No video

JPM ALIJUA KUWA ANAONDOKA DUNIANI ALIYAONGEA HAYA MAZITO KWA WATANZANIA.

  Рет қаралды 136,270

SMTV

SMTV

Күн бұрын

👉 JPM: HATUJATUMIA PESA YA MZUNGU KUTEKELEZA MIRADI/CORONA TUMEISHINDA VIBARAKA WATAARIFUNI MABEBERU; • JPM: HATUJATUMIA PESA ...
👉 MAGUFULI NDIYE MKOMBOZI PEKEE WA KULIKOMBOA BARA LA AFRIKA WENGINE NI VIBARAKA TU WA MZUNGU; • MAGUFULI NDIYE MKOMBOZ...
👉 MAGUFULI MSIMUITE RAIS HANA SIFA YA KUITWA RAIS; • MAGUFULI MSIMUITE RAIS...
👉 UJUE USHETANI WA BILL GATES KUUA WAAFRIKA KWA CHANJO; • Video

Пікірлер: 301
@hamadsaid9531
@hamadsaid9531 3 жыл бұрын
Utakaa moyoni mwangu nitakitangazia kizazi changu kuwa ulikuwa shujaa amina
@wangonamuhange8218
@wangonamuhange8218 3 жыл бұрын
Aminaa
@bonaventuresangano8247
@bonaventuresangano8247 3 жыл бұрын
Amina🙏
@mbexpro2939
@mbexpro2939 3 жыл бұрын
Baba hujaondoka wewe Ni kitabu Cha kuwapima viongozi wazalendo Asante kwa kitabu ulichotuachia
@chuimokua4578
@chuimokua4578 3 жыл бұрын
President John Joseph Pombe Magufuli,wewe ni shujaa wa moyo wangu.umesimama kidete kuliinua jina la Mungu milele.naungana pamoja na watanzania wote katika musiba huu wa taifa,Afrika mashariki na
@meme123naser6
@meme123naser6 3 жыл бұрын
Baba akuna leo ata mwez bado mabeberu wanavuruga miradi yako na kukosoa yote mema uliyoyafanya daaah mungu asimame hapa😭😭😭😭😭
@saitawilson7307
@saitawilson7307 3 жыл бұрын
R.I.P..jeshii.. mwana mwema wa Africa...the true son of Africa...😭😭😭😭😭😭😭
@bellutbellut3049
@bellutbellut3049 3 жыл бұрын
sijui kama Tz tutapata Rais kama JPM .Pr Kabudi njoo uipiginaie nchi yako kama JPM .msaidie mama yetu Samia. na ikibidi watanzania wote tufe kwa ajili ya kulinda mali zetu .tusiwe wanyonge daima
@burundibwizacetribea995
@burundibwizacetribea995 3 жыл бұрын
Pumuzika mahali pema peponi, wewe ni mfarme wetu wa myaka yote🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇧🇮🇧🇮🇧🇮💜💜
@geraldlaurent7465
@geraldlaurent7465 3 жыл бұрын
Thanks
@josephinemayombo9757
@josephinemayombo9757 3 жыл бұрын
Kwakweli mm naishia kulia tuu hata sijuagi niseme nn, aisee huyu alikuwa Ni zaidi ya jeshi
@elizabethmuia9839
@elizabethmuia9839 3 жыл бұрын
I wish tugekuwa na Marais kumi Africa kama Magufuli Africa tugekuwa ma billionaires 🇰🇪🇰🇪🇰🇪RIP SHUJAA 💪💪💪💪💪
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 3 жыл бұрын
, you never one day , waafrica wameamka sasa
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 3 жыл бұрын
Maneno , nothing impossible
@salumsamesame1741
@salumsamesame1741 3 жыл бұрын
GENIUS TALKING
@mustafam2462
@mustafam2462 3 жыл бұрын
Mugufuli your the hero of Africa RIP, who ever took your soul Almighty God will deal with him.
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 3 жыл бұрын
Hayupo tena...... historia imeandikwa. Katuonesha njia tuamke sasa Watz tusiondolewe kwenye mstari sahihi wa baraka za Mwenyezi Mungu kwa nchi yetu . Mungu tubariki watoto wa Tz
@abelmtachoka7597
@abelmtachoka7597 3 жыл бұрын
Da! Mi nalia, nafuta machozi, narudia kumtazama tena, siamini kama sitamuona tena, siamini jamani! Da! Ulale salama baba angu, mwendo umeumaliza, kauli yako ya kwamba Mungu akikuchukua watu watayaendeleza itazidi kuniumiza Mimi!!!!
