Kajala kaweza jibu.sisi paula tumemjua toka enzi uyo kimbau mbau anataka kiki kupitia wao
@irenemacha56615 ай бұрын
Hongera malkia wa nguvu
@user-hm3qm2nf1v5 ай бұрын
Yaani waandishi kusudio limeachwa wanataka hbr za paula 😅😅😅😅
@puritynyanchoka8214 ай бұрын
Ata wanasahau mada ilikuwa gan😅😅😅😅
@user-pu6pr5jt4n5 ай бұрын
Ila kajala anajpenda umbo lake mashalah ❤❤anikera tu akikata nywele na kijibichwa chake awa mmbayaa😢
@candydryfishpackage0015 ай бұрын
Baby anapendeza lkn
@rajabdibwa64154 ай бұрын
Kajala km kajala !🙌🙌
@abbythestar26674 ай бұрын
Nice job 🥰🥰🥰🥰
@agwalubifaridah70795 ай бұрын
Mama Pau ❤❤
@neemapraigory88325 ай бұрын
Nakupenda kajala waache niwapumbavu hana kiki wala yota
@KhadijaAbdala-vy8tw5 ай бұрын
Nice mom🎉❤❤
@user-mg3wr3re5q4 ай бұрын
Nakupenda sana kajala
@JudithKigalu-ue3in4 ай бұрын
❤❤❤❤🎉my lovely girl kajala
@nurumohammed13104 ай бұрын
Nawapenda sn paula mamayake ❤❤❤❤❤
@EflanciaKuyava-ns4bi3 ай бұрын
Nakupenda dada kajala❤❤❤
@user-tp2ix5xf1e4 ай бұрын
❤❤
@sofitanzanian9555 ай бұрын
Mhh mnahangaika sana waja
@monicagodfreyzacharia54894 ай бұрын
nakupenda kajala wangu!
@rosechami56375 ай бұрын
Duuuhhhh kwa sataili hiii acha nipambane na hali yangu products zimekua nyingi sana sana mpaka mtu unachanganyikiwa
@m.mmarckus62984 ай бұрын
Kazi kwao wapakaji😂😂😂
@mouldykomba18524 ай бұрын
Mmmmh waandishi wa habar hatari sana mmeacha kusudio mnaanza na paula
@EvaristoMtega-pe5gk4 ай бұрын
Mwenyewe nimetapeliwa kupitia Huyo Hugo kajAra
@zulfahaji914 ай бұрын
Mm wala. Skupata shida nlijua. Km. Hajajifungua
@merrynancesimon15625 ай бұрын
Kajala number one❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-st1zs1ng2x5 ай бұрын
Kajala km bodyguard 😂
@sofitanzanian9555 ай бұрын
Kaa kila mtu anapeotanti duhh
@PrincessHellen-pg1oy5 ай бұрын
😂ila haya majibu ya kajala😅
@user-hm3qm2nf1v5 ай бұрын
Eeee kakutana na maswali ambayo hayaendani na tukio halisi😅😅😅😅😅
@RebecaMackenzi5 ай бұрын
Kumbe zanana ndo anakuwaga mfupi hivyo😅😅😅😅😅
@mouldykomba18524 ай бұрын
😂😂
@Zuuh42865 ай бұрын
Mimi wacha nibaki na machunusi yangu sina hata muda wa kushulikia uso 😂😂😂
@ramyramazani66065 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Zuuh42865 ай бұрын
@@ramyramazani6606 wacha nitafe tuu pesa chunusi zitaisha zenyeqw lakin si kutumia macreem na unakomaa uso lakin hata ukizeeka uso unakuwa bado mzuri😂😂🤣🤣🤣
@user-uc8ei8kn3l4 ай бұрын
Rose mgonja shoga ako yuko wapi tumesoma wote oysterbay primary kajala tumeishi kota moja oysterbay
@Rahima-kv6mn5 ай бұрын
Mimi natumia jiki limaooo midimu na chumvi mlovela mpaka mashavu yamekuwa bukunyaaaaa 😂😂😂 product izo OG kabisa
@user-xs8to8fu6d4 ай бұрын
Daah cjawahi kutumia chcht ila ww umeua jamaai mm nipo nature 😂😂❤
@Rahima-kv6mn4 ай бұрын
@@user-xs8to8fu6d 😂😂😂😂😂😂😂😂 Sasa kila mtu anakuja na vipodozi vyake namie ndo nishakuja navyo ivyo Sasa iga ubabuke uso fata ushauri wa daktar 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@stellatemu24584 ай бұрын
Hhhhh
@user-se3xn8yp2b3 ай бұрын
Kama umeshaitwa bib achautopolo elimika
@lucyjohn35374 ай бұрын
Nachojuaga kajala ni mfupi sasa huyu boss wake tunamuitaje
@EflanciaKuyava-ns4bi3 ай бұрын
❤❤❤❤❤😂
@mwajumaseifu2163 ай бұрын
Mbona kama kapungua
@princecharmy68384 ай бұрын
Yan Media badala mkatangaze biashara mnaenda kuongelea maswala ya Mimba.
