Nabii SULEIMAN alikua kiboko ya Majini na alikua na Vitabu vingi sana na aliamua kuvifukia kabla hajafa IBILISI aliwaeleza majini wenzake vilipofukuliwa na Kuanza KUVITUMIA
Пікірлер: 164
@shadyahamad3724Ай бұрын
Mwenyezi mungu akuhifadh shehe akupe husni lkhatima njema atujalie shahada kabla ya mauty 🙏🙏🙏
@AminaAhmadShaban-tp9zu6 ай бұрын
Wengi wanaokosoa hawana wanachokijua... Allah akulipe khery Shekh Wetu kwa kutuelimisha
@Omary_Mjema2 күн бұрын
Ni sawa na sigara Unambiwa mbaya inauwa sio nzuri hila we unatumia tuu
@user-ws9ch4uj1d5 ай бұрын
Alhamdulillah,, nipatia elimu Koz hawa wenzetu wamisheni wanasema Kua uchawi Na unganga unatokana na uwislamu,, Na ivyo sio kweli . Kwkua wanaona Na kuskia wanganga wingi ni waislamu ,, Islami Haiko ivyo nitamaa zao Na sio mafundisho ya dinini ya Allah
Assalamu Aleykum warahmatullah wabarakatu ALLAAHUMMA SALII WA SALIIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA SAALAM ♥️
@MohammedPakiaАй бұрын
Mwenyezimungu atujarie kila laher namungu atulinde namahasid
@kingramah82134 ай бұрын
وَٱتَّبَعُواْ مَا تَتۡلُواْ ٱلشَّيَٰطِينُ عَلَىٰ مُلۡكِ سُلَيۡمَٰنَۖ وَمَا كَفَرَ سُلَيۡمَٰنُ وَلَٰكِنَّ ٱلشَّيَٰطِينَ كَفَرُواْ يُعَلِّمُونَ ٱلنَّاسَ ٱلسِّحۡرَ وَمَآ أُنزِلَ عَلَى ٱلۡمَلَكَيۡنِ بِبَابِلَ هَٰرُوتَ وَمَٰرُوتَۚ وَمَا يُعَلِّمَانِ مِنۡ أَحَدٍ حَتَّىٰ يَقُولَآ إِنَّمَا نَحۡنُ فِتۡنَةٞ فَلَا تَكۡفُرۡۖ فَيَتَعَلَّمُونَ مِنۡهُمَا مَا يُفَرِّقُونَ بِهِۦ بَيۡنَ ٱلۡمَرۡءِ وَزَوۡجِهِۦۚ وَمَا هُم بِضَآرِّينَ بِهِۦ مِنۡ أَحَدٍ إِلَّا بِإِذۡنِ ٱللَّهِۚ وَيَتَعَلَّمُونَ مَا يَضُرُّهُمۡ وَلَا يَنفَعُهُمۡۚ وَلَقَدۡ عَلِمُواْ لَمَنِ ٱشۡتَرَىٰهُ مَا لَهُۥ فِي ٱلۡأٓخِرَةِ مِنۡ خَلَٰقٖۚ وَلَبِئۡسَ مَا شَرَوۡاْ بِهِۦٓ أَنفُسَهُمۡۚ لَوۡ كَانُواْ يَعۡلَمُونَ Na Mayahudi walifuata yale ambayo mashetani walikuwa wanawasimulia wachawi katika kipindi cha ufalme wa Sulaimān mwana wa Dāwūd. Na Sulaymān hakukufuru na wala hakujifundisha uchawi. Lakini mashetani ndio walimkanusha Mwenyezi Mungu kwa kuwafundisha watu uchawi, kwa kuwaharibia dini yao. Mayahudi pia waliufuata uchawi ulioshushwa kwa malaika wawili: Hārūt na Mārūt, katika ardhi ya Babil ilyoko Iraq, ukiwa ni mtihani na majaribio kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa waja Wake. Na hao Malaika wawili hawakuwa wakimfunza yoyote mpaka wamnasihi na kumuonya asijifunze uchawi na kumwambia, “Usikufuru kwa kujifunza uchawi na kuwatii mashetani.” Basi watu walikuwa wakijifunza kutoka kwa Malaika wawili vitu vinavyozusha chuki baina ya mume na mke mpaka wakafarikana. Na wachawi hawana uwezo wa kumdhuru, kwa uchawi wao, yoyote isipokuwa kwa idhini ya Mwenyezi Mungu na hukumu Yake. Na wachawi hawajifunzi ila shari yenye kuwadhuru na kutowapa nafuu. Mashetani waliupeleka uchawi kwa Mayahudi, ukaenea kwao mpaka wakaufadhilisha juu ya Kitabu cha Mwenyezi Mungu. Na Mayahudi walijua kwamba mwenye kuchagua uchawi na kuacha haki, hatakuwa na fungu lolote la kheri huko Akhera. Ni ubaya ulioje uchawi na ukafiri waliojichagulia nafsi zao kuwa ni badala ya Imani na kumfuata Mtume, lau walikuwa na elimu yenye kuzalisha vitendo vya kufuata mawaidha wapewayo