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 3 жыл бұрын
Wewe ni dereva tu.!ulijishusha sana.Mungu akakuinua RIP Jembe letu
@emamkuyu4061
@emamkuyu4061 3 жыл бұрын
Jamani karudi? Baba ni mwema,siamini kama kweli hayupo.Kifo kibaya!
@bonaventuresangano8247
@bonaventuresangano8247 3 жыл бұрын
Nilitaka kuiona TZ baada ya kipindi chake cha uraisi hayati JPM lakini it was not in God's plans. RIP mkombozi wa Africa mfano uliutoa, tunapongeza kazi ulioifanya kwa mda mfupi. Amina
@thetriplesofbethlehem6095
@thetriplesofbethlehem6095 3 жыл бұрын
Mabeberu wametulia mzee wetu wa busara, hekima na akili. Stay strong 🇹🇿 we will overcome😭
@ashamwandu6572
@ashamwandu6572 3 жыл бұрын
Mungu pekee ndioo atatutuliza mie bado namaumivu makali mno,yaani hata Siamini Jamani,utazani nakuona Baba yetu,uliwapenda Watanzania hasa Wanyonge na Masikini,ulimpenda Mungu,uliipenda Ichi yako.ulikubali kufa kwa ajiri yetu magufuli nakulilia kila siku,nakuombea pumziko la amani,ulale salama,ulijuwa mengi tusiyoyajuwa,ulituaminisha sie siyo masikini,hapo tu ndipo nakumiss Mno RIP
@peterandrew2795
@peterandrew2795 3 жыл бұрын
Pole baba yote uliyapta au uliyabeba kwa ajili yetu....tunajua uko mbele ya mungu wa mbinguni...utuombee na sisi watanzania baba.
@peterandrew2795
@peterandrew2795 3 жыл бұрын
Hata hawatoi mkopo wa kilimo hizo PhD 17 ni zirooooo!! Baba
@peterandrew2795
@peterandrew2795 3 жыл бұрын
Inatosha babangu unaniumiza baba.
@mosesshagembe6402
@mosesshagembe6402 3 жыл бұрын
😭😭
@luckydubebello1131
@luckydubebello1131 3 жыл бұрын
Rest in peace KING OF AFRICA we wl miss u very very sad 😥 😢
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 3 жыл бұрын
Rest in peace comrade you will forever be remembered
@kabilamukombozi4868
@kabilamukombozi4868 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu kakupenda zaidi 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🇧🇮🇧🇮🇧🇮hatutakusahau kamwe Pmuzika .
@amosamoo5951
@amosamoo5951 3 жыл бұрын
Nikija ondoka, hivi watakao baki wataendeleza haya kweli?? Daaah swali la utatanishi
@kramsjunior4447
@kramsjunior4447 3 жыл бұрын
Acha tu ndugu
@innocentkulola4122
@innocentkulola4122 3 жыл бұрын
Hawawezi,wanazingatia zaidi matumbo yao,kila mtu anaona waziwazi kinachoendelea,maana wote waliomzunguka JPM akiwa madarakani ukiondoa waziri mkuu wetu walikuwa wanafiki,kila mwenye macho na akili timamu anajionea
@mbinonyoso7501
@mbinonyoso7501 3 жыл бұрын
Ure Musenge Tundu Lissu nikibaraka wa mabeberu anataka kufanya watanzania watumwa wamabeberu rakini hatutakubari atasikumoja
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 3 жыл бұрын
Jamanii kasema alikuwa anatukanwa lakini alivumilia tuu😭kweli inauma sana aisee
@user-ls1es8sd1s
@user-ls1es8sd1s 6 ай бұрын
Kuna wana siAsa Na kio ngozi magufuri Ali kuwa kio ngozi Nani mtu wa mungu kweli Ndomana Ali simama kwenye msi mamo m moja mzalendo wa kweli Akika uta kumbu kwa Daima kwa uTu wako💕💕🇹🇿
@saitawilson7307
@saitawilson7307 3 жыл бұрын