@huldamichael44455 ай бұрын
Mna uhakika wateja wenu wote wanakijua hicho kingereza mnachokiongea hapo ?
@user-nr1ld3fc1h4 ай бұрын
Duu hapana itwa bibi mmmm🤪🤪
@ASALABOY4 ай бұрын
Bibi Kajala iyo miwani mbona kama inakuelemea
@JudyLee-hf9cy3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@mouldykomba18524 ай бұрын
Vido acha umbea hujaenda apo kwa ajili ya paula mnamuharibia mwenzenu biashara
@rajabdibwa64154 ай бұрын
Nashangaa products na Paulah wapi kwa wapi😂
@sofitanzanian9555 ай бұрын
Kila siku yanavumbuliwa mapya mhh ngozi zawabongo zitakoma mwaka huu
@user-bb6ki7gp9k5 ай бұрын
😂😂😂
@sofitanzanian9555 ай бұрын
Wapenda mikorogo nyuso zinaenda kuwa kama kima waunguja
@zainabwage46585 ай бұрын
😂😂😂😂
@rebeccamayo9115 ай бұрын
😂😂😂😂😂 daaah aya bwn
@AgathaMatambula-lf7fv5 ай бұрын
😂😂😂😂
@sofitanzanian9555 ай бұрын
Shepu je mnategeneza
@HappyPhilipo-ws3jx3 ай бұрын
😢😂😂😂
@annamussa1855 ай бұрын
Zanana umeingia huko utawezana na Niffer tuanzie hapo kwanza
@Asiamohammed13175 ай бұрын
Kwenye juice anafiti sana huyu dada zanana na alinishawaishi kitu ila huku mmmmmh
Huyo kajala masanja nitapeli kupitia Biko anajiita kwamba yeye ni balozi wa Biko Tanzania kanitapeli pesa nyingi saana jaman kama Kuna uwezekano wa kunisaidia nisaidie nna uthibitisho Kila kitu
@user-fu6bq8zd5j5 ай бұрын
Yawezekana nikweli umetapeliwa kupitia jina au sura yake ila akawa sio yeye kumekuwa na matapeli wengi sanaa wanatumia majina na picha za watu mashuhuri ili kukuaminishia lakini pole sanaa mungu yupo macho hata anae kufanyia wizi ipo siku atayalipa maumivu alio kupatia 🙏
@fatmaabdallah24885 ай бұрын
Haki mie pia nishawahi pigiwa cm na mtu akadai ni baroz kajala haliyakuwa cjawahi cheza hata mara moja
@amossamson89555 ай бұрын
@@user-fu6bq8zd5j nna Kila sababu ya kusema kwamba ni kajala masanja nitapeli mkubwa saana nilimuuliza kuhusu kuamini kama ni yeye akanimbia nikupigie Whatsapp video call nikasema ndiyo kapiga kweli ni yeye na nilimpiga picture naongea nae video call na nnazo Kila kiltu ana namba nyingi saana jaman tusaidiane maana tumetapekiwa wengi