@saumusalimuhassan24997 ай бұрын
Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim, Allah akulipe Jannah inshallah 🙏
@user-zb4py9rl9cАй бұрын
SAW ❤❤❤ ALHAMDHULILLAH ❤❤❤❤
@sabihahamadi22878 ай бұрын
Mtihani yarabi tusamehe waja wako pale tulipo koseya na utuongoze katika manmbo ya heri
@rizikishahari69487 ай бұрын
Amin Amin Amin! Allahumma Amin Yaa Rabb 🤲🏽
@hassanngala9894Ай бұрын
Shukran sheikh
@abdaladelo3717 ай бұрын
Mashaallh barakallah fiyka shekhe wangu kikubwa ni kua na Iman ya kwamba Alla Yuko pamoja nasi Kila wakati
@HakizimanaFistonАй бұрын
Sheih wetu tu NAKUPENDA sana
@abeliever68238 ай бұрын
رفع الله قدرك وشأنك ياشيخنا الفاضل
@mahmoudbadhamanaonlinedaaw71698 ай бұрын
اللهما امين
@HusseinMohamed-jq7hu7 ай бұрын
اللهم امين
@taibamreh17857 ай бұрын
I’m spsystetww we
@shinayzashiraaz458810 күн бұрын
Ameeen
@bachumohamed6804Ай бұрын
Mashallah ❤❤❤
@omaryally34894 ай бұрын
Marshall Allah atupe mwsho mwema....
@sadiahassan53165 ай бұрын
Jaazakallahu kheir , mungu atulindie sheikh wetu in shaa Allah ❤
@ZawadiHassan-dp6tw2 ай бұрын
Hao wanaomkashifu maalim hajijui wala hawajitambui wamo tu katika dunia.waachilie mbali
@abduljecha77797 ай бұрын
Maashallah, alhamdullillah
@user-pi3pg5we1cАй бұрын
Mashallah
@jimjam-xg7rv8 ай бұрын
Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚
@staraamr2770Ай бұрын
As salaam alaikum ndugu katika iimaan...dua inanishinda hapa pa...Lam fii.........Amalaha. Naomba munikamilishie
@mohammedsembe90406 ай бұрын
Shekh Othumaani ahsantum bikheyr Allah akuhifadhi
@ahmedyusuf95476 ай бұрын
Jazakallahu kheir
@halimaomari34157 ай бұрын
Subhana llah
@AndulHida-hs5py5 ай бұрын
Jazzak Allah kheri, Tabarak Allah feeq
@hawa60528 ай бұрын
Mashaa Allah tabarakallah
@shabansumaiya47707 ай бұрын
Tue tunasikiliza vizury mawaiza tusimkashifu sheikh wetu nawakati yeye anasoma yalio katika kitabu
@fareedkhalipher3590Ай бұрын
Asalaam Aleykum warahmatullah wabarakaatuuh, shekhe wangu hao wanaokashifu hawana elimu ya dini tuwaombee tu mungu awatoe gizani
@sefuriyembe7864Ай бұрын
Wapumbavu ndo wanamkashifu shekhe huyu. Majitu yasokuwa na akili 😅😅😅
@a.8567 ай бұрын
Jazakallah khayran
@kingusaid71757 ай бұрын
Mashaallah,mawaidha mazuri sana. Allah akulipe
@salumsodangu13727 ай бұрын
Mashallah Ballaka lwahu fii
@AishaSalumu-tv4kb7 ай бұрын
Mashaa Allah Allah akulipe khery
@shillasalimjuma69867 ай бұрын
Marshall ah mawaidha mazuri
@dezainermedia10355 ай бұрын
Jazakallah
@user-zy5mx5pd7u3 ай бұрын
Mashallah❤
@mohdysaid28564 ай бұрын
Allahu Akbar!