Asante kwa yote... asantee kwa muda wote uliotutumikia watanzania masikini ... Hatutakusahauu.😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@nassarrostom1919
@nassarrostom1919 2 жыл бұрын
Mzeee Mwenyezi mungu akuweke mahari pema peponi amina ❤🇹🇿
@ambakisyemwakinunu2002
@ambakisyemwakinunu2002 3 жыл бұрын
Inaumiza sana kwa kuondoka kwake, ila tutaendelea kunufaika kwa mambo makubwa aliyotufanyia na njia aliyotungulia
@himlayzer3543
@himlayzer3543 3 жыл бұрын
Hatula la kusema zidi ya hapo ni kumshukuru mwenyezi mngu alhamdulillah na kuzidisha maombi kwa Allah a tusimamie tena kwa mala nyingine daah baba mngu akusamehe ulipo kosea akupumzishe kwa amani tulimpenda sana uongozi wako u. Etuachia majonzi yasio sahaulika
@emmanuelmachibya2034
@emmanuelmachibya2034 3 жыл бұрын
Rest in Peace Dady , the true son of Africa 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 3 жыл бұрын
Pumzika kwa amani
@saitawilson7307
@saitawilson7307 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@NoorAhmed-lg8xr
@NoorAhmed-lg8xr 3 жыл бұрын
Inalilah waina ileh rajucon tana omba mungu amu laseh simu Aman
@paulmkhoi8144
@paulmkhoi8144 3 жыл бұрын
Hata kama hayupo nasi lkn bado anaishi mioyoni mwetu
@costantinochibago591
@costantinochibago591 2 жыл бұрын
Itatuchukuwa mda sana kumpata kiongozi aliye kutiwa sadaka kama ww baba.Mungu akuweke mahali pema peponi Amina.
@aluwatanmaduhu8824
@aluwatanmaduhu8824 3 жыл бұрын
R i p Mh Magufuri ni shujaa nenda Baba tutakutana mbere sisi tupo nyuma yako umefanya Mazuri kwa nchi yako 😭💔 kweli ulijitoa sadaka Mzee
@amiryhamza1984
@amiryhamza1984 3 жыл бұрын
pumzika kwamani rais wetu magufuri allah akuweke mahalapema peponi mtetezi wetu
@rwandaafrika6173
@rwandaafrika6173 3 жыл бұрын
ASANTE Rais J.P Magufuli kwakweli Tanzania ni inchi Tajiri ila Samia anakuja kutuweka umaskini Tutakukumbuka Daima baba wawanyonge 😭😭😭
@silivanatemu3090
@silivanatemu3090 3 жыл бұрын
Umenena kweli mkuu,tena soon
@angelamarlow510
@angelamarlow510 3 жыл бұрын
Hata mm naona mpendwa Mungu tu atunusuru
@rassimbaengswahili6191
@rassimbaengswahili6191 3 жыл бұрын
Laaa inaumiza sana, mie mpaka sasa bado nina makovu makubwa sana kuondokokewa na Rais shujaa
@mosesshagembe6402
@mosesshagembe6402 3 жыл бұрын
Yaan Mimi Siamin If True Ready Dead Magufuli
@burundibwizacetribea995
@burundibwizacetribea995 3 жыл бұрын
Watanzania, tuko na nnyi kwa wakati huu mugumu.Tutaendelea na Magufuriazation ideologies mpaka Africa nzima ibadilike
@jumamnumbwa9483
@jumamnumbwa9483 3 жыл бұрын
Inauma sana kama huyu kigoda na mkapa waungue huko mbinguni
@yukundajanuary7063
@yukundajanuary7063 3 жыл бұрын
Kama kweli ulikufa kwampago wa mungu Basi kazi ya mungu hainana makosa Ila Kama nimikono ya binadamu waliotengeneza njama ya kukuuwa ili waimbe Mali za ichi yetu mungu atawashungulikia wanao kulilia niwengi kuliko maadauwi waliokuwa wanakuwinda umeacha pengo kubwa Sana hakuna atanye vaa kitu chako
@yohanamagele3633
@yohanamagele3633 3 жыл бұрын
