KABLA YA KUUMBWA DUNIA ALLAH ALIKUA WAPI?// SHEIKH OTHMAN MAALIM

  Рет қаралды 381,549

arkas online tv

arkas online tv

9 ай бұрын

Ni swali zito lakini hata Mtume wetu aliulizwa swali hili
ambalo limejikita sana katika TAUHID

Пікірлер: 501
@jeremiahmoemi9606
@jeremiahmoemi9606 7 ай бұрын
Nilisilimu mimi na familia yangu yote kwa ajili ya haya mawaidha ya kupendeza hivy😊❤
@aishawangui-pr4ye
@aishawangui-pr4ye 7 ай бұрын
Neema kumbwa iyo Allahu Akbar..mimi peke ata watoto wangu bado ..yarabbi fungua roho ya watoto wangu waseme shade kabla mauti
@HASSANNGOME-ow3ob
@HASSANNGOME-ow3ob 7 ай бұрын
Mashaallah! Allah akupe ucha mungu wewe pamoja na familia yako
@adijarashidswedi6979
@adijarashidswedi6979 7 ай бұрын
Manshallah 🤲
@abdullakhalfan31
@abdullakhalfan31 6 ай бұрын
MASHAA ALLAH
@yaedlifemedia3203
@yaedlifemedia3203 6 ай бұрын
​@@aishawangui-pr4yehakika watakuwa kwa uwezo wa Allah
@Seifchui007
@Seifchui007 Ай бұрын
Sheikh Athuman maalim ni mtu WA maana kabisa Allah akupe umri mrefu
@jumannembaraka5528
@jumannembaraka5528 Ай бұрын
Mungu akujaalie umri mrefu uzidi kutupa elimu
@Felice_Dubet
@Felice_Dubet Ай бұрын
Alhamdullilah suala la mungu watu wengi wanajiuliza. Sheekhe wewe umejibu vizuri masha Allah. Allah akupe baraka
@moodyyahaya3040
@moodyyahaya3040 Ай бұрын
A.alyekum
@iddikimia4951
@iddikimia4951 8 ай бұрын
Shekh Othman Allah akupe umri mrefu na afya njema❤
@fatmaomar2996
@fatmaomar2996 5 ай бұрын
Amiiiiiiiiiiiin Amiiiiiiiiiiiin thumma AmiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiinN
@user-ie7yt9db6f
@user-ie7yt9db6f 2 ай бұрын
Ameen ya rabi
@badruboy__
@badruboy__ Ай бұрын
Amin 🤲
@nassorali1034
@nassorali1034 Ай бұрын
Amiiin walahi laadhim ishaallah amjaalie
@seiffakir8694
@seiffakir8694 Ай бұрын
Amin 🤲
@mrishosudi1896
@mrishosudi1896 9 ай бұрын
Allah Allah Allah Mawaidha Matam sana Allah azidi kumpa Afya Shekh wetu lakini pia na wanao fatilia darsa hili kwa nia ya kheri😊
@cishahayoali1136
@cishahayoali1136 7 ай бұрын
Mashaallah, sheikh wetu Allah akulipeni pepo ya firdaus aalaa, Ameen! tumeilimika kwa darsa hi!
@mussakantumba9914
@mussakantumba9914 Ай бұрын
Hata mimi swali hilo la mungu alikuwa wap lilinisumbua sana!!
@EstherKomba
@EstherKomba 2 ай бұрын
Mungu akubariki naomba t uniombee mm ni mkristo lakini nimeprndezwasana na mafundisho naomba unidlim
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 Ай бұрын
Mtafute sheikh kwa namba hizo zilizoandikwa hapo juu in shaa Allah utaufahamu zaidi Uislam na utasilimu
@dennisezakiel3380
@dennisezakiel3380 20 күн бұрын
Hivi unajua hadidhi maana yake nini?
@jymvumbi4804
@jymvumbi4804 8 ай бұрын
Subhana-Llah kwa kweli na uhakika Mungu ni Mkubwa Mno, na Ma-Sha-Allah kwa Sheikh wetu Uthman kwa kutuzindua akili kwa wenye ambao tulikuwa hatujielewi.
