huyu ni mwalimu wa uhakika sana kama umemkubali gonga lake hapa
@januarymwasenga61675 жыл бұрын
Mimi na mkubali ila nahitaji kuwasiliana naye .
@omaryshafii505 жыл бұрын
Mimi furaha yangu ni kumsikiliza Mwalimu J Nanauka.. Kama na wewe ulikuwa huna furaha nadhani umepata mtu sahihi wa kukupa matumain kwa kuwa anamahusiano na Mungu gonga like hapa
@mwanaharusialifakifaki87164 жыл бұрын
Jamani na mimi pia siku yangu huwa inaanza vizuri
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ahsante Sana Omary tuendelee kujifunza
@djumaassu1982Ай бұрын
Asante saana,Kaka Joël,nimejifunza mengi kupitia somo hili. Mwenyezi Mungu akuzidishie uhai,uendelee kutuelimisha.
@saidirajabu51825 жыл бұрын
Sijutii kuijua akaunt yako big u
@esterlyatuu92636 жыл бұрын
Nanauka anasema ukwel Mungu azidi kukuinua kaka somo zur sana
@annaupendo47686 жыл бұрын
katika maisha usiruhusu furaha yako ikashikiliwa na watu wengine💪nimekuelewa bro
@kindyuba81405 жыл бұрын
Kweli
@vailetmapunda1065 жыл бұрын
Dahh we kaka ubarikiwe sana jmn!ohoo lord mpe maisha marefu kaka joel.
@az888vietnam3 жыл бұрын
Asante kaka Joel kwa speech zako maana zinanijenga na kunitia moyo sikati tamaa nakaza mwendo nasonga mbele kila nikusikilizapo
@salareu47635 жыл бұрын
Asantr mwalimu Joel ,,,ila kuna watu wanakwaza sana duniani,,unaweza kuwa na amani zako ghafla MTU anakutumia hata SMS kesha kupotezea amani yani Mungu atusaidie kwa kweli,,,,
@petermasong90525 жыл бұрын
Mungu akuongezee maisha marefu...bado tunamengi tunahitaji kujifunza kutoka kwako....Joel Nanauka
@velurakawiche53382 ай бұрын
Yaan hili somo ni la viwango vya juuu daaah be blessed baba
@stephanogabriel25266 жыл бұрын
Darasa nzuri sana. God blessing you Brother Joel nanauka
@gregorymmasi34425 жыл бұрын
Hiyo Genetic Sensitivity nimeielewa mnoooo@ Tanzania watu wengi wamekua hawana raha sababu ya mambo yafuatayo; Ugumu wa maisha, Magonjwa mbalimbali, kukosekana kwa wanapsychologia nk
@florachanga69835 жыл бұрын
Nashukuru nimeweza kukufuatilia Asante mungu
@honestmushi94616 жыл бұрын
Nimeanza kukufuatilia Mr Joel Nanauka nahisi mabadiliko na Luna uwezekano wa kufika mbali.Mungu atutie nguvu
@alimatambwe34024 жыл бұрын
Namshukur pita,amenifanya kuwa jasiri,Mungu atakulipa
@anastasiamainaministries27003 жыл бұрын
Wow. Thanks Joel..i thank God i found you uve changed my life be blessed...Kenya is following
@suzanemwambe6320 Жыл бұрын
Asante kaka yangu,mimi najifunza vingi kutoka kwako,ninapona tu,Mungu wa mbinguni akupe mafunuo mapya kila siku.
@estertuyahole67992 жыл бұрын
umenifurahisha sana juu ya hilo Mungu akubariki uendelee kunibariki zaisi🥰💞💕
@ellybrown88996 жыл бұрын
Kweli,kwenye amani na utulivu,mmh!asilimia ya watu wengi hakuna amani ndani ya mioyo, wala utulivu,ni kwa nje tu.Asante kwa somo zuri.Barikiwa!