Asante sana Isaya kwa Kuwa mzalendo katika kipindi chote cha Uhai wa Hayati BABA WA Wanyonge
@muhidinndorangamaombiyangu2815
@muhidinndorangamaombiyangu2815 3 жыл бұрын
Tutamkumbuka mzee wetu tena kwa mema ametufanyia mazuli sana mungu amlaze mahala pema peponi
@TheLegend-vj5zt
@TheLegend-vj5zt 3 жыл бұрын
We are not poor thank you for help us to understand...I love you Magufuli
@rehemamlowe5104
@rehemamlowe5104 3 жыл бұрын
Mengi tutakukumbuka,
@salehekapama9842
@salehekapama9842 3 жыл бұрын
@@rehemamlowe5104 hakika
@hamadsaid9531
@hamadsaid9531 3 жыл бұрын
Pumzika kwa amani anko mungu akupunguzie adhabu ya kabuli
@yudahsanja9072
@yudahsanja9072 3 жыл бұрын
Poleni wenzangu wakati huu mgumu tukiomboleza mfalme wetu
@madamjamila4360
@madamjamila4360 3 жыл бұрын
Napenda kukupongeza mwalimu Isaya ulitupa moyo sana kipindi kibaraka wa wazungu akitutia presha kipindi raisi wetu kipenzi atumuoni inauma sana
@salmamrembo4360
@salmamrembo4360 3 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania yetu maana hatujui hatima yetu hatujui tunapokwenda kwasasa Mungu we we ndio kimbilio letu tusimamie waja wako
@samwrisimon671
@samwrisimon671 3 жыл бұрын
inauma na inasikitisha sana kwa pigo hili ndani ya taifa letu pumunzika kwa amani babaetu mungu aklaze mahari pema peponi baba 🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿😫😫😫
@hawahabibu661
@hawahabibu661 3 жыл бұрын
Kama ulijitabiria tunakukumbuka baba millad mingine bado haijakamilika ndio bac tena😭😭
@Phil-yu9mi
@Phil-yu9mi 3 жыл бұрын
Mpaka mimi sijakubali kwamba Mfalme wetu ametuwaca. Inaniwuma sana 😢😢
@stanleyrocky2278
@stanleyrocky2278 3 жыл бұрын
Mkungu akusaidie
@Phil-yu9mi
@Phil-yu9mi 3 жыл бұрын
Nduguu!, Mungu akusaidiye na familiya yako pia 🙏🙏
@neemamasudi3550
@neemamasudi3550 3 жыл бұрын
Tuna ku liliya kwa leo baba uko wapi? Hata mzimu wako wako tumeukosa😭😭😭😭😭📖
@tinyaanosiatha1118
@tinyaanosiatha1118 3 жыл бұрын
Mungu akuraze mahari pema peponi
@margarethorgenes4874
@margarethorgenes4874 3 жыл бұрын
Nani atasimama kwa nafasi ya Tingatinga burudoza Jembe katika haya, ya ukweli utokao moyoni na kuwa na commitment ya Aina Hii 👆🏼👆🏼👆🏼💯🙏🏼🙏🏼🙏🏼 Pumziko la milele akupe Mungu, tutayakumbuka, hata wanaokuchukia na kufurahia kifo chako watakuja kukiri ukweli. "POLE".
@tatuhongeranurushaus485
@tatuhongeranurushaus485 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭
@alanusrespicius1796
@alanusrespicius1796 3 жыл бұрын
Hakuna anayeweza speed ya mzee JPM. Huenda nchi ikaanguka mikononi mwa wapiga dili
@alanusrespicius1796
@alanusrespicius1796 3 жыл бұрын
Hakuna anayeweza speed ya mzee JPM. Huenda nchi ikaanguka mikononi mwa wapiga dili
@margarethorgenes4874
@margarethorgenes4874 3 жыл бұрын
@@alanusrespicius1796 wa Tanzania.kwa sasa wameamka, wanatambua kwao kufanya strike haitakuwa Ni kazi. Watasema, watazomea na shingo zikishupazwa Amani yetu itafanana na nchi zinazotuzunguka. MUNGU ampe HEKIMA kuu Mh.Rais na kukataa yale yasiyostahili. Ajue kutamka HAPANA bila kupepesa Maneno.