@Kimochatv5 ай бұрын
Mashaaaalaaah
@user-kp2df5zn9q4 ай бұрын
Inshaallah
@LastdayJesu41536 ай бұрын
Nimefurai sana mbavu zinauma mpk wenye Imani yao wanaguna😂
@user-vf6cd9vx9w2 ай бұрын
Mashallaa
@mammym41857 ай бұрын
Allahu Akbar 😢
@zuwenasaleh46936 ай бұрын
Shukran shekh wetu mungu akubaarik
@othmanmasoud16724 ай бұрын
Wengi hawajui kisikiliza wala hawajui kitu ila hujifanya wanajuwa hao huitwa wajinga unapomkosoa shekh maalim kwa makasiriko yako tu huna tofauti na mjinga
@dezainermedia10355 ай бұрын
❤
@mzeehassan29137 ай бұрын
Arkas online TV Rekebisha anwani ya nasaha hii, usiandike jambo lolote kuhusu dini ambalo laweza kupotosha watu, kama hujui ingia kwenye vitabu au uliza wenye elimu
@umsulaiman74687 ай бұрын
Wew hasan acha ujinga mwisilam gani uso amin quran ww hujui din jina tu muislam lakin iman na taquwa huna
@RehemaOmary-xp4fkАй бұрын
Assalam alykum warahmatullah wabarakatah❤😊😊
@hanafichinemba919624 күн бұрын
Bi Rehma nicheck
@daudimichael73387 ай бұрын
Toa mfano mmoja wa Muhammad aliyosadikisha yaliyokuwa kwenye torati ya mayahudi.
@mohdali24087 ай бұрын
Kuabudiwa Mungu 1 tu
@ZawadiHassan-dp6tw2 ай бұрын
Ukisikia kugombanisha watu ni kwakera watu kwa jambo lolote lile usigombanishe watu kwa dini
@jamesalphonce18895 ай бұрын
Kwa mwenyew akili ataelewa SoMo Kwa yule asiyekuw na akili atakosoa
@user-oy6jf7nr1j2 ай бұрын
@Am-vo5cu unasema mujin ni ya waislamu..na mapepo ni ya nan niyababako au..mbona nyie mnakemea mapepo au hamlijuh hilo..ungeskiliza vizur mawaidha
@munirasuleiman20068 ай бұрын
Kwani walifundissha uchawi au kuwahukumu watu wakafanya kosa waakapewa adhabu
@muhammedwakif62168 ай бұрын
Si uskilize
@abdillaahirichardkasisi8691Ай бұрын
Aya mambo si ndo ya sasa,mambo ya kukanyaga mafuta,udongo n.k
@siretv69345 ай бұрын
sehem ya pili...?
@aceofspades37287 ай бұрын
Yan Mungu ndo alileta shirk!?
@user-qq4mb9nq1n4 ай бұрын
Ndiyo shetwani hamiliki Chocho hiyo shiriki ni mtihani
@ZawadiHassan-dp6tw2 ай бұрын
Uchawi mbaya no shirki mbaya jamani muache kutuia wenzenu maradhiii😂😂😂
@sefuriyembe7864Ай бұрын
Watu wasiokuwa na akili ndo wanamkashifu shekhe huyu !! Mambumbumbu !!😅😅
@Am-vo5cu6 ай бұрын
Majini ni ya waislamu
@AishaAbbas-mw6ef6 ай бұрын
Au sio SS km Majin n ya waislam ww umeft nn kwenye hay mawaidha? Acha ujinga Kwan hao Majin walijiumba? Majina wao waliumbwa n Alie kuumba ww n mm ko uspende kukashfu uumbj wa mola wetu
@LastdayJesu41536 ай бұрын
D😂
@rangos47497 ай бұрын
Inna lillah!! Kna hii stor ya malaika wa Allah ndio waliokuja kufindisha uchawi huu huu ambao had leo wachaw wanatusumbua usiku bas kuna kitu cha kushtuka hapa aisee
Saleh akili ya kawaida tu ungeona sumu Malaika wafundishe uchawi😂
@LastdayJesu41536 ай бұрын
Na ndiyo maana imeandikwa Yesu ndiyo njia iliyonyoka..kama imeandikwa hivo kweli chukua hatua shekh
@LastdayJesu41536 ай бұрын
Malaika wakifundisha uchawi na shetani atafanya kazi gani shehk?
