joel
@vinceh8120
@vinceh8120 2 жыл бұрын
Ni kweri ulivyo taja ugomvi wakati wa ujauzito ujangia sana
@eastboy1331
@eastboy1331 2 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa sana kwenye hili
@cresensiandimbo4195
@cresensiandimbo4195 5 жыл бұрын
Daaa kweli ulikuwa unailasababu ya kuwa TO,upeo wako mkubwa sana bro.
@joeljoseph1124
@joeljoseph1124 5 жыл бұрын
Mwl Joel umenifanya nijijue furaha yangu nitanzaa kuimiliki mwenyewe
@akidasalim3859
@akidasalim3859 3 жыл бұрын
Nimekuelewa sana baba
@azizahasani4614
@azizahasani4614 6 жыл бұрын
MASHAA ALLAH
@villangeoffrey5814
@villangeoffrey5814 5 жыл бұрын
Makabila kumi yenye wanawake wazuri
@rubengerald4535
@rubengerald4535 6 жыл бұрын
Your great bro.. I feel so proud for you
@AfiSoul103
@AfiSoul103 3 жыл бұрын
Kweli kabisaa yaani ukiwa na kitu moyoni inaathiri sana na inaumiza kwelikwelii asaa... Na ukijaribu kumwambia mtu hua unajiona kama umeshusha mzigo...
@godnesskwayu4959
@godnesskwayu4959 5 жыл бұрын
Nimefurah sana kaka sikuwa nakujua ila taangia jana nimejikuta nafurahia kuangalia video zako
@judithmwambe4767
@judithmwambe4767 3 жыл бұрын
I like you Br Joel Nanauka.....Noted!!
@zakiakhatib8254
@zakiakhatib8254 6 жыл бұрын
Ahhhh... Joel nanauka ww nikichwa shukran sana
@leankubali2064
@leankubali2064 5 жыл бұрын
Thanks brother
@barikinihataringira5113
@barikinihataringira5113 6 жыл бұрын
Nimekuelewa an bro
@gloryomary8481
@gloryomary8481 5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@paullugano3053
@paullugano3053 2 жыл бұрын
Ģlory
@mgallason...5686
@mgallason...5686 5 жыл бұрын
we become what we think about.
@neemaeppah2992
@neemaeppah2992 3 жыл бұрын
Aisee somo zuri sana sanaaaa tuu
@rahmahussein4019
@rahmahussein4019 6 жыл бұрын
You're absolutely right sir...thanks
@melisajoseph8040
@melisajoseph8040 6 жыл бұрын
Mungu azidi kukulinda Joel ur very bright
@beatricemwita8365
@beatricemwita8365 6 жыл бұрын
Wao this so lovely nimejifunza vitu vingi kaka ubarikiwe
@kastulielias5046
@kastulielias5046 5 жыл бұрын
Nimejifunza kitu
@jonaskanyelele274
@jonaskanyelele274 5 жыл бұрын
Kaka mungu azidi kukubariki
@assamwakasanga3570
@assamwakasanga3570 6 жыл бұрын
Thank you so much Mr jeol Arthur nanauka
@assamwakasanga3570
@assamwakasanga3570 6 жыл бұрын
Ninahitaji kitabu cha kughailisha mambo kak Joel nanauka Niko mbey.....
@maselekwiligwa3850
@maselekwiligwa3850 5 жыл бұрын
Tangu mwaka Jana nilianza kukufuatilia kwenye KZfaq na Facebook page Yako.nimefanya mambo makubwa sana ikiwemo kuondokana na stresses, madeni mabaya, nimekuwa na ratiba ya kununua vitabu na kuvisoma, Kupanga malengo na kuyaishi,kepukana n.a. vitu vinavyopoteza muda,Kununua Assets badala ya liability, Kuipenda kazi na kufanya kazi yenye passion Yako.Naomba orodha ya vitabu unavyosoma ili nivipate .
@naomyerasto1305
@naomyerasto1305 4 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutunza my kaka,kwa somo hilo mi naendelea kuimarisha furaha yangu
@khadijabakosa2286
@khadijabakosa2286 3 жыл бұрын
JOEL..Umekuwa Mwl mzuri kwenye Maisha yangu...umenipa ujasir kwa kupitia mafundisho yako...Nahitaji kujua ratiba yako ya Seminal live...Nahitaji kuhudhuria seminal zako live...
