Askofu Mkuu Dallu avunja Ukimya/ Asema Kukanyaga Mafuta ni Kufuru/ Waamini waaangua vicheko baada..

  Рет қаралды 4,615

Radio Maria Tanzania

Radio Maria Tanzania

Жыл бұрын

Radio Maria Tanzania
S.L.P 34573,
Mikocheni Industrial Area plot no. 125,
Barua pepe: info.tan@radiomaria.org
Wavuti: www.radiomaria.co.tz
Mitandao Mingine ya Kijamii:
Facebook: Radio Maria Tanzania
Facebook Link: / radiomaria.tanzania
Instagram: Radio Maria Tanzania
Instagram Link: / radiomariatanzania
Radio Maria Tanzania, Sauti ya Kikristu Nyumbani Mwako.

Пікірлер: 35
@helencyprian8745
@helencyprian8745 5 ай бұрын
Asante sana baba askofu Dallu kwa ukweli huo
@peterkasenga8404
@peterkasenga8404 Жыл бұрын
Amina
@michaelnyello3719
@michaelnyello3719 Жыл бұрын
Mafundisho Mazuri Sana Baba Askofu🙏🙏
@agnesshayo9371
@agnesshayo9371 Жыл бұрын
Asante sana Baba Askofu Mkuu Damian Denis Dallu. 🙏🙏Umesema vyema tuombe tu Mungu ATUSAIDIE🙏🙏
@lucynzenga8024
@lucynzenga8024 Жыл бұрын
Asante baba kwa mafundisho mazuri
@TajiliusNdau
@TajiliusNdau 2 ай бұрын
Kukanyaga mafuta wenyewe hule ni wizi kwa sababu mungu aliumba ulmwengu kwa wema tumjue mungu sio kukanyaga mafuta
@eliyakinyaiya
@eliyakinyaiya Жыл бұрын
Ahsante Baba askofu Dallu wa mafundisho mazuri sana 🙏
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 Жыл бұрын
Religious teachings not spiritual ones
@AstridaNdovanga-tz6vj
@AstridaNdovanga-tz6vj Жыл бұрын
Sasa kama nimafuta matakatifu kwanini ukanyage
@brunoh_bx
@brunoh_bx Жыл бұрын
Nimeyapenda haya mahubiri yamenibariki sana🙏
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 Жыл бұрын
Pole sana
@brunoh_bx
@brunoh_bx Жыл бұрын
@@patsonkyando1732 Pole wewe
@editamujuni94
@editamujuni94 Жыл бұрын
Ubalikiwe baba
@michaelmagembe5069
@michaelmagembe5069 Жыл бұрын
tunataka maaskofu kama hawa 10 tu wanatosha
@agnesshayo9371
@agnesshayo9371 Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@efrosinamwanja7309
@efrosinamwanja7309 Жыл бұрын
Nasadiki kwa Roho Mtakatifu, Kanisa Takatifu Katoliki,Ushirika wa Watakatifu, Maondoleo ya dhambi,Ufufuko wa Miili,na Uzima wa Milele.Amina.
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 Жыл бұрын
Dini hiyo, Yesu Kristo Akusaidie kuijua kweli yake
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 Жыл бұрын
Mh! Umekariri vibaya,pambanua Leo Neno Kwa Neno Sala hyo,maana sio ya kweli ni ya kubuni Ili kupofusha wengi!
@felixlubuva5472
@felixlubuva5472 Жыл бұрын
Mafundisho ya mnibariki Tena kila jambo limejipambambanua
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 Жыл бұрын
KANISA KATOLIKI huwapumbaza watu wafikiri kwamba ukizikwa Kwa nyimbo za DINI na viongozi wakidini kunauhusiano na kwenda mbnguni/ paradiso na hvyo WTU wengi hulazmika kutii Kwa kicho Cha kidini wakijua watamwona Mungu Kwa njia hiyo!. Hakuna kitu km hcho,hata uzikwe na mapadre na mkuu wao yule mkuu,hueziiona mbngu Kwa vyovyote vle Isipokuwa Kwa mambo 3 Kupokea neema ya wokovu,kubatizwa ubatizo WA KWELI na kuishi utakatifu mambo ambayo yte hupingwa na taasisi hii km sio kugeuzwa Ukifa Hali umeyatimiza hayo,ht usipozikwa wewe n paradiso,huna hayo matatu ht aje papa kukuzika haitakusaidia lolote!
@helencyprian8745
@helencyprian8745 7 ай бұрын
Amini kile unachoamini, wacha waamini wanachoamini.
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 Жыл бұрын
Kama Kukanyaga mafuta ya upako Ni kufuru tumia Maandiko ya biblia siyo kusema tu ya kichwani mwako hiyo kofia ni ya duniani tu,Torati 33: 24
@catholicmusicianorganisati7353
@catholicmusicianorganisati7353 Жыл бұрын
kofia hiyo imeokotwa?Tangu lini Mafuta matakatifu unakanyaga?acha upagani
@magreth
@magreth Жыл бұрын
Vitu vingine sio maandiko ndugu, ni kutumia tu reasoning tuliojaliwa na Mungu....wapi kwenye bibilia pameandikwa ukikanyaga bibilia no kufuru?? Lakini Kwa akili za utashi na ufunuo wa Roho Mtakatifu huwezi kukanyaga bibilia Sasa kama umeelewa hivyo kuelewa kama kukanyaga bibilia inaweza kua kufuru basi ni rahisi kuelewa kukanyaga mafuta ya krisma ni kufuru just logically
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 Жыл бұрын
@@magreth dada Kama ni mafuta hayo sawa lakini Kama ni kukanyaga mafuta ya upako kibiblia ipo siyo kufuru usiishi kidini ishi kiroho, Mungu ni Roho (siyo Dini)so wamuabuduo imewapasa kumuabudu katika Roho na kweli (siyo katika Dini )
@magreth
@magreth Жыл бұрын
@@patsonkyando1732 Lete kifungu Cha kukanyaga mafuta ya upako sio kufuru....
@magreth
@magreth Жыл бұрын
@@patsonkyando1732 na nani kakwambia Mimi namuabudu Mungu kwenye dini? Unafahamuje connection yangu na Mungu kama ni ya kiroho?hapo ndugu zetu ndo mnapokosea kuhisi kwamba unapojibiwa basi umejifungamanisha kwenye dini
@TajiliusNdau
@TajiliusNdau 2 ай бұрын
Kukanyaga mafuta wenyewe hule ni wizi kwa sababu mungu aliumba ulmwengu kwa wema tumjue mungu sio kukanyaga mafuta
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 8 МЛН
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 7 МЛН
Я не голоден
01:00
К-Media
Рет қаралды 9 МЛН
Why UK 🇬🇧 is going Bankrupt? : Detailed Economic Case Study
20:37