@swalehejuma66116 ай бұрын
@@LastdayJesu4153Mwl wa karate anafundisha kujihami na siyo kudhuru watu. Kazi ya kujihami na maadui haifundishwi na jambazi
@edwardmwandu35647 ай бұрын
mungu alituma malaiika wafundishe uchawi? Ina mungu huyo ni mchawi
@shubebunyesi5427 ай бұрын
Heri na Shari zote zinatoka kwa MWZ Mungu kwani shEtani ameumbwa na nani? Kwann tunakufa kwani Mungu alishindwa kumzuia Baba yetu Adamu hasipotoshwe na shEtani kwann aliacha jibu ni kwamba iwe fundisho kwa watakao kuja kama mtihani kwetu Ili watakao faulu basi wapewe zawadi kwaiyo husishangae ndugu, Mungu ameumba malaika mtoa roho kwann je yeye ni muuaji? 24:48 apo vp nafikili apo itakuwa umenielewa na mwisho nikupe mfano huu kwann MWZ Mungu ameumbwa wanyama na wadudu wakali ambao wanaweza kudhuru mwanadamu coz anatupenda c hasinge waumba tu, kuna baadhi ya vitu ametuamrisha na ataki mjadala wala maswali wala maelezo yeye anataka utekelezaji tu ktk dunia hii kila unachokiona kimetoka Kwake mfano mwingine unaambiwa uvutaji wa sigara ni hatali kwa afya yako. Je watu hawavuti ata ktk dunia hii tumeambiwa ukitaka kufikia ufalme wa Mungu tupitie Njia hizi acha zinaa, swali, toa Dhaka, saidia myatima, heshimu wazazi kwa kifupi kutenda mema lkn je uwaoni watu wanafanya matendo maovu tena adharani? Asante kama unaziada utauliza ujibiwe
@imanmohamed22157 ай бұрын
ASTAGHAFIRULLAH😡😡😡😡😡SHAME ON YOU ( ALLAH ANAKUONA)😢
@AishaAbbas-mw6ef6 ай бұрын
Usimshirikishe Allah kwenye ujinga Kwa mambo ambayo huna uhakika nacho Alie kuumba ww usimtukane Kwa kumshrikisha n ujinga Kwan ww hujui km uchawi nao ni kiumbe km viumbe vingine sema SS waja tulio letewa ndo ne'ema hyo ndo tunaikadhibisha n badala Ake tunafnya kinyume
@nayyarnassor7626 ай бұрын
Hulijui hata ulisemalo
@Omary_Mjema2 күн бұрын
Kuna watu walikua wanawasuhudia wachawi wakijua ni wa Jumbe wa mungu akatuma malaika kuwaonesha watu kua hao ni wachawi na makafili..ukafili ni mtu anae muhasi mungu au mkaidi kwneye magizo ya MUNGU.Kafili ni mtu yeyote huwe muislam au sio muislam ukiwa unapishana na magizo ya mungu Basi we ni Kafili..Kwaiyo uchawi ulikuja kuwalingania watu ..labda Kama atutak kuelewa mawaidha hayo
@adorchmassimba44136 ай бұрын
Shekher sikubaliani na hizo aya zako zinazosema malaika 2 ndoo walioleta uchawi hao maruta na aruta ni naraika wa shetani walioasi pamoja na rusifa ndoo wameleta mambo ya uchawi kwa wanadamu hapa duniani kwa ajili ya kumuasi mungu
@lookmanmustapha63666 ай бұрын
Rudia suratil baqara aya 102
@AishaAbbas-mw6ef6 ай бұрын
Acha kukoment kitu km huna uhakika nacho
@AishaAbbas-mw6ef6 ай бұрын
Aya gn ilio sema malaika hao walias pmj n ibiris la'anatullah au ulikuepo?