@aishajeshemtengea9884
@aishajeshemtengea9884 6 жыл бұрын
Nice kaka
@zubedakaluli6638
@zubedakaluli6638 4 жыл бұрын
Ubarikiwe Kaka ww ni zaidi ya daktar maana Hakuna ugonjwa mkubwa Kama kukosa furaha
@norbertsam5430
@norbertsam5430 5 жыл бұрын
Genius
@nakijwamoses1002
@nakijwamoses1002 20 күн бұрын
Umenifanya nijione wasamani sana
@paulociza5601
@paulociza5601 3 жыл бұрын
Leo nimesikikiza mafundisho zako nyingi ila hii umenibariki sanaaa
@joelnanauka
@joelnanauka 3 жыл бұрын
Nashukuru Sana, tuendelee kujifunza zaidi.
@paulociza5601
@paulociza5601 3 жыл бұрын
Namba
@ellybrown8899
@ellybrown8899 6 жыл бұрын
Yes!I am the CEO of my life!
@zubedamsemo6523
@zubedamsemo6523 5 жыл бұрын
Thankx bro kwa kutuelewesha
@anjelakisoka4140
@anjelakisoka4140 3 жыл бұрын
Mimi sinaga furaha kabsa
@stelafrancisshenkunde9045
@stelafrancisshenkunde9045 Жыл бұрын
Huuu ukweli
@denisdidas5090
@denisdidas5090 3 жыл бұрын
Thks broo
@abdialasow62
@abdialasow62 5 жыл бұрын
Hiyo ya pili ndio inankosesha . Kufanya nisichokipenda japo kinakipato
@user-gy1lb9fo2b
@user-gy1lb9fo2b 9 ай бұрын
Thanks
@mwanaharusialifakifaki8716
@mwanaharusialifakifaki8716 5 жыл бұрын
Mm nimtu ambae nakufatilia mno maana huenda nkawa mm si mtu mzuri kwa baadhi ya watu ila sina dhambi ,wala sijafanya baya duniani lolote .ila sina furaha nataka furaha wakati wote mm binafsi sipendi kuwa sina furaha
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 жыл бұрын
Eeeh tena Jaman
@damiankimaro8919
@damiankimaro8919 2 жыл бұрын
I'll make TANZANIAN people Happy
@barakajulius7147
@barakajulius7147 5 жыл бұрын
Axnte kwa kunfndsha,
@humphreysteven602
@humphreysteven602 4 жыл бұрын
kaka wewe ni zaidi mwalimu unatuelimisha sana sana
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 3 жыл бұрын
Bless you always Ameen
@adamphinias2457
@adamphinias2457 5 жыл бұрын
Joel nini umuhimu wa kulia machozi wakati unahisi kuna jambo limekumiza.
@salummbashir4674
@salummbashir4674 6 жыл бұрын
good job joel thanks
@annabenpol3866
@annabenpol3866 3 жыл бұрын
Hii clip inaishi
Njia 4 Za Kuongeza Thamani Yako Ili Ulipwe Zaidi
22:28
Joel Nanauka
Рет қаралды 45 М.
Jinsi ya kuweka malengo na kufanikiwa
1:05:12
Joel Nanauka
Рет қаралды 432 М.
Неприятная Встреча На Мосту - Полярная звезда #shorts
00:59
Полярная звезда - Kuzey Yıldızı
Рет қаралды 7 МЛН
When You Get Ran Over By A Car...
00:15
Jojo Sim
Рет қаралды 3,7 МЛН
Mambo 5  Ya Kufanya Kila Siku Kama Unataka Kufanikiwa
21:53
Joel Nanauka
Рет қаралды 260 М.
UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA
1:11:22
Joel Nanauka
Рет қаралды 167 М.
Mambo ya Kuzingatia Unapojiandaa na Usaili wa Kazi/Job Interview
13:01
NGUVU YA ZIADA KWENYE KUWEKA MALENGO - JOEL NANAUKA
41:10
Joel Nanauka
Рет қаралды 118 М.
TABIA 11 ZINAZOZUIA MAFANIKIO   - SEHEMU YA  KWNZA (1)
12:43
Joel Nanauka
Рет қаралды 81 М.
JINSI YA KUWEKEZA KWENYE HATI FUNGANI
1:01:02
Joel Nanauka
Рет қаралды 2,4 М.
Once You Learn These Life Lessons, You Will Never Be The Same
2:27:27
LIFE WISDOM : FANYA HAYA ILI USIJUTE UZEENI - JOEL NANAUKA
12:09
Joel Nanauka
Рет қаралды 18 М.
Vitu 7 Lazima Uvijue Kuhusiana Na Kusudi Lako
27:20
Joel Nanauka
Рет қаралды 80 М.
Неприятная Встреча На Мосту - Полярная звезда #shorts
00:59
Полярная звезда - Kuzey Yıldızı
Рет қаралды 7 МЛН