@AliM-di8dz6 жыл бұрын
Nina hasira sana kumbe haifai , mungu nisaidie ipoteee hasira inanikosesha Amani.
@kizajacqueline8583 Жыл бұрын
Baba mungu mungu akubariki sana 🙏
@racheljosephat34633 жыл бұрын
Unanipa nguvu sana thanks for that
@fofomohammed62536 жыл бұрын
Asante Sana Kaka nimejifunza mengi God bless you
@mobilesolution24136 жыл бұрын
kaka joel ubarikiwe sana unatutengeneza kimwili na kiroho mafundisho yko.ubarikiwe sana
@mwanamkasihabibu99155 жыл бұрын
shukran kwa somo Kaka mungu akujalie afya uelmshe na vzaz vyetu
@ednaednamillanzinia2826 Жыл бұрын
Asante nimefaidika,ubarikiwe
@shamilaomar37246 жыл бұрын
mashaallah nimeipenda hii nanimejifunza mengi asante my kk
@joelnanauka6 жыл бұрын
Shamila Omar karibu sana ahsante kwa kutembelea channel yetu
@shamilaomar37246 жыл бұрын
+Joel Nanauka pamoja ndugu daima lnshaallah
@fofomohammed62536 жыл бұрын
Shamila Omar Mimi pia
@deusjohn11074 жыл бұрын
Nimejifunza pale ulifyosema mazingira ukiwa na mazingira mazury unaweza ukawa na furaha zaidi
@frankamosi74132 жыл бұрын
Ujumbe mzur Sana...MUNGU akutunze
@fatumatandika58492 жыл бұрын
Yaani uko vizuri saana
@ericsaul41866 жыл бұрын
God bless you and your family Joel, somo zuri sana gratitude, social support, Spiritual attachment ni vitu muhimu ingawa majority hawafuatili. Siku yangu nimeanza vizuri sana leo# Blessings
@joelnanauka6 жыл бұрын
Eric Saul ahsante kwa mrejesho na hongera kwa kusikiliza
@mossyahmada84306 жыл бұрын
Kaka Mungu akuzidishie uwezo ulionao
@johnluhwa83426 жыл бұрын
Asante broh unatufahamisha vtu vingi sana, ubarikiwe na Mngu aendelee kukupa upeo mkubwa zaid
@albinoentreprises21765 жыл бұрын
UKO TOFAUTI NA WATZ WENGI WANAOJIFANYA PUBLIC SPEAKERS. UNASOMA SANA VITABU INAMAANA UGENIUS WAKO WA DARASANI UNAKUSAIDIA. UTAFIKA MBALI SANA. HONGERA
@deuslongino49186 жыл бұрын
kaka Joel asante kwa kutupa mwanga amina sans
@gudanemma1459 Жыл бұрын
Napenda Sana kufatilia mafunzo yako yananipa ujasiri na nguvu mpya
@alihassanhaiba69375 жыл бұрын
Ahsante sana kaka Joel nimejifunza mengi
@jorumzacharia3525 жыл бұрын
Hongera kaka kwa mafunzo mazuri mungu akubariki
@faridamkesso976 жыл бұрын
Asante sana kwa somo maana kuna mambo yamenigusa sana na especially hiyo genetic sensitivity
@lilydickson7403 жыл бұрын
Upo sahihi sana kaka
@kindyuba81405 жыл бұрын
Asante xana kaka yangu kwa kutoelimisha
@vinceh81202 жыл бұрын
Shukran kaka Joel Kwa SoMo la maisha ju ya furaha
@paulociza56013 жыл бұрын
Ubarikiwe saaaaaa nitumie nambo za whasp
@saidirajabu51825 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@nereaigogo44426 жыл бұрын
Wewe ni level nyingine kabisa 21:30' nimeielewa sanaa
@saidbaiya95245 жыл бұрын
Mashallah brother
@ramaabuu19585 жыл бұрын
Raha sana kukusikiliza!!!