@ramadhanihassan2268
@ramadhanihassan2268 3 жыл бұрын
@@margarethorgenes4874 mung akubariki kwa kuliona hlo
@rodgersmuyechi9294
@rodgersmuyechi9294 3 жыл бұрын
Kweli ulikua baba pumzika salama
@geoffreymwarabu8323
@geoffreymwarabu8323 3 жыл бұрын
Asante baba yetu! Upumzike kwa amani
@jokeableking7039
@jokeableking7039 3 жыл бұрын
Kama Alivyo Sema Marehemu Hayo Yote Hayakamiliki Kamwe Na Imetokea KWELI Alivyo Yatabiri 😭😭😭😭😭😭😭RIP JEMEDARI SHUPAVU 'UMETUACHIA HUDHUNI NA MAJONZI MAKUBWA NAONA SS NCHI INARUDI ENZI ZA 2010😭😭😭😭😭
@stanleyrocky2278
@stanleyrocky2278 3 жыл бұрын
Tumekwisha tz nchi imerudi kwa matajiri
@stanleyrocky2278
@stanleyrocky2278 3 жыл бұрын
Mnyonge hana thaman tena
@nionjijweguraidi5203
@nionjijweguraidi5203 3 жыл бұрын
Jamani msikate tamaa. Mungu yuko upande wetu!
@silivanatemu3090
@silivanatemu3090 3 жыл бұрын
I nasikitisha sana maana hata hajaoza tayari watz wameshayarudisha yale yote aliyoyapinga
@marianamontoedi2333
@marianamontoedi2333 3 жыл бұрын
Baba kwa heshima yako tunaweza na inwezekana thank you lord yes we can ameni
@josephnchunga1247
@josephnchunga1247 3 жыл бұрын
Tutakumbuka Sana lile neno mafisadi linaogopwa kusemwa Serikali rege rege huzaa udhaifu Wa uoga .tunakuombea kwa mungu
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 3 жыл бұрын
Ukweli unauwa tutakulilia miaka mingi.
@msetikebwasi1469
@msetikebwasi1469 3 жыл бұрын
Kusema ukweli ni hatari sana !!!.
@sefuiddi6825
@sefuiddi6825 3 жыл бұрын
Hakika ulicho kizugumza nikweli tutakukumbuka mugu akubarik aibar Tanzania tupate kiogozi mashuhuri iwemfano kama ww bado tupo katika chagamoto gumu nakutakiyapumzika salama amin
@jeanfernandez2863
@jeanfernandez2863 3 жыл бұрын
Kenya hawatokuwa na amani
@yohanamagele3633
@yohanamagele3633 3 жыл бұрын
Mijadala yako ya kututia Moyo hakika Mungu akubariki sana
@japhetdaud8986
@japhetdaud8986 3 жыл бұрын
It is powerful speech for our Genius President, forever your Legacy will not forget ,your Nation crying to you🤔😭😭😭🙈🙉
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 3 жыл бұрын
Pongezi Kwako pia Mwl Issaya Benson kwani binafs nimekujua kupitia moyo wako wa uzalendo kwa kuandaa pachiko nyingi za kazi njema na matunda ya raisi wetu.
@tatuabijoh2077
@tatuabijoh2077 3 жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba
@timothykalenga5704
@timothykalenga5704 3 жыл бұрын
Umetuachia simanzi
@timothykalenga5704
@timothykalenga5704 3 жыл бұрын
Kweli , ulisema majizi wapo, tunayaona leo hii
@ponsianamataka4607
@ponsianamataka4607 3 жыл бұрын
R.I.P Baba. Kumbe hata ukimwambia Speaker wazipitie hata Sheria za gesi! Leo speaker huyo huyo anasema walimshauri vibaya?!!! Tumuogope Mungu! Baba Magufuli alikuwa hasemi kitu bila kujiridhisha, hafanyi kitu bila kujiridhisha. Mungu mpokee baba John Pombe Joseph Magufuli katika makao yako ya milele.