@user-eq9yi7pz4i
@user-eq9yi7pz4i 6 ай бұрын
Shukran shekhe wetu Kwa kutuelimisha,Allah akuzidishie kila la kher na tuzidi uelimishana na kuongozana katika mambo ya Kher In Sha Allah 🤲
@AhAu2-oi5wn
@AhAu2-oi5wn 9 күн бұрын
Barak llah....Allah akulipe kwa kutoa darsa
@user-so9rn6ld3n
@user-so9rn6ld3n 4 ай бұрын
Sheikh hongera sana kwa kazi nzuri, Mungu kakujaalia Mungu akuzidishie kheri
@user-zz1mf2st5g
@user-zz1mf2st5g 6 ай бұрын
Mwenyezi mungu azidi kukuongoza na kukuhifadhi kwa ajili ya mawaidha mazuri
@user-ct6ml1iz4z
@user-ct6ml1iz4z 9 ай бұрын
Shukrn shehe kwa darsa ya mola wetu wa haki
@ashooraashoora1180
@ashooraashoora1180 9 ай бұрын
Swallalah Allayhi Wasalam Jazzakumllah Khery
@user-he1bj6kt6y
@user-he1bj6kt6y 9 ай бұрын
Innalillah wainnailaih rajiun Allah tulinde tusiwe iblisi mpinga ukweli, ukifa 2ukweli utauona na utajutia kila lililohaqi ukalipinga.
@kimwanachangani3922
@kimwanachangani3922 9 ай бұрын
SUBHANA LLAH WALAILAHA ILA LLAH ..AL MALIK QUDUUS
@user-rz5no7us8e
@user-rz5no7us8e 9 ай бұрын
Ma Shaa Allah Tabarakallah Allah (S.W.T) akuhifadhi nakila Shari
@rukiyakibera76
@rukiyakibera76 7 ай бұрын
Sheikh tafadhali record Quran yote, ili tusikilize sisi na vizazi vijavo, tabaraka Allah
@OmanOman-bm1lr
@OmanOman-bm1lr 9 ай бұрын
Nyienaopinga maneno ya Allah someni mtajuwa kelele za nini yeye kasoma na anatowa darsa kutokana na alivosoma kama hamjasoma keleleni
@randochannel8633
@randochannel8633 9 ай бұрын
Usihangaike nao siku zote anaepinga ni mtu asiye na akili..
@ikabako2454
@ikabako2454 7 ай бұрын
Tunahoji. Allah ndio mungu ambaye hakujua kuwa jua halizami na pia ndo mungu aliyeruhusu mtoto wa miaka 6 aolewe na muhammad chizi.
@cath-ef7wd
@cath-ef7wd 7 ай бұрын
​@@ikabako2454mbwa wewe mwanaharamu kafiri mkubwa wewe...Muhammad anahusikaje hapa...??? Mbwa,nguruwe,kafir mkubwa wee
@cath-ef7wd
@cath-ef7wd 7 ай бұрын
​@@ikabako2454toto la zinaa wewe
@mwassamwassa7264
@mwassamwassa7264 6 ай бұрын
​@@cath-ef7wdYaani ndiyo kielelezo hasa cha uislam kwa jinsi unavotukana
@jannffer
@jannffer 27 күн бұрын
Glory be to God for this revelation
@mrsahmadhajraah1550
@mrsahmadhajraah1550 3 ай бұрын
Mashalah shukran sn shekh wwtu ALLAH AKUJAALIE MWISHO MWEMA, SHEKHE ZANGU OTHMANI MAALIM NA OTHMANI MICHAEL MNAFANANA USOMAJI MPAKA UONGEAJI
@user-ck3gw7ok7r
@user-ck3gw7ok7r 3 күн бұрын
Allah akulipe na akutunze❤
@mwanarusiali4430
@mwanarusiali4430 8 ай бұрын
Masha Allah.....Allahu Akbar❤
@mariamahmed6859
@mariamahmed6859 9 ай бұрын
Allahumma Amiin jazakallah kheyr shekhe wetu
@MohamedDahir-hj2oq
@MohamedDahir-hj2oq Ай бұрын
Mansha Allah sheikh othman maalim mungu akuweke wacdi hii kwa mizani yako wakati ya aqira.