@elizabethkasimila97715 жыл бұрын
Kaka Joel Mungu AKUBARIKI kaka ila naomba mawasiliano
@professorjoma23646 жыл бұрын
Nanauka ni msomaji mzury sana wa vitabu love you brother
@user-qs9rn2je4c6 жыл бұрын
asante sana kaka ama kwel najifuza mambo mhimu mengi ubarikiwe sanaaaaaaaa
@subiraomar47715 жыл бұрын
Asante sana kwa kutujuza
@zarunaamwanajimba19506 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kaka barikiwa sana
@enockmpagike30125 жыл бұрын
Ahsante sana bro
@AliM-di8dz6 жыл бұрын
Unaeleweka sana Kaka unamafunzo mazuri
@rafaelmwanyila335 жыл бұрын
Uko vyema sanaaa mkuu,nayakubali sanaa mafunzo yakoooo
@theaficanone68946 жыл бұрын
ubarikiwe sana bro napenda kukufatilia sana
@estersijaona4035 жыл бұрын
napenda sana kaka unachofanya and i really appreciate xo much and one thing 4m napenda kufanya ki2chatofaut bt inform of ur style.
@ezrommkambati29485 жыл бұрын
Ni kweli kaka, hata mimi sina furaha kwa sababu ya kile ninachokiishi siyo passion yangu!
@kassimngakonda47486 жыл бұрын
thnks so much bro,nmekupata vzr sn.
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Ubarikiwe
@stephenshimwela21406 жыл бұрын
Ahsnte bro upo vzr!
@danielmollel25136 жыл бұрын
Kaka umefanyika msaada mkubwa kwene maisha yangu. kila nikikusikiliza napata nguvu mpya. Isipokuwa kutafuta aman kwa mtu ni ngumu, inakua iv, ukiwa umetofautiana na mwezi au wakwe hanakuwa na chokochoko zisizoisha. leo uko nao vzr kesho ina kuwa shida. ulosema yote yanawezekana, isipokuwa iyo point moja ni ttz kubwa
@user-pi1st6pj3wАй бұрын
Thanks Joel
@vinceh81202 жыл бұрын
Ni kweri ulivyo taja ugomvi wakati wa ujauzito ujangia sana
@eastboy13312 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa sana kwenye hili
@cresensiandimbo41955 жыл бұрын
Daaa kweli ulikuwa unailasababu ya kuwa TO,upeo wako mkubwa sana bro.
@joeljoseph11245 жыл бұрын
Mwl Joel umenifanya nijijue furaha yangu nitanzaa kuimiliki mwenyewe
@akidasalim38593 жыл бұрын
Nimekuelewa sana baba
@azizahasani46146 жыл бұрын
MASHAA ALLAH
@villangeoffrey58145 жыл бұрын
Makabila kumi yenye wanawake wazuri
@rubengerald45356 жыл бұрын
Your great bro.. I feel so proud for you
@AfiSoul1033 жыл бұрын
Kweli kabisaa yaani ukiwa na kitu moyoni inaathiri sana na inaumiza kwelikwelii asaa... Na ukijaribu kumwambia mtu hua unajiona kama umeshusha mzigo...
@godnesskwayu49595 жыл бұрын
Nimefurah sana kaka sikuwa nakujua ila taangia jana nimejikuta nafurahia kuangalia video zako
@judithmwambe47673 жыл бұрын
I like you Br Joel Nanauka.....Noted!!
@zakiakhatib82546 жыл бұрын
Ahhhh... Joel nanauka ww nikichwa shukran sana
@leankubali20645 жыл бұрын
Thanks brother
@barikinihataringira51136 жыл бұрын
Nimekuelewa an bro
@gloryomary84815 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@paullugano30532 жыл бұрын
Ģlory
@mgallason...56865 жыл бұрын
we become what we think about.
