Allah Allah Allah Mawaidha Matam sana Allah azidi kumpa Afya Shekh wetu lakini pia na wanao fatilia darsa hili kwa nia ya kheri😊
@cishahayoali11367 ай бұрын
Mashaallah, sheikh wetu Allah akulipeni pepo ya firdaus aalaa, Ameen! tumeilimika kwa darsa hi!
@mussakantumba9914Ай бұрын
Hata mimi swali hilo la mungu alikuwa wap lilinisumbua sana!!
@EstherKomba2 ай бұрын
Mungu akubariki naomba t uniombee mm ni mkristo lakini nimeprndezwasana na mafundisho naomba unidlim
@rayisadesigns2646Ай бұрын
Mtafute sheikh kwa namba hizo zilizoandikwa hapo juu in shaa Allah utaufahamu zaidi Uislam na utasilimu
@dennisezakiel338020 күн бұрын
Hivi unajua hadidhi maana yake nini?
@jymvumbi48048 ай бұрын
Subhana-Llah kwa kweli na uhakika Mungu ni Mkubwa Mno, na Ma-Sha-Allah kwa Sheikh wetu Uthman kwa kutuzindua akili kwa wenye ambao tulikuwa hatujielewi.
@user-eq9yi7pz4i6 ай бұрын
Shukran shekhe wetu Kwa kutuelimisha,Allah akuzidishie kila la kher na tuzidi uelimishana na kuongozana katika mambo ya Kher In Sha Allah 🤲
@AhAu2-oi5wn9 күн бұрын
Barak llah....Allah akulipe kwa kutoa darsa
@user-so9rn6ld3n4 ай бұрын
Sheikh hongera sana kwa kazi nzuri, Mungu kakujaalia Mungu akuzidishie kheri
@user-zz1mf2st5g6 ай бұрын
Mwenyezi mungu azidi kukuongoza na kukuhifadhi kwa ajili ya mawaidha mazuri
@user-ct6ml1iz4z9 ай бұрын
Shukrn shehe kwa darsa ya mola wetu wa haki
@ashooraashoora11809 ай бұрын
Swallalah Allayhi Wasalam Jazzakumllah Khery
@user-he1bj6kt6y9 ай бұрын
Innalillah wainnailaih rajiun Allah tulinde tusiwe iblisi mpinga ukweli, ukifa 2ukweli utauona na utajutia kila lililohaqi ukalipinga.
@kimwanachangani39229 ай бұрын
SUBHANA LLAH WALAILAHA ILA LLAH ..AL MALIK QUDUUS
@user-rz5no7us8e9 ай бұрын
Ma Shaa Allah Tabarakallah Allah (S.W.T) akuhifadhi nakila Shari
@rukiyakibera767 ай бұрын
Sheikh tafadhali record Quran yote, ili tusikilize sisi na vizazi vijavo, tabaraka Allah
@OmanOman-bm1lr9 ай бұрын
Nyienaopinga maneno ya Allah someni mtajuwa kelele za nini yeye kasoma na anatowa darsa kutokana na alivosoma kama hamjasoma keleleni
@randochannel86339 ай бұрын
Usihangaike nao siku zote anaepinga ni mtu asiye na akili..
@ikabako24547 ай бұрын
Tunahoji. Allah ndio mungu ambaye hakujua kuwa jua halizami na pia ndo mungu aliyeruhusu mtoto wa miaka 6 aolewe na muhammad chizi.
@cath-ef7wd7 ай бұрын
@@ikabako2454mbwa wewe mwanaharamu kafiri mkubwa wewe...Muhammad anahusikaje hapa...??? Mbwa,nguruwe,kafir mkubwa wee
@cath-ef7wd7 ай бұрын
@@ikabako2454toto la zinaa wewe
@mwassamwassa72646 ай бұрын
@@cath-ef7wdYaani ndiyo kielelezo hasa cha uislam kwa jinsi unavotukana
@jannffer27 күн бұрын
Glory be to God for this revelation
@mrsahmadhajraah15503 ай бұрын
Mashalah shukran sn shekh wwtu ALLAH AKUJAALIE MWISHO MWEMA, SHEKHE ZANGU OTHMANI MAALIM NA OTHMANI MICHAEL MNAFANANA USOMAJI MPAKA UONGEAJI
@user-ck3gw7ok7r3 күн бұрын
Allah akulipe na akutunze❤
@mwanarusiali44308 ай бұрын
Masha Allah.....Allahu Akbar❤
@mariamahmed68599 ай бұрын
Allahumma Amiin jazakallah kheyr shekhe wetu
@MohamedDahir-hj2oqАй бұрын
Mansha Allah sheikh othman maalim mungu akuweke wacdi hii kwa mizani yako wakati ya aqira.