@fatmehfaraj5188
@fatmehfaraj5188 9 ай бұрын
Shukran wa jazakallah kheir.Darsa nzuri yenye manufaa mashaallah
@jasminmohamed6145
@jasminmohamed6145 4 ай бұрын
SUBHANALLAH ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM Barakallahu Feek
@universitylink
@universitylink 2 ай бұрын
Mashaallah kama unesilimu kwa mawaidha kama haya ya sheikh Othman Maalim Allah akulipe kheir na yeye katika hii dunia na Akhera maana ukimuongoza mtu mmoja ni bora kuliko ngamia Mia wekundu kwa sasa magari ya thamani yawe Mia ndio uone ubora wake. Pia Mashaallah Sheikh Othman Maalim ni mfasaha sana na anafundisha kwa njia iliyo nyepesi kabisa mnyonge mnyongeni haki yake mmpeni
@user-lc5wf4ly3i
@user-lc5wf4ly3i 4 ай бұрын
Alhamdulilah shekhe Tunaelimika sana mawaidha yako yote yanatutowa kwenye kiza .Allah akulinde namashaani wakibinadamu na mashaitwaan wa kinijini (Ameen) Allah akupe umri mrefu( Ameen)
@swalehalaidaroos6074
@swalehalaidaroos6074 8 ай бұрын
TAKBIIIIR...ALLAHU'AKBAAR Jazakallah kher'inshallah yaa sheikhuna,
@user-dl1ju4ge3x
@user-dl1ju4ge3x 7 ай бұрын
Allah akutunze shekhe Othman, nimejifunza
@abdaladelo371
@abdaladelo371 9 ай бұрын
Allahu akbaru lahhawla Wala quwata ila bilahi
@Happy-be8hh
@Happy-be8hh 9 ай бұрын
Kiufupi كان الله قبل خلق الزمان والمكان، وهو الآن على ما عليه كان Allah alikuepo kabla ya kuumba nyakati na sehemu, na yeye sasa hivi yupo alipokuepo
@AthmanMasini
@AthmanMasini 9 ай бұрын
Mungu akuzidishie umri mrefu uzidi kutunaswia😊😊
@user-mb3fk4kb8n
@user-mb3fk4kb8n 9 ай бұрын
Masha Allah jazaakallhahu-lkhair.
@ashajumasaid7285
@ashajumasaid7285 9 ай бұрын
Shukran Sana shekhe, kwa elimu..Barakallahu fiikum
@mohamedswadiq6732
@mohamedswadiq6732 9 ай бұрын
Darsa Ya Elimu MashaAllah
@user-eq9yi7pz4i
@user-eq9yi7pz4i 6 ай бұрын
Ma Sha Allah,kisa kizur nimejifunza mengi Alhamdulillahi
@zainabuabdi8549
@zainabuabdi8549 9 ай бұрын
Jazakalahu kher nimefaidika barakalahu feel
@khalidirashidi2196
@khalidirashidi2196 4 ай бұрын
Mungu akulipe pepo shekhe wangu mi nitakuwa Askari wako wa peponi ishaallah
@seifomary8034
@seifomary8034 8 ай бұрын
Mashallah Allah akuifazi maalim
@rabahaburrhan3886
@rabahaburrhan3886 8 ай бұрын
Shukran Shiekh wetu❤
@thumnathumna5946
@thumnathumna5946 9 ай бұрын
Alhamdulilah. nakumbuka nikiwa mdogo nilimuuliza ili swali mama yangu.Nakumbuka nilimsumbua sana kila akinielewesha ndipo nilizidi kumuuliza zaidi.Mwisho akaniambia nilale , nikiamka atanipa jibu sahihi.
@nismaali2982
@nismaali2982 8 ай бұрын
Allahu akibar ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@jeremiahmoemi9606
@jeremiahmoemi9606 7 ай бұрын
MashaaAllah jazakaAllahu khayran
@evordluanda5184
@evordluanda5184 2 ай бұрын
Kumbe karamu nayo Mungu aliiumba. Nikajua imetengenezwa na Binadamu.
@user-vg7sh1qi5j
@user-vg7sh1qi5j 22 күн бұрын
Allah(s.w) ameumba kila ktu kilichomo Mbinguni na ardhini! Allah ametupa elimu tu sisi wanaadamu ya kutengeneza vitu kwa uwezo wake yy! Alimfundish adam majina ya vitu vyotee vilivyomo duniani kwahyo tayar Allah aliumba kila ktu.