@LastdayJesu41536 ай бұрын
Masimba njoo kwenye ukristo😂
@nayyarnassor7626 ай бұрын
@@LastdayJesu4153 kama umetumwa
@feisalathumani317 ай бұрын
Eti ukiacha uislam na kua mchawi hii umepata wapi
@mahamedhussen67346 ай бұрын
Ulizatena
@mzeehassan29137 ай бұрын
Anwani ya nasaha hii imekoseka, hakuna malaika waliokuja kufundisha uchawi, REKEBISHA ANWANI HII 😢
@rangos47497 ай бұрын
Tuambie wew hassan, nani waliokuja kufundisha huo uchawi!? Em shtuka wewee, dini yenu sio ya Mungu wa kweli weweee
@rangos47497 ай бұрын
Hassan hutaki kuamin au unaona haiko sawa😂
@user-hx8bh1jt4k7 ай бұрын
We rangos shika adabu Yako ikushike,mwana nyau wewee
@omaryhaytham28997 ай бұрын
We mgumu kuelewa
@user-tt6jt8pz5m6 ай бұрын
Ingia school
@rajabuathumani15867 ай бұрын
Yani huyu kurafi Ana visa vya uongo Sana huyo Sufi Visa ww ndio umevisoma tu hakuna wengine
@amazingvideo14977 ай бұрын
Tuambie ww msomi
@salehsultan-75547 ай бұрын
Sheghe auna hofu yakumuandikia meseg muislam mwenzako unamuita kulaf unajua maanayake mtu anaefanya mawaiza ya tawhiid hakika ayo manene kila anaeyasoma atayatolea ushaid kiama kua makn elmu ni bahar
@user-zs6qg7ql1i5 ай бұрын
Mashekh wenu hawan visa hv hawatak kusom Kaz chuki tu wahab elimu zenu ndgo mje msomeshwe
@rashidsuleiman92534 ай бұрын
Kwa sababu huko kwenu hakuna mwenye elimu, sasa mambo haya yapo juu ya uwezo wenu. mmeuchukua ujinga na kuuvisha kilemba na sasa mwatembea nao mitaani
@mohammedal78648 ай бұрын
Hao si malaika ni binadam hata ukijiuliza tu vipi malaika wakati mitume wote ni binadam na sie mafundisho yetu anasema hao walikua wachamungu hadi Allah akawafananisha na malaika
@MohamedAhmed-xi5jk8 ай бұрын
Quran imewataja malaika kwa majina haroota na maroota na sio binadamu kama unavyosema
@balkisamisi21317 ай бұрын
Kwani unataka kumkosowa Allah ?
@mohammedal78647 ай бұрын
Sijamkosoa Allah Ila hao siwalimuasi Allah kwa kufundishwa uchawi na Allah amewasifu kwa kusema hawamuasi Allah na wenye kutuletea ujumbe wa ALLAH ni mitume tu kupitia kwa jibril a. a. Na malaika wt wanakazi zao alizowapa Allah
@wazirimakua127 ай бұрын
@@mohammedal7864Akhi, hao malaika wala hawakuasi.. Allah mwenyewe ndiye aliyewatuma kuushusha uchawi ili uwe mtihani kwa waja wake.. Ni kawaida yake Allah kutupima waja wake je tutakufuru au tutashukuru, je tutasubiri au tutakosa subra.. Kwahiyo hao ni malaika na malaika ni kweli hawaasi na wao pia hawakuasi bali walifuata agizo la Allah kuushusha uchawi duniani kwa ajili ya kuwapa mitihani watu na majini
@MohamedKimbwembwe7 ай бұрын
Quraan inasema malaika
@jacksonrock65355 ай бұрын
Biblia Ndo Neno La Kweli Ya YESU KRISTO Ndo Kweli Yenyewe Sasa 😂 Malaika Kama Katumwa Always Anfanya Mapenzi Ya Yule Aliyemtuma Ni Shetni Peke Yake Na Malaika Zake Ndiyo Waliokataa Kufanya Mapenzi Ya Mungu Mwisho Wa Siku Wakawa Wapo Dhidi Ya Mungu Na Uchawi Haupo Upnde Wa Mungu So Uchawi Aliyeleta ni Shetani
@mohamedimohamedi89334 ай бұрын
Mungu kafa msalabani it's make sense to u
@user-oy6jf7nr1j2 ай бұрын
Sas km biblia ni neno la kweli umefuta nn huku na kucoment au umetumwa au ww ndio mchawi mwenyewe😢
@user-oy6jf7nr1j2 ай бұрын
Alafu Ona pimbi wewe qur an yetu site waislam tunaisoma kwa lugha moja Duniani Kote na tunaelewana sas nyie na hiyo billiards yenu iankuaje hamna lugha moja ya kuelewana km sisi ,,tunavyoisoma 🇹🇿 basi ujue hata Jamaica wanasoma vile vile..