@fatmehfaraj51889 ай бұрын
Shukran wa jazakallah kheir.Darsa nzuri yenye manufaa mashaallah
@jasminmohamed61454 ай бұрын
SUBHANALLAH ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM Barakallahu Feek
@universitylink2 ай бұрын
Mashaallah kama unesilimu kwa mawaidha kama haya ya sheikh Othman Maalim Allah akulipe kheir na yeye katika hii dunia na Akhera maana ukimuongoza mtu mmoja ni bora kuliko ngamia Mia wekundu kwa sasa magari ya thamani yawe Mia ndio uone ubora wake. Pia Mashaallah Sheikh Othman Maalim ni mfasaha sana na anafundisha kwa njia iliyo nyepesi kabisa mnyonge mnyongeni haki yake mmpeni
@user-lc5wf4ly3i4 ай бұрын
Alhamdulilah shekhe Tunaelimika sana mawaidha yako yote yanatutowa kwenye kiza .Allah akulinde namashaani wakibinadamu na mashaitwaan wa kinijini (Ameen) Allah akupe umri mrefu( Ameen)
Kiufupi كان الله قبل خلق الزمان والمكان، وهو الآن على ما عليه كان Allah alikuepo kabla ya kuumba nyakati na sehemu, na yeye sasa hivi yupo alipokuepo
@AthmanMasini9 ай бұрын
Mungu akuzidishie umri mrefu uzidi kutunaswia😊😊
@user-mb3fk4kb8n9 ай бұрын
Masha Allah jazaakallhahu-lkhair.
@ashajumasaid72859 ай бұрын
Shukran Sana shekhe, kwa elimu..Barakallahu fiikum
@mohamedswadiq67329 ай бұрын
Darsa Ya Elimu MashaAllah
@user-eq9yi7pz4i6 ай бұрын
Ma Sha Allah,kisa kizur nimejifunza mengi Alhamdulillahi
@zainabuabdi85499 ай бұрын
Jazakalahu kher nimefaidika barakalahu feel
@khalidirashidi21964 ай бұрын
Mungu akulipe pepo shekhe wangu mi nitakuwa Askari wako wa peponi ishaallah
@seifomary80348 ай бұрын
Mashallah Allah akuifazi maalim
@rabahaburrhan38868 ай бұрын
Shukran Shiekh wetu❤
@thumnathumna59469 ай бұрын
Alhamdulilah. nakumbuka nikiwa mdogo nilimuuliza ili swali mama yangu.Nakumbuka nilimsumbua sana kila akinielewesha ndipo nilizidi kumuuliza zaidi.Mwisho akaniambia nilale , nikiamka atanipa jibu sahihi.
@nismaali29828 ай бұрын
Allahu akibar ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@jeremiahmoemi96067 ай бұрын
MashaaAllah jazakaAllahu khayran
@evordluanda51842 ай бұрын
Kumbe karamu nayo Mungu aliiumba. Nikajua imetengenezwa na Binadamu.
@user-vg7sh1qi5j22 күн бұрын
Allah(s.w) ameumba kila ktu kilichomo Mbinguni na ardhini! Allah ametupa elimu tu sisi wanaadamu ya kutengeneza vitu kwa uwezo wake yy! Alimfundish adam majina ya vitu vyotee vilivyomo duniani kwahyo tayar Allah aliumba kila ktu.
@user-hj9wd4nc2y23 күн бұрын
Mashaalla othuman. Mungu akupe umri mrefu tuendele kujifunza darasa
@minabuelysee89 ай бұрын
MashaAllah Sheikh wetu
@silviaamos-pl5lkАй бұрын
Shekhe mungu akupe umri mrefu nimependezewa Sana na mawaidha yako,
@abdulimaliki5 ай бұрын
❤laailaaha illallhu.. muhamad. Rasulu llh
@user-pu2mp6th3s9 ай бұрын
Sheikh,Allah akupe umri mkubwa ,afya,uzima ,lakini pia fursa ya kutufundisha Elimu hii,na nyingine zote njema. Ni Mimi banda HALIFA nchasi wa PahiKondoa
@minabuelysee89 ай бұрын
Amin
@thuleythasule70368 ай бұрын
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
@thuleythasule70368 ай бұрын
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
@thuleythasule70368 ай бұрын
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
@thuleythasule70368 ай бұрын
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
@jeremiahmoemi96067 ай бұрын
Uìslamu ndio Dini ya haki waaAllahu akbar
@mwassamwassa72646 ай бұрын
Na ndiyo maana majini yalisilimu kuwa waislam.