@user-hj9wd4nc2y
@user-hj9wd4nc2y 23 күн бұрын
Mashaalla othuman. Mungu akupe umri mrefu tuendele kujifunza darasa
@minabuelysee8
@minabuelysee8 9 ай бұрын
MashaAllah Sheikh wetu
@silviaamos-pl5lk
@silviaamos-pl5lk Ай бұрын
Shekhe mungu akupe umri mrefu nimependezewa Sana na mawaidha yako,
@abdulimaliki
@abdulimaliki 5 ай бұрын
❤laailaaha illallhu.. muhamad. Rasulu llh
@user-pu2mp6th3s
@user-pu2mp6th3s 9 ай бұрын
Sheikh,Allah akupe umri mkubwa ,afya,uzima ,lakini pia fursa ya kutufundisha Elimu hii,na nyingine zote njema. Ni Mimi banda HALIFA nchasi wa PahiKondoa
@minabuelysee8
@minabuelysee8 9 ай бұрын
Amin
@thuleythasule7036
@thuleythasule7036 8 ай бұрын
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
@thuleythasule7036
@thuleythasule7036 8 ай бұрын
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
@thuleythasule7036
@thuleythasule7036 8 ай бұрын
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
@thuleythasule7036
@thuleythasule7036 8 ай бұрын
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
@jeremiahmoemi9606
@jeremiahmoemi9606 7 ай бұрын
Uìslamu ndio Dini ya haki waaAllahu akbar
@mwassamwassa7264
@mwassamwassa7264 6 ай бұрын
Na ndiyo maana majini yalisilimu kuwa waislam.
@user-ce4ec5vc7j
@user-ce4ec5vc7j 6 ай бұрын
Naona kafiri unateseka sana😂😂😂
@leedsoldat4189
@leedsoldat4189 Ай бұрын
Sasa Nan kafir apo????​@@user-ce4ec5vc7j
@handsomembuvi
@handsomembuvi Ай бұрын
​@@mwassamwassa7264 Ndio, majini yanaona haki na binadamu aliyeahinda jini akili anashindwa kufutata haki
@rajabukimosa3377
@rajabukimosa3377 9 ай бұрын
Mashaallah 🎉🎉
@swalehemhando6921
@swalehemhando6921 9 ай бұрын
Jazakhalah kheir shekh
@user-lh8uc4re6o
@user-lh8uc4re6o 2 күн бұрын
Allah akupe heri nyingi
@Issa_negro
@Issa_negro 4 ай бұрын
God is great fr😢
@allyhassanabdallah4295
@allyhassanabdallah4295 9 ай бұрын
Allahumma bariq
@issakawaya8315
@issakawaya8315 9 ай бұрын
Allah atuzidishie elimu
@kibibijaphary6918
@kibibijaphary6918 7 ай бұрын
Allah Akbar Allah Akulinde Mashaa Allah Nimepata Darsa zuri kabisaa
@asharamadhan710
@asharamadhan710 9 ай бұрын
SubhanaAllah
@user-no8yh4ub7l
@user-no8yh4ub7l Ай бұрын
Mashaallh Mungu akipenda umri mrefu na afya njema amen
@AlhabibMujahiddjibril
@AlhabibMujahiddjibril Ай бұрын
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, أسأل الله أن يجعل الشيخ من أهل الجنة وأن يطول في عمره بالخير والصحة والبركات اللهمّ إني أسألك أن تقابلني في جنات الأمس، اللهمّ الشيخ العثماني معلم، أحبه إليك، قد لا أستطيع الجلوس بجانبه لكثرة الناس، لكن ربي
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 9 ай бұрын
Ma Shaa Allah upo sahihi sheikh
@dallatode8295
@dallatode8295 9 ай бұрын
Ma sha Allah
@abdallaismail2427
@abdallaismail2427 7 ай бұрын
Niko na suali kwako Sheikh langu Allah akubarikie.... Umesema kua Allah kitu cha kwanza aliumba ni Kiti chake cha enzi, kiti hiki kiliwekwa juu ya maji, na kiumbe cha pili ni kalamu, Jee hiki kiumbe maji kiliumbwa kilikua namba ngapi ? Kwa maana umesema kua kiti cha enzi kiliwekwa juu ya maji jee haya maji yalikuwepo kabla ama ni vipi hapo sijafahamu naomba unifahamishe,, Napenda sana mawaidha yako Sheikh. Allah akujazi killa la kheri daima