@Daudisalim71Ай бұрын
Biblia hiyo hata Yesu hakuwahi ioni
@Am-vo5cu6 ай бұрын
Waislamu ni dini ya majini tuu hamna lolote
@AishaAbbas-mw6ef6 ай бұрын
Km n dini ya Majin km usemavyo ww unae jifany mjuaji Sasa mawaidha yetu unayafata y nn n kwann ukoment? Oky Allah ukihifadhi n kinywa chako inshaallah
@LastdayJesu41536 ай бұрын
Aisha dada yangu Malaika wafundishe Uchawi😂
@user-oy6jf7nr1j2 ай бұрын
Sikiluza vizur mawaidha na km majini ni ndug zetu imekuaje na nyny mapepo mkakemea nijibu au umejisahahulusha😅
@saidiMsume15 күн бұрын
Elewa maana ya neno "kukemea".Sisi tunawafukuza kwa sababu hatuna ukaribu nao lkn nyie mnaswali nao,mnawajengea vilinge,mnawaoa na kuwafuga pia.
@listonjiwe34674 ай бұрын
Hao malaika waliokuja kufundisha uchawi ni wale malaika waovu walioshushwa duniani baada ya kuasi na kufukuzwa mbinguni na ndio hao majini ambao mnasema walisilim wakati hiyo dini ni yao na ndio walioileta kupitia muhamad kwa hiyo shehe hao majini ni ndugu zenu na uchawi ni asili yenu
@user-oy6jf7nr1j2 ай бұрын
Km nyie mnavyokemea mapepo mnayowapa watu kaisan kwahyo na nyie mapepo ni mama zenu na baba zenu
@user-bi4sf4uy9lАй бұрын
😂😂😂😂😂watu hawaelewi hao malaika walio asi wakaletwa duniani huwajui adi leo basi ni Adam na Hawa wenyewe mkasema Eve hao ndo waliasi huko hakuna malaika mwenye anakosea mungu upo
@user-bi4sf4uy9lАй бұрын
@@user-oy6jf7nr1j😂😂😂😂😂😂muulize tn
@daudimichael73387 ай бұрын
Allah alituma malaika wawili kufundisha uchawi? Haya bhana watu na dini yao😂😂😂😂
@lmaniash32687 ай бұрын
Tuskilize mada ya sherkh othman na sio kichwa cha habar cha mwenye channel.
@dorcaskarago28768 ай бұрын
kwanini waislam wana sali kwa luga ya kiarabu tu? Na kwanini mtu akibadili dini nakuwa mkristo anuawa? Ukiacha uislam nakuwa mchawi akuna kifo. And freemasonry nao wanafanya ivo ivo! mimi nina mashaka sana
@maimunasaidi8 ай бұрын
Wewe ni muongo uliza uelezwe vizuri hujaelewa
@mohammedal78647 ай бұрын
Sio kweli Jaribu ww ingia ktk uislam kisha urudi huko uone tukikuua ndio utajua nikweli na tukikuacha utaamini kua warongo tu hao
@abdallahmmary85917 ай бұрын
Hujausoma uislamu kwamaana Hy usiseme jambo ambalo huna elimu nayo Hao malaika wametajwa kwenye qruani, an nvema ujitambue kuwa kuwepo hapa duniani unasababu maalumu nasio kuwa umezuka TU bila sababu tumia akili acha mzaha, ukiendelea na mzaha utajuta
@octomontana42147 ай бұрын
Hakika ujinga ni mzigo na mtihani mkubwa!!jitahidi kutafuta elimu futa ujinga kichwani
@user-hx8bh1jt4k7 ай бұрын
Ukitaka kujua jambo Fulani bas nenda Kwa wenye kulijua Ili wakujuze.Hawafanani wale wanaojua na wasiojua.Tafuta Elimu za Dini zote mbili,Yako na ya uislam Kisha utapata kujua ukweli ni ipi dini ya kweli ya kuifuata
@apexmombasa68097 ай бұрын
Ma sha Allah
@sadunabdallah73038 ай бұрын
Mashallah ❤❤❤
@user-oy6jf7nr1j2 ай бұрын
@Am-vo5cu unasema mujin ni ya waislamu..na mapepo ni ya nan niyababako au..mbona nyie mnakemea mapepo au hamlijuh hilo..ungeskiliza vizur mawaidha
@balkisamisi21317 ай бұрын
Barakallahufiyk wallahi leo ndo naelewa sababu ya hao malaika kufundisha watu uchawi