Askofu Mkuu Damian Dallu ageuza Msiba kuwa Furaha, waamini waangua vicheko kwa maneno yake Msibani

  Рет қаралды 67,056

Jugo Media

Jugo Media

3 жыл бұрын

Tafadhari Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
Jumuika nasi katika mitandao mingine ya Kijamii:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
Mawasiliano:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

Пікірлер: 37
@stanslausbernard5950
@stanslausbernard5950 3 жыл бұрын
Hongera askofu umesema vizuri kulikko wabunge. Umekuwa muwazi kwa kazi nzuri iliyofanywa na hayatie John pombe magufuli. Pia umesema vema kuhusu shirika letu la ndege kumzidi spika wa bunge letu na CAG kwa kukuwa ni wasaka tonge
@damianocostantine9042
@damianocostantine9042 3 жыл бұрын
Askofu wetu wa zaman wa jimbo katoliki la Geita nakupenda sana mungu akupe nguvu uendelee kutoa huduma ya mungu
@ponsianamataka4607
@ponsianamataka4607 3 жыл бұрын
Namuona hapo Baba Askofu Mkuu Nyaisonga wa Jimbo kuu la Mbeya. Alikuwa Baba yetu Dodoma.
@johnmligo6966
@johnmligo6966 3 жыл бұрын
Safi sana ASKOFU huu ndio UKWELI unaotuweka HURU.......
@emmaculatemwigune1424
@emmaculatemwigune1424 3 жыл бұрын
Askofu wetu wa Jimbo la Songea barikiwa baba
@vantyger3254
@vantyger3254 3 жыл бұрын
asante baba waambie wajue aliyo yafanya magu ni yakuigwa
@enockcharles6835
@enockcharles6835 3 жыл бұрын
Ahsante sana, Watanzania ni muhimu sana kumuenzi Magufuli kwa aliyoyafanya.
@brandinahongerasanabugomba1583
@brandinahongerasanabugomba1583 3 жыл бұрын
Amina sana asikofu dalu sauti yako tumeisikia
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 3 жыл бұрын
Magufuli Mungu amweke pema . Miundo mbinu hii yeye ni muhusika mkuu.
@Deonfnyoni
@Deonfnyoni 3 жыл бұрын
Nakukubali sana baba askofu daru Mungu akubariki
@LucasLusian-ik5bc
@LucasLusian-ik5bc
Hongera baba askofu mwenye masikio asikie na mwenye macho aone
@starentrepreneurgeneral
@starentrepreneurgeneral Жыл бұрын
Huyu Askofu anaakili Sana
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 3 жыл бұрын
Hahaaa ndege zinapishana Kama kunguru wa dar hahahaha nimefurahi Mungu akubariki Baba kwa kuliona hili,
@zegelibilishanga4761
@zegelibilishanga4761 3 жыл бұрын
Kama tungekuwa na mababa wazalendo kama ww nchi ingeenda mbele
@princepiusmutaihwa9606
@princepiusmutaihwa9606 3 жыл бұрын
Khasante sana baba Askofu mkuu jimbo katoliki la Songea
@elyhillary2000
@elyhillary2000 Жыл бұрын
Aminaaa
@josephmgongolwa9496
@josephmgongolwa9496 3 жыл бұрын
Kwakweli magufuri adumu
@StephanoGwelino-so1cn
@StephanoGwelino-so1cn Жыл бұрын
Anatuchanganya waumini kama katumwa na chama atuachie kanisa letuu
@colmankissima4963
@colmankissima4963 3 жыл бұрын
Askofu hana taarifa kuwa huduma ndiyo ilitafuna mashirika au kajisahaulisha makusudi. Cost benefit analysis muhimu kwenye kila biashara
@antoniambogolo3628
@antoniambogolo3628 3 жыл бұрын
Asnte baba yet daru
MAOMBI YA ASUBUHI by Innocent Morris
16:53
Holy Spirit Connect
Рет қаралды 718 М.
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 91 МЛН
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 15 МЛН
BABA ASKOFU NA KARISMATIKI KATOLIKI JIMBO LA NJOMBE
7:43
Mahubiri Karismatiki Katoliki Njombe Tv
Рет қаралды 8 М.
Padre Dkt Kamugisha: Tawala Uso wako/ Nyakati 2 za kufunga mdomo
31:34