@ramadhaniayoub8171
@ramadhaniayoub8171 5 ай бұрын
Allah akisema kuwa na kina kuwa
@kipangatz19
@kipangatz19 Ай бұрын
Maji yalikuwa hali ya gesi
@zangzang1574
@zangzang1574 Ай бұрын
Hutopata jibu apo shehe wangu.kuna kiti kuna karamu.sasa hiki kiti kilikaaa wapi? Na maji yalitokea wap Na yeye aliumba kiti kwaajili gani? uliza kama utapata jibu. 😂😂😂
@zangzang1574
@zangzang1574 Ай бұрын
Story
@ismailhassan5209
@ismailhassan5209 17 күн бұрын
Allah namuomba anikutanishe nawe live kabla ya kufa nimuombe Allah akupe ninachokipeda kutoka kwake akupe maana wewe ni wa kuombewa jema wala siyo baya inshaallah
@Bossnyawonlinetv
@Bossnyawonlinetv 9 ай бұрын
allah akubarik
@RahimKhamis-zy3np
@RahimKhamis-zy3np 9 ай бұрын
Shukran shekh wetuu
@hidayashabani5897
@hidayashabani5897 2 ай бұрын
Mashallah,Shukran sana kwa mawaidha haya
@user-fc5ep5ib4p
@user-fc5ep5ib4p 6 ай бұрын
Allah akulinde kama alivyomlinda mtume wetu katika pango
@AshouHumaid
@AshouHumaid 8 ай бұрын
Mashaa Allah
@nassorali1034
@nassorali1034 Ай бұрын
Umur twawil ya shekh othmani maalim .....na Akher twayib inshaallah ...yaatikil.afya
@abdulimaliki
@abdulimaliki 5 ай бұрын
Maasha. Allh. Ummat. Muhammd. S. W. S.
@user-zt6re1dr5f
@user-zt6re1dr5f 4 ай бұрын
Shekh Allah akulipe kesho akhera,biidhinlah
@lilatito2816
@lilatito2816 Ай бұрын
Allah akupe salama mwalimu bali ningependa kisa hiki kiendelee zaidi
@rubbyruu7172
@rubbyruu7172 6 ай бұрын
MashaAllah MUNGU awahifadhi nyote mulio silimu mume ufuata njia sahihi
@SaidNuta
@SaidNuta 8 ай бұрын
Allahu akibar
@LinconLopez
@LinconLopez Ай бұрын
Subhanallah laah ilah anta subhana khain kuntu mina dhwalimin
@marietheresenyandwi8671
@marietheresenyandwi8671 3 ай бұрын
❤jaazakhallah kheir ❤
@user-kz9kk9bw7u
@user-kz9kk9bw7u 5 ай бұрын
Mashaalaah Allah akuhifadhi na akupe umri uzidi kutuelimisha
@allysaid6984
@allysaid6984 4 ай бұрын
Sheikh nakupenda Kwa ajili ya Allah naomba anijalie niwe kama ww
@nooraahmed6948
@nooraahmed6948 9 ай бұрын
Jazzakum kheir
@dotoayubu7939
@dotoayubu7939 8 ай бұрын
MashaAllah
@user-zh1bp3du8w
@user-zh1bp3du8w 2 ай бұрын
Baaraka llaahu laka Othman
@AlhabibMujahiddjibril
@AlhabibMujahiddjibril Ай бұрын
عسى أن أكون ممن يتقربون إليه في الجنة
@Khalifaibrahim-oh7ti
@Khalifaibrahim-oh7ti Ай бұрын
Allah akuhifandhi sheikh othuman maalim
@ARAFATVSHOW
@ARAFATVSHOW 2 ай бұрын
MANSHALLAH ❤️
@user-dr3mg5ey6f
@user-dr3mg5ey6f 3 ай бұрын
Allah kullipe shekhe kwa ellimu unaito kwa jamio
@maulidmohammed3416
@maulidmohammed3416 7 ай бұрын
Mashallah my sheikh
@mussakantumba3404
@mussakantumba3404 9 ай бұрын
Allaah akujaze Elimu Shyk Othman Mlm
@mudybeka6698
@mudybeka6698 8 ай бұрын
Aamin
@suleymanhumoud5231
@suleymanhumoud5231 9 ай бұрын
Alhamdullilah
@user-xc4ml1qh9v
@user-xc4ml1qh9v 9 ай бұрын
Mtakuja kujua siku ikifika ukweli si ukweli mtajua siku iyo mwenyezi mungu ni mjuzi wa kila kitu ni heri tunao amini kabla kuliko msiyo amini kabla yote ya mwenyezi mungu mjuzi wa kila kitu kinacho onekana na kisicho onekana!!!!