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 3 жыл бұрын
Kwa uwezo wa Mungu tutafanikiwa . tuombee uliko Amina
@gynae8407
@gynae8407 3 жыл бұрын
Baba pumzika kwa amani Ikulu uliyo kuna ukiijenga haujaingia Mungu sijuwi nisemeje ila Mungu unabaki kuwa Mungu
@stevenmasangula2104
@stevenmasangula2104 3 жыл бұрын
Rest in peace my father. JPM
@jeziyamaua7196
@jeziyamaua7196 3 жыл бұрын
Nitakupenda milele Magu,pumzika kwa amani baba
@japhetpdidi49
@japhetpdidi49 3 жыл бұрын
Kwa mwendo huu mfalume wetu wamemuuwa na mungu awalani wote walioshiliki kumuuwa mfalume
@estermathias8354
@estermathias8354 3 жыл бұрын
😭😭😭😭nitakulilia daima santee MUNGU kwa maisha ya jpm nilimpenda Sana mzalendo huyu
@charlesignas6667
@charlesignas6667 3 жыл бұрын
Wamemfanyia kitu mbaya Sana Rais wetu
@wangonamuhange8218
@wangonamuhange8218 3 жыл бұрын
Namsubili kwa hamu uyo anaekuja kufuta history ya magufili kwa watanzania sijui sijui sijui
@nkawagalogistics6164
@nkawagalogistics6164 3 жыл бұрын
Goodmorning Mwamulima, Asante kwa kazi nzuri
@masungamazwazi9777
@masungamazwazi9777 3 жыл бұрын
Nakupenda Raisi wangu hayati
@mwannejuma6357
@mwannejuma6357 3 жыл бұрын
Mzee kaongoza kipindi kigumu sana cha corona bg up Father
@kyandonaomi8368
@kyandonaomi8368 3 жыл бұрын
Nafuta chozi kushoto kulia lanidondoka mwe ila roho zinatuumaa😭😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿tutakukumbuka daima baba.
@sabrinaiboma2444
@sabrinaiboma2444 3 жыл бұрын
Magufuli wetu....Rudi basi Dady labda ulienda kutembea utuambie nimerudiii Magufuli nakupenda mpaka siku ya kufa kwangu ntakuenzi milele...Mie bado NAISHI na wewe Hotuba zako za last time zanipa nguvu ........Inauma sana kumpoteza Rais mpendwa kama huyu ...kwani huko ulipo BABA yetu huoni tunavyolia wanao????? Rudi baba....😭😭😭😭😭😭😭😭💞💞💞💞💞💞💞💔💔💔💔🇹🇿✍️
@innocentdeckoks5142
@innocentdeckoks5142 3 жыл бұрын
Mungu ashampangia MEMA Dr. Magufuli, ako mahali pema, pasipo na shida za hapa duniani, kwani kama angekuwa na moyo wa watu wengi duniani hasa wakati huu asingelihurumia wachochole. Mungu aibariki familia yake na Tanzania kwa jumla.
@yohanamagele3633
@yohanamagele3633 3 жыл бұрын
Rest in Peace king of kings of africa 😭😭😭😭 Ee Mungu tupe uvumilivu.
@geraldodingo3052
@geraldodingo3052 3 жыл бұрын
Tumebaki na wezi na tunarudi pale pale alipotutoa king of Africa
@emiryfaida2437
@emiryfaida2437 3 жыл бұрын
Huyondo alikua jpm hakika tumekumc watanzania
@amiryhamza1984
@amiryhamza1984 3 жыл бұрын
baba wapili wataifa umeondoka bado tunakuhitaji inauma sana mzalendo wetu
@janeachieng3685
@janeachieng3685 3 жыл бұрын
Ai yawa Magufuli... forever missed!
@charleschuss7699
@charleschuss7699 3 жыл бұрын
😭 umetuonyesha maana ya kua kiongoz cjui kama atatokea mwinginetena
@jumakalukule5312
@jumakalukule5312 3 жыл бұрын
Pumzika salama mzeewangu
@bonifacemsimbehuto6710
@bonifacemsimbehuto6710 3 жыл бұрын
R.I.P the really fighter of our nation. I am hopeful Her excellency Samia Suluhu will make it . So pain.
@emiryfaida2437
@emiryfaida2437 3 жыл бұрын
Nilikupenda sana rais wangu
@godfreycharlessrarariae3619
@godfreycharlessrarariae3619 3 жыл бұрын
Daah ni ngumu kuamini---ila Mungu ameamua hatuna lakufanya na yeye mwenyewe Mungu ansjua nini ametukusudia Watanzania--Ameandaa njia ya Watanzania
@nasrahassanmasesa3745
@nasrahassanmasesa3745 3 жыл бұрын
Pumzika kwa amani hayat jpm
@gracemima5234
@gracemima5234 3 жыл бұрын
Tunangoja, tunangoja, kama fedha zitarudi kwa mafisadi. Watanzania tutaona kama tutarudi kwenye hali ya zamani. Kama kuna watu walifanya mipango kumuondowa Rais Magufuli yote yatajulikana. Tutaiona nchi inadidimia. PHD ndiyo wezi. Chama cha wanasheria bila haya wamekalia kuimba katiba mpya wakati nchi bado inatafunwa . Watanzania tumefiwa. Sijui kama kuna mtu atapambana kama Rais Magufuli. WACHA TUNGOJE
@gloriachristian1470
@gloriachristian1470 3 жыл бұрын
Lala salama genius presdent sijui ni lini atazaliza mbeba maono kama weyee uwiiii hv ndo hurud
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 3 жыл бұрын
Mwamba wa Afrika 💪
@peterandrew2795
@peterandrew2795 3 жыл бұрын
Mc u dady nakupenda sana baba.