@user-ce4ec5vc7j6 ай бұрын
Naona kafiri unateseka sana😂😂😂
@leedsoldat4189Ай бұрын
Sasa Nan kafir apo????@@user-ce4ec5vc7j
@handsomembuviАй бұрын
@@mwassamwassa7264 Ndio, majini yanaona haki na binadamu aliyeahinda jini akili anashindwa kufutata haki
@rajabukimosa33779 ай бұрын
Mashaallah 🎉🎉
@swalehemhando69219 ай бұрын
Jazakhalah kheir shekh
@user-lh8uc4re6o2 күн бұрын
Allah akupe heri nyingi
@Issa_negro4 ай бұрын
God is great fr😢
@allyhassanabdallah42959 ай бұрын
Allahumma bariq
@issakawaya83159 ай бұрын
Allah atuzidishie elimu
@kibibijaphary69187 ай бұрын
Allah Akbar Allah Akulinde Mashaa Allah Nimepata Darsa zuri kabisaa
@asharamadhan7109 ай бұрын
SubhanaAllah
@user-no8yh4ub7lАй бұрын
Mashaallh Mungu akipenda umri mrefu na afya njema amen
@AlhabibMujahiddjibrilАй бұрын
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, أسأل الله أن يجعل الشيخ من أهل الجنة وأن يطول في عمره بالخير والصحة والبركات اللهمّ إني أسألك أن تقابلني في جنات الأمس، اللهمّ الشيخ العثماني معلم، أحبه إليك، قد لا أستطيع الجلوس بجانبه لكثرة الناس، لكن ربي
@DafiMohamed-dz8xk9 ай бұрын
Ma Shaa Allah upo sahihi sheikh
@dallatode82959 ай бұрын
Ma sha Allah
@abdallaismail24277 ай бұрын
Niko na suali kwako Sheikh langu Allah akubarikie.... Umesema kua Allah kitu cha kwanza aliumba ni Kiti chake cha enzi, kiti hiki kiliwekwa juu ya maji, na kiumbe cha pili ni kalamu, Jee hiki kiumbe maji kiliumbwa kilikua namba ngapi ? Kwa maana umesema kua kiti cha enzi kiliwekwa juu ya maji jee haya maji yalikuwepo kabla ama ni vipi hapo sijafahamu naomba unifahamishe,, Napenda sana mawaidha yako Sheikh. Allah akujazi killa la kheri daima
@ramadhaniayoub81715 ай бұрын
Allah akisema kuwa na kina kuwa
@kipangatz19Ай бұрын
Maji yalikuwa hali ya gesi
@zangzang1574Ай бұрын
Hutopata jibu apo shehe wangu.kuna kiti kuna karamu.sasa hiki kiti kilikaaa wapi? Na maji yalitokea wap Na yeye aliumba kiti kwaajili gani? uliza kama utapata jibu. 😂😂😂
@zangzang1574Ай бұрын
Story
@ismailhassan520917 күн бұрын
Allah namuomba anikutanishe nawe live kabla ya kufa nimuombe Allah akupe ninachokipeda kutoka kwake akupe maana wewe ni wa kuombewa jema wala siyo baya inshaallah
@Bossnyawonlinetv9 ай бұрын
allah akubarik
@RahimKhamis-zy3np9 ай бұрын
Shukran shekh wetuu
@hidayashabani58972 ай бұрын
Mashallah,Shukran sana kwa mawaidha haya
@user-fc5ep5ib4p6 ай бұрын
Allah akulinde kama alivyomlinda mtume wetu katika pango
@AshouHumaid8 ай бұрын
Mashaa Allah
@nassorali1034Ай бұрын
Umur twawil ya shekh othmani maalim .....na Akher twayib inshaallah ...yaatikil.afya
@abdulimaliki5 ай бұрын
Maasha. Allh. Ummat. Muhammd. S. W. S.