@abuuhafswamunsheedu5790
@abuuhafswamunsheedu5790 9 ай бұрын
Subhaanallah
@husseinibrahim5438
@husseinibrahim5438 9 ай бұрын
ALLAHU AKBAR
@OmanOman-bm1lr
@OmanOman-bm1lr 9 ай бұрын
Ukitaka kujuwa ukubwa wa Allah jitafakari ulikaa vipi tumboni kisha akaja jiona kushakuwa mkubwa ndoo utajitambuwa kuna mtuu alojijuwa uchanga wake someni sio mpinge na kushangaa kama kalamu imeumbwa
@user-dc3zf2xi8y
@user-dc3zf2xi8y 8 ай бұрын
Takbiiir Allah Akbar...Suburban Allah...!!!!
@kandellahramadan5794
@kandellahramadan5794 5 ай бұрын
ALLAHU AKBAR
@FahadNassor
@FahadNassor 9 ай бұрын
Maashaallah
@mshamuwadhamira8346
@mshamuwadhamira8346 6 ай бұрын
Maana yake Kwa hadithi inaonesha MAJI yaliumnwa mwanzo kabla ya Arsh ndio maana Arsh ikawekwa juu ya MAJI. Ma Shaa Allah. Raha sana
@sama-_8368
@sama-_8368 3 ай бұрын
Kweli kabisa maji ndio ya mwanzo kwa maelezo hayo
@yasinabdulkadir1925
@yasinabdulkadir1925 3 ай бұрын
Nadhani nimeelewa kama wewe.
@mussakantumba9914
@mussakantumba9914 Ай бұрын
Naam kiumbe cha kwanza kuumbwa na Allaah ni Maji=,(bahari saba) cha pili ni Arshi,=( ndio kiumbe kikubwa kuliko viumbe vyote ni kubwa sana hadi haielezeki) Ama kalamu ni kiumbe cha kwanza kwa maana ya kuwa ni cha kwanza kuumbwa kabla ya kuumbwa viumbe vyote baada ya Maji na Arshi. Maana maji na arshi ni viumbe alivyo jinasibisha navyo na ndio maana kuna; Maji, kisha Arshi ipo juu ya Bahari ya saba na Allaah yupo juu ya hiyo arshi lakini bila ya kuitegemea hiyo Arshi na huku akiwa ni mwingi wa kutenda alipendalo.
@user-fj1cf4fs8b
@user-fj1cf4fs8b 6 ай бұрын
Natamani niwemwnafunzi wa huyu sheikh anajua sana nimsomi hassa
BABA AWAOMBA RAZI WATOTO WAKE SHEIKH OTHMAN MAALIM
48:26
J TV ZNZ
Рет қаралды 71 М.
Othaman Maalim - Ninani Mtu Bora. Part1  & 2
2:35:40
Saleh Ally
Рет қаралды 297 М.
Зомби Апокалипсис  часть 1 🤯#shorts
00:29
INNA SERG
Рет қаралды 5 МЛН
Самый большой бутер в столовке! @krus-kos
00:42
Кушать Хочу
Рет қаралды 7 МЛН
Teenagers Show Kindness by Repairing Grandmother's Old Fence #shorts
00:37
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 11 МЛН
SIFA ZA WACHAMUNGU  JEE NA WEWE UMO ? // SHEIKH OTHMAN MAALIM
53:20
arkas online tv
Рет қаралды 3,4 М.
KISA CHA MALAIKA WALIOKUJA KUFUNDISHA UCHAWI- NO 1 //SHEIKH OTHMAN
29:15
arkas online tv
Рет қаралды 189 М.
KISA CHA NABII IDRISA NA MALAIKA MTOA ROHO //SHEIKH OTHMAN MAALIM
19:47
KISA CHA NABII MUSSA NA FIRAUNI //SHEIKH OTHMAN MAALIM
40:28
arkas online tv
Рет қаралды 216 М.
Sheikh Othman Maalim - Fuata Mambo Haya
1:00:02
Khidhry 29
Рет қаралды 40 М.
BUSHMAN PRANK on CAT😂 #cat #cats #shorts
0:12
COSEFNASTYA SHORTS
Рет қаралды 17 МЛН
How to open a can? 🤪 lifehack
0:25
Mr.Clabik - Friends
Рет қаралды 10 МЛН