@adelambilinyi3625
@adelambilinyi3625 3 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima baba yetu Mungu akupokee
@togetherchristiansmedia3437
@togetherchristiansmedia3437 3 жыл бұрын
Rest in Peace John Magufuri
@peterandrew2795
@peterandrew2795 3 жыл бұрын
Tutakukumbuka sana baba yetuu...
@josephmsabila2592
@josephmsabila2592 3 жыл бұрын
Mie mpka Leo namaumivu sana na hyu kiongoz
@LaurenceSanga-ft7ou
@LaurenceSanga-ft7ou 21 күн бұрын
Mm nilikuchukia sana lakin leo natubu magufuli ni kichwa pekee
@hassanbinally7127
@hassanbinally7127 3 жыл бұрын
Trilion saba leo umeondoka watu wanalilia bilioni 10 za kujenga bagamoyo kutoka kwa mabeberu Mungu atawlipa hapa hapa pamoja na wote watakao haribu miradi aliyoiwacha mzee
@rehemamlowe5104
@rehemamlowe5104 3 жыл бұрын
Ujasili wako uaminifu na ubunifu ulikuwa juuuuu sana,pumzika baba
@josephinanikwelimdacki3330
@josephinanikwelimdacki3330 3 жыл бұрын
Baba ikulu imelud daresalama ulisema kweli hakuna wakuyafuata ila tuna zidi kumuomba Mungu
@muhitiraamissy7198
@muhitiraamissy7198 Жыл бұрын
Africa in note poor kwelikabisa
@josephanthony2203
@josephanthony2203 3 жыл бұрын
Ifeke mahali wafrika tuchukue atua hii mambo ya kola mzalendo anajitokeza anakufa bila sababu za msingi huku tukisema rest in pice sikubaliani nazo wazungu watatumaliza
@MosesJani
@MosesJani 3 жыл бұрын
Hotuba hizi ziwe ndio kioo cha kila kiongozi Tanzania. Asiefuata ahukumiwe hadharani.
@alfredbomani8047
@alfredbomani8047 3 жыл бұрын
An able amd exceptional leader. Such leaders are born once in as many decades Viongozi wa aina ya JPM wanapatikana mara mpja kwa miaka makumi ipitayo. SIJUI SIELEWI SIONI
@bahatimohamedi6379
@bahatimohamedi6379 3 жыл бұрын
Tutakukubuka sanaa 😭😭 kiongozi wetu 😭😭😭😭😭😭😭
@newbornhaule1635
@newbornhaule1635 3 жыл бұрын
JPM kamanda wetu wale washenzi leo wanasema wewe ulikua kiongozi bora sana na wale wema na walikuunga mkono wakisema wapo tayari kufata nyayo zako wanasema ulikosea kwakua ulishauliwa vibaya
@siphaeldavid206
@siphaeldavid206 3 жыл бұрын
Sa neno la Mungu umesahau imekua neno la Maguful
@janeachieng3685
@janeachieng3685 3 жыл бұрын
Nimesikiza tena haya maneno ya JPM.....machozi tupu. Mungu saidia Tanzania.
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
Bony Just Wants To Take A Shower #animation
00:10
GREEN MAX
Рет қаралды 7 МЛН
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 20 МЛН
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 27 МЛН
Get 10 Mega Boxes OR 60 Starr Drops!!
01:39
Brawl Stars
Рет қаралды 19 МЛН
IDF: Israel targets 10 different areas of Lebanon  | LiveNOW from FOX
11:56
Kauli 10 Tata za Magufuli Lazima Uzikumbuke Kabla Ya Uchaguzi 2020
7:20
Top Stories Tanzania
Рет қаралды 3,2 МЛН
Bony Just Wants To Take A Shower #animation
00:10
GREEN MAX
Рет қаралды 7 МЛН