@user-zt6re1dr5f4 ай бұрын
Shekh Allah akulipe kesho akhera,biidhinlah
@lilatito2816Ай бұрын
Allah akupe salama mwalimu bali ningependa kisa hiki kiendelee zaidi
@rubbyruu71726 ай бұрын
MashaAllah MUNGU awahifadhi nyote mulio silimu mume ufuata njia sahihi
@SaidNuta8 ай бұрын
Allahu akibar
@LinconLopezАй бұрын
Subhanallah laah ilah anta subhana khain kuntu mina dhwalimin
@marietheresenyandwi86713 ай бұрын
❤jaazakhallah kheir ❤
@user-kz9kk9bw7u5 ай бұрын
Mashaalaah Allah akuhifadhi na akupe umri uzidi kutuelimisha
@allysaid69844 ай бұрын
Sheikh nakupenda Kwa ajili ya Allah naomba anijalie niwe kama ww
@nooraahmed69489 ай бұрын
Jazzakum kheir
@dotoayubu79398 ай бұрын
MashaAllah
@user-zh1bp3du8w2 ай бұрын
Baaraka llaahu laka Othman
@AlhabibMujahiddjibrilАй бұрын
عسى أن أكون ممن يتقربون إليه في الجنة
@Khalifaibrahim-oh7tiАй бұрын
Allah akuhifandhi sheikh othuman maalim
@ARAFATVSHOW2 ай бұрын
MANSHALLAH ❤️
@user-dr3mg5ey6f3 ай бұрын
Allah kullipe shekhe kwa ellimu unaito kwa jamio
@maulidmohammed34167 ай бұрын
Mashallah my sheikh
@mussakantumba34049 ай бұрын
Allaah akujaze Elimu Shyk Othman Mlm
@mudybeka66988 ай бұрын
Aamin
@suleymanhumoud52319 ай бұрын
Alhamdullilah
@user-xc4ml1qh9v9 ай бұрын
Mtakuja kujua siku ikifika ukweli si ukweli mtajua siku iyo mwenyezi mungu ni mjuzi wa kila kitu ni heri tunao amini kabla kuliko msiyo amini kabla yote ya mwenyezi mungu mjuzi wa kila kitu kinacho onekana na kisicho onekana!!!!
@abuuhafswamunsheedu57909 ай бұрын
Subhaanallah
@husseinibrahim54389 ай бұрын
ALLAHU AKBAR
@OmanOman-bm1lr9 ай бұрын
Ukitaka kujuwa ukubwa wa Allah jitafakari ulikaa vipi tumboni kisha akaja jiona kushakuwa mkubwa ndoo utajitambuwa kuna mtuu alojijuwa uchanga wake someni sio mpinge na kushangaa kama kalamu imeumbwa
@user-dc3zf2xi8y8 ай бұрын
Takbiiir Allah Akbar...Suburban Allah...!!!!
@kandellahramadan57945 ай бұрын
ALLAHU AKBAR
@FahadNassor9 ай бұрын
Maashaallah
@mshamuwadhamira83466 ай бұрын
Maana yake Kwa hadithi inaonesha MAJI yaliumnwa mwanzo kabla ya Arsh ndio maana Arsh ikawekwa juu ya MAJI. Ma Shaa Allah. Raha sana
@sama-_83683 ай бұрын
Kweli kabisa maji ndio ya mwanzo kwa maelezo hayo
@yasinabdulkadir19253 ай бұрын
Nadhani nimeelewa kama wewe.
@mussakantumba9914Ай бұрын
Naam kiumbe cha kwanza kuumbwa na Allaah ni Maji=,(bahari saba) cha pili ni Arshi,=( ndio kiumbe kikubwa kuliko viumbe vyote ni kubwa sana hadi haielezeki) Ama kalamu ni kiumbe cha kwanza kwa maana ya kuwa ni cha kwanza kuumbwa kabla ya kuumbwa viumbe vyote baada ya Maji na Arshi. Maana maji na arshi ni viumbe alivyo jinasibisha navyo na ndio maana kuna; Maji, kisha Arshi ipo juu ya Bahari ya saba na Allaah yupo juu ya hiyo arshi lakini bila ya kuitegemea hiyo Arshi na huku akiwa ni mwingi wa kutenda alipendalo.
@user-fj1cf4fs8b6 ай бұрын
Natamani niwemwnafunzi wa huyu sheikh anajua sana nimsomi hassa