@neemaeppah29923 жыл бұрын
Aisee somo zuri sana sanaaaa tuu
@rahmahussein40196 жыл бұрын
You're absolutely right sir...thanks
@melisajoseph80406 жыл бұрын
Mungu azidi kukulinda Joel ur very bright
@beatricemwita83656 жыл бұрын
Wao this so lovely nimejifunza vitu vingi kaka ubarikiwe
@kastulielias50465 жыл бұрын
Nimejifunza kitu
@jonaskanyelele2745 жыл бұрын
Kaka mungu azidi kukubariki
@assamwakasanga35706 жыл бұрын
Thank you so much Mr jeol Arthur nanauka
@assamwakasanga35706 жыл бұрын
Ninahitaji kitabu cha kughailisha mambo kak Joel nanauka Niko mbey.....
@maselekwiligwa38505 жыл бұрын
Tangu mwaka Jana nilianza kukufuatilia kwenye KZfaq na Facebook page Yako.nimefanya mambo makubwa sana ikiwemo kuondokana na stresses, madeni mabaya, nimekuwa na ratiba ya kununua vitabu na kuvisoma, Kupanga malengo na kuyaishi,kepukana n.a. vitu vinavyopoteza muda,Kununua Assets badala ya liability, Kuipenda kazi na kufanya kazi yenye passion Yako.Naomba orodha ya vitabu unavyosoma ili nivipate .
@naomyerasto13054 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutunza my kaka,kwa somo hilo mi naendelea kuimarisha furaha yangu
@khadijabakosa22863 жыл бұрын
JOEL..Umekuwa Mwl mzuri kwenye Maisha yangu...umenipa ujasir kwa kupitia mafundisho yako...Nahitaji kujua ratiba yako ya Seminal live...Nahitaji kuhudhuria seminal zako live...
@aishajeshemtengea98846 жыл бұрын
Nice kaka
@zubedakaluli66384 жыл бұрын
Ubarikiwe Kaka ww ni zaidi ya daktar maana Hakuna ugonjwa mkubwa Kama kukosa furaha
@norbertsam54305 жыл бұрын
Genius
@nakijwamoses100220 күн бұрын
Umenifanya nijione wasamani sana
@paulociza56013 жыл бұрын
Leo nimesikikiza mafundisho zako nyingi ila hii umenibariki sanaaa
@joelnanauka3 жыл бұрын
Nashukuru Sana, tuendelee kujifunza zaidi.
@paulociza56013 жыл бұрын
Namba
@ellybrown88996 жыл бұрын
Yes!I am the CEO of my life!
@zubedamsemo65235 жыл бұрын
Thankx bro kwa kutuelewesha
@anjelakisoka41403 жыл бұрын
Mimi sinaga furaha kabsa
@stelafrancisshenkunde9045 Жыл бұрын
Huuu ukweli
@denisdidas50903 жыл бұрын
Thks broo
@abdialasow625 жыл бұрын
Hiyo ya pili ndio inankosesha . Kufanya nisichokipenda japo kinakipato
@user-gy1lb9fo2b9 ай бұрын
Thanks
@mwanaharusialifakifaki87165 жыл бұрын
Mm nimtu ambae nakufatilia mno maana huenda nkawa mm si mtu mzuri kwa baadhi ya watu ila sina dhambi ,wala sijafanya baya duniani lolote .ila sina furaha nataka furaha wakati wote mm binafsi sipendi kuwa sina furaha
@lizzybahati98333 жыл бұрын
Eeeh tena Jaman
@damiankimaro89192 жыл бұрын
I'll make TANZANIAN people Happy
@barakajulius71475 жыл бұрын
Axnte kwa kunfndsha,
@humphreysteven6024 жыл бұрын
kaka wewe ni zaidi mwalimu unatuelimisha sana sana
@fhyubhhh28813 жыл бұрын
Bless you always Ameen
@adamphinias24575 жыл бұрын
Joel nini umuhimu wa kulia machozi wakati unahisi kuna jambo limekumiza.